Jose Author
Senior Member
- Jun 21, 2022
- 113
- 251
- Thread starter
- #221
SITASAHAU NLIVYOFANYA KAZI YA KUNUNUA SALAMA ZILIZOTUMIKA 08
“ Sasa sikia! Ujue kwa umri wangu huu nimeona vtu vngi sana, na ninajua mengi! Hv unajua kwanni anakataa kukuuzia salama?”
“ Sijui..”
“ Ni kwel huwezi kujua.” Alinijibu.
“ Twende huku.” ALiniamba. ALnishika mkono akanizungusha nyuma ya ile lodge. Tukiwa tumefika nyuma, mlinzi aligeukia na kujitambulisha. Aliniambia anaitwa Sudy, japo weng wanamuita mzee sudy.
“ Mzee wangu umenitembeza toka kule hadi huku ili uje uniambie jina lako?” Nlimuuliza nikiwa nimeshachukia. Kifupi alinkera sana.
“ Tulia kjana wangu..” ALiniamba.
“ Nitulie nini? ujue had sasa sikuelewi. Unaongea mengi lakni sjui shda yako nini. Niambe unataka nini?” Nlmuulza kwa ukali.
Mzee sudy hakunjibu kitu, badala yake kwa ishara alinonyesha shmo la takataka la ile lodge.
Kwa mshangao nlijizba mdomo.
Kwenye shimo kulikuwa na salama nying zilizotumika.
“ Nimekuita hapa ili nikupe nafasi ya kujiulza swali. Naomba jiulize inakuwaje mtu akatae hela unayompa na aje kutupa salama shimoni.” Alinambia.
Hakika haikuniingia akilini.
‘ kuna jambo, Haiwezekani mtu akatae kupokea elfu 25 kwa salama moja halafu aje kuzitupa shimoni. Sio bure, kuna jambo hapa.”
“Uspanic,kwanza naomba zunguka lodge zote ambazo mara ya kwanza walikuuzia salama lakin ulvyoenda tena walkukatalia. Kla lodge nenda shmoni kaangalie. Ikwa nako utakuta salama wamezitupa baada ya kukuuzia naomba ntafute. Namba yangu hii hapa.’ Aliniambia huku akinikabidhi simu yake. Haraka haraka nilikop namba na kuondoka eneo lile.
……………………
Kama alavyoniambia. Nlizunguka lodge moja badala ya nyingne, Kote nilikopita nilkuta salama zimetupwa shimon.
“ Yaani wanakataa kupokea elfu 25 kwa salama moja ? wanaona bora kutupa salama kulko kuniuzia?” Nilijiulza maswal yasyokuwa na majibu.
Nikiwa kama nimeweuka nilrudi nyumbani.
Mitaa kadhaa kutoka nyumbani, Nilimshuhudia juma, mmoja wa vjana niliwowafundsha kufanya mapenz kwakutuma mende. Nlimuona akiwa kashika tissue na kuitupa porini. Nikiwa namkaribia, sele jiran yangu altokea.
“ Mwanangu nmekuona umetupa salama.” Sele almwamba Juma.
“ Ndugu yangu sku hiz mm staki tena demu! Kuna kamchezo katamu sana nmefundishwaaa, yaaani nguvu niliyokuwa naiweka kwenye kutafuta mademu sazi naweka kwenye kutafuta mende.” ALiongea Juma.
Wakt akongea hayo, tayar nlikuwa nimesogelea.
“ Sasa juma tabia gan hii ya kutupa salama? Hujui kama hizo salama mimi nazihtaji! Tena sio bure nakupa hela.” Nilimwambia.
Juma aligeuka kunitazama, bila ya kuongea lolote aliingia ndan kwake.
“ Nmerogwa …nmerogwaaa so bure….nmerogwaaa.” Nilijamba baada ya kuachana na Juma. Nilifika had nyumbani kwangu. Niliingia ndani na kujilaza ktandani. Niliwaza na kuwazua nikaamua nimpigie simu yule mlinzi.
“ Nina baba yangu asiyeshndwa kamweeee….yesu ni baba yangu asiyeshindwa kamweeee….” Uliskika wimbo kwenye smu ya mlinzi.
“ Mmmh! Huyu mzee na yesu wapi na wapi?” Nilwaza baada ya kuusikia ule wmbo.
Simu liita had kakatka paspokupokelewa.
Nlipiga tena.
Kama mwanzo, simu iliita had kakatka pasipo kupokelewa.
Nkwa nimekata tamaa, sijui nifanye nini. Ujumbe ulinga kwenye simu yangu Haraka niliufungua. Ulkuwa ni ujumbe kutoka kwa mzee sudy.
“ Usinipigei simu nipo na boss. Naomba leo saaa nane usku njoo nyumban kwangu.” ALiniamba kisha pale pale akanituma message nyingne ya kunielekeza nyumban kwake.
…………………………..
Majira ya saa saba usiku nliamka. Nilinawa uso kisha nikatoka nje, moja kwa moja nilekeea nyumbani kwa mzee sudy.
STASAHAU NLIVYOFANYA KAZ YA KUNUNUA SALAMA ZILZOTUMIKA 09
Majira ya saa saba usiku nliamka. Nilinawa uso ksha nkatoka nje, moja kwa moja niliekeea nyumbani kwa mzee sudy.
Kimwli nilikuwa barabarani lakin kiakili sikuwa pale! Akil yangu bado ilikuwa na maswali mengi sana. Nilijiuza na kujiuliza paspokupata majibu.
“ Kaka anataka salama zilizotumika za nin?” Nlijiulza.
“ Na hawa watu kwanini hawatak kuniuzia salama? Yaani ni bora wakaztupa kulko kunpa mimi?” Nlijiulza tena tena.
Puuuh! Uso kwa uso niligongana na mtu.
“Uwe unaangala mbele wewe kaka.” ALiniambia yule mtu!
“ Samahani. Nlmwamba paspokumuangala usoni. Kabla sjaondoka, nilijpapasa mfukoni kuhakksha simu ipo. Ilikuwepo. Pia niliangalia chini kuona kama kuna kitu chochote nmeangusha, lakni ile natazama tu chini.
Loooh.
Huwezi amini! Yule mtu alikuwa na kwatu za ng’ombeee.
“ Mamaaaaaaaaaaaa.” Nilpiga kelele na kumuagala usoni.
Loooh! Nlishangaaa zaidi. ALikuwa ni Ashura, mke wa alex.
Sikukaaa.
Kwa kasi sana nilikimbia.
…………………………….
Baada ya kukimbia umbali mrefu nlismama. Niliangalia kushoto na kulia, mazingra bado yalntsha. Hvyo nilianza kutembea tena haraka haraka. Moyo wangu ulidunda kwa kas kubwa sana.Kimoyo moyo nilijuta kutoka nyumban usku. Pia niliomba nikutane na watu ili niwasimulie klchotokea.
Baada ya mwendo wa dakaka kama ishirin, nlikaribia kwa mzee sudy, nkiwa nyumba ya tatu kutoka kwa mzee sudy, nilwaona watu wa familia moja wakwa nje ya nyumba yao wakila chakula.
“ Wanakula daku.” Nilijiambia kwakuwa ulikuwa n mwez wa ramadhani.
“ Karbuuuu..” Mmoj wa wale watu alinambia.
Niltaka kukataaa, lakin nilpoangalia mbele, mazingra yalinitisha, karibu na kwa mzee sudy kulkuwa na mit mng sana, Hvyo kuondoa hofu niliamua kwenda kwa ile famli kwanza kutuliza nafs yangu na kujipa matumaini.
Nilisogea had pale na kukaa kwenye mkeka.
“ inaonekana umekimbia sana.” Baba wa ile familia aliniambia.
“ Nmekutana na mtu wa ajabu sana.”
“ Mtu wa ajabu?”
“ Ndio. Toka nizalwe sijawah kumuona mtu kama yule..’Nlmwambia.
“ zuwena, ngia ndan mchukule mgeni wetu chakula..” ALiongea yule mzee. Pale pale bnt yake alsmama na kwenda ndani. Alirud akiwa na sahani imejaaaa wal na nyama. ALiniwekea mbele yangu na kunitaka nile.
“ Karibu chakulaaaa..halafu umesema umekutana na mtu wa ajabu..uajabu wake n nini?’
“ Kwatooo..kwatoooo.” Nliongea huku zuwena akwa ananiwasha maj.
“ Kwato?”
“ Ndio, yule mtu anakwato za ngo’ombe..” Nilmwamba.
“ Kwat za ngo’ombe? Kama hizi?” ALiniuliza huku akinonesha miguu yake.
Loooh.
Naye alkuwa na kwato za ng’ombe.
Sikushangaa.
Kama mshale nilichomoka. Nilkimbia kwa kasi ambayo sijawah kukmba, moja kwa moja nlpitlza hadi nyumban kwa mzee sudy, bla ya hodi niliusukuma mlango na kuingia ndani.
“ Uuuuh…uuuuh..uuuh..” Nilihema.
“ Kweeh.” Mlango wa chumba cha piliulisukumwa aktoka mzee sudy.
“ Ndugu yangu hata kupga hodi hakuna? Hvi ungenikuta na shemeji yako tupo uchi ingekuwaje?” ALniulza.
“ Majini…”
“ Mmmh! mtaa huu hauna majin! Kama wangekuwepo lazima ningejua tu.”
“ Yapo…nmekutana nayo mara mbili.” Nlmwambia. Kwa umakin sana Akili yangu ilikumbuka lile tukio. Gafla niliachama mdomo kwa mshangao wa yule bnti aliyeniletea chakula, alikuwa ashura! Hakuwa zuwena kama yule mbaba alivyomuita.
“ Ilikuwaje sikumjua pale? Kwanini niliona kawaida tu hadi nilipoona kwato?” Nilijiuliza. Nkwa kwenye lindi la mawazo, mzee sudy alnitiksa bega.
“ Naomba tuongee swala la msng llilokufanya ukaja hapa” ALniamba mzee Sudy. Alinipa ashara nikakaa kwenye kiti naye akakaa kwenye kiti chake.
“ Kijana..” ALiniita.
“ Sifahamu unanunua salama kwa ajili ya nin?” ALiniambia.
Alinangalia kwa umakini kisha akaendelea.
“ Nimejikuta nakuonea huruma, unahangaika na hupati kle unachokitaka. Na hii inatokana na wewe kufanya biashara kitoto sana. Ulmwengu wa leo unamambo meng sana.Chukulia mfano wale watu wa lodge na watu wa mtaan kwako. Sio kwamba hawatak kukuuzia salama, la hasha. Wanataka sana, ila shda ni kuwa wamefungwaaa. Akli zao zimechezewa hivyo kamwe hawawez kukuuzia.”
“Aliowachezea n nani? Na kwanni afanye hivyo?”
“ Hlo swezi kukuambia! Kazi yangu siio kuwataja wanaofanya ubaya, bal kuwasaidia.”
“ Ntafurah sana kama utansaidia.” Nilimwambia. Mzee sudy alisogea pembeni kdogo akachukua kibuyu na kukimimina mkononi kwake. Ukatoka unga. Alinpa kwenye kganja changu na kunitaka niulambe.
Niliulamba.
“ Saf sana. Sasa watu wa lodge na watu wengne wote watakuuzia salama bila shda.”
“ Lakini kwanni had umenileta huku? Huu unga si ungenipa tu kule kule lodge.”
“ Sheria ya unga hautok humu ndani! Wote nawapa hapa hapa, ukitoka tu nje haufanyi kazi. Aliniambia. Nltikisa kchwa kukubaliana nae.
Nilmuuliza kuhusu malipo! Mzee sdy alkataa kata kata.
Kutokana na gza nje, nliamua kubak pale had asubuh, majra ya sa kum na moja nilimuaga na kuondoka pale, lakn ile nmtoka tu mle ndani, kchwa kilianza kuniuma isvyo kawada. Ni kama kuna mtu alikuwa akinigonga na nyundo .
Nilijkaza hivy hvyo had nyumbani.
Nlijtupa ktandan kwa kuzan uenda kitatula lakini hakikutulia.
“ Hk kichwa sio cha kawada, bla shaka dawa ya mzee sudy.” Nlijiambia. Nlchukua smu nmpge kumueleza lakni namba yake haikupatikana.
“ Mmmmh” Nljikuta nmeguna kwa uchungu mkubwa sana.
“ Hapana..hapana…inabidi nimpate mzee sudy anpe dawa nyingne ya kuzimua hii aliyonipa .” Nilijiambia. Nilmpigia jamaa yangu wa yebo akaja kunichukua. Moja kwa moja alinipeleka lodge alikokuwa analinda mzee sudy.
Ajabu, getni nlikutana na mlinzi mwengne tofaut kabisa na mzee sudy .
“ Mzee sudy yuko wap?” Nlmuulza.
“ Mzee sudy ndio nani?” Naye alniulza swali.
“ Yule babu alyekuwa analinda hapa..”
“ hakuna babu anayelinda hapa. Hili ni lindo langu, huu mwaka wote niko mm hapa.” Alniambia.
Mambo ndo kwanza yanaanza.
Itakuwaje? Tukutane kesho kwenye mwendelezo wa kila siku.
SITASAHAU YANYONPATA WAKAT NAFANYA KAZ YA KUNUNUA SALAMA ZLIZOKWWISHA TUMIKA 10
Tulipoishia
“ hakuna babu anayelinda hapa. Hili ni lindo langu, huu mwaka wote niko mm hapa.” Alniambia.
Endelea nayo.
Hakika nilishangaaa. Yalikuwa ni maajabu, macho yalinitoka isivyo kawaida na kichwa kilizid kuniuma. Maumivu yalkuwa makal isivyo kawaida. Nilinyongonyea nikawa nimekishika kichwa na pale pale nilianguka chini mzima mzima.
……………………..
Nilizinduka nikajikuta nipo hospital, mbaya zaidi sikuwa kwenye wodi ya kawaida, nilikuwa kwenye wodi ya vichaa.
“ Kwanini nipo hapa?” Nliwaulza wenzangu.
“ Hakuna alyenijibu. Kila mmoja alikuwa bize na yake. Haraka haraka nlshuka ktandani. Niliangaza kushoto na kulia nikamuona mama na baba wakiwa wanakuja nilpokuwa mimi.
“ Mwanangu pole sana.” Aliniambia mama.
“ imekuwaje nipo hapa?” Niliwauliza.
“ Inamaana haukumbuki yaliyotokea?” Aliniuliza baba.
“ Nakumbuka mara ya mwisho nilikuwa naongea na mlnz wa lodge! Baada ya hapo sjui nni kilitokea.” Niliwaambia. Baba na mama waliangaliana kisha baba akanishika mkono.
Aliniambia siku naongea na mlinzi wa lodge, wiki moja nyuma nilianguka na kupoteza fahamu, aliniambia baada ya kuzinduka nilianza kufanya vitu vya ajabu! Anasema eti nilianza kufukuza watu hovyo na pia nilikuwa naokota makopo.
“ Aaaah”
“ Hivyo ndvyo ilivyokuwa mwanangu.Baadhi ya watu wanaokujua walitupigia simu ndio tukaja. Tulikukamata kwa nguvu na kukuleta hapa hosptali. Hii ni hospital ya vchaaa.”
“ Inamaana nimekuwa kichaaa?”
“ Kwa matendo yako inaonesha hvyo! Moja ulkuwa unafanya vitu visivyoeleweka! Hebu fikiria nyumba unayao lakin ulikuwa unalala mtaani.” Aliongea baba. Maneno yake yalinivunja nguvu kabisa.
“ Laakin naanzaje kuwa kchaaa?”
“ Ukiuliza hivyo unakosea! Kla mwanadamu anaweza kuwa kichaaa, lakn pamoja na hilo bnafsi niliamua kufatilia. Licha ya kukuleta hapa hosptali, pia nilienda kwa mganga kumuuliza kuhusu hili. Alipoangalia alsema unavita na majini. Kuna mambo ulkuwa unayafanya ambayo yalikuwa yanawakera na kuharibu mipango yao, hvyo waliamua kukunyeshwa dawa ndio mana ukawa hiv.”
“ inamaana mzee sudy alkuwa ni jinni?” Niljuliza.
“ Hapana..hapana..” Nilijiambia, haraka nlimuomba baba aende kwa mzee sudy. Nilmpa ramani kama alvyonpa mzee sudy. Baba muda ule ule aliondoka na kuniacha na mama.
“ sasa nipo sawa. Nazani naweza kuruhuswa kurudi nyumbani.” Nlimweleza mama.
“ Subir tupate majibu kutoka kwa waataalamu.” ALiniambia.
…………
Masaa mawli mbele, baba alirudi na majibu yaliyonichanganya .
“ Ulposema niende hakuna nyumba zaidi ya shule. Pia mtaa wote ule hakuna mtu anayeitwa mzee sudy.” Aliniambia.
“ Hapana..hapana..” Nlmwambia nikiwa nataka kushuka kitandani.
“ Unataka kwenda wapi?”
“ Kwa mzee sudy, bila shaka umekosea. Umeenda sehemu ambayo sio.’ Nilmwambia, lakini kabla hajanijbu nilikumbuka kaul ya mlinz wa kwenye ile lodge kuwa mlnz wa pale ni yeye wala sio mzee sudy.
“ Ulkuwa mchezo.” Nilijkuta nmetamka.
“ Ni kweli ulkuwa mchezo! Na kama sisi tungekuleta hospital haraka haraka pasipo kwenda kwa mganga bila shaka had sasa ungekuwa kchaaa.” ALiniambia baba. Licha ya maelezo hayo walinisihi niendelee kukaa hospitali.
Nilikubali.
Siku ya tatu niliamua kuomba ruhusa, licha ya hali yangu kutokuwa nzuri nilimtaka daktar aniruhusu nirudi nyumban! Nilimuahidi kurudi siku ya pili kwa uangalizi zaidi.
Alkubali.
Nlitoka hosptali na kuelekea nyumban! Majirani na baadh ya watu wengine walinishangaa. Wengi wao walinikwepa. Nadhani waliamni mimi ni kchaaa. Sikuwajali. Nilienda hadi nyumbani kwangu. Niliingia ndani na kuangalia mazingira ya chumba changu.
Yalikuwa yapo vile vile.
Nilitoka nje na kuelekea nyumban kwakina ashura.
“ Kwanni nikutane njiani na Ashura akiwa na kwato? Na kwanin alkuja kunilaumu kwa yeye kukosa mtoto.” Nlijiulza nikiwa naelekea nyumban kwake. Mitaa kadhaaa kufika, kauwoga fulan kaliniingia! Nilkumbuka ilivyokuwa ile siku usiku.
‘ Akiwa mchawi si anaweza kuniua huyu mshenzi?” Nilijiulza.
“ Potelea mbali! Liwalo na liwe. Haiwezekani anifanyie ujinga ! Leo atanieleza kwanin alisema mmi ni chanzo cha yeye kukosa ujauzito! Pia atanieleza sababu ya kunitokea usiku akiwa na makwato yake.” Niljiambia.
Nilijitutumua bila woga nikaenda kugonga mlango wao.
‘ Karibuuu.” Nilisikia sauti ya alex ndani.
‘ Ahsante” Niljibu.
Alex alkuja kufungua mlango.
“ Rich..” ALinshangaaa.
“ Usinishangae..namtaka mkeo sasa hivi.” Nilimwambia.
“ Aaaah! na ukichaa wako unataka kumfanya nin mke wangu?”
“ Mim sio kichaa aiseee.. mlete mkeo nje hapa..” Nilimwambia. Mabishano yetu yaliwafanya watu waliokuwa ndan waje. Tukiwa tunabishana nilimsiia ashura akimwambia babu yake abaki ndani yeye anatoka kuangalia kuna nini.
“ Siwez kukuacha uende huko nje peke yako.” Babu yake alijbu, nae almfata mwanae kwa nje. Wote walitoka nje.
“ Aaaah!” Nliduwaa baada ya kuwaona. Babu yake ashura alikuwa mzee sudy.
SITASAHAU YALYONIPATA WAKATI NAFANYA KAZI YA KUNUNUA SALAMA ZILZOKWSHA TUMIKA 11
“ Aaaah!” Nliduwaa baada ya kuwaona. Babu yake ashura alkuwa mzee sudy.
Kwa kasi ya umeme nlimvamia mze sudy tukaanguka wote chini! Puuu. Haraka nilsmama na kumkalia kwa juu.
“ Puuuu..puuuuu..puuuu.” Nilmpiga mfululizo pasipokumpa nafasi ya kujitetea. Aljaribu kunisukuma nitoke juu ya mwil wake lakini alishndwa. Alex nae alkuja kujarbu kunitoa lakin alishindwaaa.
Nilmpiga sana.
“Wewe ndio chanzo cha mm kuwa kichaaaa..” Nilimwambia huku nikiwa nampiga.
Kwakushirkiana na majirani pamoja na mke wake, alex alifankwa kunitoa juu ya mwili wa mzee sudy. Nae kwa hasira alnipga usoni! Bahat mbaya alnipiga nikiwa nimeshikwa. Nilipojitahidi nitoke nilipe kisasi ilishindikana. Majirani walkuwa wamenishika vzuri sana.
“ Puuu..puuuu.” ALnpiga.
“ Alex hebu acha..usijichukule sheria mkononi.” ALiongea mwenyekt wa mtaaa. Alex aliniacha. Mwenyekiti alitutaka wote tuingie ndan tuongee .
Tuliingia.
“ Naomba kla mmoja aeleze upande wake! Nataka tuyamalze haya hapa! Sitak maswala ya polisi wala maswala ya ofisini! Nyie wote ni wananchi wangu hivyo nnawajibu wa kuwalinda kwa kla kitu.” Aliongea mwenyekiti ksha akanipa naafsi ya kujieleza.
Nilieleza yote! Mwanzo mwisho.
“ Hapana..mmi sijawah kuja kwako na kukuambia wewe ndo chanzo cha mmi kutopata ujauzto..sijawahi kufanya hivyo mimi.’ ALjitetea ashura.
“ Kwahiyo mm kchaa? Yaan nitunge tu?” Nilimuuliza.
“ Kwani wewe nani had usitunge? Inashindkana nni wewe kutunga?” ALniulza. Sikumjibu. Nilimtazama tu kwa hasira .
“ Ashura! Naomba tuwe wawazi kwa kila jambo hapa… Huyu ni mtu mzima. Hawezi kutoka huko na kuja hapa kuyaongea haya , hilo haliwezekani, lazma kuna kitu! Na swala la kumwambia yeye ndio chanzo cha wewe kutopata mtoto lnawezekana. Naomba ongea ukweli..”
“ Mm sijawahi kwenda kwa huyu mtu? sijawah kabisaa. Hebu mwenyekiti fikiria tu, hata swala la kusema sijui miguu yangu inakwato! Hiv hapa unaona kwato kwenye miguu yangu?” ALiuliza ashura.
“ Sioni kwato! iLa kwakuwa umekataa sio mbaya! Acha tumuulze na babu hapa? Kwa maelezo ya rich ni kuwa kwa mara ya kwanza mlikutana lodge, kisha baadae saa nane usiku alifika nyumban kwako ukampa dawa ambayo ilimfanya akawa kchaa?’
“ Sio kweli kabisa..,huko lodge mmi nikafanye nini?” ALiuliza mzee sudy.
Kataaa yao niliona inanichosha! Nilikata shauri nikasimama.
“ Sikia mwenyekiti! Hawa watu wanajfanya wajanja! Tutapambana nao kwa njia nyingine, acha waendelee kujifanya wajanja..” Niliwaamba. Nilijiweka sawa na kuelekea mlangoni, lakn kabla sijakifika kitasa cha mlango, alex alinishka began na kunitaka nirud nikae.
“ Nikae nfanye nini?” Nlimuuliza.
“ Kaaa tu.” ALniambia.
Nlkubal na kukaaa.
‘ Ndugu mwenyekit aliyoyaongea Rich hapa ni kwel! Ni kwel mke wangu alimfata na kumwambia kuhusu mtoto! Nasema hivyo kwakuwa siku ambayo Rich anasema mke wangu alienda kwake ni siku ambayo mke wangu alienda kwa babu yake huyu mzee sudy, na aliniambia kaambiwa kuna mtu anazuia hilo.”
“ Mume wangu…”
“ Kaa kmya tafadhali! “ ALongea kwa ukal alex.
Aliendelea.
‘ Hapo nje nlikuwa nagombana na rich bas tu! iLa ukwel wote naujua, Japo mke wangu alnficha na babu pia alnifcha.” Alongea alex.
Mzee sudy alivuta hewa kwa ndani kwa nguvu sana! Ksha akaitoa nje na kumtaka radhi mwenyekiti.
“ Naomba nsamehe sana! Nilkataa na mjukuu wangu alkataa kwakuwa hatukutaka mumewe ajue kitu! ila kwakuwa kashajua haina haja ya kuficha tena. Yote yanayosemwa hapa ni kweli, ila ashaura sio jinni, ule usiku nlmchezea tu akili huyu kijana ili kumtesa. Maana alichokfanya kwa mjukuu wangu sikukipenda kabisaa.”
“ Nimefanya nn mzee?’
“ Ulimfunga uzaz alex na mkewe, zle salama ulzokuwa unakusanya unazan kaz yake nn? Kwasababu ya wewe kuwa na maniii ya alex kwenye zle salama , basi ashura kamwe asingepata mimba! Hivyo ili kumtibu kwanza ilibid kukudhibiti. Na ndio mana niliamua kukufanya uwe kichaaa na pia ndo mana niliamua kuchukua salama zote zilzokuwa kwako na pia kukupa gundu ya watu kutokukuuzia salama .” Aliniambia.
Looh! Niljikuta nmelowa. SIkuwa najua kama kaz ile inawafanya watu wasiweze kuzaa tena.
“ Lakini haya ni mambo ya kishirikina, na kaka yangu hana kabisa ushirikna! Kaka yangu n msom mkubwa? Kaka yangu ni mtu wa sayansi. Uchawi na haya mambo wapi na wapi?” Nilijiulza moyoni.
Sikupata majibu.
Kutokana na maelezo ya mzee sudy, mwenyekit alinitaka niache ile kazi! Pia alitupatanisha kisha kila mmoja akaondoka. Nilirudi hospitali. ILe nafka tu, nlikutana na mama pamoja na baba. Walnifokea sana baada ya kugundua nmetoka pale bila ya wao kupata taarifa.
Nilkwasihi wanisamehe wakanisamehe.
Tuliingia wodini.
‘ Kaka yako anataka kuogea na wewe.” Aliniambia baba. ALitoa simu yake na kumpigia kwa watsup. Simu iliita kisha ikapokelewa.
“ Brooooooo shikamooo.”
“ Usiniite broooo..nataka salama au hela zangu… una sku mbli tu! Lasivyo kitakachokupata usishangae.” ALiniambia na kukata simu.
SITASAHAU YALIYONIPATA WAKATI NAFANYA KAZ YA KUNUNUA SALAMA ZILZOKWSHA TUMIKA 12
“ Usiniite broooo..nataka salama au hela zangu… una sku mbli tu! Lasivyo kitakachokupata usishangae.” ALiniambia na kukata simu.
Niliduwaaa.
Macho yalinitoka misiri ya fundi saa kapoteza nati. Niliwaangalia baba na mama lakini sikuwaona. Kwa sekudne kadhaa nilikaa kimya kama mwendawazmu! Baba na mama waliniuliza kulkoni lakini sikuwasikia kutokana na mawenge.
“ Rich..rich..’ Baba aliniita huku akinitiksa tikisa.
“ Ungempigia kaka yake kwanza…yeye ndiye aliyesababsha hi hali.” ALiongea mama! Baba alkubali, alsogea pembeni na kumpiga kaka.
Hakupokea.
“ Hebu niambie kaka yako kasema nin?” ALiniulza.
“ Anataka hela yake..”
“ Alikukopesha?”
“ Hapana. Alnpa kle kazi niliyokuambia! Sasa kazi imeshndikana, halafu kumbe ile kaz sio salama kabisa kwa jamii! Wote ambao nachukua salama zao hawataweza kupata watoto tena.” Nilimwambia.
Baba kwa mshangao alijiziba mdomo.
………………….
Baada ya kutafakar kwa kina sana, baba aliniambia niondoe hofu, kwakuwa Elgius ni kaka yangu bas hawez kunifanya chochote kbaya! Aliniamba kama ataendelea kuning’ang’aniza nmpe hela yake bas niwasiliane naye yeye.
“ Sawa.’ Nlimjibu .
“ Kweeh.” Mlango wa wod yetu ulfunguka akaingia daktar akiwa na file mkononi.
“ Rich unaendeleaje?” ALiniuliza.
“ Npo sawa kabsa..naendelea vzur.” Nilmjibu.
“ Ok sawa..sasa sisi hatuna tena chakukutibu! Hali yako naona ipo sawa. Kila kitu kwenye mwili wako kimeimarka. Hivyo unaruhusiwa kurud nyumbani.” ALiongea. Kwa pamoja na wazazi wangu tulimshukuru akaondoka.
Baba alienda ofisin akamalizia taratibu na kufanya malpo mengine kisha tukaondoka! Siku ya pili wao walirudi iringa .Wakati wote wamefika pale kuniuguza,walikuwa wanakaa ndugu yetu aitwae seleli.
……
Nikiwa peke yangu nyumban nilikumbuka kaul za kaka kuwa atanifanya kitu kibaya. Lcha ya kias fulan kunipa hofu niliamua kuzipuuza, kwanza halikuwa kosa langu salama kupotea, pia mwenyekiti aliniambia nisifanye tena ile kazi pale.
Nilijlaza kitandan nikifkir kitu gani naweza kufanya kuendeleza maisha yangu!
Sikukipata.
“ Kaka aliniwah kuniambia niende marekani nikakataaa.. acha nimuambe anifanye mpango niende.” Niliwaza. Haraka nlchukua simu yangu na kumpigia.
Baada ya salamu nilmueleza mpango wangu.
“ Aaah! Yaani baada ya kuzitafuta salama zangu unawaza kuja huku? Hvi unaakili wewe?’ ALiniulza kwa ukal sana.
“ Hiv unazani nafanya utan ninavyokuamba nataka salaam zangu au hela?”
“ Lakin kaka…”
“ Hakuna cha lakini… wewe unazani utani! Ngoja sasa nikuonyeshe mimi sio wa mchezo mchezo.’ ALikata simu. Sikujihangaisha nae. Niliiweka simu pembeni na kujilaza kitandani. Haikuchukua muda nililala.
“ Meryc..mercy..mery..” Nilitamka pasipo kujielewa.
Gafla nilishtuka.
Nilikuwa peke yangu chumbani!
“ uuuh!” Nilihema. Hli jina la mercy, ni jina ambalo mara nying nimekuwa nalitaja. Toka nikiwa mtoto nilkuwa nalitaja sana pasipokumjua mercy mwenyewe .Hata nikiwa nafanya mapenzi, mara kadhaa nimekuwa nalitaja kiasi cha wapenz wangu kuchukia na wengine kuniacha.
“ Hili swala la mercy nalo spaswi kuliacha hvi hiv! inabidi nifanye jambo.” Nilijiambia Nililivuta shuka gub gubi nikalala.
Dakka tatu mbele, mlango wangu uligongwa. Kabla ya kufungua nliangalia saaa. Ilkuwa ni saa nane usiku.
“ Nani wa kuja kuniamsha saizi?” Nlijiuliza. Kinyonge nljweka sawa. Niliwasha taa ukutani na kwenda kuufungua mlango.
“ Samahani! Mim ni mgen hapa.. naomba msaada wa sehemu ya kulala..’ ALiniambia.
Sikumwelewa, kwanza nilijipikicha macho. Nilihis naota. Haikuwa kawaida, nyumba yetu ilikuwa mbali sana na barabara. Haikungia aklin mtu atoke barabaran aje agonge mlango wangu.
“ We ni nani?” Nilmuuliza.
“Tafadhal naomba kwanza nikae..nitakueleza kila kitu.” ALinambia. Kabla hata sijamkaribsha ndani alingia na kukaaa. Nikiwa namtafakari vzur, simu yangu iliita. Niliitazama alikuwa kaka.
“ Mmmh!” Nilijikuta nimeguna.
SITASAHAU YALIYONIPATA WAKATI NAFANYA KAZI YA KUNUNUA SALAMA ZILIZOKWISHA TUMIKA 13
“ Mmmh!” Nilijikuta nimeguna.
Kwa tahadhar nilmtazama yule jamaa kisha nikaisogelea simu yangu. Niliipokea.
‘Nisikilize kwa makin sana! Kwakuwa ni mdogo wangu nakupa nafasi nyingne ya kuishi! Watu ninaofanya nao kazi hawanaga dogo! Ukizingua unakufa! Huyo mtu alyekuwa kwako hajapotea njia.” Alniambia na kukata simu.
Gafla, kwa kas ya umeme yule mtu alinirukia. Nikiwa nashangaa nilijkuta nimelala chini na kisu nimewekewa shingoni.
“ Kwaheriii..” ALiniambia huku akikikandamza kisu chake shngoni kwangu.
“ Triiiiiiiiiiiiiiiiiiii.” Mlio ulisikika kwenye kifaa kilichokuwa shngoni kwake.
“ MUNGU wako mkubwa sana…umepona..” ALiniambia. Alsmama haraka haraka na kutoka mle ndani. Jambo lilifanyika kwa muda mfupi sana. Haraka nilifungua mlango kumuangala nje sikumuona.
“ kaka.. anataka kuniua kwel?’ Nilijiuliza. Pasipokujielewa haja ndogo ilinitoka na kulowesha nguo yangu. Nlitetemeka kama nimepigwa na shoti ya umeme.
………………………………
Asubuh sana ya siku ya pili nliamua kuingia mtaani! Skuona njia nyngine zaidi ya kumtafutia kaka salama zake. Kwakuwa sikuwa na hela nilipanga kupita kwenye mshimo ya lodge na guest house. Niliamin lazima nitazikuta salama tu.
Nilizunguka lodge zote, lakn ajabu sikuzikuta salama.
“ Kaka umeamua kuangalia shimoni badala ya kuja kununua kwangu?” Dada wa mapokez aliniuliza.
“ We si ulikataa kunuzia.”
“ mmmh! mwenzagu siku ngap zile nahsi kama sikuwa mm! kabsa nahsi nilirogwaaa.”
“ Ni kwel ulichezewa..ila sasa nataka hzo salama japo sina hela.”
“ Aaah! Unataka nkupe bure ukauze upate hela nyngi.”
“ Haipo hvyo..”
‘ Hapana aiseee, bila elfu 25 sikup salama.. sikup ng’ooo.” Aliniambia. Niljaribu kumbembeleza lakini ilikuwa bure! Alkuwa kashafanya maamuzi yake. Sikuwa na namna niliondoka.
“ Hakika hawa walifungwa ndio mana kipndi kle walikataa na sasa wanakubali.” Nlwaza. Nlirudi nyumban, watu wa mtaan hakuna hata mmoja aliniuliza wala kuniletea salama, licha ya gundu kutolewa. Nazani Hii ilitokana na taarfa ya uzazi wao kupotea ikiwa watanipa salama.
Nlirudi nyumban na kujifungia ndani.
“ Napata wap salama?” Nlijiulza.
Nikijiulza hayo, simu yangu iliita. ALikuwa kaka. ALiniambia nimebaki na masaa 36 ya kukamilisha kaz aliyonipa. Aliniambia nkishndwa bas yule mtu ataniua. Niliogopa sana aiseee. Muda ule ule nilitoka nje tena. Nlizurula kila sehmu lakini sikupata ktu.
Giza lilipongia, nilienda kwenye uchochoro wa kwa mangi! Walev wengi wa bar ya DX uwa wanafanyia mapenzi pale baada ya kulewa. Nilitega na kutulia kimya kuwasubri waje.
“ Wakiacha salama zao tu, haraka sana naziokota.” Nilijiambia.Nilijibanza kwenye kona kimya kuwasubri, dakka kum na tano mbele, Nilimuona mage na jamaa ambaye skuwa namfahamu wakienda kwenye ule uchochoro.
“ Yes.” Nilijisemea moyoni.
Nilitulia kimya ili wasinione.
Dakika saba mbele walitoka kule kwenye giza na kuweka nguo zao sawa.
“ Tayri.” Nilijiambia. Haraka haraka nilienda pale walipofanyia! Nliwasha toch ya smu na kumulika. Looh! Hapakuwa na kitu.
“ Inamaana wamefanya bila kondomu?” Nilijiuliza.
“ Yule jamaa boya sana..anafanyaje bila kondomu.” Nilijiuliza.
Nlrudi kwenye kona yangu na kusubir wengine. Haukupita muda mwiing walifika. Dakika kadhaa mbele nao waltoka! Lakin kama ilivyokuwa kwa wale wa mwanzo, nilipoenda nao likuwa vle vle. Hakukuwa na salama.
“ Hawa watu mbona wajnga sana! Wanafanyaje mapenzi bila salama?” Nilijiuliza sana.
Nliendelea kusubr, lakin hadi bar inafungwa, wote waliingia kwenye ule mchochoro hawakuacha salama. Hii iliniumiza kichwa sana.
“ Kesho inabdi nlete box la kondom na nimkabz meneja wa hii bar! Tena inabidi nisilete mmi asije kunshtukia.” Nlwaza.
Kinyonge nlrudi nyumbani.
Njiani smu yangu iliingia ujumbe! Ulikuwa umetoka kwa kaka.
“ Yule jaamaa anakuja usiku wa leo kuangalia kama kaz unafanya au unaleta tu masihara..” Ulisomeka ujumbe.
“ Nafanyaje?” Nilijiuliza. Haraka nliwahi lodge jiran . Niliongea na muhudumu akaniuzia salama mpya.
“ Hizi mpya nakupa tu! Hata ukitaka box kumi nakupa lakini zile zenye manii lazima unpe hele..tena unipe cash.’ ALiongea yule muhudumu. Skumjibu, nilpokea salama alzonipa na Haraka nilijweka sawa na kuwahi nyumban. Nilifungua mlango wangu nikawasha taaa. Kwa umakin mkubwa nlienda sehmu ninayopikiaga chakula na kutafuta mende.
Katka pekua pekua nilipata mende wawili.
“ haraka nilivua suruali yangu na kumuweka mende mmoja.” Nlivaa kwenye maungo yangu. Kama ilivyo siku zote, mende kila alpotaka kutoka alintekenya hali iliyonifanya nijisikie raha sana. Raha ile ilifanya nifike mshindo.
Haraka niliivua ile salama na kuvaa nyingne ikiwa na mende ndani, tofaut na mwanzo safar hii mende licha ya kunitekanya naniliua yangu haikusimama wala kushtuka. Muheshimwa ni kama alikuwa kalala usingizi wa fofofo.
Nlivuta hisia na kujarbu kumtiksa lakin hakuznduka.
Nikiwa nawaza nfanye nn, mlango wa chumba changu uligongwa. Sauti ya alyegonga ilipoingia tu sikioni nilimkumbuka.Puuuh. Moyo ulidunda.
Nani huyo? Tukutane kesho kwenye muendelezo.
SITASAHAU YALIYONIPATA WAKATI NAFANYA KAZI YA KUNUNUA SALAMA ZILZOKWSHA TUMIKA 14
Nikiwa nawaza nfanye nn, mlango wa chumba changu uligongwa. Sauti ya alyegonga ilipoingia tu sikioni nilimkumbuka.Puuuh. Moyo ulidunda.
“ Nafanyaje?” Nilijiuliza.
Ubongo ulichakata hali ya hatari iliyokuwa mbele, kwa kas ya ajabu ulifanya kaz na kunpa majibu! Pale pale paspokushangaa wala kujiuliza mara mbil nilifungua salama zote zlzokuwa kwenye paketi.
Haraka sana nkawa nazimiminia manii kutoka kwenye ile salama niliyojichua nayo kwakutumia mende.
“ Uuh.’ Nilihema baada ya kumalza kisha nikaenda kumfungulia mlango. Aliingia paspokuongea lolote. ALikagua kagua ndani akaziona zile salama.
“ Saf..japo ni chache ila safi.” ALiniambia! Pasipokuongeza neno aliondoka.
Nilizitazama zile salama nkwa nimesmama kwa dakka zaid ya saba kisha nikaenda kukaa kitandani.
“ Nitaweza tu.” Nilijiambia na kulala kitandani.
………………….
Asubuhi ya sku ya pili kama nilivyopanga! Nilimseti dereva yebo wa mbali napale akapeleke box la salama kwenye ile bar. Nlmwambia wakimuulza imetoka wapi aseme angaza wamemtuma azisambaze. Yule boda alkubali. ALichukua box na kulipeleka kwenye ile bar.
Baada ya boda kupeleka mimi niliingia mtaan! Nilizurula hovyo pasipo mpangilio. Nilienda huku na huku, nilikagua mashimo ya taka taka na uchochoron! Nilipona kasha la kondom nilipapekua kupita maelezo.
“ Kaka unatafuta nini?” Saut tamu sana ya kke iliingia sikion mwangu! Haraka niliinua macho kumtazam aliyeyasema yale.
Niliduwaaa.
Alikuwa msichana mmoja mrembo sana.
Alikuwa mweupe sana, kwa kumuangalia tu wala usingejiuliza swali kama alikuwa mrangi au la. Alikuwa msichana mzuri haswa, shepu nzuri balaaa. Mwili wake ulikuwa mwembamba huku kwa mbali hipsi zake zikiwa zinaonekana.
“ Nakuuliza wewe kaka! Unatafuta nini kwenye shimo langu la taka taka?”
“ aaaa..aaaaa..aaaa’ Nilishkwa na kigugumizi.
“ Lily nawe! Hvi unategemea chizi huyu atakuambia nini la maana. Hebu achana nae..” Aliongea shoga yake.
“ Haonekani kama chizi.” ALijibu Lily! Waliniacha nimeduwaa wakaenda ndani kwao. Niliwasindikiza kwa macho hadi wakaingia ndani! Njia nzima yule mwngne mwenye sura mbaya kama mimi alikuwa akingangania eti mimi ni chizi.
Maneno yake yalinfanya nikumbuke kaul ya rafik yangu mmoja aitwae paul! Kpindi tupo shule aliniambiaga mara zote mademu wazuri uwa wanaongozana na mademu wenye sura mbovu sana, na mara nying wale wenye sura mbovu na muonekano wa ajabu ndio wanajifanya wajuaji sana.
“ Paul alkuwa sahihi.” Nilijiambia.
Kuondoa nuksi niliamua kuondoka kwenye lile shimo la taka.
Lakini nikiwa hatua kadhaa kutoka pale, yule dada mrembo aliniita. Kinyonge na kwa wasiwasi sana nilienda.
“ Kuna chakula hapa..njoo ule kisha uendelee na kazi yako..’ ALinambia.
“ Ahsante dada! Npo sawa.” Nilimjibu.
“ Acha aibu bana! Chakula kiko kingi tu ndani.”Alniambia huku akifungua mlango na kunitaka niinge ndani! Sikuwa na jins nliingia, lakini ile naingia tu, yule dada mwenye sura mbaya aliniwahi kwa maneno ya shombo sana. Alnitaka nisikanyage kapeti wala sofa.
Alnitaka nikae eneo lle lile la mlangoni.
“ Acha tabia mbaya Ana..hebu mwache akae..kaa pale wewe..” ALnambia lily akiwa analionesha sofa.
“ Mwenzako yupo sahhi! Nitachafua sofaaa.’ Nilmwambia.
Yule binti mwngine ambae nilikuja kumjua anitwa Ana alniletea chakula! Nilikula haraka haraka nikamaliza. Nliwashukuru sana kwa wema wao! lily alniamba nisijali.
“ Chukua hivyo vyombo kaviweke kule kwenye sink! Tena kavioshe kabisaa… hakuna mtu wa kukusafishia hapa..” Alongea Ana kwa nyodo zote.
“ Usifanye hivyo bana.” ALongea Lily
“ Usijali..” Nilimjibu na kuelekea eneo aliloniambia. Nikiwa kwenye varanda, kabla sijakata kona kuingia jikon ambako ndiko nilitakiwa kwenda kuviosha, macho yangu yalitua kwenye chumba cha pili! Kwenye kona ya kile chumba niliziona salama tatu zikiwa zimeshatumika.
Haraka niligeuka nyuma kuangalia kama kuna mtu! hakuwepo, haraka haraka nilwah pale konani na kuzichukua zile salama, lakni ile nataka tu kuziweka mfukoni, lily alitokea.
SITASAHAU YALIYONIPATA WAKAT NAFANYA KAZI YA KUNUNUA SALAMA ZILZOKWSHA TUMIKA 15
Haraka niligeuka nyuma kuangalia kama kuna mtu! hakuwepo, haraka haraka nilwah pale konani na kuzichukua zile salama, lakni ile nataka tu kuziweka mfukoni, lily alitokea.
“ Kulikoni? Unachukua nn huko?” Aliniuliza.
“ Amechukua kitu?” ALidakia Ana kutokea barazani! Haraka alimpita lily na kunifata niliposmama. Alinikuda roba na kunitaka niseme nilichochukua! Aliingiza mkono wake mfukoni mwangu na kuzitoa zile salama.
“ Aaaah! wewe ni mshirikina?” Aliongea kwa sauti kubwaaa.
“ Unatembeaje na salamaaaa zlizotumika?” Aliniulza.
Sikuwa na lakufanya zaidi ya kuwatazama tu! Akili yangu iliwaza yasiyowezekana! Haikuniingia akilin zile salama kukaa pale! Kla nlipofikiria niliona ni kama mtego hivi. Haikuwa sawa hata kodogo.
“ Hawa watu wanaanzaje kunikarbisha ndani kwao wakati hawanijui?” Nilijiuliza. Sikuwa na majibu! Muda wote niliwaza nilivyoingia inga mle ndani .Nilikosa kabisa majibu! Nilihisi kuna jambo lisilo la kawaida.
Ana baada ya kuzitoa salama mfukon alinikuda roba kwa nguvu sana.
“ Hizi salama wewe za nini? Kwanin unatembea na salama zilzotumika?” Aliniulza.
Nlimtazama kwa tahadhari sana huku nikiisoma akil yake! Nilimuangalia machon kwa sekunde kadhaa akakwepesha macho yake! Nilimgeuka lily na kumkazia macho! Naye hakuwa na ujasiri wa kuniangalia machoni! Haraka sana alikwepesha macho.
KuKwepesha kwepesha macho kulinifanya niwaze ktu.
Baada ya kukifkir iko kitu nilcheka. Tena nilicheka kwa nguvu sana. Ana na Lily waliangaliana. Niliviweka vyombo chni kisha kwakujiamini sana nilimsogelea Ana.
“ We ni nani? ’ Nlimuuliza nikiwa nimemkazia macho. Kwa hofu alirudi nyuma. Alnitsha kupiga kelele na kujaza watu! Wala sikuogopa. Nilimpa ruhusa. Nilimwambia apige kelele kama anavyotaka .
Hakupiga.
Nilimpita na kumfata Lily. Naye nilimkazia macho na kumuulza yeye ni nani! Kama ilivyokuwa kwa ana nae aliktaa kabsa kuniambia chochote kile. Nilijikuta nacheka tena. Nilicheka kama kichaa hiv nikawa nawatazama.
“ Paaa.paaaaa…paaaaaa.’ Nilipiga makofi.
“ Hongereni sana…hongereni sana..” Niliwaambia.
“ Hongera ya nini?”
“ Mpango wenu umefanyika kama vle mlivyotaka! Kwanza mlnivamia kwa maswal pale jalalani, ksha mkaniita ndani kwenu na kunipa chakula. Kisha baadae mkaweka mtego wa salama na kuniambia nipeleke vyombo jikoni. Lengo lenu nizione hzi salama ksha nizichukue." Niliwaambia.
Macho yaliwatoka kwa mshangao. Muonekano wao ulonesha nilichosema ni sahihi.
“ Mnataka nini kwangu? Na kwanni mmenfanyia hivi..eeeeh?” Niliwauliza.
“ Kusema ukwel tu…” Ana altaka kuongea lakini alikatishwa na Lily. ALmtaka akae kmya, Kisha taratbu sana lily alinisogelea na kunishika mkono. Alpiga hatua na kutaka twende barazani.
Nlkataa.
Sikuwa tayar kwenda barazan.
Niliutoa mkono wake na kutaka kuinga kile chumba ambacho niliona salama mlangon. Nikiwa nalivuta pazia, haraka sana Lly alitoa bastola na kunioneshea.
“ Nilionekana mwema lakini sio mwema kama ulivyofkiria. Uwa naongea mara moja tu! Na nikisema unatakwa kufanya kile ninachokuambia.” Alniambia.
“ Achia hilo pazia na haraka sana geuka kunifata.” Aliniamba. Taratibu nlliachia pazia na kumfata . Kabla sijamfikia nilikata shauri! Oblangata yangu iliniambia niingie kle chumba. Shauku ya kujua klichokuwa ndani ilkuwa kubwa kupita maelezo.
Pasipokujal bastola yake niligeuza na kueleka kwenye kile chumba! Kabla sijaingia Ana alniwahi na kukaa mbele yangu.
“ Acha niingie.” Nilimwambia.
“ Humu huingii aiseee.” ALiniambia.
“ Kwakuwa mmekataa kuniambia nyie ni wakina nan nitaingia! Tena nitaingia na hamtanifanya chochote kle.” Niliwaambia. Nilimshka Ana kwa nguvu na kumtoa mbele yangu! Nilisukuma mlango, haraka sana Lily aliniwahi.
“ Huwezi kuinga.” ALiniambia. ALnvuta mkono nikaanguka chini! Nikiwa chn alinyanyua mguu juu na kunipiga nao tumboni! Niligumia kwa maumivu makali.
“ Nlikuambia! Mmi sipo vle unavyofikiria” ALiniambia. ALinshika mkono na kunivuta kwa juu! Nilsmama, nilijaribu kumpga teka lakni alilipangua kiurahisi sana. Hakuwa mwanamke wa kawaida. Alikuwa anazijua sanaa zote za mapigano.
“ Hatuna haja ya kuendelea na haya yote! Naomba kuwa mpole. Kwa pamoja naomba twende barazani tukaongeee.”Alniambia. Alinnyanyua msobe msobe na kunipeleka barazani. Sikuwa na namna, ilibidi niwe mpole.
“ Kwanini unatafuta salama! Na unazipeleka wapi?”Aliniuliza swali.
“ Nyie ni wakina nani?” Nami nilmuulza swali.
“ Naona tunaongea kwa maswali! Ila haina shida, nitakuambia mimi ni nani kwakukuingia kwenye kile chumba.” ALiniambia. ALinitaka nisimame. Nilismama tukaelekea kwenye kile chumba. Lily alisukuma mlango nikaingia.
Loooh.
“ Sasa sikia! Ujue kwa umri wangu huu nimeona vtu vngi sana, na ninajua mengi! Hv unajua kwanni anakataa kukuuzia salama?”
“ Sijui..”
“ Ni kwel huwezi kujua.” Alinijibu.
“ Twende huku.” ALiniamba. ALnishika mkono akanizungusha nyuma ya ile lodge. Tukiwa tumefika nyuma, mlinzi aligeukia na kujitambulisha. Aliniambia anaitwa Sudy, japo weng wanamuita mzee sudy.
“ Mzee wangu umenitembeza toka kule hadi huku ili uje uniambie jina lako?” Nlimuuliza nikiwa nimeshachukia. Kifupi alinkera sana.
“ Tulia kjana wangu..” ALiniamba.
“ Nitulie nini? ujue had sasa sikuelewi. Unaongea mengi lakni sjui shda yako nini. Niambe unataka nini?” Nlmuulza kwa ukali.
Mzee sudy hakunjibu kitu, badala yake kwa ishara alinonyesha shmo la takataka la ile lodge.
Kwa mshangao nlijizba mdomo.
Kwenye shimo kulikuwa na salama nying zilizotumika.
“ Nimekuita hapa ili nikupe nafasi ya kujiulza swali. Naomba jiulize inakuwaje mtu akatae hela unayompa na aje kutupa salama shimoni.” Alinambia.
Hakika haikuniingia akilini.
‘ kuna jambo, Haiwezekani mtu akatae kupokea elfu 25 kwa salama moja halafu aje kuzitupa shimoni. Sio bure, kuna jambo hapa.”
“Uspanic,kwanza naomba zunguka lodge zote ambazo mara ya kwanza walikuuzia salama lakin ulvyoenda tena walkukatalia. Kla lodge nenda shmoni kaangalie. Ikwa nako utakuta salama wamezitupa baada ya kukuuzia naomba ntafute. Namba yangu hii hapa.’ Aliniambia huku akinikabidhi simu yake. Haraka haraka nilikop namba na kuondoka eneo lile.
……………………
Kama alavyoniambia. Nlizunguka lodge moja badala ya nyingne, Kote nilikopita nilkuta salama zimetupwa shimon.
“ Yaani wanakataa kupokea elfu 25 kwa salama moja ? wanaona bora kutupa salama kulko kuniuzia?” Nilijiulza maswal yasyokuwa na majibu.
Nikiwa kama nimeweuka nilrudi nyumbani.
Mitaa kadhaa kutoka nyumbani, Nilimshuhudia juma, mmoja wa vjana niliwowafundsha kufanya mapenz kwakutuma mende. Nlimuona akiwa kashika tissue na kuitupa porini. Nikiwa namkaribia, sele jiran yangu altokea.
“ Mwanangu nmekuona umetupa salama.” Sele almwamba Juma.
“ Ndugu yangu sku hiz mm staki tena demu! Kuna kamchezo katamu sana nmefundishwaaa, yaaani nguvu niliyokuwa naiweka kwenye kutafuta mademu sazi naweka kwenye kutafuta mende.” ALiongea Juma.
Wakt akongea hayo, tayar nlikuwa nimesogelea.
“ Sasa juma tabia gan hii ya kutupa salama? Hujui kama hizo salama mimi nazihtaji! Tena sio bure nakupa hela.” Nilimwambia.
Juma aligeuka kunitazama, bila ya kuongea lolote aliingia ndan kwake.
“ Nmerogwa …nmerogwaaa so bure….nmerogwaaa.” Nilijamba baada ya kuachana na Juma. Nilifika had nyumbani kwangu. Niliingia ndani na kujilaza ktandani. Niliwaza na kuwazua nikaamua nimpigie simu yule mlinzi.
“ Nina baba yangu asiyeshndwa kamweeee….yesu ni baba yangu asiyeshindwa kamweeee….” Uliskika wimbo kwenye smu ya mlinzi.
“ Mmmh! Huyu mzee na yesu wapi na wapi?” Nilwaza baada ya kuusikia ule wmbo.
Simu liita had kakatka paspokupokelewa.
Nlipiga tena.
Kama mwanzo, simu iliita had kakatka pasipo kupokelewa.
Nkwa nimekata tamaa, sijui nifanye nini. Ujumbe ulinga kwenye simu yangu Haraka niliufungua. Ulkuwa ni ujumbe kutoka kwa mzee sudy.
“ Usinipigei simu nipo na boss. Naomba leo saaa nane usku njoo nyumban kwangu.” ALiniamba kisha pale pale akanituma message nyingne ya kunielekeza nyumban kwake.
…………………………..
Majira ya saa saba usiku nliamka. Nilinawa uso kisha nikatoka nje, moja kwa moja nilekeea nyumbani kwa mzee sudy.
STASAHAU NLIVYOFANYA KAZ YA KUNUNUA SALAMA ZILZOTUMIKA 09
Majira ya saa saba usiku nliamka. Nilinawa uso ksha nkatoka nje, moja kwa moja niliekeea nyumbani kwa mzee sudy.
Kimwli nilikuwa barabarani lakin kiakili sikuwa pale! Akil yangu bado ilikuwa na maswali mengi sana. Nilijiuza na kujiuliza paspokupata majibu.
“ Kaka anataka salama zilizotumika za nin?” Nlijiulza.
“ Na hawa watu kwanini hawatak kuniuzia salama? Yaani ni bora wakaztupa kulko kunpa mimi?” Nlijiulza tena tena.
Puuuh! Uso kwa uso niligongana na mtu.
“Uwe unaangala mbele wewe kaka.” ALiniambia yule mtu!
“ Samahani. Nlmwamba paspokumuangala usoni. Kabla sjaondoka, nilijpapasa mfukoni kuhakksha simu ipo. Ilikuwepo. Pia niliangalia chini kuona kama kuna kitu chochote nmeangusha, lakni ile natazama tu chini.
Loooh.
Huwezi amini! Yule mtu alikuwa na kwatu za ng’ombeee.
“ Mamaaaaaaaaaaaa.” Nilpiga kelele na kumuagala usoni.
Loooh! Nlishangaaa zaidi. ALikuwa ni Ashura, mke wa alex.
Sikukaaa.
Kwa kasi sana nilikimbia.
…………………………….
Baada ya kukimbia umbali mrefu nlismama. Niliangalia kushoto na kulia, mazingra bado yalntsha. Hvyo nilianza kutembea tena haraka haraka. Moyo wangu ulidunda kwa kas kubwa sana.Kimoyo moyo nilijuta kutoka nyumban usku. Pia niliomba nikutane na watu ili niwasimulie klchotokea.
Baada ya mwendo wa dakaka kama ishirin, nlikaribia kwa mzee sudy, nkiwa nyumba ya tatu kutoka kwa mzee sudy, nilwaona watu wa familia moja wakwa nje ya nyumba yao wakila chakula.
“ Wanakula daku.” Nilijiambia kwakuwa ulikuwa n mwez wa ramadhani.
“ Karbuuuu..” Mmoj wa wale watu alinambia.
Niltaka kukataaa, lakin nilpoangalia mbele, mazingra yalinitisha, karibu na kwa mzee sudy kulkuwa na mit mng sana, Hvyo kuondoa hofu niliamua kwenda kwa ile famli kwanza kutuliza nafs yangu na kujipa matumaini.
Nilisogea had pale na kukaa kwenye mkeka.
“ inaonekana umekimbia sana.” Baba wa ile familia aliniambia.
“ Nmekutana na mtu wa ajabu sana.”
“ Mtu wa ajabu?”
“ Ndio. Toka nizalwe sijawah kumuona mtu kama yule..’Nlmwambia.
“ zuwena, ngia ndan mchukule mgeni wetu chakula..” ALiongea yule mzee. Pale pale bnt yake alsmama na kwenda ndani. Alirud akiwa na sahani imejaaaa wal na nyama. ALiniwekea mbele yangu na kunitaka nile.
“ Karibu chakulaaaa..halafu umesema umekutana na mtu wa ajabu..uajabu wake n nini?’
“ Kwatooo..kwatoooo.” Nliongea huku zuwena akwa ananiwasha maj.
“ Kwato?”
“ Ndio, yule mtu anakwato za ngo’ombe..” Nilmwamba.
“ Kwat za ngo’ombe? Kama hizi?” ALiniuliza huku akinonesha miguu yake.
Loooh.
Naye alkuwa na kwato za ng’ombe.
Sikushangaa.
Kama mshale nilichomoka. Nilkimbia kwa kasi ambayo sijawah kukmba, moja kwa moja nlpitlza hadi nyumban kwa mzee sudy, bla ya hodi niliusukuma mlango na kuingia ndani.
“ Uuuuh…uuuuh..uuuh..” Nilihema.
“ Kweeh.” Mlango wa chumba cha piliulisukumwa aktoka mzee sudy.
“ Ndugu yangu hata kupga hodi hakuna? Hvi ungenikuta na shemeji yako tupo uchi ingekuwaje?” ALniulza.
“ Majini…”
“ Mmmh! mtaa huu hauna majin! Kama wangekuwepo lazima ningejua tu.”
“ Yapo…nmekutana nayo mara mbili.” Nlmwambia. Kwa umakin sana Akili yangu ilikumbuka lile tukio. Gafla niliachama mdomo kwa mshangao wa yule bnti aliyeniletea chakula, alikuwa ashura! Hakuwa zuwena kama yule mbaba alivyomuita.
“ Ilikuwaje sikumjua pale? Kwanini niliona kawaida tu hadi nilipoona kwato?” Nilijiuliza. Nkwa kwenye lindi la mawazo, mzee sudy alnitiksa bega.
“ Naomba tuongee swala la msng llilokufanya ukaja hapa” ALniamba mzee Sudy. Alinipa ashara nikakaa kwenye kiti naye akakaa kwenye kiti chake.
“ Kijana..” ALiniita.
“ Sifahamu unanunua salama kwa ajili ya nin?” ALiniambia.
Alinangalia kwa umakini kisha akaendelea.
“ Nimejikuta nakuonea huruma, unahangaika na hupati kle unachokitaka. Na hii inatokana na wewe kufanya biashara kitoto sana. Ulmwengu wa leo unamambo meng sana.Chukulia mfano wale watu wa lodge na watu wa mtaan kwako. Sio kwamba hawatak kukuuzia salama, la hasha. Wanataka sana, ila shda ni kuwa wamefungwaaa. Akli zao zimechezewa hivyo kamwe hawawez kukuuzia.”
“Aliowachezea n nani? Na kwanni afanye hivyo?”
“ Hlo swezi kukuambia! Kazi yangu siio kuwataja wanaofanya ubaya, bal kuwasaidia.”
“ Ntafurah sana kama utansaidia.” Nilimwambia. Mzee sudy alisogea pembeni kdogo akachukua kibuyu na kukimimina mkononi kwake. Ukatoka unga. Alinpa kwenye kganja changu na kunitaka niulambe.
Niliulamba.
“ Saf sana. Sasa watu wa lodge na watu wengne wote watakuuzia salama bila shda.”
“ Lakini kwanni had umenileta huku? Huu unga si ungenipa tu kule kule lodge.”
“ Sheria ya unga hautok humu ndani! Wote nawapa hapa hapa, ukitoka tu nje haufanyi kazi. Aliniambia. Nltikisa kchwa kukubaliana nae.
Nilmuuliza kuhusu malipo! Mzee sdy alkataa kata kata.
Kutokana na gza nje, nliamua kubak pale had asubuh, majra ya sa kum na moja nilimuaga na kuondoka pale, lakn ile nmtoka tu mle ndani, kchwa kilianza kuniuma isvyo kawada. Ni kama kuna mtu alikuwa akinigonga na nyundo .
Nilijkaza hivy hvyo had nyumbani.
Nlijtupa ktandan kwa kuzan uenda kitatula lakini hakikutulia.
“ Hk kichwa sio cha kawada, bla shaka dawa ya mzee sudy.” Nlijiambia. Nlchukua smu nmpge kumueleza lakni namba yake haikupatikana.
“ Mmmmh” Nljikuta nmeguna kwa uchungu mkubwa sana.
“ Hapana..hapana…inabidi nimpate mzee sudy anpe dawa nyingne ya kuzimua hii aliyonipa .” Nilijiambia. Nilmpigia jamaa yangu wa yebo akaja kunichukua. Moja kwa moja alinipeleka lodge alikokuwa analinda mzee sudy.
Ajabu, getni nlikutana na mlinzi mwengne tofaut kabisa na mzee sudy .
“ Mzee sudy yuko wap?” Nlmuulza.
“ Mzee sudy ndio nani?” Naye alniulza swali.
“ Yule babu alyekuwa analinda hapa..”
“ hakuna babu anayelinda hapa. Hili ni lindo langu, huu mwaka wote niko mm hapa.” Alniambia.
Mambo ndo kwanza yanaanza.
Itakuwaje? Tukutane kesho kwenye mwendelezo wa kila siku.
SITASAHAU YANYONPATA WAKAT NAFANYA KAZ YA KUNUNUA SALAMA ZLIZOKWWISHA TUMIKA 10
Tulipoishia
“ hakuna babu anayelinda hapa. Hili ni lindo langu, huu mwaka wote niko mm hapa.” Alniambia.
Endelea nayo.
Hakika nilishangaaa. Yalikuwa ni maajabu, macho yalinitoka isivyo kawaida na kichwa kilizid kuniuma. Maumivu yalkuwa makal isivyo kawaida. Nilinyongonyea nikawa nimekishika kichwa na pale pale nilianguka chini mzima mzima.
……………………..
Nilizinduka nikajikuta nipo hospital, mbaya zaidi sikuwa kwenye wodi ya kawaida, nilikuwa kwenye wodi ya vichaa.
“ Kwanini nipo hapa?” Nliwaulza wenzangu.
“ Hakuna alyenijibu. Kila mmoja alikuwa bize na yake. Haraka haraka nlshuka ktandani. Niliangaza kushoto na kulia nikamuona mama na baba wakiwa wanakuja nilpokuwa mimi.
“ Mwanangu pole sana.” Aliniambia mama.
“ imekuwaje nipo hapa?” Niliwauliza.
“ Inamaana haukumbuki yaliyotokea?” Aliniuliza baba.
“ Nakumbuka mara ya mwisho nilikuwa naongea na mlnz wa lodge! Baada ya hapo sjui nni kilitokea.” Niliwaambia. Baba na mama waliangaliana kisha baba akanishika mkono.
Aliniambia siku naongea na mlinzi wa lodge, wiki moja nyuma nilianguka na kupoteza fahamu, aliniambia baada ya kuzinduka nilianza kufanya vitu vya ajabu! Anasema eti nilianza kufukuza watu hovyo na pia nilikuwa naokota makopo.
“ Aaaah”
“ Hivyo ndvyo ilivyokuwa mwanangu.Baadhi ya watu wanaokujua walitupigia simu ndio tukaja. Tulikukamata kwa nguvu na kukuleta hapa hosptali. Hii ni hospital ya vchaaa.”
“ Inamaana nimekuwa kichaaa?”
“ Kwa matendo yako inaonesha hvyo! Moja ulkuwa unafanya vitu visivyoeleweka! Hebu fikiria nyumba unayao lakin ulikuwa unalala mtaani.” Aliongea baba. Maneno yake yalinivunja nguvu kabisa.
“ Laakin naanzaje kuwa kchaaa?”
“ Ukiuliza hivyo unakosea! Kla mwanadamu anaweza kuwa kichaaa, lakn pamoja na hilo bnafsi niliamua kufatilia. Licha ya kukuleta hapa hosptali, pia nilienda kwa mganga kumuuliza kuhusu hili. Alipoangalia alsema unavita na majini. Kuna mambo ulkuwa unayafanya ambayo yalikuwa yanawakera na kuharibu mipango yao, hvyo waliamua kukunyeshwa dawa ndio mana ukawa hiv.”
“ inamaana mzee sudy alkuwa ni jinni?” Niljuliza.
“ Hapana..hapana..” Nilijiambia, haraka nlimuomba baba aende kwa mzee sudy. Nilmpa ramani kama alvyonpa mzee sudy. Baba muda ule ule aliondoka na kuniacha na mama.
“ sasa nipo sawa. Nazani naweza kuruhuswa kurudi nyumbani.” Nlimweleza mama.
“ Subir tupate majibu kutoka kwa waataalamu.” ALiniambia.
…………
Masaa mawli mbele, baba alirudi na majibu yaliyonichanganya .
“ Ulposema niende hakuna nyumba zaidi ya shule. Pia mtaa wote ule hakuna mtu anayeitwa mzee sudy.” Aliniambia.
“ Hapana..hapana..” Nlmwambia nikiwa nataka kushuka kitandani.
“ Unataka kwenda wapi?”
“ Kwa mzee sudy, bila shaka umekosea. Umeenda sehemu ambayo sio.’ Nilmwambia, lakini kabla hajanijbu nilikumbuka kaul ya mlinz wa kwenye ile lodge kuwa mlnz wa pale ni yeye wala sio mzee sudy.
“ Ulkuwa mchezo.” Nilijkuta nmetamka.
“ Ni kweli ulkuwa mchezo! Na kama sisi tungekuleta hospital haraka haraka pasipo kwenda kwa mganga bila shaka had sasa ungekuwa kchaaa.” ALiniambia baba. Licha ya maelezo hayo walinisihi niendelee kukaa hospitali.
Nilikubali.
Siku ya tatu niliamua kuomba ruhusa, licha ya hali yangu kutokuwa nzuri nilimtaka daktar aniruhusu nirudi nyumban! Nilimuahidi kurudi siku ya pili kwa uangalizi zaidi.
Alkubali.
Nlitoka hosptali na kuelekea nyumban! Majirani na baadh ya watu wengine walinishangaa. Wengi wao walinikwepa. Nadhani waliamni mimi ni kchaaa. Sikuwajali. Nilienda hadi nyumbani kwangu. Niliingia ndani na kuangalia mazingira ya chumba changu.
Yalikuwa yapo vile vile.
Nilitoka nje na kuelekea nyumban kwakina ashura.
“ Kwanni nikutane njiani na Ashura akiwa na kwato? Na kwanin alkuja kunilaumu kwa yeye kukosa mtoto.” Nlijiulza nikiwa naelekea nyumban kwake. Mitaa kadhaaa kufika, kauwoga fulan kaliniingia! Nilkumbuka ilivyokuwa ile siku usiku.
‘ Akiwa mchawi si anaweza kuniua huyu mshenzi?” Nilijiulza.
“ Potelea mbali! Liwalo na liwe. Haiwezekani anifanyie ujinga ! Leo atanieleza kwanin alisema mmi ni chanzo cha yeye kukosa ujauzito! Pia atanieleza sababu ya kunitokea usiku akiwa na makwato yake.” Niljiambia.
Nilijitutumua bila woga nikaenda kugonga mlango wao.
‘ Karibuuu.” Nilisikia sauti ya alex ndani.
‘ Ahsante” Niljibu.
Alex alkuja kufungua mlango.
“ Rich..” ALinshangaaa.
“ Usinishangae..namtaka mkeo sasa hivi.” Nilimwambia.
“ Aaaah! na ukichaa wako unataka kumfanya nin mke wangu?”
“ Mim sio kichaa aiseee.. mlete mkeo nje hapa..” Nilimwambia. Mabishano yetu yaliwafanya watu waliokuwa ndan waje. Tukiwa tunabishana nilimsiia ashura akimwambia babu yake abaki ndani yeye anatoka kuangalia kuna nini.
“ Siwez kukuacha uende huko nje peke yako.” Babu yake alijbu, nae almfata mwanae kwa nje. Wote walitoka nje.
“ Aaaah!” Nliduwaa baada ya kuwaona. Babu yake ashura alikuwa mzee sudy.
SITASAHAU YALYONIPATA WAKATI NAFANYA KAZI YA KUNUNUA SALAMA ZILZOKWSHA TUMIKA 11
“ Aaaah!” Nliduwaa baada ya kuwaona. Babu yake ashura alkuwa mzee sudy.
Kwa kasi ya umeme nlimvamia mze sudy tukaanguka wote chini! Puuu. Haraka nilsmama na kumkalia kwa juu.
“ Puuuu..puuuuu..puuuu.” Nilmpiga mfululizo pasipokumpa nafasi ya kujitetea. Aljaribu kunisukuma nitoke juu ya mwil wake lakini alishndwa. Alex nae alkuja kujarbu kunitoa lakin alishindwaaa.
Nilmpiga sana.
“Wewe ndio chanzo cha mm kuwa kichaaaa..” Nilimwambia huku nikiwa nampiga.
Kwakushirkiana na majirani pamoja na mke wake, alex alifankwa kunitoa juu ya mwili wa mzee sudy. Nae kwa hasira alnipga usoni! Bahat mbaya alnipiga nikiwa nimeshikwa. Nilipojitahidi nitoke nilipe kisasi ilishindikana. Majirani walkuwa wamenishika vzuri sana.
“ Puuu..puuuu.” ALnpiga.
“ Alex hebu acha..usijichukule sheria mkononi.” ALiongea mwenyekt wa mtaaa. Alex aliniacha. Mwenyekiti alitutaka wote tuingie ndan tuongee .
Tuliingia.
“ Naomba kla mmoja aeleze upande wake! Nataka tuyamalze haya hapa! Sitak maswala ya polisi wala maswala ya ofisini! Nyie wote ni wananchi wangu hivyo nnawajibu wa kuwalinda kwa kla kitu.” Aliongea mwenyekiti ksha akanipa naafsi ya kujieleza.
Nilieleza yote! Mwanzo mwisho.
“ Hapana..mmi sijawah kuja kwako na kukuambia wewe ndo chanzo cha mmi kutopata ujauzto..sijawahi kufanya hivyo mimi.’ ALjitetea ashura.
“ Kwahiyo mm kchaa? Yaan nitunge tu?” Nilimuuliza.
“ Kwani wewe nani had usitunge? Inashindkana nni wewe kutunga?” ALniulza. Sikumjibu. Nilimtazama tu kwa hasira .
“ Ashura! Naomba tuwe wawazi kwa kila jambo hapa… Huyu ni mtu mzima. Hawezi kutoka huko na kuja hapa kuyaongea haya , hilo haliwezekani, lazma kuna kitu! Na swala la kumwambia yeye ndio chanzo cha wewe kutopata mtoto lnawezekana. Naomba ongea ukweli..”
“ Mm sijawahi kwenda kwa huyu mtu? sijawah kabisaa. Hebu mwenyekiti fikiria tu, hata swala la kusema sijui miguu yangu inakwato! Hiv hapa unaona kwato kwenye miguu yangu?” ALiuliza ashura.
“ Sioni kwato! iLa kwakuwa umekataa sio mbaya! Acha tumuulze na babu hapa? Kwa maelezo ya rich ni kuwa kwa mara ya kwanza mlikutana lodge, kisha baadae saa nane usiku alifika nyumban kwako ukampa dawa ambayo ilimfanya akawa kchaa?’
“ Sio kweli kabisa..,huko lodge mmi nikafanye nini?” ALiuliza mzee sudy.
Kataaa yao niliona inanichosha! Nilikata shauri nikasimama.
“ Sikia mwenyekiti! Hawa watu wanajfanya wajanja! Tutapambana nao kwa njia nyingine, acha waendelee kujifanya wajanja..” Niliwaamba. Nilijiweka sawa na kuelekea mlangoni, lakn kabla sijakifika kitasa cha mlango, alex alinishka began na kunitaka nirud nikae.
“ Nikae nfanye nini?” Nlimuuliza.
“ Kaaa tu.” ALniambia.
Nlkubal na kukaaa.
‘ Ndugu mwenyekit aliyoyaongea Rich hapa ni kwel! Ni kwel mke wangu alimfata na kumwambia kuhusu mtoto! Nasema hivyo kwakuwa siku ambayo Rich anasema mke wangu alienda kwake ni siku ambayo mke wangu alienda kwa babu yake huyu mzee sudy, na aliniambia kaambiwa kuna mtu anazuia hilo.”
“ Mume wangu…”
“ Kaa kmya tafadhali! “ ALongea kwa ukal alex.
Aliendelea.
‘ Hapo nje nlikuwa nagombana na rich bas tu! iLa ukwel wote naujua, Japo mke wangu alnficha na babu pia alnifcha.” Alongea alex.
Mzee sudy alivuta hewa kwa ndani kwa nguvu sana! Ksha akaitoa nje na kumtaka radhi mwenyekiti.
“ Naomba nsamehe sana! Nilkataa na mjukuu wangu alkataa kwakuwa hatukutaka mumewe ajue kitu! ila kwakuwa kashajua haina haja ya kuficha tena. Yote yanayosemwa hapa ni kweli, ila ashaura sio jinni, ule usiku nlmchezea tu akili huyu kijana ili kumtesa. Maana alichokfanya kwa mjukuu wangu sikukipenda kabisaa.”
“ Nimefanya nn mzee?’
“ Ulimfunga uzaz alex na mkewe, zle salama ulzokuwa unakusanya unazan kaz yake nn? Kwasababu ya wewe kuwa na maniii ya alex kwenye zle salama , basi ashura kamwe asingepata mimba! Hivyo ili kumtibu kwanza ilibid kukudhibiti. Na ndio mana niliamua kukufanya uwe kichaaa na pia ndo mana niliamua kuchukua salama zote zilzokuwa kwako na pia kukupa gundu ya watu kutokukuuzia salama .” Aliniambia.
Looh! Niljikuta nmelowa. SIkuwa najua kama kaz ile inawafanya watu wasiweze kuzaa tena.
“ Lakini haya ni mambo ya kishirikina, na kaka yangu hana kabisa ushirikna! Kaka yangu n msom mkubwa? Kaka yangu ni mtu wa sayansi. Uchawi na haya mambo wapi na wapi?” Nilijiulza moyoni.
Sikupata majibu.
Kutokana na maelezo ya mzee sudy, mwenyekit alinitaka niache ile kazi! Pia alitupatanisha kisha kila mmoja akaondoka. Nilirudi hospitali. ILe nafka tu, nlikutana na mama pamoja na baba. Walnifokea sana baada ya kugundua nmetoka pale bila ya wao kupata taarifa.
Nilkwasihi wanisamehe wakanisamehe.
Tuliingia wodini.
‘ Kaka yako anataka kuogea na wewe.” Aliniambia baba. ALitoa simu yake na kumpigia kwa watsup. Simu iliita kisha ikapokelewa.
“ Brooooooo shikamooo.”
“ Usiniite broooo..nataka salama au hela zangu… una sku mbli tu! Lasivyo kitakachokupata usishangae.” ALiniambia na kukata simu.
SITASAHAU YALIYONIPATA WAKATI NAFANYA KAZ YA KUNUNUA SALAMA ZILZOKWSHA TUMIKA 12
“ Usiniite broooo..nataka salama au hela zangu… una sku mbli tu! Lasivyo kitakachokupata usishangae.” ALiniambia na kukata simu.
Niliduwaaa.
Macho yalinitoka misiri ya fundi saa kapoteza nati. Niliwaangalia baba na mama lakini sikuwaona. Kwa sekudne kadhaa nilikaa kimya kama mwendawazmu! Baba na mama waliniuliza kulkoni lakini sikuwasikia kutokana na mawenge.
“ Rich..rich..’ Baba aliniita huku akinitiksa tikisa.
“ Ungempigia kaka yake kwanza…yeye ndiye aliyesababsha hi hali.” ALiongea mama! Baba alkubali, alsogea pembeni na kumpiga kaka.
Hakupokea.
“ Hebu niambie kaka yako kasema nin?” ALiniulza.
“ Anataka hela yake..”
“ Alikukopesha?”
“ Hapana. Alnpa kle kazi niliyokuambia! Sasa kazi imeshndikana, halafu kumbe ile kaz sio salama kabisa kwa jamii! Wote ambao nachukua salama zao hawataweza kupata watoto tena.” Nilimwambia.
Baba kwa mshangao alijiziba mdomo.
………………….
Baada ya kutafakar kwa kina sana, baba aliniambia niondoe hofu, kwakuwa Elgius ni kaka yangu bas hawez kunifanya chochote kbaya! Aliniamba kama ataendelea kuning’ang’aniza nmpe hela yake bas niwasiliane naye yeye.
“ Sawa.’ Nlimjibu .
“ Kweeh.” Mlango wa wod yetu ulfunguka akaingia daktar akiwa na file mkononi.
“ Rich unaendeleaje?” ALiniuliza.
“ Npo sawa kabsa..naendelea vzur.” Nilmjibu.
“ Ok sawa..sasa sisi hatuna tena chakukutibu! Hali yako naona ipo sawa. Kila kitu kwenye mwili wako kimeimarka. Hivyo unaruhusiwa kurud nyumbani.” ALiongea. Kwa pamoja na wazazi wangu tulimshukuru akaondoka.
Baba alienda ofisin akamalizia taratibu na kufanya malpo mengine kisha tukaondoka! Siku ya pili wao walirudi iringa .Wakati wote wamefika pale kuniuguza,walikuwa wanakaa ndugu yetu aitwae seleli.
……
Nikiwa peke yangu nyumban nilikumbuka kaul za kaka kuwa atanifanya kitu kibaya. Lcha ya kias fulan kunipa hofu niliamua kuzipuuza, kwanza halikuwa kosa langu salama kupotea, pia mwenyekiti aliniambia nisifanye tena ile kazi pale.
Nilijlaza kitandan nikifkir kitu gani naweza kufanya kuendeleza maisha yangu!
Sikukipata.
“ Kaka aliniwah kuniambia niende marekani nikakataaa.. acha nimuambe anifanye mpango niende.” Niliwaza. Haraka nlchukua simu yangu na kumpigia.
Baada ya salamu nilmueleza mpango wangu.
“ Aaah! Yaani baada ya kuzitafuta salama zangu unawaza kuja huku? Hvi unaakili wewe?’ ALiniulza kwa ukal sana.
“ Hiv unazani nafanya utan ninavyokuamba nataka salaam zangu au hela?”
“ Lakin kaka…”
“ Hakuna cha lakini… wewe unazani utani! Ngoja sasa nikuonyeshe mimi sio wa mchezo mchezo.’ ALikata simu. Sikujihangaisha nae. Niliiweka simu pembeni na kujilaza kitandani. Haikuchukua muda nililala.
“ Meryc..mercy..mery..” Nilitamka pasipo kujielewa.
Gafla nilishtuka.
Nilikuwa peke yangu chumbani!
“ uuuh!” Nilihema. Hli jina la mercy, ni jina ambalo mara nying nimekuwa nalitaja. Toka nikiwa mtoto nilkuwa nalitaja sana pasipokumjua mercy mwenyewe .Hata nikiwa nafanya mapenzi, mara kadhaa nimekuwa nalitaja kiasi cha wapenz wangu kuchukia na wengine kuniacha.
“ Hili swala la mercy nalo spaswi kuliacha hvi hiv! inabidi nifanye jambo.” Nilijiambia Nililivuta shuka gub gubi nikalala.
Dakka tatu mbele, mlango wangu uligongwa. Kabla ya kufungua nliangalia saaa. Ilkuwa ni saa nane usiku.
“ Nani wa kuja kuniamsha saizi?” Nlijiuliza. Kinyonge nljweka sawa. Niliwasha taa ukutani na kwenda kuufungua mlango.
“ Samahani! Mim ni mgen hapa.. naomba msaada wa sehemu ya kulala..’ ALiniambia.
Sikumwelewa, kwanza nilijipikicha macho. Nilihis naota. Haikuwa kawaida, nyumba yetu ilikuwa mbali sana na barabara. Haikungia aklin mtu atoke barabaran aje agonge mlango wangu.
“ We ni nani?” Nilmuuliza.
“Tafadhal naomba kwanza nikae..nitakueleza kila kitu.” ALinambia. Kabla hata sijamkaribsha ndani alingia na kukaaa. Nikiwa namtafakari vzur, simu yangu iliita. Niliitazama alikuwa kaka.
“ Mmmh!” Nilijikuta nimeguna.
SITASAHAU YALIYONIPATA WAKATI NAFANYA KAZI YA KUNUNUA SALAMA ZILIZOKWISHA TUMIKA 13
“ Mmmh!” Nilijikuta nimeguna.
Kwa tahadhar nilmtazama yule jamaa kisha nikaisogelea simu yangu. Niliipokea.
‘Nisikilize kwa makin sana! Kwakuwa ni mdogo wangu nakupa nafasi nyingne ya kuishi! Watu ninaofanya nao kazi hawanaga dogo! Ukizingua unakufa! Huyo mtu alyekuwa kwako hajapotea njia.” Alniambia na kukata simu.
Gafla, kwa kas ya umeme yule mtu alinirukia. Nikiwa nashangaa nilijkuta nimelala chini na kisu nimewekewa shingoni.
“ Kwaheriii..” ALiniambia huku akikikandamza kisu chake shngoni kwangu.
“ Triiiiiiiiiiiiiiiiiiii.” Mlio ulisikika kwenye kifaa kilichokuwa shngoni kwake.
“ MUNGU wako mkubwa sana…umepona..” ALiniambia. Alsmama haraka haraka na kutoka mle ndani. Jambo lilifanyika kwa muda mfupi sana. Haraka nilifungua mlango kumuangala nje sikumuona.
“ kaka.. anataka kuniua kwel?’ Nilijiuliza. Pasipokujielewa haja ndogo ilinitoka na kulowesha nguo yangu. Nlitetemeka kama nimepigwa na shoti ya umeme.
………………………………
Asubuh sana ya siku ya pili nliamua kuingia mtaani! Skuona njia nyngine zaidi ya kumtafutia kaka salama zake. Kwakuwa sikuwa na hela nilipanga kupita kwenye mshimo ya lodge na guest house. Niliamin lazima nitazikuta salama tu.
Nilizunguka lodge zote, lakn ajabu sikuzikuta salama.
“ Kaka umeamua kuangalia shimoni badala ya kuja kununua kwangu?” Dada wa mapokez aliniuliza.
“ We si ulikataa kunuzia.”
“ mmmh! mwenzagu siku ngap zile nahsi kama sikuwa mm! kabsa nahsi nilirogwaaa.”
“ Ni kwel ulichezewa..ila sasa nataka hzo salama japo sina hela.”
“ Aaah! Unataka nkupe bure ukauze upate hela nyngi.”
“ Haipo hvyo..”
‘ Hapana aiseee, bila elfu 25 sikup salama.. sikup ng’ooo.” Aliniambia. Niljaribu kumbembeleza lakini ilikuwa bure! Alkuwa kashafanya maamuzi yake. Sikuwa na namna niliondoka.
“ Hakika hawa walifungwa ndio mana kipndi kle walikataa na sasa wanakubali.” Nlwaza. Nlirudi nyumban, watu wa mtaan hakuna hata mmoja aliniuliza wala kuniletea salama, licha ya gundu kutolewa. Nazani Hii ilitokana na taarfa ya uzazi wao kupotea ikiwa watanipa salama.
Nlirudi nyumban na kujifungia ndani.
“ Napata wap salama?” Nlijiulza.
Nikijiulza hayo, simu yangu iliita. ALikuwa kaka. ALiniambia nimebaki na masaa 36 ya kukamilisha kaz aliyonipa. Aliniambia nkishndwa bas yule mtu ataniua. Niliogopa sana aiseee. Muda ule ule nilitoka nje tena. Nlizurula kila sehmu lakini sikupata ktu.
Giza lilipongia, nilienda kwenye uchochoro wa kwa mangi! Walev wengi wa bar ya DX uwa wanafanyia mapenzi pale baada ya kulewa. Nilitega na kutulia kimya kuwasubri waje.
“ Wakiacha salama zao tu, haraka sana naziokota.” Nilijiambia.Nilijibanza kwenye kona kimya kuwasubri, dakka kum na tano mbele, Nilimuona mage na jamaa ambaye skuwa namfahamu wakienda kwenye ule uchochoro.
“ Yes.” Nilijisemea moyoni.
Nilitulia kimya ili wasinione.
Dakika saba mbele walitoka kule kwenye giza na kuweka nguo zao sawa.
“ Tayri.” Nilijiambia. Haraka haraka nilienda pale walipofanyia! Nliwasha toch ya smu na kumulika. Looh! Hapakuwa na kitu.
“ Inamaana wamefanya bila kondomu?” Nilijiuliza.
“ Yule jamaa boya sana..anafanyaje bila kondomu.” Nilijiuliza.
Nlrudi kwenye kona yangu na kusubir wengine. Haukupita muda mwiing walifika. Dakika kadhaa mbele nao waltoka! Lakin kama ilivyokuwa kwa wale wa mwanzo, nilipoenda nao likuwa vle vle. Hakukuwa na salama.
“ Hawa watu mbona wajnga sana! Wanafanyaje mapenzi bila salama?” Nilijiuliza sana.
Nliendelea kusubr, lakin hadi bar inafungwa, wote waliingia kwenye ule mchochoro hawakuacha salama. Hii iliniumiza kichwa sana.
“ Kesho inabdi nlete box la kondom na nimkabz meneja wa hii bar! Tena inabidi nisilete mmi asije kunshtukia.” Nlwaza.
Kinyonge nlrudi nyumbani.
Njiani smu yangu iliingia ujumbe! Ulikuwa umetoka kwa kaka.
“ Yule jaamaa anakuja usiku wa leo kuangalia kama kaz unafanya au unaleta tu masihara..” Ulisomeka ujumbe.
“ Nafanyaje?” Nilijiuliza. Haraka nliwahi lodge jiran . Niliongea na muhudumu akaniuzia salama mpya.
“ Hizi mpya nakupa tu! Hata ukitaka box kumi nakupa lakini zile zenye manii lazima unpe hele..tena unipe cash.’ ALiongea yule muhudumu. Skumjibu, nilpokea salama alzonipa na Haraka nilijweka sawa na kuwahi nyumban. Nilifungua mlango wangu nikawasha taaa. Kwa umakin mkubwa nlienda sehmu ninayopikiaga chakula na kutafuta mende.
Katka pekua pekua nilipata mende wawili.
“ haraka nilivua suruali yangu na kumuweka mende mmoja.” Nlivaa kwenye maungo yangu. Kama ilivyo siku zote, mende kila alpotaka kutoka alintekenya hali iliyonifanya nijisikie raha sana. Raha ile ilifanya nifike mshindo.
Haraka niliivua ile salama na kuvaa nyingne ikiwa na mende ndani, tofaut na mwanzo safar hii mende licha ya kunitekanya naniliua yangu haikusimama wala kushtuka. Muheshimwa ni kama alikuwa kalala usingizi wa fofofo.
Nlivuta hisia na kujarbu kumtiksa lakin hakuznduka.
Nikiwa nawaza nfanye nn, mlango wa chumba changu uligongwa. Sauti ya alyegonga ilipoingia tu sikioni nilimkumbuka.Puuuh. Moyo ulidunda.
Nani huyo? Tukutane kesho kwenye muendelezo.
SITASAHAU YALIYONIPATA WAKATI NAFANYA KAZI YA KUNUNUA SALAMA ZILZOKWSHA TUMIKA 14
Nikiwa nawaza nfanye nn, mlango wa chumba changu uligongwa. Sauti ya alyegonga ilipoingia tu sikioni nilimkumbuka.Puuuh. Moyo ulidunda.
“ Nafanyaje?” Nilijiuliza.
Ubongo ulichakata hali ya hatari iliyokuwa mbele, kwa kas ya ajabu ulifanya kaz na kunpa majibu! Pale pale paspokushangaa wala kujiuliza mara mbil nilifungua salama zote zlzokuwa kwenye paketi.
Haraka sana nkawa nazimiminia manii kutoka kwenye ile salama niliyojichua nayo kwakutumia mende.
“ Uuh.’ Nilihema baada ya kumalza kisha nikaenda kumfungulia mlango. Aliingia paspokuongea lolote. ALikagua kagua ndani akaziona zile salama.
“ Saf..japo ni chache ila safi.” ALiniambia! Pasipokuongeza neno aliondoka.
Nilizitazama zile salama nkwa nimesmama kwa dakka zaid ya saba kisha nikaenda kukaa kitandani.
“ Nitaweza tu.” Nilijiambia na kulala kitandani.
………………….
Asubuhi ya sku ya pili kama nilivyopanga! Nilimseti dereva yebo wa mbali napale akapeleke box la salama kwenye ile bar. Nlmwambia wakimuulza imetoka wapi aseme angaza wamemtuma azisambaze. Yule boda alkubali. ALichukua box na kulipeleka kwenye ile bar.
Baada ya boda kupeleka mimi niliingia mtaan! Nilizurula hovyo pasipo mpangilio. Nilienda huku na huku, nilikagua mashimo ya taka taka na uchochoron! Nilipona kasha la kondom nilipapekua kupita maelezo.
“ Kaka unatafuta nini?” Saut tamu sana ya kke iliingia sikion mwangu! Haraka niliinua macho kumtazam aliyeyasema yale.
Niliduwaaa.
Alikuwa msichana mmoja mrembo sana.
Alikuwa mweupe sana, kwa kumuangalia tu wala usingejiuliza swali kama alikuwa mrangi au la. Alikuwa msichana mzuri haswa, shepu nzuri balaaa. Mwili wake ulikuwa mwembamba huku kwa mbali hipsi zake zikiwa zinaonekana.
“ Nakuuliza wewe kaka! Unatafuta nini kwenye shimo langu la taka taka?”
“ aaaa..aaaaa..aaaa’ Nilishkwa na kigugumizi.
“ Lily nawe! Hvi unategemea chizi huyu atakuambia nini la maana. Hebu achana nae..” Aliongea shoga yake.
“ Haonekani kama chizi.” ALijibu Lily! Waliniacha nimeduwaa wakaenda ndani kwao. Niliwasindikiza kwa macho hadi wakaingia ndani! Njia nzima yule mwngne mwenye sura mbaya kama mimi alikuwa akingangania eti mimi ni chizi.
Maneno yake yalinfanya nikumbuke kaul ya rafik yangu mmoja aitwae paul! Kpindi tupo shule aliniambiaga mara zote mademu wazuri uwa wanaongozana na mademu wenye sura mbovu sana, na mara nying wale wenye sura mbovu na muonekano wa ajabu ndio wanajifanya wajuaji sana.
“ Paul alkuwa sahihi.” Nilijiambia.
Kuondoa nuksi niliamua kuondoka kwenye lile shimo la taka.
Lakini nikiwa hatua kadhaa kutoka pale, yule dada mrembo aliniita. Kinyonge na kwa wasiwasi sana nilienda.
“ Kuna chakula hapa..njoo ule kisha uendelee na kazi yako..’ ALinambia.
“ Ahsante dada! Npo sawa.” Nilimjibu.
“ Acha aibu bana! Chakula kiko kingi tu ndani.”Alniambia huku akifungua mlango na kunitaka niinge ndani! Sikuwa na jins nliingia, lakini ile naingia tu, yule dada mwenye sura mbaya aliniwahi kwa maneno ya shombo sana. Alnitaka nisikanyage kapeti wala sofa.
Alnitaka nikae eneo lle lile la mlangoni.
“ Acha tabia mbaya Ana..hebu mwache akae..kaa pale wewe..” ALnambia lily akiwa analionesha sofa.
“ Mwenzako yupo sahhi! Nitachafua sofaaa.’ Nilmwambia.
Yule binti mwngine ambae nilikuja kumjua anitwa Ana alniletea chakula! Nilikula haraka haraka nikamaliza. Nliwashukuru sana kwa wema wao! lily alniamba nisijali.
“ Chukua hivyo vyombo kaviweke kule kwenye sink! Tena kavioshe kabisaa… hakuna mtu wa kukusafishia hapa..” Alongea Ana kwa nyodo zote.
“ Usifanye hivyo bana.” ALongea Lily
“ Usijali..” Nilimjibu na kuelekea eneo aliloniambia. Nikiwa kwenye varanda, kabla sijakata kona kuingia jikon ambako ndiko nilitakiwa kwenda kuviosha, macho yangu yalitua kwenye chumba cha pili! Kwenye kona ya kile chumba niliziona salama tatu zikiwa zimeshatumika.
Haraka niligeuka nyuma kuangalia kama kuna mtu! hakuwepo, haraka haraka nilwah pale konani na kuzichukua zile salama, lakni ile nataka tu kuziweka mfukoni, lily alitokea.
SITASAHAU YALIYONIPATA WAKAT NAFANYA KAZI YA KUNUNUA SALAMA ZILZOKWSHA TUMIKA 15
Haraka niligeuka nyuma kuangalia kama kuna mtu! hakuwepo, haraka haraka nilwah pale konani na kuzichukua zile salama, lakni ile nataka tu kuziweka mfukoni, lily alitokea.
“ Kulikoni? Unachukua nn huko?” Aliniuliza.
“ Amechukua kitu?” ALidakia Ana kutokea barazani! Haraka alimpita lily na kunifata niliposmama. Alinikuda roba na kunitaka niseme nilichochukua! Aliingiza mkono wake mfukoni mwangu na kuzitoa zile salama.
“ Aaaah! wewe ni mshirikina?” Aliongea kwa sauti kubwaaa.
“ Unatembeaje na salamaaaa zlizotumika?” Aliniulza.
Sikuwa na lakufanya zaidi ya kuwatazama tu! Akili yangu iliwaza yasiyowezekana! Haikuniingia akilin zile salama kukaa pale! Kla nlipofikiria niliona ni kama mtego hivi. Haikuwa sawa hata kodogo.
“ Hawa watu wanaanzaje kunikarbisha ndani kwao wakati hawanijui?” Nilijiuliza. Sikuwa na majibu! Muda wote niliwaza nilivyoingia inga mle ndani .Nilikosa kabisa majibu! Nilihisi kuna jambo lisilo la kawaida.
Ana baada ya kuzitoa salama mfukon alinikuda roba kwa nguvu sana.
“ Hizi salama wewe za nini? Kwanin unatembea na salama zilzotumika?” Aliniulza.
Nlimtazama kwa tahadhari sana huku nikiisoma akil yake! Nilimuangalia machon kwa sekunde kadhaa akakwepesha macho yake! Nilimgeuka lily na kumkazia macho! Naye hakuwa na ujasiri wa kuniangalia machoni! Haraka sana alikwepesha macho.
KuKwepesha kwepesha macho kulinifanya niwaze ktu.
Baada ya kukifkir iko kitu nilcheka. Tena nilicheka kwa nguvu sana. Ana na Lily waliangaliana. Niliviweka vyombo chni kisha kwakujiamini sana nilimsogelea Ana.
“ We ni nani? ’ Nlimuuliza nikiwa nimemkazia macho. Kwa hofu alirudi nyuma. Alnitsha kupiga kelele na kujaza watu! Wala sikuogopa. Nilimpa ruhusa. Nilimwambia apige kelele kama anavyotaka .
Hakupiga.
Nilimpita na kumfata Lily. Naye nilimkazia macho na kumuulza yeye ni nani! Kama ilivyokuwa kwa ana nae aliktaa kabsa kuniambia chochote kile. Nilijikuta nacheka tena. Nilicheka kama kichaa hiv nikawa nawatazama.
“ Paaa.paaaaa…paaaaaa.’ Nilipiga makofi.
“ Hongereni sana…hongereni sana..” Niliwaambia.
“ Hongera ya nini?”
“ Mpango wenu umefanyika kama vle mlivyotaka! Kwanza mlnivamia kwa maswal pale jalalani, ksha mkaniita ndani kwenu na kunipa chakula. Kisha baadae mkaweka mtego wa salama na kuniambia nipeleke vyombo jikoni. Lengo lenu nizione hzi salama ksha nizichukue." Niliwaambia.
Macho yaliwatoka kwa mshangao. Muonekano wao ulonesha nilichosema ni sahihi.
“ Mnataka nini kwangu? Na kwanni mmenfanyia hivi..eeeeh?” Niliwauliza.
“ Kusema ukwel tu…” Ana altaka kuongea lakini alikatishwa na Lily. ALmtaka akae kmya, Kisha taratbu sana lily alinisogelea na kunishika mkono. Alpiga hatua na kutaka twende barazani.
Nlkataa.
Sikuwa tayar kwenda barazan.
Niliutoa mkono wake na kutaka kuinga kile chumba ambacho niliona salama mlangon. Nikiwa nalivuta pazia, haraka sana Lly alitoa bastola na kunioneshea.
“ Nilionekana mwema lakini sio mwema kama ulivyofkiria. Uwa naongea mara moja tu! Na nikisema unatakwa kufanya kile ninachokuambia.” Alniambia.
“ Achia hilo pazia na haraka sana geuka kunifata.” Aliniamba. Taratibu nlliachia pazia na kumfata . Kabla sijamfikia nilikata shauri! Oblangata yangu iliniambia niingie kle chumba. Shauku ya kujua klichokuwa ndani ilkuwa kubwa kupita maelezo.
Pasipokujal bastola yake niligeuza na kueleka kwenye kile chumba! Kabla sijaingia Ana alniwahi na kukaa mbele yangu.
“ Acha niingie.” Nilimwambia.
“ Humu huingii aiseee.” ALiniambia.
“ Kwakuwa mmekataa kuniambia nyie ni wakina nan nitaingia! Tena nitaingia na hamtanifanya chochote kle.” Niliwaambia. Nilimshka Ana kwa nguvu na kumtoa mbele yangu! Nilisukuma mlango, haraka sana Lily aliniwahi.
“ Huwezi kuinga.” ALiniambia. ALnvuta mkono nikaanguka chini! Nikiwa chn alinyanyua mguu juu na kunipiga nao tumboni! Niligumia kwa maumivu makali.
“ Nlikuambia! Mmi sipo vle unavyofikiria” ALiniambia. ALinshika mkono na kunivuta kwa juu! Nilsmama, nilijaribu kumpga teka lakni alilipangua kiurahisi sana. Hakuwa mwanamke wa kawaida. Alikuwa anazijua sanaa zote za mapigano.
“ Hatuna haja ya kuendelea na haya yote! Naomba kuwa mpole. Kwa pamoja naomba twende barazani tukaongeee.”Alniambia. Alinnyanyua msobe msobe na kunipeleka barazani. Sikuwa na namna, ilibidi niwe mpole.
“ Kwanini unatafuta salama! Na unazipeleka wapi?”Aliniuliza swali.
“ Nyie ni wakina nani?” Nami nilmuulza swali.
“ Naona tunaongea kwa maswali! Ila haina shida, nitakuambia mimi ni nani kwakukuingia kwenye kile chumba.” ALiniambia. ALinitaka nisimame. Nilismama tukaelekea kwenye kile chumba. Lily alisukuma mlango nikaingia.
Loooh.