Wakati nchi iko kwenye changamoto lukuki, Rais, Makamu wa Rais na Waziri mkuu wako nje ya nchi

Wakati nchi iko kwenye changamoto lukuki, Rais, Makamu wa Rais na Waziri mkuu wako nje ya nchi

FB_IMG_1666987627420.jpg
 
Humu kuna watu mnalamba asali afu mnakuja kufoka.
Mkijulikana mkatimuliwa kwenye asali zenu msije laumu hapa.

Maana kuna watu mnafoka na mpo kwenye mishahara mizuri ya serikali.
Panga litafika na huku.
Mi nimekaa paleee
 
UONGOZI NI PAMOJA NA KUPATA EXPOSURE KUBADILISHANA MAWAZO NA WENZAO MLITAKA WAKAE HUMU NCHINI KAMA YULE, NENDENI VIONGOZI WETU TUNAAMINI MTAJIFUNZA KWA WENGINE NA SIO KUJIFUNGIA NDANI KAMA WANAWALI.
Tatizo changamoto za miaka yote zinabaki pale pale pamoja na kwenda huko nje kujifunza.
 
Wakati nchi ikiwa kwenye changamoto lukuki, mfumuko wa bei, hakuna maji, hakuna umeme, hakuna mikopo watoto wa vyuo hawajalipwa pesa cha ajabu viongozi wakuu na mawaziri waandamizi wako nje ya nchi kwa inayoitwa mialiko ya kitaifa.

Rais wa nchi yuko China, Makamu wa Rais yuko Ivory Coast, Waziri mkuu yuko Korea Kusini, mwanziri wengine wako Misri, wengine Kenya, wengine ulaya.

Kusafiri ni jambo jema lakini kusafiri safiri sio jambo jema.

Sielewi, viongozi wetu akili zao zinawaza kwamba tutatatua changamoto zetu kwa wao kusafiri safiri kweli? Kikwete alitumia miaka 2 ya uongozi wake kua nje ya nchi lakini bado tuko masikini.

Ingekua safari za nje zinaleta maendeleo kwa safari za Kikwete Tanzania ingekua kama California ama Texas kwa maendeleo ama hata kama Ujerumani maana kwa kikwete viongozi wote wakubwa Duniani walikuja Tanzania lakini mwisho wake tuliishia kuibiwa kwa mikataba ya hovyo.

Rais ni mfariji mkuu wa nchi lakini wakati huu ambao taifa linakabiliwa na changamoto kibao, viongozi wetu wao ni safari na kumtupia lawama mungu kwamba ndio ameyaleta haya sio wao.

Tanzania alieturoga alituweza.
ofisi ya raisi ni taasisi mkuu. siyo mtu ndiyo maana hata magufuli alikufa tarehe 12 lakini official ilitangazwa tarehe 17/3/2021. tuseme pale ikulu mambo yalisimama?
raisi wa nchi hawezi kuepuka kusafiri.... tujiepushe na kasumba kwamba sitaki kusafiri ati atapigwa... ukiona na kusikia hayo ujue huyo kiongozi hawezi kuamini mifumo yake mwenyewe
TUSIKUBALI KUJINGISHWA na kufanywa MAZUZU
 
Wakati nchi ikiwa kwenye changamoto lukuki, mfumuko wa bei, hakuna maji, hakuna umeme, hakuna mikopo watoto wa vyuo hawajalipwa pesa cha ajabu viongozi wakuu na mawaziri waandamizi wako nje ya nchi kwa inayoitwa mialiko ya kitaifa.

Rais wa nchi yuko China, Makamu wa Rais yuko Ivory Coast, Waziri mkuu yuko Korea Kusini, mwanziri wengine wako Misri, wengine Kenya, wengine ulaya.

Kusafiri ni jambo jema lakini kusafiri safiri sio jambo jema.

Sielewi, viongozi wetu akili zao zinawaza kwamba tutatatua changamoto zetu kwa wao kusafiri safiri kweli? Kikwete alitumia miaka 2 ya uongozi wake kua nje ya nchi lakini bado tuko masikini.

Ingekua safari za nje zinaleta maendeleo kwa safari za Kikwete Tanzania ingekua kama California ama Texas kwa maendeleo ama hata kama Ujerumani maana kwa kikwete viongozi wote wakubwa Duniani walikuja Tanzania lakini mwisho wake tuliishia kuibiwa kwa mikataba ya hovyo.

Rais ni mfariji mkuu wa nchi lakini wakati huu ambao taifa linakabiliwa na changamoto kibao, viongozi wetu wao ni safari na kumtupia lawama mungu kwamba ndio ameyaleta haya sio wao.

Tanzania alieturoga alituweza.
😁🤔🤔🤔🤔
 
Wakati nchi ikiwa kwenye changamoto lukuki, mfumuko wa bei, hakuna maji, hakuna umeme, hakuna mikopo watoto wa vyuo hawajalipwa pesa cha ajabu viongozi wakuu na mawaziri waandamizi wako nje ya nchi kwa inayoitwa mialiko ya kitaifa.

Rais wa nchi yuko China, Makamu wa Rais yuko Ivory Coast, Waziri mkuu yuko Korea Kusini, mwanziri wengine wako Misri, wengine Kenya, wengine ulaya.

Kusafiri ni jambo jema lakini kusafiri safiri sio jambo jema.

Sielewi, viongozi wetu akili zao zinawaza kwamba tutatatua changamoto zetu kwa wao kusafiri safiri kweli? Kikwete alitumia miaka 2 ya uongozi wake kua nje ya nchi lakini bado tuko masikini.

Ingekua safari za nje zinaleta maendeleo kwa safari za Kikwete Tanzania ingekua kama California ama Texas kwa maendeleo ama hata kama Ujerumani maana kwa kikwete viongozi wote wakubwa Duniani walikuja Tanzania lakini mwisho wake tuliishia kuibiwa kwa mikataba ya hovyo.

Rais ni mfariji mkuu wa nchi lakini wakati huu ambao taifa linakabiliwa na changamoto kibao, viongozi wetu wao ni safari na kumtupia lawama mungu kwamba ndio ameyaleta haya sio wao.

Tanzania alieturoga alituweza.
Kwa hiyo Mhe. PM jana alikuwa Kigamboni na leo Dodoma, halafu karudi Seoul, S. Korea? Hadi sasa yupo Korea? Aisei...mitandao hii. 🙏🙏🙏
 
Wakati nchi ikiwa kwenye changamoto lukuki, mfumuko wa bei, hakuna maji, hakuna umeme, hakuna mikopo watoto wa vyuo hawajalipwa pesa cha ajabu viongozi wakuu na mawaziri waandamizi wako nje ya nchi kwa inayoitwa mialiko ya kitaifa.

Rais wa nchi yuko China, Makamu wa Rais yuko Ivory Coast, Waziri mkuu yuko Korea Kusini, mwanziri wengine wako Misri, wengine Kenya, wengine ulaya.

Kusafiri ni jambo jema lakini kusafiri safiri sio jambo jema.

Sielewi, viongozi wetu akili zao zinawaza kwamba tutatatua changamoto zetu kwa wao kusafiri safiri kweli? Kikwete alitumia miaka 2 ya uongozi wake kua nje ya nchi lakini bado tuko masikini.

Ingekua safari za nje zinaleta maendeleo kwa safari za Kikwete Tanzania ingekua kama California ama Texas kwa maendeleo ama hata kama Ujerumani maana kwa kikwete viongozi wote wakubwa Duniani walikuja Tanzania lakini mwisho wake tuliishia kuibiwa kwa mikataba ya hovyo.

Rais ni mfariji mkuu wa nchi lakini wakati huu ambao taifa linakabiliwa na changamoto kibao, viongozi wetu wao ni safari na kumtupia lawama mungu kwamba ndio ameyaleta haya sio wao.

Tanzania alieturoga alituweza.
Nchi imegeuka kuwa kama basi lenye abiria, huku likiwa halina dereva! Inafikirisha sana. Watu wanapishana tu angani.
 
Ila nimefuatilia misafara ya mapokezi ya Waziri Mkuu kule Japan na Korea na Rais Samia kule Uchina,Cha kushangaza sijaona Landcruiser VX V8 au viongozi wa uko hawapendi ilihali ni matajiri kuliko sisi?
 
Wakati nchi ikiwa kwenye changamoto lukuki, mfumuko wa bei, hakuna maji, hakuna umeme, hakuna mikopo watoto wa vyuo hawajalipwa pesa cha ajabu viongozi wakuu na mawaziri waandamizi wako nje ya nchi kwa inayoitwa mialiko ya kitaifa.

Rais wa nchi yuko China, Makamu wa Rais yuko Ivory Coast, Waziri mkuu yuko Korea Kusini, mwanziri wengine wako Misri, wengine Kenya, wengine ulaya.

Kusafiri ni jambo jema lakini kusafiri safiri sio jambo jema.

Sielewi, viongozi wetu akili zao zinawaza kwamba tutatatua changamoto zetu kwa wao kusafiri safiri kweli? Kikwete alitumia miaka 2 ya uongozi wake kua nje ya nchi lakini bado tuko masikini.

Ingekua safari za nje zinaleta maendeleo kwa safari za Kikwete Tanzania ingekua kama California ama Texas kwa maendeleo ama hata kama Ujerumani maana kwa kikwete viongozi wote wakubwa Duniani walikuja Tanzania lakini mwisho wake tuliishia kuibiwa kwa mikataba ya hovyo.

Rais ni mfariji mkuu wa nchi lakini wakati huu ambao taifa linakabiliwa na changamoto kibao, viongozi wetu wao ni safari na kumtupia lawama mungu kwamba ndio ameyaleta haya sio wao.

Tanzania alieturoga alituweza.
Mimi natamani sana hata sasa, wakiwa huko nje, wakirudi tu wakute viti wanavyokalia kuanzia Rais, VP na huyo PM vimechukuliwa na nchi imepata serikali nyingine...!!!

Hamjanielewa bila shaka. OK...

Nina maana wakute SAMIA SULUHU HASSAN AMESHA PINDULIWA na mtu mwingine amekalia kiti chake..!!!

Unajua inachosha sana kuwa na viongozi wasio na akili wala maarifa ktk maamuzi yao...

Ifike muda tukubali tu kupitia njia ngumu na ya maumivu ili kuleta mabadiliko ya kiuongozi na kimfumo ktk nchi hii...

Honestly, let's say ENOUGH is ENOUGH.. Nchi hii si vyema tena iendelee kuwa na Rais picha tu. Rais Samia ni picha tu. Hatuna Rais...

Yaani ni afadhali ya yule aliyekwisha kufa, yaani John P. Magufuli. Alikuwa anaumiza, lakini kuna maeneo lilikuwa vizuri sana...

Lakini huyu mama huyu, hakuna kitu. Yaani kawakabidhi nchi wakora na yeye ni mtia saini tu na muhuri...!
 
ofisi ya raisi ni taasisi mkuu. siyo mtu ndiyo maana hata magufuli alikufa tarehe 12 lakini official ilitangazwa tarehe 17/3/2021. tuseme pale ikulu mambo yalisimama?
raisi wa nchi hawezi kuepuka kusafiri.... tujiepushe na kasumba kwamba sitaki kusafiri ati atapigwa... ukiona na kusikia hayo ujue huyo kiongozi hawezi kuamini mifumo yake mwenyewe
TUSIKUBALI KUJINGISHWA na kufanywa MAZUZU
Akisafiri kuna faida gani? Angewaambia waje hapa! Hakuna lolote!
 
Back
Top Bottom