Wakati ndugu zetu wanaconsume 1,400 MW, Kenya ina-consume 2036 MW ya umeme na haturingi

Wakati ndugu zetu wanaconsume 1,400 MW, Kenya ina-consume 2036 MW ya umeme na haturingi

Huwa napata raha sana ya kuwakumbushia hilo, na kwa kasi ambayo pengo linazidi kuongezeka ni dhahiri vizazi vijavyo kama vitano hivi watakua wanaendelea kuwakumbushia.....

Hiyo mentality ya kushindana na Tz ndio imepelekea Kenya haina Vipaumbele kama taifa,
Ndio maana unakuta slums zimejaa kila kona,
Maelfu wanakufa njaa na maelfu wapo kwenye umaskini wa kutupwa.
Tz tunafanya yetu nyie kutwa kushindana.
Hamna kitu Kenya inaizidi Tz kwa Ground.
 
My fren unategemea tuzalishe umeme wa kupiga nao picha au?Sgr tu itahitaji umeme sio chini ya 200mw kwa line yote hadi mwanza au hata zaidi...kutoka dar hadi dodoma by 2022 ni uhakika train vinaanza kazi...umeme kwanza uwe nao ndio uutumie...huwez kutumia kitu hauna...matumizi ya umeme yatapanda sana baada ya train kuanza kazi nk
Unataka kulinganisha 200 MW ya SGR na 2,300 MW ya JNHPP? Kwa muda mrefu nimewaeleza Watz kwamba mtabaki na umeme mwingi usiokuwa na matumizi na hamkuniamini. Ninatabiri kuwa kwa hio 2,300 MW mtaweza kutumia tu 500 MW katika miaka mitano za kwanza.
 
Hiyo mentality ya kushindana na Tz ndio imepelekea Kenya haina Vipaumbele kama taifa,
Ndio maana unakuta slums zimejaa kila kona,
Maelfu wanakufa njaa na maelfu wapo kwenye umaskini wa kutupwa.
Tz tunafanya yetu nyie kutwa kushindana.
Hamna kitu Kenya inaizidi Tz kwa Ground.

Hii nyingine inaendelea kuamka huku, hadi raha Nchi ya viwanda - Pan Paper’s Sh500m unit starts operation

Halafu huku vipi????????

3018476_1638332227014.jpg
 
Unataka kulinganisha 200 MW ya SGR na 2,300 MW ya JNHPP? Kwa muda mrefu nimewaeleza Watz kwamba mtabaki na umeme mwingi usiokuwa na matumizi na hamkuniamini. Ninatabiri kuwa kwa hio 2,300 MW mtaweza kutumia tu 500 MW katika miaka mitano za kwanza.
Viwanda almost 70% Tanzania vinatumia natural gas ambayo ni off grid, hesabu yake unaijua tuki convert kwenye megawatts? 😅😅😅
 
Viwanda almost 70% Tanzania vinatumia natural gas ambayo ni off grid, hesabu yake unaijua tuki convert kwenye megawatts? 😅😅😅
You are just proving my point. Nyie mnatumia gas kwenye viwanda vyenu so Kujenga powerplant ya 2,300 MW ni ujinga mtupu. Umeme huo hautatumika.
 
You are just proving my point. Nyie mnatumia gas kwenye viwanda vyenu so Kujenga powerplant ya 2,300 MW ni ujinga mtupu. Umeme huo hautatumika.
Kwanza tuelewane kwamba umeme wa majority wa viwanda vyetu ambao ni mkubwa haujawa included kwenye hiyo number.

Then umeme wa Nyerere utasaidia kushusha zaidi bei ya umeme chini sababu utazalishwa kwa bei ndogo kuliko gas na utauzwa nje kwa wingi, nusu ya umeme wa Nyerere utauzwa nje na wateja wapo.
 
Kwanza tuelewane kwamba umeme wa majority wa viwanda vyetu ambao ni mkubwa haujawa included kwenye hiyo number.

Then umeme wa Nyerere utasaidia kushusha zaidi bei ya umeme chini sababu utazalishwa kwa bei ndogo kuliko gas na utauzwa nje kwa wingi, nusu ya umeme wa Nyerere utauzwa nje na wateja wapo.
Hahaha wateja wagani hao?
 
Unataka kulinganisha 200 MW ya SGR na 2,300 MW ya JNHPP? Kwa muda mrefu nimewaeleza Watz kwamba mtabaki na umeme mwingi usiokuwa na matumizi na hamkuniamini. Ninatabiri kuwa kwa hio 2,300 MW mtaweza kutumia tu 500 MW katika miaka mitano za kwanza.

Kuna kitu kinaitwa East Afica Power Pool (EAPP) hii ni interconection Kubwa katika Ukanda huu ita involve Voltage level ya 400kV kiasi kwamba iniative zimesha anza kwa kuwa tayari Ujenzi wa Line kutoka Isenye kenya to Singida Via Arusha uko Mbioni kukamilika kama sio umekamilika nini mana ya hii regional interconnection tutaweza kuuziana Umeme kwa Kuangalia mwenye Shortage na Excess BTW, Tanzania now tuna Mega projects nyingi tu zinazohitaji Umeme kama SGR
 
Malawi, Zambia, Mozambique, DRC, Uganda, Rwanda, Burundi and their neighbors, mbona wengi tu
Hao wengi wao wanajitosheleza kwenye uzalishaji na utumiaji wa umeme. Hawahitaji umeme zaidi kutoka nje
 
Kuna kitu kinaitwa East Afica Power Pool (EAPP) hii ni interconection Kubwa katika Ukanda huu ita involve Voltage level ya 400kV kiasi kwamba iniative zimesha anza kwa kuwa tayari Ujenzi wa Line kutoka Isenye kenya to Singida Via Arusha uko Mbioni kukamilika kama sio umekamilika nini mana ya hii regional interconnection tutaweza kuuziana Umeme kwa Kuangalia mwenye Shortage na Excess BTW, Tanzania now tuna Mega projects nyingi tu zinazohitaji Umeme kama SGR
Kenya sisi pia tuna umeme excess. Mnafanya ujinga kutegemea kwamba sisi tutanunua umeme mwingi kutoka kwenu.
 
You are just proving my point. Nyie mnatumia gas kwenye viwanda vyenu so Kujenga powerplant ya 2,300 MW ni ujinga mtupu. Umeme huo hautatumika.


Mwingine tutawauzia ninyi na nchi zingine za jirani au umeme sio bidhaa??!. Case closed.
 
Endelea kuweka vihabari vya kuokoteza,
Sisi tunakaribia kuteleza 250kph Dar Dodoma
Yaani naenda Dom asubuhi nalewa halafu jioni narudi Dar

Halafu sasa Nakuru ndio hiyo imepepea na kuwa mji, hivi karibuni Eldoret nayo itafikia hadhi ya kushindana na Dar.
Nilishawaambia siku nyingi Kenya inawaacha kwa mbali sana, GDP ya Nairobi pekee yake inatoshana na ya Tanzania yote bara hadi visiwani.

 
Mwingine tutawauzia ninyi na nchi zingine za jirani au umeme sio bidhaa??!. Case closed.
Sisi pia tunazalisha umeme mwingi kushinda matumizi yetu. Mumefanya ujinga kujenga powerplant kubwa kwa ajili ya kuuzia majirani umeme. majirani wenyewe wanajitosheleza kwa uzalishaji wa umeme. Mtabaki na umeme wenu.
 
Hao wengi wao wanajitosheleza kwenye uzalishaji na utumiaji wa umeme. Hawahitaji umeme zaidi kutoka nje
Kwa research gani uliofanya? Kusingekua na mradi mkubwa wa southern Africa power pool project wenye grid ya 400 kilovolt umeunga mataifa yote ya southern Africa na Tanzania kwa lengo la kuuziana umeme, mataifa mengi yaliotuzunguka yanatumia umeme wa majenereta ambao ni ghali mara 20 ya umeme wa maji, hawawezi kukataa cheap electricity kutoka Tanzania

Na Chengine usijione wewe una akili sana kuwazidi wataalam wa nje na ndani ya nchi waliofanya due diligence and feasibility studies za kutosha kuhusu huu mradi na wakaona ni mradi wa maana, Huwezi kuwafikia hata theluthi ya ufahamu wao, we saga pumba tu lakini you got nothing to talk about
 
Sisi pia tunazalisha umeme mwingi kushinda matumizi yetu. Mumefanya ujinga kujenga powerplant kubwa kwa ajili ya kuuzia majirani umeme. majirani wenyewe wanajitosheleza kwa uzalishaji wa umeme. Mtabaki na umeme wenu.
Ninyi mnaouziwa umeme na waganda lini mmekua na umeme wa kutosha?

Mnaweza kuwa na umeme hapo Nairobi lakini counties za pembezoni mlipofunga majenereta na ni off grid pasiwe na umeme wa kutosha hivyo ikawalazimu kununua umeme kutoka nchi jirani sababu ya eneo la off grid, kwa sasa projects zote za Tanzania zikikamilika, Tanzania ndio litakua taifa pekee ukanda huu lenye mtandao mkubwa wa national grid network almost mikoa yote nchini itakua connected
 
Kenya sisi pia tuna umeme excess. Mnafanya ujinga kutegemea kwamba sisi tutanunua umeme mwingi kutoka kwenu.
Kenya ni 30% pekee ndio kuna national grid angalau passage ya umeme kuanzia kilovolt 180 the remaining Kenya is in total darkness

Yaani Kenya sijui mtaacha lini kupika data, sasa huwa mnaongoza kwa umeme upi wakati 70% ya taifa lenu halina electricity network?

images (17).jpeg
images (16).jpeg



Kwa Tanzania hayo maeneo unayoona grid haijapita ni national parks, mind you 4o% ya Tanzania ni inhabited reserved area

images (15).jpeg



Yaani ninyi watu bado sana
 
Back
Top Bottom