Wakati ndugu zetu wanaconsume 1,400 MW, Kenya ina-consume 2036 MW ya umeme na haturingi

Wakati ndugu zetu wanaconsume 1,400 MW, Kenya ina-consume 2036 MW ya umeme na haturingi

Bro jifunze kwanza kuhusu Kenya ili uje kupost. Hayo maeneo ambayo hayana grid network pia yana watu wachache mno. Watu wengi Kenya wanaishi kusini na magharibi mwa Kenya kwa sababu huko ndiko kuna mito, mvua, ardhi yenye rutuba na chakula kwa wingi. Hata jua sio kali sana. 90% ya Wakenya wanaishi kusini, magharibi na kati mwa Kenya. 10% ya Wakenya ndio wanaoishi sehemu kame za Kaskazini na kaskazini mashariki. Narudia tena, asilimia kidogo sana ya Wakenya wanaishi katika eneo hizo kame za jangwa.
Hahaha wakenya zaidi ya million 30 wanaishi kwenye majangwa na wengine wanapakimbia sababu ni kama jehanam, pamesahaulika hakuna miundombinu yoyote ya binadamu kuishi

Tanzania pia ina maeneo mengi tena yenye rutuba haswa yaliyo less populated lakini hukosi huduma zilizoboreshwa za kijamii huko eti kisa kuna wananchi wachache

images.png
 
Sasa kama mnajua kwamba viwanda vyenu vinatumia gesi badala ya umeme mbona sasa mumeamua kufanya ujinga wa kujenga powerplant ya kuzalisha 2,300 MW ya umeme? Au mtalazimisha viwanda vyenu viwache kutumia gesi virudi tena kutumia umeme?
Mzee una mawazo mafupi sana, 2010 tulikua tunatumia megawatts 600 leo ni megawatts 1700 na off grid megawatts 1000+ vipi kuhusu 2030?
 
Really..with the SGR underconstruction

1.kumbuka most mines where not connceted to the 0national.grid..currently they are being connceted some

2..Kumbuka most industriers in Dar and Pwani use Gas from Mtwara gas pipeline so they dont consume grid electricity..mfano Twiga Cement uses 40MW ..

TBL
Serengeti Brew
over 42 industries..meaning tuki assjme atleast 10mw average ni 420 mw
View attachment 2030039
Bro, point number 2 is completely useless. So what if your industries consume 420 MW of power through gas? In fact since gas is a big competitor with electricity in TZ, that is exactly why you should not have built such a big white elephant. Industries are the biggest consumers of electricity, so if your biggest consumers of electricity are now using gas then you are in trouble my friend. You are in trouble. Hizo industries ndizo zilitakiwa zitumie umeme, sasa kama zinatumia gesi basi mpo mashakani.
 
South Africa wanahangika na mgao wa umeme for 3 years now almost cause umeme hauwatoshelezi na mitambo yao imezeeka
Nyie hamjajenga power line inayoweza kusafirisha angalau 1,000 MW kuelekea SA. In fact TZ is still not connected to the SADC powerpool. So you are engaging in hypothesis, theories and conjectures when facts on the ground suggest that TZ is unprepared to sell power to SA because the connecting powerline is not there.
 
Bro, point number 2 is completely useless. So what if your industries consume 420 MW of power through gas? In fact since gas is a big competitor with electricity in TZ, that is exactly why you should not have built such a big white elephant. Industries are the biggest consumers of electricity, so if your biggest consumers of electricity are now using gas then you are in trouble my friend. You are in trouble. Hizo industries ndizo zilitakiwa zitumie umeme, sasa kama zinatumia gesi basi mpo mashakani.
Kitu usichojua ni kwamba gas transmission is way expensive than electricity, unahitaji kuchimba kilometers ngapi za Bomba la gas countrywide kumeet markets za scattered industries all over?

Advantage ya viwanda vya Tanzania vingi vikubwa vipo centralized kwenye mikoa ya Pwani na Dar ambapo Bomba la gas linapita kuelekea Kinyerezi kwenye gas to electricity conversion kutoka kusini, tumia akili bro

Halafu gas ni multifunctional commodity, sio umeme tu bado tunaihitaji kwenye mambo mengi na inaisha, then ni expensive ukilinganisha na umeme wa maji wa Rufiji ambao ni one massive idle potential
 
Yaani minings zote za Tanzania zikiunganishwa na grid hata umeme uliopo saivi utapelea, tuna off grid megawatts zaidi ya 1000
Ningekuelewa ikiwa mngekuwa sasa hivi mumeanza kujenga nyaya za umeme kuunganisha hizo off-grid mining sites. Ila bado hamjaanza kufanya hivyo. Hapa mpo kisiasa tu ila facts on the ground inaonyesha kwamba hamjaanza kujenga nyaya za umeme ili kuunganisha hizo mining sites. Usifikiri kujenga kilomita moja ya high voltage powerline ni pesa kidogo. Halafu baadhi ya hizo mining sites zipo mbali na grid so itawagharimu pesa nyingi kuziunga na grid. Halafu sidhani kama hizo mining sites zinaconsume 1,000 MW. Hio naona ni guesswork yako tu.
 
Mzee Sisi hatujengi Bwawa La Mwalimu Nyerere kwa Kutegemea tuuze umeme nje ya nchi
Hio itakuwa kama Surplus just incase tukiwa na Excess kwenye Grid, Kiufupi ni kuwa tuna Off Grid Potential Customers wengi tu ikiwemo Minining sites
Hizo mining sites bado hazijaungwa na hakuna mpango wowote wa kuziunga na grid. Serikali yenu haina mpango huo wa kuunga hizo mining sites na grid.
 
Umeme ni nyanya zisipopata mteja zinaoza??!!, au tuseme umeme wenu mnautumia wote na hakuna ziada??--- hiyo ziada inaoza kama haiozi mnaipeleka wapi??, isitoshe Tz ni kubwa kwa eneo na population kuliko nchi yoyote ya EA hivyo umeme huo utapata matumizi kwenye Investment kubwa hapo baadaye kumbuka umeme wenyewe ni HEP, kifupi ni kwamba umeme huo ni cheap na hivyo utavutia wawekezaji kujenga hata heavy industries.

"We Tz think for 20 yrs to come unlike you Kenyans think for 2yrs to come".
Haahaha
cc joto la jiwe
 
Sasa mimi na wewe yupi hajui lolote?




Asante kwa kuprove my point. Bado hamjaunga nyaya zenu to SADC powerpool. Sasa hivi ndio mumeanza kujenga. Ujenzi wa high voltage inter-country powerline kama hii itachukua miaka mitatu au zaidi. Tegemea mradi huu kukamilika mwisho wa 2023 au mwanzo wa 2024.
 
Wewe unaongeaga kimihemko zaidi bila factual basis, ulisema hamnunui umeme sababu mnao wa ziada wakati mnanunua umeme mpaka Uganda, Ethiopia wanawauzia Megawatts ngapi wao?
Ethiopia wanatuuzia megawatt tano. Halafu nilisema sisi tuna surplus kwa sababu sisi pia tunawauzia Uganda umeme ama hukua unajua hilo? Sisi tuna surplus kwa sababu tunazalisha 2,800 MW na tunaconsume 2,036. Ukitoa power loss ya 400 MW inayopotea kwenye usafirishaji wa umeme, tunabakia na surplus ya takriban 400 MW.
 
Ninyi hata kujadili umeme ni kujidhalilisha tu ni sawa na mtu anaejadili riadha wakati hana miguu, jikiteni kwenye transmission lines sababu hata Burundi wamewapita
Hivi rafiki yangu unajua Kenya ina kilomita nyingi za transmission lines kuwashinda? 😂😂🤣
 
Ningekuelewa ikiwa mngekuwa sasa hivi mumeanza kujenga nyaya za umeme kuunganisha hizo off-grid mining sites. Ila bado hamjaanza kufanya hivyo. Hapa mpo kisiasa tu ila facts on the ground inaonyesha kwamba hamjaanza kujenga nyaya za umeme ili kuunganisha hizo mining sites. Usifikiri kujenga kilomita moja ya high voltage powerline ni pesa kidogo. Halafu baadhi ya hizo mining sites zipo mbali na grid so itawagharimu pesa nyingi kuziunga na grid. Halafu sidhani kama hizo mining sites zinaconsume 1,000 MW. Hio naona ni guesswork yako tu.
Magufuli aliisimamia kikamilifu kazi za kuunganisha migodi na grid

Wewe kwa akili yako unaona haiwezekani lakini Magufuli aliona inawezekana na harakati alishazianza



 
Hahaha wakenya zaidi ya million 30 wanaishi kwenye majangwa na wengine wanapakimbia sababu ni kama jehanam, pamesahaulika hakuna miundombinu yoyote ya binadamu kuishi

Tanzania pia ina maeneo mengi tena yenye rutuba haswa yaliyo less populated lakini hukosi huduma zilizoboreshwa za kijamii huko eti kisa kuna wananchi wachache

View attachment 2030086
Ulichopost hakionyeshi kwamba Wakenya 30 million wanaishi kaskazini na kaskazini mashariki ambako hakuna grid. Turkana ambayo ni jimbo kubwa kabisa Kenya lina watu milioni moja pekee. Nairobi ambayo ndio county ndogo kabisa Kenya lina watu milioni tano.
 
Asante kwa kuprove my point. Bado hamjaunga nyaya zenu to SADC powerpool. Sasa hivi ndio mumeanza kujenga. Ujenzi wa high voltage inter-country powerline kama hii itachukua miaka mitatu au zaidi. Tegemea mradi huu kukamilika mwisho wa 2023 au mwanzo wa 2024.
Unaongea kwa mihemko, wewe akili yako ni kupinga na sio kujadili kama mtu uliepevuka, umetumia vigezo gani kusema hivyo? Una workplan yao mezani?
 
Ethiopia wanatuuzia megawatt tano. Halafu nilisema sisi tuna surplus kwa sababu sisi pia tunawauzia Uganda umeme ama hukua unajua hilo? Sisi tuna surplus kwa sababu tunazalisha 2,800 MW na tunaconsume 2,036. Ukitoa power loss ya 400 MW inayopotea kwenye usafirishaji wa umeme, tunabakia na surplus ya takriban 400 MW.
Jifurahishe
 
Kitu usichojua ni kwamba gas transmission is way expensive than electricity, unahitaji kuchimba kilometers ngapi za Bomba la gas countrywide kumeet markets za scattered industries all over?

Advantage ya viwanda vya Tanzania vingi vikubwa vipo centralized kwenye mikoa ya Pwani na Dar ambapo Bomba la gas linapita kuelekea Kinyerezi kwenye gas to electricity conversion kutoka kusini, tumia akili bro

Halafu gas ni multifunctional commodity, sio umeme tu bado tunaihitaji kwenye mambo mengi na inaisha, then ni expensive ukilinganisha na umeme wa maji wa Rufiji ambao ni one massive idle potential
Sasa viwanda vyenu vikiamua kuwacha kutumia gesi na kurudi kutumia umeme cheap wa JNHPP huoni hio ni kupoteza pesa maana mlishatumia pesa nyingi kujenga mabomba ya kuunganisha viwanda vyenu na gesi?
 
Unaongea kwa mihemko, wewe akili yako ni kupinga na sio kujadili kama mtu uliepevuka, umetumia vigezo gani kusema hivyo? Una workplan yao mezani?
Mimi ninatumia average project timeline ya mradi mkubwa kama huu. Kenya tumejenga miradi mingi kama hizi na zimechukua average of 3 years. Yaani 620 km high voltage powerline unafikiri unaweza kuujengwa haraka haraka kama ujenzi wa choo? Huu ni mradi mkubwa na lazima uchukuwe muda. Hakuna mihemko hapa, ni common sense tu.
 
Sasa viwanda vyenu vikiamua kuwacha kutumia gesi na kurudi kutumia umeme cheap wa JNHPP huoni hio ni kupoteza pesa maana mlishatumia pesa nyingi kujenga mabomba ya kuunganisha viwanda vyenu na gesi?
Bro hakutakuja kuwa na umeme utakua idle Tanzania trust me

Kuna hii massive Kabanga/Tembo Nickel project kuna Bomba la mafuta ya mganda litakalohitaji hitting ili kuyeyusha osmosis yote hii ni matumizi makubwa sana ya umeme

Nimekuambia walioamua Nyerere Dam iwepo huwazidi akili bro

 
Mimi ninatumia average project timeline ya mradi mkubwa kama huu. Kenya tumejenga miradi mingi kama hizi na zimechukua average of 3 years. Yaani 620 km high voltage powerline unafikiri unaweza kuujengwa haraka haraka kama ujenzi wa choo? Huu ni mradi mkubwa na lazima uchukuwe muda. Hakuna mihemko hapa, ni common sense tu.
620km upo 90% tayari, saivi ni kuunganisha tu na upande wa Zambia sababu yote ilikua inaenda simultaneously
 
Back
Top Bottom