Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bongo hiyo ilikuwepo mpaka mwishoni mwa miaka ya 1990 CRDB ilikua kila baada ya muda fulani wanaongeza "umatemate"Hamia kenya
Haya ndiyo majibu yenu. Hata mzee wa trat na Trab alijibu kuwa tuhamie BurundiHamia kenya
Kuna nchi inaongozwa na physiology ya tumbo wakati nyingine inaongozwa na physiology ya ubongo.Hapo naiona tofauti kati ya akili inayofikiria kwa kuwaza mbele, na ile inayofikiria kwa kurudi nyuma.
Huyu nibhustler grade one. Anajua shida za watu. Siyo sisi hapa nchi inaongozwa na watoto/wajukuu wa wakubwa wasiojua shidaRutto anastahili pongezi.
Kumbe Burundi hakuna Dili , Dili kuhamia Kenya aiseee
Umeona eeh!!?Kumbe Burundi hakuna Dili , Dili kuhamia Kenya aiseee
Wanajua umuhimu wa fedha kuwa benki na si katika mikono ya watu elimu finyu ya kina Phd feki hata hawajui umuhimu huu matokeo fedha zinarudi katika mikono ya watu kwa kasi ya ajabu shameHapo naiona tofauti kati ya akili inayofikiria kwa kuwaza mbele, na ile inayofikiria kwa kurudi nyuma.
Wapo baadhi washapita na wanacomment upuuziNAWAZA CCM KINDA KINDA NA VIBARAKA WA SERIKALI WAKIPITIA HAPA SIJUI WATAJISIKIAJE!!!