Wakati tunasubiri ni afisa habari gani wa Yanga atachaguliwa na Manara tuwe na subira

Wakati tunasubiri ni afisa habari gani wa Yanga atachaguliwa na Manara tuwe na subira

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Watu wametuma maombi wengi kwelikweli lakini ni lazima THE GENIUS HAJJ MANARA msomi mwenye degree mbili moja ya media toka south africa na moja ya political science toka china aridhike na kumpitisha

Ikumbukwe kwa muda mfupi mshabiki huyo kindakikindaki aliyejiunga yanga miezi kadhaa iliyopita amekonga nyoyo za mashabiki wa yanga kwa kuipigania yanga kuliko hata wanaojifanya yanga wanaipenda tangu utotoni

Cv yake ni kubwa sana kawa katibu mwenezi wa ccm mkoa wa dar es salaam ambapo alimaliza muda wake na kuagwa kwa heshima,akapotea njia, akaleweshwa na kufanya kazi simba ambapo pia aliagana nao kwa heshima kabla ya ghafla kuamua kuipenda yanga mwaka 2021

Pia alishawahi kuanzisha perfume ya DE LA BOSS ambayo imesimama kwa muda kutokana na majungu ya TFF lakini yeye na investor shehe wa uarabuni aliyewekeza millions 83 walimalizana kistaarabu sababu USTAARABU NA MANARA NI KAMA KIUNO NA TAKO , VINARANDANA

Kazi yake ya kwanza pale yanga ilikuwa ni kuondoa KIRUSI kiitwacho NUGAZ na baaadaye KIRUSI kingine kiitwacho BUMBULI

Wanayanga wengi wanatambua mchango wake huyu jamaa jinsi anavyoipambania yanga kwa sasa kuchuja majina ili kuipatia afisa habari safi kabisa atakayekidhi vigezo angalau vya kumkaribia yeye ambapo kazi hii ilikuwa yake sema karia na genge lake wakaamua kumfungia

Hadi sasa hakuna kwenye tasnia ya habari mtu aliyesoma kama manara ,mwenye IQ kubwa, communication skills ya hali ya juu, ustaarabu na PR skills

Wana yanga kuweni na uvumilivu,Rais Hersi siyo mjinga kumkabidhi jukumu hilo ndugu manara shabiki ndakindaki la Yanga lililo tayari kupambana na yeyote atakayeikosoa yanga
*******************************************************************************************************


semaji.JPG

💥
𝗡𝗜𝗠𝗘𝗙𝗨𝗡𝗚𝗜𝗪𝗔,𝗦𝗜𝗝𝗔𝗔𝗖𝗛𝗔 𝗞𝗔𝗭𝗜 𝗬𝗔𝗡𝗚𝗔
"...Yanga Afrikaaaaaaa inajua nani Afisa Habari ajae, Acheni kupigiwa debe na Watu wahuni wahuni wanaoitukana kila kukicha Club hii.
Kumbukeni wakati wa uchaguzi wetu mwezi July, nini kilitokea?
Wasiwaingize Chaka hao Wanaharakati walioruzukiwa Njaa, Tunao utaratibu makhsuus ambao hautegemei debe la Mtu.
Ila pia msiahau mimi nimefungiwa kujihusisha na mpira na sijaacha kazi Yanga, usintusi bila sababu Coz utanikuta nimekaa pale, kisha sura yako itakuwaje sasa?
🤪
🤪

Nb: Limbulunga kapige debe kwenye Midawa ya Uasherati, umtakae akija Yanga njoo uninyonge, Bata Wahed.
#Bugati"
🔎
Haji Manara
 
Watu wametuma maombi wengi kwelikweli lakini ni lazima THE GENIUS HAJJ MANARA msomi mwenye degree mbili moja ya media toka south africa na moja ya political science toka china aridhike na kumpitisha

Ikumbukwe kwa muda mfupi mshabiki huyo kindakikindaki aliyejiunga yanga miezi kadhaa iliyopita amekonga nyoyo za mashabiki wa yanga kwa kuipigania yanga kuliko hata wanaojifanya yanga wanaipenda tangu utotoni

Cv yake ni kubwa sana kawa katibu mwenezi wa ccm mkoa wa dar es salaam ambapo alimaliza muda wake na kuagwa kwa heshima,akapotea njia, akaleweshwa na kufanya kazi simba ambapo pia aliagana nao kwa heshima kabla ya ghafla kuamua kuipenda yanga mwaka 2021

Pia alishawahi kuanzisha perfume ya DE LA BOSS ambayo imesimama kwa muda kutokana na majungu ya TFF lakini yeye na investor shehe wa uarabuni aliyewekeza millions 83 walimalizana kistaarabu sababu USTAARABU NA MANARA NI KAMA KIUNO NA TAKO , VINARANDANA

Kazi yake ya kwanza pale yanga ilikuwa ni kuondoa KIRUSI kiitwacho NUGAZ na baaadaye KIRUSI kingine kiitwacho BUMBULI

Wanayanga wengi wanatambua mchango wake huyu jamaa jinsi anavyoipambania yanga kwa sasa kuchuja majina ili kuipatia afisa habari safi kabisa atakayekidhi vigezo angalau vya kumkaribia yeye ambapo kazi hii ilikuwa yake sema karia na genge lake wakaamua kumfungia

Hadi sasa hakuna kwenye tasnia ya habari mtu aliyesoma kama manara ,mwenye IQ kubwa, communication skills ya hali ya juu, ustaarabu na PR skills

Wana yanga kuweni na uvumilivu,Rais Hersi siyo mjinga kumkabidhi jukumu hilo ndugu manara shabiki ndakindaki la Yanga lililo tayari kupambana na yeyote atakayeikosoa yanga
*******************************************************************************************************


View attachment 2362561
💥
𝗡𝗜𝗠𝗘𝗙𝗨𝗡𝗚𝗜𝗪𝗔,𝗦𝗜𝗝𝗔𝗔𝗖𝗛𝗔 𝗞𝗔𝗭𝗜 𝗬𝗔𝗡𝗚𝗔
"...Yanga Afrikaaaaaaa inajua nani Afisa Habari ajae, Acheni kupigiwa debe na Watu wahuni wahuni wanaoitukana kila kukicha Club hii.
Kumbukeni wakati wa uchaguzi wetu mwezi July, nini kilitokea?
Wasiwaingize Chaka hao Wanaharakati walioruzukiwa Njaa, Tunao utaratibu makhsuus ambao hautegemei debe la Mtu.
Ila pia msiahau mimi nimefungiwa kujihusisha na mpira na sijaacha kazi Yanga, usintusi bila sababu Coz utanikuta nimekaa pale, kisha sura yako itakuwaje sasa?
🤪
🤪

Nb: Limbulunga kapige debe kwenye Midawa ya Uasherati, umtakae akija Yanga njoo uninyonge, Bata Wahed.
#Bugati"
🔎
Haji Manara
Aisee..... speechless..
 
Hili nalo ajabu lingine toka utopolo. Kwamba bwana haji ana jina na CV kubwa kuliko yanga? Ama kweli.
 
Kuna mada nyingine zinaletwa humu jukwaani hata huelewi unatakiwa uchangie nini!! Maana zimekaa kimajungu majungu! Kimipasho mipasho! Kibin Kazumari vile!!
Kitendo cha akili yako kuelewa kwamba ni majungu au mipasho ni step namba 1, step namba 2 ni wewe kuchangia sasa kwa jinsi ulivyoelewa
 
😀😀Pale Yanga wenye akili ni Mzee Manara na mzee Jk wengine wote hamnazo.
 
Kitendo cha akili yako kuelewa kwamba ni majungu au mipasho ni step namba 1, step namba 2 ni wewe kuchangia sasa kwa jinsi ulivyoelewa

Binafsi sioni sababu ya msingi ya kumpromoti huyo Haji Manara wenu kila siku humu jukwaani, halafu wakati huo huo mnafahamu fika amefungiwa.

Kwa nini msimpotezee? Mbona kama mnazidi tu kumpaisha!!
 
Ujinga ni mashabiki wa yanga kuamini manara ni mwana yanga halisi kuliko ali kamwe nugaz na bumbuli kile kirusi kipo pale kuhakikisha GSM anafanya umafia wake bila mtu yoyote kumuongelea au kujua na atakye thubutu kuongelea uwekezaji wa GSM kwa yanga basi ni halali ya manara.
 
Binafsi sioni sababu ya msingi ya kumpromoti huyo Haji Manara wenu kila siku humu jukwaani, halafu wakati huo huo mnafahamu fika amefungiwa.

Kwa nini msimpotezee? Mbona kama mnazidi tu kumpaisha!!
kama wewe humkubali ni juu yako, ndiyo maana hata siku mashabiki wa yanga WALIPOMUUA KWA KIPIGO shabiki wa coastal union kule arusha ally kamwe naye alinusurika hata wilson ouma alinusurika pia ni kwa sababu wana yanga wanaliaminia jembe lao manara
Lolote atakalosema kwamba huyu apendwe au achukiwe na wana yanga lazima wafanye iwe mashabiki au Injinia hersi mwenyewe, vumilia tu
 
Kweni nani anyelazimisha afisa habari wa Yanga kujulikana?
yeye ndiye mwenye final say kwenye hilo na mengineyo mengi pia sema kwenye hili sababu ya uzoefu wake na elimu yake kubwa ya media wamemuachia jukumu
 
Ujinga ni mashabiki wa yanga kuamini manara ni mwana yanga halisi kuliko ali kamwe nugaz na bumbuli kile kirusi kipo pale kuhakikisha GSM anafanya umafia wake bila mtu yoyote kumuongelea au kujua na atakye thubutu kuongelea uwekezaji wa GSM kwa yanga basi ni halali ya manara.
Sope kakamata mpini ,leo mwana yanga Ally kamwe ni wa kunusurika kipigo arusha kwa kosa la kumchangia Geoge mpole hela ya hongera ?
Tena kanusurika siku ambayo wana yanga wamemuua shabiki wa coastal union kwa kipigo kikali wakiwa wanaipigania team yao baada ya kujazwa upepo namna ya kuipgania team na sope takadini
 
Mkuu Manara ni msemaji namba moja tanzania anayeweza kujenga hoja na ushawishi nadhani degree zake mbili za china na south Africa zinampa backup kubwa sana
Pia mkuu Manara ni mtu muungwana tofauti na baadhi ya wachambuzi (wenye husda nae) wanavyomuongelea na ndio maana sehemu zote alizofanya kazi sio tu kumkumbuka bali wanamlilia arudi leo kesho
CCM mkoa wa Dar es salaam toka aondoke manara na Legacy aliyoiacha pale imekuwa ngumu kupata mtu wa kuvaa viatu vyake, Simba vilevile wanajuta kumpoteza Manara mafanikio yao yameshuka sana toka jamaa amue kuchana nao kistaarabu baada ya kupata ofa kubwa Jangwani ambao ampaka sasa amewapa ubingwa wa NBC premier league pamoja na kombe la FA huku Manara akiahidi watafanya vizuri zaidi kwenye michuano ya Caf (kufika nusu fainal au fainali) mwaka huu
 
Back
Top Bottom