Wakati tunasubiri ni afisa habari gani wa Yanga atachaguliwa na Manara tuwe na subira

Wakati tunasubiri ni afisa habari gani wa Yanga atachaguliwa na Manara tuwe na subira

Mkuu Manara ni msemaji namba moja tanzania anayeweza kujenga hoja na ushawishi nadhani degree zake mbili za china na south Africa zinampa backup kubwa sana
Pia mkuu Manara ni mtu muungwana tofauti na baadhi ya wachambuzi (wenye husda nae) wanavyomuongelea na ndio maana sehemu zote alizofanya kazi sio tu kumkumbuka bali wanamlilia arudi leo kesho
CCM mkoa wa Dar es salaam toka aondoke manara na Legacy aliyoiacha pale imekuwa ngumu kupata mtu wa kuvaa viatu vyake, Simba vilevile wanajuta kumpoteza Manara mafanikio yao yameshuka sana toka jamaa amue kuchana nao kistaarabu baada ya kupata ofa kubwa Jangwani ambao ampaka sasa amewapa ubingwa wa NBC premier league pamoja na kombe la FA huku Manara akiahidi watafanya vizuri zaidi kwenye michuano ya Caf (kufika nusu fainal au fainali) mwaka huu
Na Manara atawafikisha Yanga fainali ya CAF CL

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Nyuzi zako siku hizi zimekosa mashiko na wachangiaji sababu watu washakujua wewe ni mtu wa aina gani.
 
Back
Top Bottom