Wakati umefika sasa kuwe na Serikali itakayosimamia maslahi ya watanganyika pekee

Wakati umefika sasa kuwe na Serikali itakayosimamia maslahi ya watanganyika pekee

Kwani kujiita watanganyika Kuna shida gani??
Tanganyika imekaa kienyeji Sana then tushaji brand Sana kama TZ na Duniani kokote ukisikia imetajwa aunkuhusishwa TZ kwa namna moja au nyengine ujue ni Mainland mpaka kwenye ishu za muungano ndio tunakumbuka kuna kitu kinaitwa Zanzibar kumbuka Zanzibar kaji-brand Kama Zanzibar Sasa sualanla wewe kukiuliza kabla ya kutaka Mainland tujiite Tanganyika WHY wakati huu wa muungano Zanzibar ajiite Zanzibar.

Kujiita Tanganyika ni ujinga ikiwa Zanzibar amesimama na jina lake before, after and after kuvunjika.

BOTTOM LINE: ukizungumzia TZ ni Mainland jina letu Zanzibar just kama kivuri tu
 
Ungeanza kwanza kusimamia migodi ya madini yote ya Tanganyika na mali zote zilizouzwa au unagaua baadhi ya mambo yanayokuchukiza.
 
Maoni ya Warioba yalikuwa na mapendekezo ya kuwa na serikali 3 watu mkayakataa... Haya ndio mavuno sasa
 
Kwa hiyo unataka kupindua serikali ya Tanzagiza na kuleta ya kwako ya Danganyika, tukisema wewe ni mhaini tutakuwa tumekosea?
 
Tanganyika imekaa kienyeji Sana then tushaji brand Sana kama TZ na Duniani kokote ukisikia imetajwa aunkuhusishwa TZ kwa namna moja au nyengine ujue ni Mainland
Kuhusu mambo ya kujitangaza hapo labda. Lakini kusema eti Tanganyika imekaa kienyeji siyo sawa.Hayo ni mawazo yasiyo na Mantiki.

Halafu unawezaje kuwa na "Mainland" bila ya kuwa na "Island"?
 
Ungeanza kwanza kusimamia migodi ya madini yote ya Tanganyika na mali zote zilizouzwa au unagaua baadhi ya mambo yanayokuchukiza.
Kwani kuna jambo mahsusi nimelizungumzia?
 
Pamoja na kuunga mkono hoja yako. Mimi deep inside naamini katika serikali moja tu yenye nguvu na mamlaka kamili iitawale Afrika nzima kuan?ia Cairo mpaka Cape Town. Uwepo Tanganyika ni fikra finyu sana kwa mawazo ya kuunda serikali moja ya kidikteta yenye uwezo wa kuziondosha serikali hizi uchwara tunazohangaika nazo.
 
Ukiangalia kwa makini utaona kwamba wakati Sasa umefika wa kuwa na Serikali itakayosimamia maslahi ya watanganyika pekee.

Kama maslahi ya wanzibari yanasimamiwa na Serikali ya Zanzibar ni kwa nini basi kusiwe na Serikali itakayosimamia maslahi ya Tanganyika?
Maslahi ya England kwenye United Kingdom yanasimamiwa na Serikali ipi? Maslahi ya Russia ndani ya (Russia) yanasimamiwa na Serikali ipi? Natanguliza shukrani.
 
Maslahi ya England kwenye United Kingdom yanasimamiwa na Serikali ipi? Maslahi ya Russia ndani ya (Russia) yanasimamiwa na Serikali ipi? Natanguliza shukrani.
England na Russia ni tofauti kabisa.

Kwani Muundo wao na wetu unafanana?

Umewahi kusoma kitabu cha "uongozi wetu na hatima ya Tanzania"? Cha Mwalimu?

Ukiwa Zanzibar unaiona Serikali ya Muungano kwa jicho la shirikisho, lakini ukiwa Tanganyika unaziona Serikali mbili zenye mamlaka kamili yanayofanana lakini yasiyolingana.
 
England na Russia ni tofauti kabisa.

Kwani Muundo wao na wetu unafanana?

Umewahi kusoma kitabu cha "uongozi wetu na hatima ya Tanzania"? Cha Mwalimu?

Ukiwa Zanzibar unaiona Serikali ya Muungano kwa jicho la shirikisho, lakini ukiwa Tanganyika unaziona Serikali mbili zenye mamlaka kamili yanayofanana lakini yasiyolingana.
Hujanijibu!
 
Kwenye mambo yanayohusu maslai ya wazanzibar kwenye muungano, wazanzibar huondoa tofauti zao za kichama na kiitikadi na kuwa kitu kimoja kutetea maslai ya wazanzibar, tofauti kabisa na huku Tanganyika inapotokea ukinzano wa kutetea maslai ya watanganyika, katika muungano watanganyika tunagawanyika ,wapo watakao kuwa upande wa Tanganyika na wapo watanganyika watakao didimiza maslai ya Tanganyika kwa sababu ya maslai yao binafsi
we kweli ni poyoyo, Tanganyika ndiyo Tanzania, maslahi yapi tena, ukiwa mpumbavu unazeeka na upumbavu wako hakuna wa kukufundisha hapa duniani. iliyokuwa Tanganyika ndiyo imevaa koti la muungano, ndio babalao inapigania maslahi yake kutoka kwa nani tena? Nigeelewa wazanzibari kulalamika maana wao wamenyanganywa sovereignty yao na mambo mengine km iliyokuwa taifa huru. Nchi hii haigawanyiki nyie makenge, km mmeshindwa kupata madaraka kupitia Tanzania msifikiri mtapata madaraka kupitia hiyo nchi ya kufikirika ambayo haitorudi tena kuwepo mpaka vilembwe vyenu. Mmezoea ubaguzi, na mkiendekezwa hamtaishia hapo
 
Back
Top Bottom