Tajiri Sinabay
JF-Expert Member
- Dec 25, 2024
- 1,333
- 3,619
Salamu wakuu,
Ikiwa utaamua kuoa kwa lengo la kuishi na mwanamke hadi mauti yawatenganishe usipuuze huu ushauri.
Ushauri huu nautowa kwa wale ambao tayari wameyapatia maisha kwa wewe kijana masikini na unaejitafuta Kama mimi acha kabisa kusoma huu uzi, kwa sababu wewe ndoa haikufai, tena kaa nayo mbali.
(Kwanini? nitaeleza siku nyingine maana niliwahi kuingia huu mtumbwi wa vibwengo)
Haya tuendelee hapa wazee wenzangu muliojipata.
Miongoni mwa mambo mengi ya muhimu katika kuchagua mwanamke wa kuishi nae katika maisha ya ndoa huwezi kuacha kichagua umbo linalokupendeza.
Kwa utafiti wangu asilimia 80 ya watoto wa kike hufanana na mama zao maumbo, lakini katika hizi asilimia themanini zinagawanyika tena katika mafungu matatu asilimia 25 hufanana na mama tangu kuzaliwa, asilimia 15 hufanana na mama baada ya kuvunja ungo na asilimia 40 hufanana na mama baada ya kupata mtoto/watoto.
Hivyo basi umbo lolote utakalo mwona nalo mama wa huyo binti kwa asilimia kubwa ndio umbo la huyo binti la muda mchache mbeleni.
Nisiwachoshe sana matajeree yangu ni hayo msije kusema sikuwaambia wakati hizo saa 6 za jua kali zimegeuka saa 2 usiku au hizo namba 8 zimegeuka p.
Asanteni.
Ikiwa utaamua kuoa kwa lengo la kuishi na mwanamke hadi mauti yawatenganishe usipuuze huu ushauri.
Ushauri huu nautowa kwa wale ambao tayari wameyapatia maisha kwa wewe kijana masikini na unaejitafuta Kama mimi acha kabisa kusoma huu uzi, kwa sababu wewe ndoa haikufai, tena kaa nayo mbali.
(Kwanini? nitaeleza siku nyingine maana niliwahi kuingia huu mtumbwi wa vibwengo)
Haya tuendelee hapa wazee wenzangu muliojipata.
Miongoni mwa mambo mengi ya muhimu katika kuchagua mwanamke wa kuishi nae katika maisha ya ndoa huwezi kuacha kichagua umbo linalokupendeza.
Kwa utafiti wangu asilimia 80 ya watoto wa kike hufanana na mama zao maumbo, lakini katika hizi asilimia themanini zinagawanyika tena katika mafungu matatu asilimia 25 hufanana na mama tangu kuzaliwa, asilimia 15 hufanana na mama baada ya kuvunja ungo na asilimia 40 hufanana na mama baada ya kupata mtoto/watoto.
Hivyo basi umbo lolote utakalo mwona nalo mama wa huyo binti kwa asilimia kubwa ndio umbo la huyo binti la muda mchache mbeleni.
Nisiwachoshe sana matajeree yangu ni hayo msije kusema sikuwaambia wakati hizo saa 6 za jua kali zimegeuka saa 2 usiku au hizo namba 8 zimegeuka p.
Asanteni.