Wakati unachagua mke wa kuoa mtazame pia mama yake

Wakati unachagua mke wa kuoa mtazame pia mama yake

Tajiri Sinabay

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2024
Posts
1,333
Reaction score
3,619
Salamu wakuu,

Ikiwa utaamua kuoa kwa lengo la kuishi na mwanamke hadi mauti yawatenganishe usipuuze huu ushauri.

Ushauri huu nautowa kwa wale ambao tayari wameyapatia maisha kwa wewe kijana masikini na unaejitafuta Kama mimi acha kabisa kusoma huu uzi, kwa sababu wewe ndoa haikufai, tena kaa nayo mbali.

(Kwanini? nitaeleza siku nyingine maana niliwahi kuingia huu mtumbwi wa vibwengo)

Haya tuendelee hapa wazee wenzangu muliojipata.
Miongoni mwa mambo mengi ya muhimu katika kuchagua mwanamke wa kuishi nae katika maisha ya ndoa huwezi kuacha kichagua umbo linalokupendeza.

Kwa utafiti wangu asilimia 80 ya watoto wa kike hufanana na mama zao maumbo, lakini katika hizi asilimia themanini zinagawanyika tena katika mafungu matatu asilimia 25 hufanana na mama tangu kuzaliwa, asilimia 15 hufanana na mama baada ya kuvunja ungo na asilimia 40 hufanana na mama baada ya kupata mtoto/watoto.

Hivyo basi umbo lolote utakalo mwona nalo mama wa huyo binti kwa asilimia kubwa ndio umbo la huyo binti la muda mchache mbeleni.

Nisiwachoshe sana matajeree yangu ni hayo msije kusema sikuwaambia wakati hizo saa 6 za jua kali zimegeuka saa 2 usiku au hizo namba 8 zimegeuka p.

Asanteni.
 
Kuna dogo alikuja kunisalimia na mchumba wake hospital KCMC.Baada ya yote akanitambulisha asee kuwa huyu ndiye.

Ijapokuwa nilikuwa mgonjwa niliwaza huyu dogo katumia kigezo gani hadi kufikia hatua ya kwenda kujitambulisha kwao na binti?

Mwonekano wa nje tu nikaona hafai kwa 100% halafu akiwa kwa room ya mgonjwa anapigiwa simu kama huduma kwa wateja hadi zingine ana zisubirisha halafu anasema nipo na mgonjwa !!!!..Nywela zina rangi2 tofauti kwenye meno ana hizo mnaita cheni ama sijui nn mtajua wenyewe.

Kavaa maviatu marefu kama rihana
Nilikuwa sijawahi kuona live kope za bandia na kucha nikaona kwake .
Na mengine mengine. kipindi wanatoka nikamuita dogo njoo chap nikamwambia sikia huna mke usitoe mahali akajichekesha akaenda...... wakaona michango tukampa miezi saba tu wakabwagana ndo kuanza kusema bro uliona mbali yaani yule alikuwa shetani kabisa.

Ni mwaka 2023 hapa juzijuzi tu
 
Yeah, nimesoma heading tu na inatosha kukuunga mkono hoja yako. Ushahidi ni kwenye quran surat maryam ambapo maryam alipokuja na kichanga walimshangaa sana wakadhani amepata kitoto kwa zinaa wakamwambia "...mbona baba yako hakuwa mhuni wala mama yako si malaya?..."
 
Hii kanuni kuna kipindi inafanya kazi na kuna kipindi haifanyi kazi. Japo kuangalia background kwa ujumla ina faida kuliko kuwa na hasara, ingawa background sio rangi ya kijani
 
Kuna dogo alikuja kunisalimia na mchumba wake hospital KCMC.Baada ya yote akanitambulisha asee kuwa huyu ndiye.

Ijapokuwa nilikuwa mgonjwa niliwaza huyu dogo katumia kigezo gani hadi kufikia hatua ya kwenda kujitambulisha kwao na binti?

Mwonekano wa nje tu nikaona hafai kwa 100% halafu akiwa kwa room ya mgonjwa anapigiwa simu kama huduma kwa wateja hadi zingine ana zisubirisha halafu anasema nipo na mgonjwa !!!!..Nywela zina rangi2 tofauti kwenye meno ana hizo mnaita cheni ama sijui nn mtajua wenyewe.

Kavaa maviatu marefu kama rihana
Nilikuwa sijawahi kuona live kope za bandia na kucha nikaona kwake .
Na mengine mengine. kipindi wanatoka nikamuita dogo njoo chap nikamwambia sikia huna mke usitoe mahali akajichekesha akaenda...... wakaona michango tukampa miezi saba tu wakabwagana ndo kuanza kusema bro uliona mbali yaani yule alikuwa shetani kabisa.

Ni mwaka 2023 hapa juzijuzi tu
Tatizo la mtu akipenda anakuwa boya hata red flags hazioni. Hata umwambie nini hawezi kukuelewa
 
Mama ni mwenye furaha mtoto atakuwa na furahaaa

Mama kajaaaliwa maaashalla...mtoto nae atakuwa maaashalla...

Mama anapenda kugawa pipi na mtoto nae atagawa pipiiii

Mama mpenda pombe na mtoto nae atakuwa mpenda pombe

Mama mpenda sala na mtoto nae atapenda sala na ibada

Metafakari naona kila mmoja na vitabia vyake kulingana na historia ya familia na hata jamii ilomzunguka tangu utotoni

Usioe ka haupo tayari ... Usioe kwa kulinganisha mienendo na tabia za wengineee .... Usioe kwa kupenda fungasho/tabasamu/ etc Kuna siku hatokuwa navyo hivyoo utakuwa na huzuni moyoni ama kutafya vya pembeni
 
Kuna dogo alikuja kunisalimia na mchumba wake hospital KCMC.Baada ya yote akanitambulisha asee kuwa huyu ndiye.

Ijapokuwa nilikuwa mgonjwa niliwaza huyu dogo katumia kigezo gani hadi kufikia hatua ya kwenda kujitambulisha kwao na binti?

Mwonekano wa nje tu nikaona hafai kwa 100% halafu akiwa kwa room ya mgonjwa anapigiwa simu kama huduma kwa wateja hadi zingine ana zisubirisha halafu anasema nipo na mgonjwa !!!!..Nywela zina rangi2 tofauti kwenye meno ana hizo mnaita cheni ama sijui nn mtajua wenyewe.

Kavaa maviatu marefu kama rihana
Nilikuwa sijawahi kuona live kope za bandia na kucha nikaona kwake .
Na mengine mengine. kipindi wanatoka nikamuita dogo njoo chap nikamwambia sikia huna mke usitoe mahali akajichekesha akaenda...... wakaona michango tukampa miezi saba tu wakabwagana ndo kuanza kusema bro uliona mbali yaani yule alikuwa shetani kabisa.

Ni mwaka 2023 hapa juzijuzi tu
Wakati wa kuoa hawasikilizi ushauri, wakishaoa wakamwagiwa uji wa moto wanaunda makundi ya kihanaharakati ya kataa ndoa.
 
Back
Top Bottom