mbwangali
JF-Expert Member
- Jan 8, 2021
- 2,266
- 4,057
Hongereni sanaMuasisi wa kataa ndoa alioa mwanamke kama anavyosimulia mtoa mada , sisi tuliooa mabikra hatujawahi kujuta kuoa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongereni sanaMuasisi wa kataa ndoa alioa mwanamke kama anavyosimulia mtoa mada , sisi tuliooa mabikra hatujawahi kujuta kuoa.
Huwa ni hivyo kabisa dogo alioa Kwa mbwembwe kubwa mno. Uzuri nilimwambia palepale siku1 ya kwanza. Nakumbuka kipindi namwambia Dr wangu nae akaingia ananizid miaka kama6 Hivi nikawa namwambia....huyu dogo kasema huyu ndo mwanamke aliemchumbia Hivi karibun nimemwambia asitoe mahali hapa hakuna mwanamke.Tatizo la mtu akipenda anakuwa boya hata red flags hazioni. Hata umwambie nini hawezi kukuelewa
Msafara wote huo means jamaa ana pesa, wakale restaurant😅.Huwa ni hivyo kabisa dogo alioa Kwa mbwembwe kubwa mno. Uzuri nilimwambia palepale siku1 ya kwanza. Nakumbuka kipindi namwambia Dr wangu nae akaingia ananizid miaka kama6 Hivi nikawa namwambia....huyu dogo kasema huyu ndo mwanamke aliemchumbia Hivi karibun nimemwambia asitoe mahali hapa hakuna mwanamke.
Akaniambia sema umempa ukweli ila atamwambia huyo binti siku Moja.
Mke Gani anakuja na nguo za ovyo namna hii halafu ndo kwanza kachumbiwa tu hata ndoa Bado.
Tuli Discuss mengi na Dr kuhusu vijana Mae akisema yake huku akinionyesha ndoa alizohudhuria na Tyr wamebwagana.
Alinipa kisa kimoja tukacheka sana.... Ndoa ilifungwa hapo Arusha msafara ukaanzia KIA Hadi huko ukumbini baada siku 3 mwanamke anasema hajawahi pika Wala hajui. Jamaa akapiga simu Kwa mama mkwe mama mkwe akajibu ndio hajawahi kabisa kupika mpe simu....
Mama akaanza kumfundisha mtoto wake Kwa simu ....Nilicheka sana.
Nikaanza kujiuliza ilikuwaaje dogo akaoa mwanamke asiyejua hata kupika? Hadi ndoa hajui huyu anajua kupika au lah?
Sitalazimisha ushauri wangu ukuhusu na wala katika uzi wangu sijasema wanaume wachague wanawake wenye maumbo mazuri tu, ila katika chapisho langu nimesema Umbo linalo kupendeza.Bas huo ushauri me hauniusu kwasabab cangalii umbo niktaka kuoa, nina wake wawili sasa na nategemea kuongeza watatu, nyumba nmepanga.
Rudia tena kusoma chapisho halafu uoanishe na ulichokiandika.tafiti ziko wapi, ulipotoa hizo takwimu?
naona uongo tu hapo
Ule kutoka Arusha Hadi KIA Walienda na ndege Sasa msafara wa magari ukaanzia hapo KIA uwanja wa ndge Hadi moshi mjini ilipokuwa inafungwa ndoa (Kwa mwana mme) Baada ya ndoa kuisha zikapita siku3 Bi harusi akaambiwa aingie jikoni kupika akasema hajui akamwambia kama haamini amuulize mama yake (binti).Msafara wote huo means jamaa ana pesa, wakale restaurant😅.
Nilihisi kuna madini hapa kumbe upupu tu mkuu!! Yani nyie mnaoa mnaangalua makalio mnafeli pakubwa sana.Salamu wakuu,
Ikiwa utaamua kuoa kwa lengo la kuishi na mwanamke hadi mauti yawatenganishe usipuuze huu ushauri.
Ushauri huu nautowa kwa wale ambao tayari wameyapatia maisha kwa wewe kijana masikini na unaejitafuta Kama mimi acha kabisa kusoma huu uzi, kwa sababu wewe ndoa haikufai, tena kaa nayo mbali.
(Kwanini? nitaeleza siku nyingine maana niliwahi kuingia huu mtumbwi wa vibwengo)
Haya tuendelee hapa wazee wenzangu muliojipata.
Miongoni mwa mambo mengi ya muhimu katika kuchagua mwanamke wa kuishi nae katika maisha ya ndoa huwezi kuacha kichagua umbo linalokupendeza.
Kwa utafiti wangu asilimia 80 ya watoto wa kike hufanana na mama zao maumbo, lakini katika hizi asilimia themanini zinagawanyika tena katika mafungu matatu asilimia 25 hufanana na mama tangu kuzaliwa, asilimia 15 hufanana na mama baada ya kuvunja ungo na asilimia 40 hufanana na mama baada ya kupata mtoto/watoto.
Hivyo basi umbo lolote utakalo mwona nalo mama wa huyo binti kwa asilimia kubwa ndio umbo la huyo binti la muda mchache mbeleni.
Nisiwachoshe sana matajeree yangu ni hayo msije kusema sikuwaambia wakati hizo saa 6 za jua kali zimegeuka saa 2 usiku au hizo namba 8 zimegeuka p.
Asanteni.
Mwanamke asiyekatikiwa simu huyo ni kibwengo.Kuna dogo alikuja kunisalimia na mchumba wake hospital KCMC.Baada ya yote akanitambulisha asee kuwa huyu ndiye.
Ijapokuwa nilikuwa mgonjwa niliwaza huyu dogo katumia kigezo gani hadi kufikia hatua ya kwenda kujitambulisha kwao na binti?
Mwonekano wa nje tu nikaona hafai kwa 100% halafu akiwa kwa room ya mgonjwa anapigiwa simu kama huduma kwa wateja hadi zingine ana zisubirisha halafu anasema nipo na mgonjwa !!!!..Nywela zina rangi2 tofauti kwenye meno ana hizo mnaita cheni ama sijui nn mtajua wenyewe.
Kavaa maviatu marefu kama rihana
Nilikuwa sijawahi kuona live kope za bandia na kucha nikaona kwake .
Na mengine mengine. kipindi wanatoka nikamuita dogo njoo chap nikamwambia sikia huna mke usitoe mahali akajichekesha akaenda...... wakaona michango tukampa miezi saba tu wakabwagana ndo kuanza kusema bro uliona mbali yaani yule alikuwa shetani kabisa.
Ni mwaka 2023 hapa juzijuzi tu
Halafu mbele ya mgonjwa na hawazi. Daah yani madogo wanazingua unaweza mzaba kibao sijui Huwa wanapewa Nini. Nguo aliyokuwa amevaa unaona Hadi mstari wa chupi ulipoishia halafu dogo ndo kaongozana nae aseeMwanamke asiyekatikiwa simu huyo ni kibwengo.
Kwa hiyo mzee umejikita kwenye maumbo tu wewe unapochagua mke?Salamu wakuu,
Ikiwa utaamua kuoa kwa lengo la kuishi na mwanamke hadi mauti yawatenganishe usipuuze huu ushauri.
Ushauri huu nautowa kwa wale ambao tayari wameyapatia maisha kwa wewe kijana masikini na unaejitafuta Kama mimi acha kabisa kusoma huu uzi, kwa sababu wewe ndoa haikufai, tena kaa nayo mbali.
(Kwanini? nitaeleza siku nyingine maana niliwahi kuingia huu mtumbwi wa vibwengo)
Haya tuendelee hapa wazee wenzangu muliojipata.
Miongoni mwa mambo mengi ya muhimu katika kuchagua mwanamke wa kuishi nae katika maisha ya ndoa huwezi kuacha kichagua umbo linalokupendeza.
Kwa utafiti wangu asilimia 80 ya watoto wa kike hufanana na mama zao maumbo, lakini katika hizi asilimia themanini zinagawanyika tena katika mafungu matatu asilimia 25 hufanana na mama tangu kuzaliwa, asilimia 15 hufanana na mama baada ya kuvunja ungo na asilimia 40 hufanana na mama baada ya kupata mtoto/watoto.
Hivyo basi umbo lolote utakalo mwona nalo mama wa huyo binti kwa asilimia kubwa ndio umbo la huyo binti la muda mchache mbeleni.
Nisiwachoshe sana matajeree yangu ni hayo msije kusema sikuwaambia wakati hizo saa 6 za jua kali zimegeuka saa 2 usiku au hizo namba 8 zimegeuka p.
Asanteni.
Sawa kiongoziNilihisi kuna madini hapa kumbe upupu tu mkuu!! Yani nyie mnaoa mnaangalua makalio mnafeli pakubwa sana.
Hiyo TU inakataana na nilichoandika mimi mkuu.Kwa hiyo mzee umejikita kwenye maumbo TU
Eee mkuu chapisho langu limejikita hapo tabia wataongelea wengineNilijua unaongelea tabia mkuu kumbe sura na maumbo
Tabia za watoto wa kike hujengwa na mamaa zao na hata marafiki wa hao mama zaoKwa utafiti wangu asilimia 80 ya watoto wa kike hufanana na mama zao maumbo, lakini katika hizi asilimia themanini zinagawanyika tena katika mafungu matatu asilimia 25 hufanana na mama tangu kuzaliwa, asilimia 15 hufanana na mama baada ya kuvunja ungo na asilimia 40 hufanana na mama baada ya kupata mtoto/watoto.
Thread 'Tabia za mtu ambaye utotoni mwake amedekezwa sana' https://www.jamiiforums.com/threads/tabia-za-mtu-ambaye-utotoni-mwake-amedekezwa-sana.2295295/Halafu mbele ya mgonjwa na hawazi. Daah yani madogo wanazingua unaweza mzaba kibao sijui Huwa wanapewa Nini. Nguo aliyokuwa amevaa unaona Hadi mstari wa chupi ulipoishia halafu dogo ndo kaongozana nae asee
Mkuu binafsi napenda makalio. Na anayo hilo tu linatosha kwangu na nimweupee.Salamu wakuu,
Ikiwa utaamua kuoa kwa lengo la kuishi na mwanamke hadi mauti yawatenganishe usipuuze huu ushauri.
Ushauri huu nautowa kwa wale ambao tayari wameyapatia maisha kwa wewe kijana masikini na unaejitafuta Kama mimi acha kabisa kusoma huu uzi, kwa sababu wewe ndoa haikufai, tena kaa nayo mbali.
(Kwanini? nitaeleza siku nyingine maana niliwahi kuingia huu mtumbwi wa vibwengo)
Haya tuendelee hapa wazee wenzangu muliojipata.
Miongoni mwa mambo mengi ya muhimu katika kuchagua mwanamke wa kuishi nae katika maisha ya ndoa huwezi kuacha kichagua umbo linalokupendeza.
Kwa utafiti wangu asilimia 80 ya watoto wa kike hufanana na mama zao maumbo, lakini katika hizi asilimia themanini zinagawanyika tena katika mafungu matatu asilimia 25 hufanana na mama tangu kuzaliwa, asilimia 15 hufanana na mama baada ya kuvunja ungo na asilimia 40 hufanana na mama baada ya kupata mtoto/watoto.
Hivyo basi umbo lolote utakalo mwona nalo mama wa huyo binti kwa asilimia kubwa ndio umbo la huyo binti la muda mchache mbeleni.
Nisiwachoshe sana matajeree yangu ni hayo msije kusema sikuwaambia wakati hizo saa 6 za jua kali zimegeuka saa 2 usiku au hizo namba 8 zimegeuka p.
Asanteni.
Mimi namrudisha kwao akajifunze kupika na akimaliza mafunzo nampa matazamio wiki moja kwenye hiyo wiki akipika chakula cha ovyo anarudi kwao mazima🤣🤣🤣🤣Huwa ni hivyo kabisa dogo alioa Kwa mbwembwe kubwa mno. Uzuri nilimwambia palepale siku1 ya kwanza. Nakumbuka kipindi namwambia Dr wangu nae akaingia ananizid miaka kama6 Hivi nikawa namwambia....huyu dogo kasema huyu ndo mwanamke aliemchumbia Hivi karibun nimemwambia asitoe mahali hapa hakuna mwanamke.
Akaniambia sema umempa ukweli ila atamwambia huyo binti siku Moja.
Mke Gani anakuja na nguo za ovyo namna hii halafu ndo kwanza kachumbiwa tu hata ndoa Bado.
Tuli Discuss mengi na Dr kuhusu vijana Mae akisema yake huku akinionyesha ndoa alizohudhuria na Tyr wamebwagana.
Alinipa kisa kimoja tukacheka sana.... Ndoa ilifungwa hapo Arusha msafara ukaanzia KIA Hadi huko ukumbini baada siku 3 mwanamke anasema hajawahi pika Wala hajui. Jamaa akapiga simu Kwa mama mkwe mama mkwe akajibu ndio hajawahi kabisa kupika mpe simu....
Mama akaanza kumfundisha mtoto wake Kwa simu ....Nilicheka sana.
Nikaanza kujiuliza ilikuwaaje dogo akaoa mwanamke asiyejua hata kupika? Hadi ndoa hajui huyu anajua kupika au lah?