Nimecheka sana dah life bwanamm kulikua na n'gombe alikua hana banda la kulalla nae alikua analala sebuleni mkuu round ya pili mshua akanunua n'gmbe wa pili dume alikua mbishi kuingia sevuleni hatari
Huku kwetu bwana, nyumba zetu hizi katika hali ya kawaida, ndani ya nyumba mnaingia watu, kuku na vitoto vya mbuzi. Nje limewekwa sanzu zito kuzunguka nyumba/makazi yote (Uzio wa miiba na miti aka boma). Kwenye boma huko nje wanalala ng'ombe, punda na mbuzi wakubwa kunakuwepo na kaboma kadogo ndani ya boma kubwa kwa ajili ya ndama ili kuwazuia wasinyonye usiku.Kwetu bwana , kulikuwaga na pikipiki ya babu, miaka hiyo mzee alishindwa kulitengeneza, likawa limekaa tu, sasa linalazwa ukumbini.
Asubuhi mnaamka nalo kulitoa kwanza liwapishe, jioni ndo kitu cha mwisho kuingizwa, hata kama umelala bahati mbaya mzee atakuamsha ukaingize piki piki yenu.
Basi ilinikera kwelikweli haha haaa!
Vipi wewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mm kulikua na n'gombe alikua hana banda la kulalla nae alikua analala sebuleni mkuu round ya pili mshua akanunua n'gmbe wa pili dume alikua mbishi kuingia sevuleni hatari
Godoro, ilikua lazima usiku liloane halafu asubuhi linatolewa nje kuanikwa, jioni ndiyo linaingizwa ndani.Kwetu bwana , kulikuwaga na pikipiki ya babu, miaka hiyo mzee alishindwa kulitengeneza, likawa limekaa tu, sasa linalazwa ukumbini.
Asubuhi mnaamka nalo kulitoa kwanza liwapishe, jioni ndo kitu cha mwisho kuingizwa, hata kama umelala bahati mbaya mzee atakuamsha ukaingize piki piki yenu.
Basi ilinikera kwelikweli haha haaa!
Vipi wewe
Kaka hizi mada huja wahi zichukulia serious kabisa π πmm kulikua na n'gombe alikua hana banda la kulalla nae alikua analala sebuleni mkuu round ya pili mshua akanunua n'gmbe wa pili dume alikua mbishi kuingia sevuleni hatari
πππ kwa ugumu wa maisha uliokuepo kaka lazma kila kitu ukione kama ni utani tuKaka hizi mada huja wahi zichukulia serious kabisa π π