Wakati Urusi bado wanahangaika na HIMARS, sasa USA kutuma 'VAMPIRE' Ukraine

Wakati Urusi bado wanahangaika na HIMARS, sasa USA kutuma 'VAMPIRE' Ukraine

Eti NATO waingize jeshi ??!!--- wao hawaujui mziki wa Russia??!!, wao hawajui silaha za siri alizokuwanazo Russia ambazo hata hajaanza kuzitumia??, hypersonics zinazoweza kubeba nuclear heads na makombora mengine heavy ya nuklear ya Russia NATO hawayajui??!!, NATO hawajui kufa??, wewe huoni wakipigana dhidi ya Russia kwa mgongo wa Ukraine??!, makombora ya Nuclear ya Russia yanaweza kufuta sehemu kubwa ya Ulaya kama sio Ulaya yote, Ulaya hawajui hilo?!!. Ni NATO mwehu anayeweza kuingiza mguu dhidi ya Russia.

Yaani hiyo NATO humo kuna nchi moja tu inailiza Urusi hadi raha, sasa hesabu mataifa yote hayo yaje kumparamia ukizingatia ameteswa na kainchi kadogo kiasi cha kushindwa pakutokea.
 
Russia anazo defensive hata kabla vita haijaanza au hujui kwamba yeye ndiye mwamba wa defensive systems duniani??

Vipi ndugu upo ulimwengu gani??--- unawezaje kumpiga mtu mwenye good defence systems kirahisi??, ni Ukraine ambaye hakuwa na defence baada ya kichapo cha haja ndipo kaamua atafute sasa, kakumbuka shuka wakati kumekucha[emoji1787][emoji1787]
Sasa kama ana defensive Kali mbona Makombora yanatua kwenye maghala yake yake ya silaha pamoja na command posts!?

Au defensive zake ni za mchongo?!
 
AISEEE
1661691634280.jpg
 
Hii VAMPIRE ina uwezo wa kufungashwa kwenye magari ya kawaida tu na ikafanya mashambulizi makali, na haihitaji wanajeshi wengi, mwanajeshi mmoja tu ametosha kusababisha maangamizi kwa kuitumia......

JMJKSNVHPFASXJG6FKSRIRAA6U.webp
The VAMPIRE system can fit in almost any pickup or vehicle with a cargo bed. (Courtesy of L3Harris)

WASHINGTON — The U.S. is sending Ukraine “Vampire” kits that transform pickup trucks and other non-tactical vehicles into highly portable missile launchers.

As part of a $3 billion package for Ukraine that the Pentagon announced Wednesday, the Vehicle-Agnostic Modular Palletized ISR Rocket Equipment system is a portable kit that can be installed on most vehicles with a cargo bed for launching the Advanced Precision Kill Weapons System or other laser-guided munitions.

Source: ARMY TIMES

Hii habari nimeiona na lengo ni kupambana na Drones za Russia ambazo hufanya upelelezi Ukraine kisha kutuma taarifa jeshi la Russia kisha mapigo yanaanzia hapo. Kwa vyovyote nae Russia atajua counter measure ya hizo. Unajua US na Russia kwenye Silaha achana nao. Hao ni miamba, kila anachofanya mmoja anakuja kutafuta njia mbadala
 
Hiki ndicho kitu Marekani anakipenda siku zote. Kutengeneza migogoro ya kivita duniani kote, ili wamiliki wa viwanda vya silaha wa Kimarekani wapate soko la kuuzia bidhaa zao.

Na wakati huo huo tenda za kuijenga upya hiyo nchi iliyo haribiwa na vita lazima yapewe makampuni ya Kimarekani!

Kiufupi tu Marekani ni Taifa la kijinga sana. Kamwe huwezi kuona vita inapiganwa nchini kwake! Yenyewe inapenda kuchochea vita kwenye nchi nyingine, halafu wakati mnauana, yenyewe inawauzia silaha na kuchukua yenda za ujenzi! Na kama kuna mafuta, inabeba kupeleka Marekani.

Yule Mchekeshaji Zelenysky anatumika pasipo yeye mwenyewe kujua.
Je, Putin analijua hilo? Mbona ni Putin alianzisha hiyo vita?
 
Sasa kama ana defensive Kali mbona Makombora yanatua kwenye maghala yake yake ya silaha pamoja na command posts!?

Au defensive zake ni za mchongo?!

Kwani ukiambiwa defensive nzuri unaelewa ni ni??-- ukiambiwa timu ya Barcelona ina defence nzuri inamaana haiwezi kufungwa kabisaa??!!🤣
 
Mpaka mwaka huu huyo jamaa alikuwa ana huo mpango, lakini pia kuligomboa hilo eneo la Crimea! Ambalo kimsingi lilikuwa ni eneo la Urusi hapo kabla.

Ukisoma historia utakuja kuona kuna Rais wa USSR wa wakati huo aliliondoa hilo eneo kutoka Urusi, na kulihamishia Ukaraine, huku likiwa lina Russian speaking people wengi.
Duh!! 😕
 
Hii habari nimeiona na lengo ni kupambana na Drones za Russia ambazo hufanya upelelezi Ukraine kisha kutuma taarifa jeshi la Russia kisha mapigo yanaanzia hapo. Kwa vyovyote nae Russia atajua counter measure ya hizo. Unajua US na Russia kwenye Silaha achana nao. Hao ni miamba, kila anachofanya mmoja anakuja kutafuta njia mbadala

Urusi usimlinganishe na US maana ametia aibu sana, ameshindwa kuparamia kainchi kadogo saizi ya mkoa wake mmoja, kaangukia pua pale Kyiv hadi aibu......
Kila nikiangalia hii ramani naishangaa sana Urusi ilivyo hovyoo

621f88934b524-1-jpg_700x350.png
 
Urusi usimlinganishe na US maana ametia aibu sana, ameshindwa kuparamia kainchi kadogo saizi ya mkoa wake mmoja, kaangukia pua pale Kyiv hadi aibu......
Kila nikiangalia hii ramani naishangaa sana Urusi ilivyo hovyoo

621f88934b524-1-jpg_700x350.png


Wewe huelewi au unajifanya kutokuelewa au ndio Mahaba ya Ukraine yamekupofua macho!!, Russia anapigana na NATO na USA Kwa mgongo wa Ukraine. Kuanzia leo lazima ujue hiyo vita ni Russia upande mmoja dhidi ya NATO +USA kwa upande mwingine.
 
Wewe huelewi au unajifanya kutokuelewa au ndio Mahaba ya Ukraine yamekupofua macho!!, Russia anapigana na NATO na USA Kwa mgongo wa Ukraine. Kuanzia leo lazima ujue hiyo vita ni Russia upande mmoja dhidi ya NATO +USA kwa upande mwingine.

Hapigani na NATO maana hakuna mwanajeshi wa NATO ametia mguu pale, mwambieni kwenye makombora yake akosee njia ashambulie kataifa kamoja ka NATO, NATO wanamtamani sana, kwanza kuna kipindi hujitoa ufahamu na kufanya violation ya mpaka wake na Finland, subiri sasa hao Finland wanajiunga NATO, tuone kama huyo Urusi atajisahau tena.
 
Eti NATO waingize jeshi ??!!--- wao hawaujui mziki wa Russia??!!, wao hawajui silaha za siri alizokuwanazo Russia ambazo hata hajaanza kuzitumia??, hypersonics zinazoweza kubeba nuclear heads na makombora mengine heavy ya nuklear ya Russia NATO hawayajui??!!, NATO hawajui kufa??, wewe huoni wakipigana dhidi ya Russia kwa mgongo wa Ukraine??!, makombora ya Nuclear ya Russia yanaweza kufuta sehemu kubwa ya Ulaya kama sio Ulaya yote, Ulaya hawajui hilo?!!. Ni NATO mwehu anayeweza kuingiza mguu dhidi ya Russia.
Kinyume chake kutokana na maelezo urusi hapigani na nato.

Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
 
Hapigani na NATO maana hakuna mwanajeshi wa NATO ametia mguu pale, mwambieni kwenye makombora yake akosee njia ashambulie kataifa kamoja ka NATO, NATO wanamtamani sana, kwanza kuna kipindi hujitoa ufahamu na kufanya violation ya mpaka wake na Finland, subiri sasa hao Finland wanajiunga NATO, tuone kama huyo Urusi atajisahau tena.


Wewe upo dunia ipi au huelewi mambo??!!, NATO anajihusisha moja kwa moja kwa njia hizi; 1--Msaada wa Silaha na logistics, 2- Msaada wa utaalamu katika kutumia hizo silaha, 3--- Msaada wa spying na surveillance, 4- Msaada wa pesa nk, 5--Vikwazo vya uchumi dhidi ya Russia, 6-- Wamo wanajeshi wachache kutoka NATO (to be precise kutoka nchi za NATO individually) na USA naye yupo na NATO katika hayo majukumu sita niliyoyataja.

Kwa hali hiyo utasemaje Russia anapigana na Ukraine pekee??!!--- acha Ushabiki.
 
Wewe upo dunia ipi au huelewi mambo??!!, NATO anajihusisha moja kwa moja kwa njia hizi; 1--Msaada wa Silaha na logistics, 2- Msaada wa utaalamu katika kutumia hizo silaha, 3--- Msaada wa spying na surveillance, 4- Msaada wa pesa nk, 5--Vikwazo vya uchumi dhidi ya Russia, 6-- Wamo wanajeshi wachache kutoka NATO (to be precise kutoka nchi za NATO individually) na USA naye yupo na NATO katika hayo majukumu sita niliyoyataja.

Kwa hali hiyo utasemaje Russia anapigana na Ukraine pekee??!!--- acha Ushabiki.

NATO hajajihusisha, yeye anawapa Ukraine vijisiraha fulani hivi wapambane na hivyo vimemliza Mrusi hadi raha, NATO wenyewe humo kuna mataifa moja moja tu yana uwezo wa kuipiga Urusi bila kusaidiwa, sasa wakimparamia wote atafutika. Wanamtamani sana, aambiwe akosee njia na kakombora kamoja hivi.
 
Congress wamempa Biden dola bilioni 40 za kuanzia atumuie kwa ajili ya Ukraine, bajeti ya mwaka ya ulinzi tu ya US ni dola bilioni 750.
Vita vya Iraq US ilikuwa inatumia dola milion 300 kwa siku kwa miaka 20.
Hawafilisiki leo wala kesho hao.
Wamezui pesa za Russia nyingi na ndio zitakazolipia gharama ya Vita. Marekani uchumi wake upo very strategic planning. Sisi ndio tunaishi bila mipango. Wao kila kitu ni bihashara. Apo hata USA anafanya bihashara ya Vita na lazima iyo pesa yake itarudi zaidi ya mara 5

Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Pamoja na kuniheshimu ukitaka tuelewane usitetee mashoga wa Ukraine kwa namna yeyote ile. Ukraine ni wapuuzi maana Russia kabla ya kuvamia alitoa concerns zake ikiwamo kuiomba Ukraine i declare kuwa haina mpango wa kujiunga NATO.

Zelensky kakaza ubongo sababu USA ndo alimfadhili kijeshi na mwisho wa siku lengo ilikuwa ni kumtia ndimu ili amgeuke mrusi na kumvamia kama wao walivyovamiwa sasa. Putin ombi lake likapuuzwa basi ndio akaamua sasa atapambana kulidhoofisha jeshi la Ukraine.
Unaposema Ukraine ni Mashoga. Wewe mwenyewe shoga tuuu

Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Fact gani mzee. Marekani anataka kutufanya dunia nzima wasenge kwa ubabe wake wa kijinga kwa mgongo wa demomrasia. Sasa kakutana na chuma cha pua Urusi hawapangiwi.

Wacha moto uwake tu hapo Ukraine hadi watakapobakia wanajeshi wawili.
Hawawezi kubaki Askari wawili na wakati mataifa yote yanapeleka wapiganaji Ukraine. Russia nae aombe maaskari kutoka mataifa mengine, maana kila Taifa lishapoteza maaskari wengi sana

Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom