Wakati Urusi bado wanahangaika na HIMARS, sasa USA kutuma 'VAMPIRE' Ukraine

Wakati Urusi bado wanahangaika na HIMARS, sasa USA kutuma 'VAMPIRE' Ukraine

Ebu lete video hata moja yenye msaada kama huu waliotoa EU au USA kisha tutajua ni nani kwenye akili na ni nani maskini na nani tajiri







EU ina ukubwa wa km za mraba million 4.2 ina jumla ya GDP USD Trillion 18, kubwa jinga Russia lina ukubwa wa kilometa za mraba million 17 ila GDP ni USD Trillion 1.5 tu.
 
Urusi atupe muhogo mmoja wa Nyuklia tu humo, mpaka uwe na masalia ya nuclear tuone kama Ukraine atapita juu ya Nuclear particles
Thubutuu na wengine wamemwangalia Tu ? ! Kuna assured mutual destruction pact Kati ya United States na Russia ,usitegemee hata siku moja Russia atathubutu kutumia nuclear weapons ,atageuzwa dessert in minutes
 
Alooo cijui nani atakuwa na wendawazimu wa kuvamia Marekani. Ile inchi raia wanamiliki silaha za kivita kama wabongo tunavyomiliki visu.

Na swala lipo wazi kwenye katiba yao kujilinda kutoka adui wa nje ( mvamizi) na adui wa ndani ( tyrant ).
Mwambie huyo ,hajui maana ya " the second amendment right of the United States citizen " .raia Tu wana maghala ya silaha Kule
 
Daaa yaani uchambuzi mwingine huu!!yaani wewe uliyopo matombo huko, umeliona hilo kuliko hao maprof.wa duniani!!!hahaaa
Eti atakuja kula hasara babu kubwa!!!lile taifa achana nalo unafikiria ni dola trilioni ngapi zilitumika kwenye vita afganistani?, leo karibia dunia nzima kuna bases za kijeshi za USA, tena ni kwa gharama zao, mashirika yote ya kimataifa mchangiaji mkubwa ni yeye, umeshaona ametetereka?!mbona bado ndio taifa linaloongoza kwa uchumi duniani?
Ile budget Marekani aliyotumia Kule Afghanistan let alone Iraq ni budget ya kuijenga Africa hii na kuibadilisha kuwa ulaya ,trust me
 
Marekani na NATO waliokua wanapigana kisasa na watalaban kwa miaka 20 lkn mwisho wake wakakimbia
Mrusi huyo huyo alisamba pia Kwa hao wataliban akapigwa na kuikimbia Afghanistan Kwa aibu kubwa ,
Lesson hapa ni kuwa ukifanya vita ya uvamizi WA uonevu lazima unyooshwe mpaka utie adabu ,huwezi kuvamia territory ya Taifa kingine tena kionevu halafu ujatarajia ushindi ,never hata kama Una silaha zilizotengenezewa mwezini au mars , in a long run you are always doomed to be a looser ,
Russia kavamia nchi ya Ukraine ,a sovereign country mbaya zaidi alimega eneo wakamuacha akaota pembe kaamua kuingia kibabe sasa Acha ubabe utumike kumyoosha ,ni lazima anyooshwe ili iwe fundisho Kwa wapuuz wengine wenye Tabia hizo .
 
Ile budget Marekani aliyotumia Kule Afghanistan let alone Iraq ni budget ya kuijenga Africa hii na kuibadilisha kuwa ulaya ,trust me
Leo anaibuka Mrusi wa buza, eti hii vita ya ukraine inaenda kumfirisi USA!!!Wakati wala haimgharimu sana kwani yeye ni kumpa msaada wa vifaa tu mfano hadi sasa ameshatoa kama dola 13 bilioni .
 
Ahh! Wapi Kyev ilimshinda kaishia kupambana na tumiji twa mpakani.. Ameingia hasara mithili ya majeshi ya mataifa matano Afrika.
Ilimshinda lini aliamua awaache ili aingie Donbas vizuri
 
EU ina ukubwa wa km za mraba million 4.2 ina jumla ya GDP USD Trillion 18, kubwa jinga Russia lina ukubwa wa kilometa za mraba million 17 ila GDP ni USD Trillion 1.5 tu.
Kwenye ardhi Russia anautajiri kiasi gani?
 
Mfano wa hao watu wanaoitwa "finance capital" ni kina nani?
Wataje watatu tu.
Hawa ni wachache tu lakini kuna viwanda vya silaha (ambavyo ndivyo vinasambaza silaha kwa sasa kule Ukraine), Investimate Banks na Private Equities ambao huwa na fedha za kuanzisha biashara kubwakubwa na wengine kama Hedge Funds ambazo hushughulikia "assets" ambazo zaweza kutoa fedha za kununua mashirika makubwa kama hapa kwetu TTCL na kadhalika.

Hii ni mifano michache lakini wakubwa hawa wapo na nafikiri ukisikia mikutano mikubwa duniani ile tuisikiayo kama World Economic Forum, G7 au G20 na ile mikutano mingine ambayo ndo hawa jamaa pekee huhudhuria (nyuma ya pazia) wakipata maelekezo kutoka kwa wenye dunia.

Ni hawa kama wakumbuka uzuri walimtuma yule jamaa na ujumbe mzito kutoka Canada ambae ni bosi wa Barrick kuja TZ kumuona JPM alietikisa ulimwengu wao.
 
Leo anaibuka Mrusi wa buza, eti hii vita ya ukraine inaenda kumfirisi USA!!!Wakati wala haimgharimu sana kwani yeye ni kumpa msaada wa vifaa tu mfano hadi sasa ameshatoa kama dola 13 bilioni .
Na yamkini hiyo misaada ni pesa za Russia ambazo magharibi wanazishikilia.
 
Back
Top Bottom