Wakati viongozi wa CHADEMA wakiwashawishi vijana waandamane, watoto wao wamewapeleka Marekani kuponda raha

Wakati viongozi wa CHADEMA wakiwashawishi vijana waandamane, watoto wao wamewapeleka Marekani kuponda raha

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Akili mu kichwa, viongozi wa CHADEMA, Sasa ni dhahiri, watoto wao wote wamewapeleka kuishi ughaibuni na kuwachukulia uraia wa huko.

Baada ya kuwapa makazi huko, wanarudi Tanzania na kuanza kuhamasisha watoto wetu waandamane ili wapigwe risasi.Tumewalea watoto hawa kwa gharama kubwa, lakini wanawachochea kufanya uhalifu.

Vijana tuwe makini, ukiwa kilema ni wewe, hutamuona Mbowe, Lema, Wala Mnyika. Na huwezi kuwaona wakienda kumpa pole mama au baba wa Akwilina. Wanajiangalia wao tu.

Wakati mwingine huwa nahoji kama kweli hao viongozi wa Chadema ni raia wa Tanzania
 
Ni bora ufe ukipigania haki, kuliko kufa kwa uzembe wa serikali ya ccm, kama kukosa huduma za afya, msongo wa mawazo kutokana na kupanda kwa gharama za maisha uliosababishwa na bi tozo, ajali za kipumbavu ambazo ccm imeshindwa kushughulika nazo n.k
 
Hatuna demokrasia ndiyo maana tunaona maandamano ni uhalifu. Tungekuwa na demokrasia, maandamano yangeruhusiwa maana ni freedom of speech.
 
Akili mu kichwa, viongozi wa CHADEMA, Sasa ni dhahiri, watoto wao wote wamewapeleka kuishi ughaibuni na kuwachukulia uraia wa huko.

Baada ya kuwapa makazi huko, wanarudi Tanzania na kuanza kuhamasisha watoto wetu waandamane ili wapigwe risasi.Tumewalea watoto hawa kwa gharama kubwa, lakini wanawachochea kufanya uhalifu.

Vijana tuwe makini, ukiwa kilema ni wewe, hutamuona Mbowe, Lema, Wala Mnyika. Na huwezi kuwaona wakienda kumpa pole mama au baba wa Akwilina. Wanajiangalia wao tu.

Wakati mwingine huwa nahoji kama kweli hao viongozi wa Chadema ni raia wa Tanzania
Haijalishi,tutaandamana tu, watoto wao hawatuhusu,lazima hao wanyonyaji tuwafulishe
 
Akili mu kichwa, viongozi wa CHADEMA, Sasa ni dhahiri, watoto wao wote wamewapeleka kuishi ughaibuni na kuwachukulia uraia wa huko.

Baada ya kuwapa makazi huko, wanarudi Tanzania na kuanza kuhamasisha watoto wetu waandamane ili wapigwe risasi.Tumewalea watoto hawa kwa gharama kubwa, lakini wanawachochea kufanya uhalifu.

Vijana tuwe makini, ukiwa kilema ni wewe, hutamuona Mbowe, Lema, Wala Mnyika. Na huwezi kuwaona wakienda kumpa pole mama au baba wa Akwilina. Wanajiangalia wao tu.

Wakati mwingine huwa nahoji kama kweli hao viongozi wa Chadema ni raia wa Tanzania
Kuhamia Burundi au Marekani au kubaki Tz kipi ni kipi!!!

Chill!!!!
 
Uzi wa Kwanza tayari na ni asubuhi bado. Sijui utaanzisha mwingine kufikia jioni?
 
Ni bora ufe ukipigania haki, kuliko kufa kwa uzembe wa serikali ya ccm, kama kukosa huduma za afya, msongo wa mawazo kutokana na kupanda kwa gharama za maisha uliosababishwa na bi tozo, ajali za kipumbavu ambazo ccm imeshindwa kushughulika nazo n.k
Watanzania sio wajinga hivyo
 
Akili mu kichwa, viongozi wa CHADEMA, Sasa ni dhahiri, watoto wao wote wamewapeleka kuishi ughaibuni na kuwachukulia uraia wa huko.

Baada ya kuwapa makazi huko, wanarudi Tanzania na kuanza kuhamasisha watoto wetu waandamane ili wapigwe risasi.Tumewalea watoto hawa kwa gharama kubwa, lakini wanawachochea kufanya uhalifu.

Vijana tuwe makini, ukiwa kilema ni wewe, hutamuona Mbowe, Lema, Wala Mnyika. Na huwezi kuwaona wakienda kumpa pole mama au baba wa Akwilina. Wanajiangalia wao tu.

Wakati mwingine huwa nahoji kama kweli hao viongozi wa Chadema ni raia wa Tanzania
kwanini huwa mnayahusisha maandamano yaliyo ruhusiwa kisheria na kupigwa watu risasi? kwani maandamano yalikatazwa lini kwenye hii nchi?
unasema watoto wao wanaponda raha US je wale wanafunzi waliokosa mikopo vyuoni wanaponda raha kama watoto wa LISU na Mbowe? tuseme hawa wa vyuoni Tanzania wakiandamana ili kupata mikopo ni haramu pia?
umeme na maji hakuna je tukiandamana kuwadai hili hitaji pia mtatupiga risasi na mpaka watoto wa LISU na Mbowe wawepo ndiyo iwe halali?
ukosefu wa ajira nao tusiandamane mpaka watoto wa Lisu na Mbowe wawepo?
Huwa najiuliza,
MTU KAMA WEWE ULISOMA KWELI? ULISOMA WAPI HUKO ULIKOFUNDISHWA UPUUZI NA UJINGA WA KIWANGO HIKI?
Kwamba mtu kuandamana mpaka mtoto wa kiongozi awepo?
 
kwanini huwa mnayahusisha maandamano yaliyo ruhusiwa kisheria na kupigwa watu risasi? kwani maandamano yalikatazwa lini kwenye hii nchi?
unasema watoto wao wanaponda raha US je wale wanafunzi waliokosa mikopo vyuoni wanaponda raha kama watoto wa LISU na Mbowe? tuseme hawa wa vyuoni Tanzania wakiandamana ili kupata mikopo ni haramu pia?
umeme na maji hakuna je tukiandamana kuwadai hili hitaji pia mtatupiga risasi na mpaka watoto wa LISU na Mbowe wawepo ndiyo iwe halali?
ukosefu wa ajira nao tusiandamane mpaka watoto wa Lisu na Mbowe wawepo?
Huwa najiuliza,
MTU KAMA WEWE ULISOMA KWELI? ULISOMA WAPI HUKO ULIKOFUNDISHWA UPUUZI NA UJINGA WA KIWANGO HIKI?
Kwamba mtu kuandamana mpaka mtoto wa kiongozi awepo?
Inawezekana wakisikia "Maandamano" kwao hutafsiri kama "Mapambano".

CCM na vyombo vieleweshwe tofauti kati ya MAANDAMANO na MAPAMBANO.
 
Akili mu kichwa, viongozi wa CHADEMA, Sasa ni dhahiri, watoto wao wote wamewapeleka kuishi ughaibuni na kuwachukulia uraia wa huko.

Baada ya kuwapa makazi huko, wanarudi Tanzania na kuanza kuhamasisha watoto wetu waandamane ili wapigwe risasi.Tumewalea watoto hawa kwa gharama kubwa, lakini wanawachochea kufanya uhalifu.

Vijana tuwe makini, ukiwa kilema ni wewe, hutamuona Mbowe, Lema, Wala Mnyika. Na huwezi kuwaona wakienda kumpa pole mama au baba wa Akwilina. Wanajiangalia wao tu.

Wakati mwingine huwa nahoji kama kweli hao viongozi wa Chadema ni raia wa Tanzania
Nilitegemea unaleta ushahidi wa ticket ya ndege au chochote kinachoonesha watoto wao wameenda huko unakosema. Kumbe ni porojo tu!? Ukute na wewe hapo ulipo una familia inakutegemea!
 
Watajwa Wanatupa NADHARIA mbili;-

1.Uraia pacha uwepo kikatiba

2.wanaleta hoja za kugawa wanachama KWA kupoteza imani KWA makada na Chama KWA UJUMLA!

Hatujui KWA faida ya Nani wamesema Hayo maana ni personal!
 
Watajwa Wanatupa NADHARIA mbili;-

1.Uraia pacha uwepo kikatiba

2.wanaleta hoja za kugawa wanachama KWA kupoteza imani KWA makada na Chama KWA UJUMLA!

Hatujui KWA faida ya Nani wamesema Hayo maana ni personal!
Ndomana CDM Bado haiaminiki kupewa DOLA,

Yapo mambo na Sera za kimagharibi wamezishika zinakinzana na Tamaduni na miiko ya Taifa.

Tupate KATIBA mpya itokanayo na Rasimu alosimamia Judge WARIOBA.

Kizaliwe chama kipya, CHOTARA ya CDM mixture CCM ktk sera zake.
 
Watajwa Wanatupa NADHARIA mbili;-

1.Uraia pacha uwepo kikatiba

2.wanaleta hoja za kugawa wanachama KWA kupoteza imani KWA makada na Chama KWA UJUMLA!

Hatujui KWA faida ya Nani wamesema Hayo maana ni personal!
Suala la uraia pacha Wazee walilikataa,

Mwanzo sa100 alijaribu kulisemea badae akabadili uelekeo na kumfurusha waziri yule Aliekuwa na uraia pacha.
 
Nilitegemea unaleta ushahidi wa ticket ya ndege au chochote kinachoonesha watoto wao wameenda huko unakosema. Kumbe ni porojo tu!? Ukute na wewe hapo ulipo una familia inakutegemea!
Kwa majibu haya, ndio maana kazi yako ni kusukuma mkokoteni
 
Akili mu kichwa, viongozi wa CHADEMA, Sasa ni dhahiri, watoto wao wote wamewapeleka kuishi ughaibuni na kuwachukulia uraia wa huko.

Baada ya kuwapa makazi huko, wanarudi Tanzania na kuanza kuhamasisha watoto wetu waandamane ili wapigwe risasi.Tumewalea watoto hawa kwa gharama kubwa, lakini wanawachochea kufanya uhalifu.

Vijana tuwe makini, ukiwa kilema ni wewe, hutamuona Mbowe, Lema, Wala Mnyika. Na huwezi kuwaona wakienda kumpa pole mama au baba wa Akwilina. Wanajiangalia wao tu.

Wakati mwingine huwa nahoji kama kweli hao viongozi wa Chadema ni raia wa Tanzania
Akilini mwako umeweka chumvi au matope.??
 
Back
Top Bottom