Wakati Waafrika wakiuzwa kama watumwa, Mashehe, Mapadre, wachungaji wa Ulaya, Amerika na Uarabuni walikuwa wapi?

Wakati Waafrika wakiuzwa kama watumwa, Mashehe, Mapadre, wachungaji wa Ulaya, Amerika na Uarabuni walikuwa wapi?

Nadhani mtoa Mada hajasoma history....waliokuwa wanaendesha biashara za utumwa ni waarabu.na wamisionary na humanitarian ndio walioshinikiza kuachishwa Kwa biashara ya utumwa.kama Kuna watu wa kuwalaumu kuhusu biashara ya utumwa ni hao hao warabu.

Waarabu waliwafanya nini enyi wafuasi wa paulo? Mbona kila kitu waarabu waarabu!! Huko mashuleni hadi kwenye vitabu waarabu waarabu sijui kama bado yapo hayo madudu mliyo aminishwa!!
 
Waarabu waliwafanya nini enyi wafuasi wa paulo? Mbona kila kitu waarabu waarabu!! Huko mashuleni hadi kwenye vitabu waarabu waarabu sijui kama bado yapo hayo madudu mliyo aminishwa!!
Kwani wewe hujasoma shule....hujui hayo yapo kwenye historia kuwa waarabu walikuwa wakifacilitate biashara za utumwa East and west Africa.
 
Hata waarabu Sio wa kuwalaumu.
Wakulaumiwa ni waafrika wenyewe sababu ya ubinafsi haukuanza Leo.
Mwarabu hakuuingia front kukamata watu Bali mwafrika ndie aliuza ndugu zake,mateka wa vita nk
Pia ilikuwaje lundo la watu wanaswagwa na watu watano toka congo hadi bagamoyo huku wakipita kwenye vijiji vyenye watu bila kushambuliwa nao

Hawa watu ukitaka kuwateka akili zao japo sio wote, waandikie historia yoyote ya kizushi kuhusu mwarabu wataamini kilichotungwa kwa sababu gani!! Mwarabu anachukiwa, Uislamu unapigwa vita. Yani anakuja mtu from nowhere eti waarabu ni watu wabaya sana 😄 ubaya wake nini? Walitesa mababu zetu, haya ukimuuliza je! Wakati wanateswa ulikuwepo hamna😄 ona sasa!
 
Kwani wewe hujasoma shule....hujui hayo yapo kwenye historia kuwa waarabu walikuwa wakifacilitate biashara za utumwa East and west Africa.

Huwa sifuatilii vitu vya kipumbavu visivyo na ukweli wowote, najitambua, najiamini.

Hebu niambie! Ni nani kazitunga hizo historia? Mtaje jina, hata la ukoo tu!
 
Waafrika ndio walipenda kuchukuliwa utumwani tusiwalaumu wakoloni
 
Sote tunajua kuwa imani za dini (Ukristo na Uislam) vilikuwepo kabla ya utumwa. Umewahi kujiuliza wakati Waafrica wanauzwa kama Mbuzi kwenye masoko ya Ulaya, Marekani, Uarabuni, viongozi wa dini wa nchi hizo walikuwa wapi kupinga biashara hiyo, tena nchi kama Marekani watumwa wakilimishwa kwenye mashamba kwa uwazi kabisa? Jambo hili huwa najiuliza sipati majibu.

Kwa upande wa Tanzania, rasilimali zote nyeti zinamilikiwa na wawekezaji huku Watanzania wakibaki kama Watwana kwenye Maliasili zao. Madini yanachimbwa huku michanga ikibebwa na kupelekwa tusipojua, kilichomo humo hatujui, ndege kutoka Dubai inatua Loliondo na kuondoka, hivi tuna uhakika kama wanabeba wanyama hai? Vipi ule wimbo wa kwamba Tanzania iwe tayari kuelekea kwenye uchumi wa gesi ya Mtwara na Lindi, tena tunakaambiwa yatasambazwa mabomba ya gesi, kweli huo uchumi wa gesi tunauona?

Watanzania tusikubali kuingia kwenye mitego ya Wanasiasa, achaneni na propaganda za eti tusichanganye siasa na dini, viongozi wa dini zote, Waislam, Wakristo na dini nyingine, kemea mikataba mibovu. Tukiruhusu mikataba mibovu, vizazi vyetu bila kujali dini zetu vitaishia kuwa dereva bodaboda huku watoto wa kizungu wakitafuna urithi wetu.
Dini ni nira ya kuendeleza unyonyaji dhidi ya mlalahoi. Mbaya zaidi, ni nyenzo inayoshikilia sehemu nyeti (fikra) ya anayenyonywa bila nguvu inayoonekana au kupimika kirahisi
Wakati wa utumwa ukoloni na sasa ukoloni mamboleo dini zinahusika kwa kiasi kinachohesabika.
Njia hiyo hiyo ikitumika kurudisha mapigo inaweza kutoa ufanisi zaidi.
 
Walioshinikiza kusitishwa kwa biashara ya utumwa ni wamishenari, na baada ya kusitishwa kwa biashara ya utumwa ni kanisa ndio liliwagomboa watumwa wote waliokuwa sokoni kwa kuwalipia!. Lile kanisa Mkunazini limejengwa mahali palipokuwa na soko la watumwa. Udhalimu wa Waarabu Zanzibar na Pemba: Ndugu zetu waliteswa, hasiwa, bakwa, na kuuawa kinyama
P
Hao hao wamishionary ndio walikuwa chanzo cha Utumwa maana walikuja Afrika kwa target ya upelelezi chini ya kivuli cha dini wakishirikiana na wafanyabiashara, soma historia kidogo vitangulizi vya ukoloni ni akina nani.

Baada ya nchi za ulaya na ndugu zao kuona biashara ya Utumwa hailipi ktk uzalishaji mali inatumika nguvu kubwa matokeo hasi huku tukio la Mapinduzi ya viwanda likienea Ulaya+Asia ikafanya nguvu kazi ya mwanadamu kuonekana haina maana ndiomaana wakaja na gia ya kukomesha biashara hiyo.

Wamishionary+waarabu ndio chanzo cha utumwa, jiulize kwanini wakoloni hawakuwakamata waafrika direct lkn waliwatumia watu wa dini na ushawishi wa kidini?

Kwasababu dini ilikuwa na lengo la kuwapumbaza waafrika, kuwalaza kiakili+kiroho ndipo wakaanza ushenzi wao, haimake sense muarabu mmoja na gobole awaongoze makumi ya mijanaume nguvu kazi ya kiafrika kwa viminyororo nayenyewe inatii bila kufanya vurugu.

There was a higher level of magic+witchcraft ilifanyika kuwaroga waafrika wasifurukute, the same way wanavyoroga wanyama kwa kuwasomea dua ili wawachinje kiurahisi pasipo vurugu ndivyo muafrika alirogwa na hao mashetan mnaowaona watakatifu wazungu na waarabu.

Huu ukweli huwa amuambiwi, dini ndio chanzo cha maovu na mujue viongozi wa kikanisa katoric ndio waliobariki biashara hii na kuitakasa kwa jina la Yesu kristo, huku hata meli zilizobeba watumwa ziliitwa Kwa jina la Yesu(kuna nguvu kubwa sana ktk jina la Yesu iliyotumika kuwapumbaza na kuwaroga babu zetu wasifurukute bali watii amri za wazungu wasifanye fujo hata wakiona wake zao wanabakwa azaran), the same way kwa waarabu wasoma dua walivyoharibu maisha ya babu zetu.

Jamani someni histori naona mnasoma juu juu hamutaki kuelezea ukweli maana unawachoma na hizo dini zenu hamtaki tuweke uchafu na uovu wa dini ulioharibu maisha ya waafrika.

Dini ndio chanzo cha utumwa, tafuta vitabu vya kihistoria visivyofungamana na pande za hao brainwashers mtaujua ushetan wa hizo imani zenu za kipuuzi.
 
Huwa sifuatilii vitu vya kipumbavu visivyo na ukweli wowote, najitambua, najiamini.

Hebu niambie! Ni nani kazitunga hizo historia? Mtaje jina, hata la ukoo tu!
Itakuwa uliishia darasa la 7B otherwise ungekuwa umesoma darasani....hiyo ipo darasani kwenye SoMo la history mambo ya slave Trade.usibishe Sababu wametajwa warabu hata wazungu pia wao missionaries walitajwa kama walikuwa ni watangulizi wa colonialism.As christian sipaswi kubisha Sababu imetajwa christian religion....pamoja na kuwa wapo missionaries waliokuwa na Nia mbaya Bado walikuwepo wenye Nia nzuri ya kuwahubiria watu habari njema.unapocoment usiwe bias Sababu ya dini Yako....wote tunajua slave trade ilikuwa inasimamiwa na waarabu period.
 
Huyo okello laana za Allah ziwe juu yake, hujui alichowafanyia waislamu sio!! Umefurahia alichokifanya yeye na vibaraka wake sio!! Leo wakwapi hao madhaalim na makatili!! Washafukiwa sio!! Kila nafsi itaonja umauti.

Unavyodai unakumbuka historia ya slave trade hadi form six 😂 ulikuwepo? ni nani alieeneza huu uzushi wa kuaminisha waafrika kwamba waarabu walitesa mababu? Ni aibu sana kuongelea hizi stori, tena usijaribu kuongea kwa watu wanaojitambua watakupiga kofi.
Mbona umepaniki? Shule ya msingi darasa la tano , secondari form 1-4 Na 5-6 ulisomea wapi Ndugu, hebu tuanzie hapo.
Kama ulisomea Tanzania, topic ya slave trade ulifundishwa au hukufundishwa?
Mapinduzi ya Zanzibar ulifundishwa darasa la nne au la ?
Kwa nini ccm inaitwa chama cha Mapinduzi? Walimpindua nani?
Ni hayo tu - majibu bila hasira tafadhari, Mimi Na wengine toka 1993- 2000 tulifundishwq huko Mwananyamara primary, Azania, Kibaha shule za serikali ya ccm. Sasa Na wewe taja ulipo pata elimu yako...
 
Walioshinikiza kusitishwa kwa biashara ya utumwa ni wamishenari, na baada ya kusitishwa kwa biashara ya utumwa ni kanisa ndio liliwagomboa watumwa wote waliokuwa sokoni kwa kuwalipia!. Lile kanisa Mkunazini limejengwa mahali palipokuwa na soko la watumwa. Udhalimu wa Waarabu Zanzibar na Pemba: Ndugu zetu waliteswa, hasiwa, bakwa, na kuuawa kinyama
P
IMG-20230822-WA0009.jpg
IMG-20230822-WA0004.jpg
IMG-20230822-WA0003.jpg
IMG-20230822-WA0008.jpg
IMG-20230822-WA0007.jpg
IMG-20230822-WA0002.jpg
IMG-20230822-WA0006.jpg
IMG-20230822-WA0005.jpg
IMG-20230822-WA0001.jpg
IMG-20230822-WA0000.jpg
 
Hio ni Tanzania au USA; kwa East Africa wanachofanya hao alifanya Mwarabu tena long after hao wengine walipoacha, tena hao wengine huenda walifika huko kwa mkono wa mwarabu....
Huna akili, mbaguzi mkubwa!
 
Hawa watu ukitaka kuwateka akili zao japo sio wote, waandikie historia yoyote ya kizushi kuhusu mwarabu wataamini kilichotungwa kwa sababu gani!! Mwarabu anachukiwa, Uislamu unapigwa vita. Yani anakuja mtu from nowhere eti waarabu ni watu wabaya sana [emoji1] ubaya wake nini? Walitesa mababu zetu, haya ukimuuliza je! Wakati wanateswa ulikuwepo hamna[emoji1] ona sasa!
Hivi kumbe Uarabu ndo Uislamu?
 
Acheni kuwasingizia wakoloni waafrika wenyewe ndio walipenda kuchukuliwa utumwani.
Hata Leo wamejaa kwenye ofisi za balozi mbalimbali wakililia viza za kwenda utumwani
 
Mkuu upo sawa ?

Unachokiandika unashirikisha fikra zako ?, Wangependa wangeshikwa na kupelekwa? Si wangeletewa merikebu ili wauze nyara za kijiji na wapande hizo boti tena kwa kulipia
Hata Leo dream za vijana wengi ni kuzamia Ulaya we uoni hii ni spirit tu
 
Sote tunajua kuwa imani za dini (Ukristo na Uislam) vilikuwepo kabla ya utumwa. Umewahi kujiuliza wakati Waafrica wanauzwa kama Mbuzi kwenye masoko ya Ulaya, Marekani, Uarabuni, viongozi wa dini wa nchi hizo walikuwa wapi kupinga biashara hiyo, tena nchi kama Marekani watumwa wakilimishwa kwenye mashamba kwa uwazi kabisa? Jambo hili huwa najiuliza sipati majibu.

Kwa upande wa Tanzania, rasilimali zote nyeti zinamilikiwa na wawekezaji huku Watanzania wakibaki kama Watwana kwenye Maliasili zao. Madini yanachimbwa huku michanga ikibebwa na kupelekwa tusipojua, kilichomo humo hatujui, ndege kutoka Dubai inatua Loliondo na kuondoka, hivi tuna uhakika kama wanabeba wanyama hai? Vipi ule wimbo wa kwamba Tanzania iwe tayari kuelekea kwenye uchumi wa gesi ya Mtwara na Lindi, tena tunakaambiwa yatasambazwa mabomba ya gesi, kweli huo uchumi wa gesi tunauona?

Watanzania tusikubali kuingia kwenye mitego ya Wanasiasa, achaneni na propaganda za eti tusichanganye siasa na dini, viongozi wa dini zote, Waislam, Wakristo na dini nyingine, kemea mikataba mibovu. Tukiruhusu mikataba mibovu, vizazi vyetu bila kujali dini zetu vitaishia kuwa dereva bodaboda huku watoto wa kizungu wakitafuna urithi wetu.
Mapadre na Maaskofu ndiyo waliokomesha biashara ya utumwa.
 
Back
Top Bottom