Wakati Waafrika wakiuzwa kama watumwa, Mashehe, Mapadre, wachungaji wa Ulaya, Amerika na Uarabuni walikuwa wapi?

Wakati Waafrika wakiuzwa kama watumwa, Mashehe, Mapadre, wachungaji wa Ulaya, Amerika na Uarabuni walikuwa wapi?

Mungu si kwa ajili ya Wazungu bali binadamu wote na viumbe vyote pamoja na Waafrika.Kama Wazungu hawamwamini Mungu na kuamini katika sayansi zao acha Waafrika maskini wamwabudu Mungu wa kweli.
Mathayo 5:1-11
Mathayo 11:23-27
Mungu wa kweli anaye abudiwa, Alishindwaje kuumba Dunia yenye usawa kwa binadamu wote?

Mungu wa kweli, Alishindwaje kuumba Dunia isiyo na Uovu wala mabaya?

Mungu wa kweli, Alishindwaje kuumba binadamu wema tu wasioweza kutenda mabaya?

Mungu wa kweli, Alishindwaje kuumba Dunia isiyo na majanga ya Asili kama radi, mafuriko, matetemeko ya ardhi, vimbunga yanayo ua na yaliyo ua maelfu ya binadamu?

Mungu wa kweli, Alishindwaje kuumba Dunia isiyo na magonjwa na mateso?

Huyo Mungu ana ukweli gani?

Huyo Mungu yupo kweli?
 
Mungu wa kweli anaye abudiwa, Alishindwaje kuumba Dunia yenye usawa kwa binadamu wote?

Mungu wa kweli, Alishindwaje kuumba Dunia isiyo na Uovu wala mabaya?

Mungu wa kweli, Alishindwaje kuumba binadamu wema tu wasioweza kutenda mabaya?

Mungu wa kweli, Alishindwaje kuumba Dunia isiyo na majanga ya Asili kama radi, mafuriko, matetemeko ya ardhi, vimbunga yanayo ua na yaliyo ua maelfu ya binadamu?

Mungu wa kweli, Alishindwaje kuumba Dunia isiyo na magonjwa na mateso?

Huyo Mungu ana ukweli gani?

Huyo Mungu yupo kweli?
Wema na Wabaya wote ni mali ya Mungu bila wabaya wema hawapo na bila wema wabaya hawapo.Lakini kumbuka lile tunda walilokula wazazi wetu wa Kwanza Adamu na Hawa walipomkosea Mungu alimwambia Adamu nchi imelaaniwa tangu sasa utakula kwa jasho.
 
Hawa watu ukitaka kuwateka akili zao japo sio wote, waandikie historia yoyote ya kizushi kuhusu mwarabu wataamini kilichotungwa kwa sababu gani!! Mwarabu anachukiwa, Uislamu unapigwa vita. Yani anakuja mtu from nowhere eti waarabu ni watu wabaya sana 😄 ubaya wake nini? Walitesa mababu zetu, haya ukimuuliza je! Wakati wanateswa ulikuwepo hamna😄 ona
HIstoria inaonyesha hakuna mtu mweupe alishawahi kuwa mzuri kwa Afrika au mwafrika.Tunaweza watetea sana sababu wametuletea dini ya kiislam au wamissionary kuleta ukristo,pia tunaweza watetea kwa urafiki tulio nao sasa hv.Ila ukweli history na mateso waliopitia babu zetu haitofutika.Wammissionary walikuja kueneza dini but in reality walikuja kufanya exploration na ndo mwanzo wa ukoloni,waarabu waliuza babu zetu utumwani kwa mateso mazito hata useme nini huwezi lifuta hilo hata kama wewe ni mwarabu.
 
Wema na Wabaya wote ni mali ya Mungu bila wabaya wema hawapo na bila wema wabaya hawapo.Lakini kumbuka lile tunda walilokula wazazi wetu wa Kwanza Adamu na Hawa walipomkosea Mungu alimwambia Adamu nchi imelaaniwa tangu sasa utakula kwa jasho.
Mungu muweza wa yote, Anashindwaje kutenganisha wema na ubaya?

Inashindikana vipi, Wema kuwepo wenyewe tu, bila ubaya?

Kilicho shindikana ni nini?

Kuna ulazima gani wa uwepo wa wema na ubaya kwa pamoja?
 
HIstoria inaonyesha hakuna mtu mweupe alishawahi kuwa mzuri kwa Afrika au mwafrika.Tunaweza watetea sana sababu wametuletea dini ya kiislam au wamissionary kuleta ukristo,pia tunaweza watetea kwa urafiki tulio nao sasa hv.Ila ukweli history na mateso waliopitia babu zetu haitofutika.Wammissionary walikuja kueneza dini but in reality walikuja kufanya exploration na ndo mwanzo wa ukoloni,waarabu waliuza babu zetu utumwani kwa mateso mazito hata useme nini huwezi lifuta hilo hata kama wewe ni mwarabu.

Mimi siamini huo ujinga wa kuletewa habari za kusadikika, endelea kuwaaamini hao wanao kupotosha na wasiokupenda. Halafu unajiita Hassan, maelezo hayaendani na jina lako zuri. innaa lillaahi wainnaa ilaihi raajiuun

﴿وَلَن تَرْضَىٰ عَنكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُم بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّهِ مِن وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ﴾
[ البقرة: 120]

Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.​

 
Baada ya kusitiswa ndio kanisa likaingilia, vipi kabla ya hapo, je hawakuona waumini wao wakifanya biashara ya utumwa?
Kwanini umekiondoa kile kipande alichoandika ni Wamissionary ndiyo walishinikiza kukomeshwa kwa biashara ya utumwa?
 
Unajiabisha kubisha kitu ambacho kipo kwenye historia na evidence zipo za masoko ambayo biashara hizi zilifanyika yapo humu humu Tanzania....narudia mimi ni mkristo lakini Kuna vitu ambavyo missionaries walioleta ukristo walikuwa wanafanya sikubaliani navyo.Kama umesoma hujastarabika ilo ni tatizo lingine may be umekuwa affected na culture uliyokulia.
Lete ushahidi tuone kama kweli waarabu wametesa mababu na kuwahasi, lete huo ushahidi tujionee wote. Na unaoonyesha ZANZIBAR au TANZANIA BARA N.K! Lete sasa hivi


Nasubiri , usije na stori ndefu ikanifanya nikupuuze
 
Mimi siamini huo ujinga wa kuletewa habari za kusadikika, endelea kuwaaamini hao wanao kupotosha na wasiokupenda. Halafu unajiita Hassan, maelezo hayaendani na jina lako zuri. innaa lillaahi wainnaa ilaihi raajiuun

﴿وَلَن تَرْضَىٰ عَنكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُم بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّهِ مِن وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ﴾
[ البقرة: 120]

Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.​

Aliyekuambia hicho unachokiamini sio cha kusadikika ni nani.ulikuwepo?
 
Aliyekuambia hicho unachokiamini sio cha kusadikika ni nani.ulikuwepo?
Kwani wewe hujui Kuna masoko ya watumwa hapa Tanzania.Mbona tunaamini vitabu vya dini, How sure kama ni vya kusadikika? Hata wareno pia walihusika na slave trade.Wazungu pia Wana mabaya yao walikuwa wanawadanya Babu zetu wakiwapa nguo, na vitu vingine wakati wao wakichukua dhahabu.
Lete ushahidi tuone kama kweli waarabu wametesa mababu na kuwahasi, lete huo ushahidi tujionee wote. Na unaoonyesha ZANZIBAR au TANZANIA BARA N.K! Lete sasa hivi


Nasubiri , usije na stori ndefu ikanifanya n
 
Kwani wewe hujui Kuna masoko ya watumwa hapa Tanzania.Mbona tunaamini vitabu vya dini, How sure kama ni vya kusadikika? Hata wareno pia walihusika na slave trade.Wazungu pia Wana mabaya yao walikuwa wanawadanya Babu zetu wakiwapa nguo, na vitu vingine wakati wao wakichukua dhahabu.
Unajiabisha kutaka ushahidi vitu kama hivi vidogo ....hata watoto wa primary hawawezi kuuliza haya.msiwe mnakimbia shule, hili forum ya watu wasomi kuomba evidence ya vitu kama Ivo vinawafanya muonekane hamkwe nda shule.
 
Unajiabisha kutaka ushahidi vitu kama hivi vidogo ....hata watoto wa primary hawawezi kuuliza haya.msiwe mnakimbia shule, hili forum ya watu wasomi kuomba evidence ya vitu kama Ivo vinawafanya muonekane hamkwe nda shule.

Ndio tatizo la watanzania wengi wenu mkiombwa evidence mnajiuma uma. Nimekuomba ushahidi basi lete hapa tujionee, na sio kupotosha watu. Hebu usome vizuri uislamu upate kujua
 
Ndio tatizo la watanzania wengi wenu mkiombwa evidence mnajiuma uma. Nimekuomba ushahidi basi lete hapa tujionee, na sio kupotosha watu. Hebu usome vizuri uislamu upate kuju

Ndio tatizo la watanzania wengi wenu mkiombwa evidence mnajiuma uma. Nimekuomba ushahidi basi lete hapa tujionee, na sio kupotosha watu. Hebu usome vizuri uislamu upate kujua
Mimi Sina shida ya kusoma uislam...ukisoma wewe inatosha.Na sijaongea kuhusu uislam na hiyo ndio tatizo lenu.Mimi nimeongea historia ya waarabu and slave trade .......kuhusu evidence Rudi shule.
 
Mimi Sina shida ya kusoma uislam...ukisoma wewe inatosha.Na sijaongea kuhusu uislam na hiyo ndio tatizo lenu.Mimi nimeongea historia ya waarabu and slave trade .......kuhusu evidence Rudi shule.

Na hizo takataka zilizoandikwa vitabuni, ni nani kavitunga na kuaminisha umma kwamba waarabu walitesa mababu zetu na kuwahasi?
 
Sote tunajua kuwa imani za dini (Ukristo na Uislam) vilikuwepo kabla ya utumwa. Umewahi kujiuliza wakati Waafrica wanauzwa kama Mbuzi kwenye masoko ya Ulaya, Marekani, Uarabuni, viongozi wa dini wa nchi hizo walikuwa wapi kupinga biashara hiyo, tena nchi kama Marekani watumwa wakilimishwa kwenye mashamba kwa uwazi kabisa? Jambo hili huwa najiuliza sipati majibu.

Kwa upande wa Tanzania, rasilimali zote nyeti zinamilikiwa na wawekezaji huku Watanzania wakibaki kama Watwana kwenye Maliasili zao. Madini yanachimbwa huku michanga ikibebwa na kupelekwa tusipojua, kilichomo humo hatujui, ndege kutoka Dubai inatua Loliondo na kuondoka, hivi tuna uhakika kama wanabeba wanyama hai? Vipi ule wimbo wa kwamba Tanzania iwe tayari kuelekea kwenye uchumi wa gesi ya Mtwara na Lindi, tena tunakaambiwa yatasambazwa mabomba ya gesi, kweli huo uchumi wa gesi tunauona?

Watanzania tusikubali kuingia kwenye mitego ya Wanasiasa, achaneni na propaganda za eti tusichanganye siasa na dini, viongozi wa dini zote, Waislam, Wakristo na dini nyingine, kemea mikataba mibovu. Tukiruhusu mikataba mibovu, vizazi vyetu bila kujali dini zetu vitaishia kuwa dereva bodaboda huku watoto wa kizungu wakitafuna urithi wetu.
Ss waafrika wengi ni wapumbavu sana,wachache sana wana Elimu na Upeo wa kuona madhara yajayo hivyo basi tuache wale wenye Upeo wa kuona mbali watusidie, WENZAKO WAKIONA BANDARI na ww ona BANDARI kama Rasilimali muhimu kwa Taifa,na usikimbilie kuona DINI badala ya bandari waliyo kuambia,Tuombe MUNGU Vichwa vyetu visiwe ni vya kufuga nywele na ndevu hiyo sio kazi ya kichwa,kazi kubwa ya kichwa au Vichwa vyetu ni KUFIKIRI na sio kufuga nywele na ndevu.
 
Sote tunajua kuwa imani za dini (Ukristo na Uislam) vilikuwepo kabla ya utumwa. Umewahi kujiuliza wakati Waafrica wanauzwa kama Mbuzi kwenye masoko ya Ulaya, Marekani, Uarabuni, viongozi wa dini wa nchi hizo walikuwa wapi kupinga biashara hiyo, tena nchi kama Marekani watumwa wakilimishwa kwenye mashamba kwa uwazi kabisa? Jambo hili huwa najiuliza sipati majibu.

Kwa upande wa Tanzania, rasilimali zote nyeti zinamilikiwa na wawekezaji huku Watanzania wakibaki kama Watwana kwenye Maliasili zao. Madini yanachimbwa huku michanga ikibebwa na kupelekwa tusipojua, kilichomo humo hatujui, ndege kutoka Dubai inatua Loliondo na kuondoka, hivi tuna uhakika kama wanabeba wanyama hai? Vipi ule wimbo wa kwamba Tanzania iwe tayari kuelekea kwenye uchumi wa gesi ya Mtwara na Lindi, tena tunakaambiwa yatasambazwa mabomba ya gesi, kweli huo uchumi wa gesi tunauona?

Watanzania tusikubali kuingia kwenye mitego ya Wanasiasa, achaneni na propaganda za eti tusichanganye siasa na dini, viongozi wa dini zote, Waislam, Wakristo na dini nyingine, kemea mikataba mibovu. Tukiruhusu mikataba mibovu, vizazi vyetu bila kujali dini zetu vitaishia kuwa dereva bodaboda huku watoto wa kizungu wakitafuna urithi wetu.
Muafrika aliyewafanya watu watumwa alikuwa Farao, Musa wliwaokoa watu wake kutoka utumwani Misri, mbona hamsemi. Malkia wa Sheba alitawala mpaka sehemu za Arabuni ya Yemen ilikuwa chini ya milki yake naye alikuwa mwafrika mbona hatusikii kelele. Kama waafrika tusingelitaka utumwa tusingeliuzwa lakini hawa hawa machifu wetu waliwauza wenzio wao utumwa. Utumwa bado ungalipo hata kama umepigwa marufuku duniani. Waafrika tuache roho mbaya, tuache chuki dini kazi yake si kumkomboa mtu kiuchumi bali kiroho. Wahindi wanaabudu ng'ombe sisi waislamu na wakristo tunawaona kiimani wamepotea lakini leo wamefanikiwa kushusha chombo mwezini ilhali sisi tunagombana na mambo ya udini katika maendeleo ya nchi. Hebu tuwache mambo ya dini kwenye nyumba za ibada, sisi tu deal na maendeleo ya nchi, elimu, ajira, siasa n.k.
 
Mungu muweza wa yote, Anashindwaje kutenganisha wema na ubaya?

Inashindikana vipi, Wema kuwepo wenyewe tu, bila ubaya?

Kilicho shindikana ni nini?

Kuna ulazima gani wa uwepo wa wema na ubaya kwa pamoja?
Acha dhambi acha Rushwa utaona Matunda yake maana Mwenyezi Mungu atakulinda kila siku unapoamka,unapotembea na unapolala hatakuacha kamwe.
 
Unajiabisha kubisha kitu ambacho kipo kwenye historia na evidence zipo za masoko ambayo biashara hizi zilifanyika yapo humu humu Tanzania....narudia mimi ni mkristo lakini Kuna vitu ambavyo missionaries walioleta ukristo walikuwa wanafanya sikubaliani navyo.Kama umesoma hujastarabika ilo ni tatizo lingine may be umekuwa affected na culture uliyokulia.
Kipi mfano
 
Back
Top Bottom