Wakati Waafrika wakiuzwa kama watumwa, Mashehe, Mapadre, wachungaji wa Ulaya, Amerika na Uarabuni walikuwa wapi?

Baada ya kusitiswa ndio kanisa likaingilia, vipi kabla ya hapo, je hawakuona waumini wao wakifanya biashara ya utumwa?
Kanisa katoliki huwezi litenganisha utumwa nenda bagamoyo kuna kanisa lililo jengwa likiwa na njia ya chini kwa chini mpaka ufukweni andaki hilo lilikuwa likipitasha watumwa,muarabu mzungu na watemi huwezi kuwatoa kwenye biashara ya utumwa
 
Nao



Babu Yako alikudanganya sana kwaiyo unataka uniambie hata wakati inajengwa Reli ya kati na mjeruman Babu zetu walifanya kazi kama vibarua kwa hiyari yao?
Ndiyo kwani wewe huwa unalipa kodi kwa hiari yako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…