Wakati wakikabiliwa na hali ngumu ya uchumi, Wairani wageukia dhahabu na fedha za kigeni ili kuhifadhi mali

Wakati wakikabiliwa na hali ngumu ya uchumi, Wairani wageukia dhahabu na fedha za kigeni ili kuhifadhi mali

Utaquote vifungu vyote walahi nakuapia you are doing it in vain.Hakuna mutu atakuwa muislam kwa hizo quotes zako.Pole

Kuwa wewe muislamu si kazi yangu , kazi yangu ni kukufikishia ujumbe ili siku ya Hesabu usije kunishika mashati kwamba sikukuambia .
 
Jesus is God na wenzio Iran wameamka wanabatizwa.Huko Ulaya dini yako inachafuka wanasema ni ya fujo wanataka Trump achukue nchi mass deportations zianze.

Hayo unasema wewe , Ukweli umeshindwa kuniwekea ushahidi wa kuwa Yesu ni mungu kutoka ndani ya hiyo Biblia unayoisoma. Umebakia kurusha mateke hewani
 
Dahh.. ndugu yangu kwani Kwaa uelewa wako, unafahamu nini kuhusu Biblia na maandiko yake na theme yale na waandishi wake na inahusu nini au imeandikwaje.. kuna chochote unaweza nipa maelezo ,ili tuanzie hapo kwanza.. maana kumbe huko kwingine kumbe tulianzia mbali sana.
Jamaa anajaribu kuwa hamisha kwenye mjadala wa umasikini wa Iran. Nawe umeingia mtego wake.
Mleta mada hajagusia hoja ya dini au kuhusu Yesu.
Huyo Jagina ni choko tu, vile anautaja uchoko kila mada. Hoja ya uchoko(ushoga) ni agenda yake kuu.
 
Jamaa anajaribu kuwa hamisha kwenye mjadala wa umasikini wa Iran. Nawe umeingia mtego wake.
Mleta mada hajagusia hoja ya dini au kuhusu Yesu.
Huyo Jagina ni choko tu, vile anautaja uchoko kila mada. Hoja ya uchoko(ushoga) ni agenda yake kuu.

Umeshindwa kutoa höja kuthibitisha Yesu ni mungu , Irani Si masikini labda nyinyi mnaokimbizwa na polisi ya kamanda siro huku mkijificha mivunguni na kujamba kwenye Clubhouse
 
Jamaa anajaribu kuwa hamisha kwenye mjadala wa umasikini wa Iran. Nawe umeingia mtego wake.
Mleta mada hajagusia hoja ya dini au kuhusu Yesu.
Huyo Jagina ni choko tu, vile anautaja uchoko kila mada. Hoja ya uchoko(ushoga) ni agenda yake kuu.
Bas kumbe acha nimpuuze tu sasa, ndio maana anajifanya haelewi
 
Fuatilia kwa umakini.

Nchi ya Iran, wananchi wake wengi wanaishi kwenye umaskini mkubwa wa kutisha.

Nchi ya Iran, inategemea uchumi wa kitu kimoja tu, mafuta. Na visima vyote vinamilikiwa na Serikali. Unategemea wananchi wawe na hali gani!!

According to official figures released by the interior ministry, in total, around 60 percent of the 84 million Iranians live under the relative poverty line of whom between 20 to 30 million live in "absolute poverty".2 Jan 2023
Iran maskini wanaishi chini ya dola moja ila hawana dhiki ya chakula kama raia wengi wa UK wanavyopanga mstari

Au kama raia wengi wahapo mashariki ya kati au huko mashariki ya Afrika
 
Kuwa wewe muislamu si kazi yangu , kazi yangu ni kukufikishia ujumbe ili siku ya Hesabu usije kunishika mashati kwamba sikukuambia .
Wakati utakapokuwa unawabadilisha mabikra mmoja baada ya mwingine eeeeeh.Basi wahi Gaza ukajitoe muhanga kwa kumpigania allah.
Kwa nini allah hajipiganii hadi umpiganie ndo akupe mabikra.Inaonekana allah si muweza wa yote sasa
 
Wakati utakapokuwa unawabadilisha mabikra mmoja baada ya mwingine eeeeeh.Basi wahi Gaza ukajitoe muhanga kwa kumpigania allah.
Kwa nini allah hajipiganii hadi umpiganie ndo akupe mabikra.Inaonekana allah si muweza wa yote sasa

Ndio Yesu umemfanya mungu kwa maneno hayo?
 
Unaakili nzuri kweli wewe popoma unafananisha biblia takatifu na kitabu cha shigongo
Ukweli unauma eeeh pole ila ndio ukweli
Kwani baibo sio kitabu cha kutunga bisha kwa hoja sio kelele

Ila kabla sijasahau popoma mwenyewe
 
Back
Top Bottom