Wakati Watanzania takribani 50 wakiangamia huko Hanang na maelfu wakiachwa majeruhi, Rais wetu na Makamu wake hawako nchini

Kosa lake lipi yeye ndie aliyeleta mafuriko
 
Watu kibao washakuelekeza kuwa ziara imesitishwa, raisi anarejea, ambacho huelewi ni nin?
 
Huyu huyu samiaa ache kula Bata aje awaokoe watu wali kwama kwenye vifusi atiii aje kuwaokoa watu walio nyuma ya mlima hanang yeye tayali ameshatuma timu ya wataalamu kuwaangalia uwezekano wa kuwepo kwa madini ktk tope Hilo
 
Ulidhani kuna mtu alijua mafuriko yangekuja?
Aina hii ya watu wanakera kwa maswali na mitazamo yao kwa kuhisi viongozi ni miungu watu wanaweza kujua nn kitatokea..mafuriko yametokea Raisi hakuwa nchini atarudi kwa ajili ya kutoa Pole shida iko wapi?ndo maana magufuli aliwajibu kwan yeye ndo Ali alileta tetemeko wadwanzi kama hawa
 
Una hoja Nzuri,lkn Mheshimiwa Rais ameshachukua hatua Muhimu kukabiliana na Janga hili,hatuna Sababu ya kumlaumu.Labda km Ungekuwa na Mapendekezo yako ya nini kifanyike ili kuboresha zoezi la Uokoaji.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Kitengo cha maafa kipo chini ya waziri mkuu.

Hao wengine labda kama unataka uwaone tuu!!!!
 
Unataka aje akupikie ugali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…