joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Tanesco nisha deal nao sana hawa riziki hata upange 1m ,lazima still wale wanao kuletea umeme watataka hela yaani 1m ya ofisi na bado watakao kuletea umeme lazima utawalipa. Wataanza nyaya hazipo, mara vikombe havipo, mara mistimu hamna, mita hazijafika,gari halina mafuta.
Elfu 27000 inatosha, kama haitoshi wawaletee umeme hiyo hela nyingine wanakatwa kidogo kidogo kadili wanavyo lipia umeme.
Elfu 27000 inatosha, kama haitoshi wawaletee umeme hiyo hela nyingine wanakatwa kidogo kidogo kadili wanavyo lipia umeme.