Wakati Watanzania wakibishana juu ya Bandari ya Bagamoyo, Kenya wafungua Bandari ya Lamu

Wakati Watanzania wakibishana juu ya Bandari ya Bagamoyo, Kenya wafungua Bandari ya Lamu

Ni wazi umewekeza sana kwenye huu mradi wa Bagamoyo, ndiyo maana huoni kingine chochote bali Mchina na bandari hiyo.
THIS IS TOO LOW
Basi kubali, kwenye mradi huu wa Bagamoyo, tunaweza kufanya tofauti na hivyo unavyopigania, kwani tatizo ni nini, hivyo vitisho vya TRILLION 25?
Kwani umekatazwa kufanya tofauti?! Wapi nimetisha, na nimetisha nani?

Acheni porojo za kisiasa na uzalendo fake kwenye mambo ya kiuchumi!!

Taifa lina miaka 60 tangu lipate uhuru, lakini kwa miaka yote hiyo, ilichoweza ni kuua bandari ilizokuta na kushindwa kujenga hata moja gati moja TU! Yaani huo uwezo mmepata sasa?! Ikiwa actual income mnayopata tu haifiki hata hiyo TRN 25 kwa mwaka, ndo mtakuwa na uwezo wa kujenga bandari?!
Ni lazima kila sehemu ya mradi huo ijengwe kwa muda huo mfupi, yaani miundo mbinu zote kwa pamoja? Mbona hiyo Lamu wameanza na sehemu ndogo ya ghati tatu pekee?
Hakuna aliyewakataza... jambo muhimu ni kuacha porojo!!! Na porojo ni pale tunapoona miaka 60 yauhuru hamjawahi kujenga bandari yoyote bandari ya hindi halafu sasa ndo mtuambie mnaweza kujenga kwa awamu!!

Pale Tanga kuna Mwambani Port Project chini ya TPA... tuanze na pale basi badala ya kujitia "tunaweza hata sisi wenyewe"!
Hata kama masharti ya ujenzi nchi inaona hayana faida nchi ikubali tu hiyo BOT kwa vile "Duniani kote BOT inatumika"?
Kama masharti yapi?!
Halafu sasa unatishia hata mikopo nchi isiitumie kujenga miradi yake, kwa vile Sri Lanka na Bandari yao walishindwa! Mradi huu wa Bandari ya Bagamoyo ni kama inakutoa akili kabisa, usione kingine chochote zaidi ya uchuuzi huo unaotafutwa hapo.
Wapi nimeitisha nchi?! Yaani kusema ni irrational kujenga larger infrastructure projects kwa mkopo kwa taifa lisilo na uwezo wa kutoa hata huduma bora za afya ni kuwatisha?! Kusema kwamba Hambantota Port ikageuka kuwa loss making project huku ikiendelea kukuza deni la serikali ni kuwatisha?!

Ina maana hadi leo hufahamu hata Tanzania deni la serikali linaendelea kukua siku hadi siku?!
Tuliza akili, hatuwezi kukurupuka tu kwa vile kuna PPP na kusahau maslahi mapana ya nchi. Kama mkataba una manufaa kwetu, Bandari ijengwe kwa njia yoyote, iwe mkopo, sisi wenyewe na vidafu vyetu hata kwa miaka ishirini, au hata kwa hiyo BOT.

Naona kinachokusumbua sana wewe na wengine ni uhusika wa serikali kwenye miradi kama hiyo.
Jinsi ulivyoongea hapa unaonesha ama huna kabisa uelewa wa masuala ya kiuchumi, na mmebaki tu kukalia kiburi cha akina Magu ambacho hata hivyo wala hakikuweza ku-materialize au ndo unasukumwa na kile ninachokiita Uzalendo Fake!!!

Watu aina yako ndo wale wanakuwa na practical idea lakini wanaona bure wafe nayo kuliko kuifanyia kazi kupitia kwa wengine kwa hofu eti watadhulumiwa!!
 
Chige nimerekebisha


🇦🇷🇦🇷🇦🇷🔥🔥
Sikuwa na maana ya kwavile neno ni la Kiingereza bali nilimaanisha sijui kama watakuelewa kwamba hoja zao ni kweli zimejaa kau-selfishi fulani hivi wakati uwezo wa kufanya hayo mambo wenyewe hatuna!!!

Ndo maana nami nilitoa mfano wa Hambantonta Port ambayo na yenyewe Serikali ya Sri Lanka ilikuwa imejaa kau-selfish wa kutaka kila kitu wafanye wao ili wapate mapato mengi, lakini walichoambulia ni kushindwa kuifanya Hambantota Port kuwa commercially viable na matokeo yake ikaja kuwa"jini" linaloongeza deni la serikali hadi pale waliposalim amri na kuikodisha!!
 
THIS IS TOO LOW

Kwani umekatazwa kufanya tofauti?! Wapi nimetisha, na nimetisha nani?

Acheni porojo za kisiasa na uzalendo fake kwenye mambo ya kiuchumi!!

Taifa lina miaka 60 tangu lipate uhuru, lakini kwa miaka yote hiyo, ilichoweza ni kuua bandari ilizokuta na kushindwa kujenga hata moja gati moja TU! Yaani huo uwezo mmepata sasa?! Ikiwa actual income mnayopata tu haifiki hata hiyo TRN 25 kwa mwaka, ndo mtakuwa na uwezo wa kujenga bandari?!

Hakuna aliyewakataza... jambo muhimu ni kuacha porojo!!! Na porojo ni pale tunapoona miaka 60 yauhuru hamjawahi kujenga bandari yoyote bandari ya hindi halafu sasa ndo mtuambie mnaweza kujenga kwa awamu!!

Pale Tanga kuna Mwambani Port Project chini ya TPA... tuanze na pale basi badala ya kujitia "tunaweza hata sisi wenyewe"!

Kama masharti yapi?!

Wapi nimeitisha nchi?! Yaani kusema ni irrational kujenga larger infrastructure projects kwa mkopo kwa taifa lisilo na uwezo wa kutoa hata huduma bora za afya ni kuwatisha?! Kusema kwamba Hambantota Port ikageuka kuwa loss making project huku ikiendelea kukuza deni la serikali ni kuwatisha?!

Ina maana hadi leo hufahamu hata Tanzania deni la serikali linaendelea kukua siku hadi siku?!

Jinsi ulivyoongea hapa unaonesha ama huna kabisa uelewa wa masuala ya kiuchumi, na mmebaki tu kukalia kiburi cha akina Magu ambacho hata hivyo wala hakikuweza ku-materialize au ndo unasukumwa na kile ninachokiita Uzalendo Fake!!!

Watu aina yako ndo wale wanakuwa na practical idea lakini wanaona bure wafe nayo kuliko kuifanyia kazi kupitia kwa wengine kwa hofu eti watadhulumiwa!!
Mkuu 'Chige', ni dhahiri sasa unatumia nguvu nyingi kwa jambo ambalo halihitaji ulazima wowote. You're simply loosing it on this!

Huna ushawishi tena, bali unalazimisha watu wakubali unavyofikiri wewe, hilo haliwezekani.

Maswala ya uchumi siyo 'rocket science' mkuu, sehemu kubwa ni 'common sense' ; kwa hiyo usione kama wewe ni muhitimu wa huko ukadhani mawazo yako ndiyo sahihi na hayawezi kuhojiwa.

Huko serikali kuwa na madeni, kwani kutaanza leo au kesho? Ikikubali kuingia kwenye mpango huo unaoushabikia itaacha kuchukua mikopo kwa mipango mingine?

Hiyo "TOO LOW" ina maana umeshikwa penyewe, penye utapeli unaouuza hapa kwenye miradi kama hii unayoililia kila siku.
 
Wamezindua iyo bandari lkn hali ya usalama ktk huo mkoa sio salama sanaa maana una ambiwa hata UK mwenyewe masaa kadhaa baada ya kuifungua kulitokea shambulio dogo,

sasa kuna Meli gan itakayo kubali usalama mdogo wa nahodha na wafanyakazi wake...
 
Sikuwa na maana ya kwavile neno ni la Kiingereza bali nilimaanisha sijui kama watakuelewa kwamba hoja zao ni kweli zimejaa kau-selfishi fulani hivi wakati uwezo wa kufanya hayo mambo wenyewe hatuna!!!

Ndo maana nami nilitoa mfano wa Hambantonta Port ambayo na yenyewe Serikali ya Sri Lanka ilikuwa imejaa kau-selfish wa kutaka kila kitu wafanye wao ili wapate mapato mengi, lakini walichoambulia ni kushindwa kuifanya Hambantota Port kuwa commercially viable na matokeo yake ikaja kuwa"jini" linaloongeza deni la serikali hadi pale waliposalim amri na kuikodisha!!

Kweli kabisa mkuu Chige, Tuko pamoja!


🇦🇷🇦🇷🇦🇷🔥🔥
 
Wamezindua iyo bandari lkn hali ya usalama ktk huo mkoa sio salama sanaa maana una ambiwa hata UK mwenyewe masaa kadhaa baada ya kuifungua kulitokea shambulio dogo,

sasa kuna Meli gan itakayo kubali usalama mdogo wa nahodha na wafanyakazi wake...
Na kabla ya uzinduzi, kuna askari watatu walilipuliwa na bomu kwenye gari lao.
 
Na kabla ya uzinduzi, kuna askari watatu walilipuliwa na bomu kwenye gari lao.
True, ilo lina ungana na lile jimbo la machafuko GARISA na UK b4 alitangulia kuzindua iyo barabara ..ni bandari ambayo huenda ita wa cost sana kenya kuweka Ulinzi mkali na kama ujuavyo wale ma bahau wavaa kobazi hawakawii kukiamsha
 
Nchi ya Maneno mengi kuliko Vitendo

Uzembe Mtupu.

Kenyans are far ahead
 
Mkuu 'Chige', ni dhahiri sasa unatumia nguvu nyingi kwa jambo ambalo halihitaji ulazima wowote. You're simply loosing it on this!

Huna ushawishi tena, bali unalazimisha watu wakubali unavyofikiri wewe, hilo haliwezekani.

Maswala ya uchumi siyo 'rocket science' mkuu, sehemu kubwa ni 'common sense' ; kwa hiyo usione kama wewe ni muhitimu wa huko ukadhani mawazo yako ndiyo sahihi na hayawezi kuhojiwa.

Huko serikali kuwa na madeni, kwani kutaanza leo au kesho? Ikikubali kuingia kwenye mpango huo unaoushabikia itaacha kuchukua mikopo kwa mipango mingine?

Hiyo "TOO LOW" ina maana umeshikwa penyewe, penye utapeli unaouuza hapa kwenye miradi kama hii unayoililia kila siku.
Huwa nakuambia TOO LOW kwa sababu it's too low to imply someone has personal interest on something! Yaani badala ya kujadili hoja, mara zote umekuwa ukidai nina maslahi binafsi kwenye mradi wa Bandari ya Bagamoyo!

Yaani wengine wote waandike na wachangie kuhusu huu mradi, lakini nikifanya mimi basi "natumia nguvu" au "nina maslahi binafsi"

Hivi ni mara ngapi umeniambia nina maslahi binafsi kwenye hili suala?! Yaani badala ya kujibu hoja au kujenga hoja, bila aibu unadai:-

Hiyo "TOO LOW" ina maana umeshikwa penyewe, penye utapeli unaouuza hapa kwenye miradi kama hii unayoililia kila siku.
Huo utapeli unaosema wewe ni upi?!

Kwamba eti nalazimisha watu wakubali ninachoamini mimi hicho nacho ni kiroja kingine unless kama hufahamu maana ya mijadala, na kama hufahamu maana ya "kulazimisha watu wakuamini"!!

Kwenye mjadala mtu anatakiwa kutoa hoja!! Mtu akitoa hoja analazimika kuitetea hoja yake! Kuitetea hoja SIO KULAZIMISHA WATU WAKUKUBALIE bali ni wajibu wa mtoa hoja!!

Unachotakiwa kufanya wewe au yeyote ni kupinga kwa hoja!!!

Na ukipinga kwa hoja, unayampinga anaweza kukubalia au kukukatalia hoja yako kama hanaona haina mashiko!! Kwa bahati mbaya huwa siishii kusema "hoja yako haina mashiko" bali nitafafanunua kwanini haina mashiko!! Hapo nawe unachotakiwa ni kuendelea kuonesha ni kwanini unadhani hoja yako ina mashiko badala ya kukimbilia kutoa hoja nyepesi kama "...una maslahi binafsi"!


WEKA HOJA KWA MAPANA YAKE, TUPINGANE KWA HOJA!!!
 
Huwa nakuambia TOO LOW kwa sababu it's too low to imply someone has personal interest on something! Yaani badala ya kujadili hoja, mara zote umekuwa ukidai nina maslahi binafsi kwenye mradi wa Bandari ya Bagamoyo!

Yaani wengine wote waandike na wachangie kuhusu huu mradi, lakini nikifanya mimi basi "natumia nguvu" au "nina maslahi binafsi"

Hivi ni mara ngapi umeniambia nina maslahi binafsi kwenye hili suala?! Yaani badala ya kujibu hoja au kujenga hoja, bila aibu unadai:-


Huo utapeli unaosema wewe ni upi?!

Kwamba eti nalazimisha watu wakubali ninachoamini mimi hicho nacho ni kiroja kingine unless kama hufahamu maana ya mijadala, na kama hufahamu maana ya "kulazimisha watu wakuamini"!!

Kwenye mjadala mtu anatakiwa kutoa hoja!! Mtu akitoa hoja analazimika kuitetea hoja yake! Kuitetea hoja SIO KULAZIMISHA WATU WAKUKUBALIE bali ni wajibu wa mtoa hoja!!

Unachotakiwa kufanya wewe au yeyote ni kupinga kwa hoja!!!

Na ukipinga kwa hoja, unayampinga anaweza kukubalia au kukukatalia hoja yako kama hanaona haina mashiko!! Kwa bahati mbaya huwa siishii kusema "hoja yako haina mashiko" bali nitafafanunua kwanini haina mashiko!! Hapo nawe unachotakiwa ni kuendelea kuonesha ni kwanini unadhani hoja yako ina mashiko badala ya kukimbilia kutoa hoja nyepesi kama "...una maslahi binafsi"!


WEKA HOJA KWA MAPANA YAKE, TUPINGANE KWA HOJA!!!
Sikuandika niliyoandika hapo yaliyokuchoma moyo kwa kubahatisha. Nimeandika niliyoandika baada ya kujumuisha yote niliyoyasoma katika utetezi wako wa mradi huo.

Sioni lolote jipya hapa linalofanya nibadilishe chochote nilichoandika kuhusu kampeni zako juu ya mradi huo. Toka mwanzo ulipoanza mada na "ubeba mikoba" wako, hadi hapa ulipoandika haya, sioni lolote la kubadili uelewa wangu kuhusu kampeni zako juu ya mradi wenyewe.

Sote tunaupenda huo mradi wa Bagamoyo, lakini hatukubali na hatuwezi kutetea ujenzi wa huo mradi hata kama ni kwa kulikosesha maslahi taifa letu kwa vile kuna wenzetu wanaoangalia maslahi yao binafsi kwanza badala ya manufaa ya nchi nzima.
 
Sikuandika niliyoandika hapo yaliyokuchoma moyo kwa kubahatisha. Nimeandika niliyoandika baada ya kujumuisha yote niliyoyasoma katika utetezi wako wa mradi huo.
Kwa mfano kipi cha maana ulichoandika zaidi ya kujikita kwamba nina maslahi binafsi na kwamba masharti mabovu?! Again, taja hapa hayo masharti mabovu ili nione unajua unachoongea!!
Sioni lolote jipya hapa linalofanya nibadilishe chochote nilichoandika kuhusu kampeni zako juu ya mradi huo. Toka mwanzo ulipoanza mada na "ubeba mikoba" wako, hadi hapa ulipoandika haya, sioni lolote la kubadili uelewa wangu kuhusu kampeni zako juu ya mradi wenyewe.
Huna uelewa na ndo maana maswali ninayokuuliza unashindwa na kujibuna kubaki tu kusema "masharti mabovu" ingawaje hutaji hayo mashari!!
Sote tunaupenda huo mradi wa Bagamoyo, lakini hatukubali na hatuwezi kutetea ujenzi wa huo mradi hata kama ni kwa kulikosesha maslahi taifa letu kwa vile kuna wenzetu wanaoangalia maslahi yao binafsi kwanza badala ya manufaa ya nchi nzima.
Taja basi masharti yanasema China anapata nini, na Tanzania anapata nini! Au tueleze basi role ya kila mmoja kwenye issue mzima badala ya kujificha kwenye kivuli cha "maslahi binafsi" vs "maslahi ya nchi" wakati hutaji hayo maslahi ni yapi!!!
 
Kwa mfano kipi cha maana ulichoandika zaidi ya kujikita kwamba nina maslahi binafsi na kwamba masharti mabovu?! Again, taja hapa hayo masharti mabovu ili nione unajua unachoongea!!

Huna uelewa na ndo maana maswali ninayokuuliza unashindwa na kujibuna kubaki tu kusema "masharti mabovu" ingawaje hutaji hayo mashari!!

Taja basi masharti yanasema China anapata nini, na Tanzania anapata nini! Au tueleze basi role ya kila mmoja kwenye issue mzima badala ya kujificha kwenye kivuli cha "maslahi binafsi" vs "maslahi ya nchi" wakati hutaji hayo maslahi ni yapi!!!
Wewe ni wakala tu, huna la ziada hapa.
 
Back
Top Bottom