Pre GE2025 Wakati wowote Godbless Lemma atatangaza na kuchukua fomu ya kugombea Makamu Mwenyekiti CHADEMA ili kumkabili Hezekiah Wenje ambae ameshatangaza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
hivi Lema tangu aache kazi ya malori, halafu akaanza kuhubiri na baadae kutumbukia na kua addicted na kubeti, anaweza kufanya kazi nyingine kweli?

maana amepigika haswa sasahivi
Naona uawalinda Mbowe ma Wenje kwa vile mmeshawanunua tayari keng..e wewe
 
Lemma kwani anaruhusiwa kujihusisha na siasa , si ni mkimbizi huko canada?
 
Naona uawalinda Mbowe ma Wenje kwa vile mmeshawanunua tayari keng..e wewe
relax gentleman,

wadau wataeleza nilichotaka kufahamu,
we baki na mihemko na matusi yako, au ongeza matusi zaidi ikiwa yanakusaidia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…