Pre GE2025 Wakati wowote Godbless Lemma atatangaza na kuchukua fomu ya kugombea Makamu Mwenyekiti CHADEMA ili kumkabili Hezekiah Wenje ambae ameshatangaza

Pre GE2025 Wakati wowote Godbless Lemma atatangaza na kuchukua fomu ya kugombea Makamu Mwenyekiti CHADEMA ili kumkabili Hezekiah Wenje ambae ameshatangaza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Delusional MF, now mnavuana nguo hadharani, hamna mipango yeyote ya uchaguzi 2025, mtakuja kukurupuka August huko, and mtakuja lia mmeibiwa kura, nyie jamaa vilaza kweli kweli
Wewe pathetic fool, mipango gani muhimu kama playground haiko fair, hamtaki tume huru ya uchaguzi, hamtaki katiba mpya itakayohakikisha uchaguzi huru, kwenye uchaguzi mnapora mpaka taratibu zote za uchaguzi.

Kama wewe siyo pumbavu nijibu kwa nini mliengua 95%ya wagombea wa upinzani? Mjinga wewe lazima chama makini kipitie kujisafisha wapumbavu mna mapandikizi yenu mnadanganya maridhiano kumbe mnahujumu tumeona kwenye wizi wenu wa 2024. Mnajitahidi asipite yule asiyetaka upumbavu wenu, baada ya uchaguzi huu CHADEMA itakuwa very strong.

Kabla hujaendelea kuhorojoka niambie kwa nini mliandikisha maiti na watoto wa shule.
Kwa nini mliengua 95% ya wagombea wa upinzani.
Kwa nini idadi ya kura zilizidi idadi ya wapiga kura walioandikishwa?
Kwa sababu ni wapumbavu mnakuja na hoja za kipumbavu
 
..naamini Lissu ni mtulivu na muungwana kuliko watu wanavyomchukulia.
Mbowe nadhani ni shinikizo kutoka kwenye mfumo agombee uenyekiti maana wanaweza kumhandle kama ambavyo wamefanya toka walipomtoa gerezani baada ya kubumba kesi yao ya uhaini. Whereas Lissu ni unpredictable ana msimamo mkali hawawezi kumhandle.

Mbowe wangejadiliana kwenye maridhiano hata miaka 6 na hakuna muafaka ila kwa Lissu hawawezi ndio maana hawamtaki, hata humu jukwaani pro CCM wote wamejiunga kumtetea Mbowe
 
Kitakuwa chama Cha wanaharakati 😁 😁

Kila mtu ana mdomo ila utendaji na matokeo ni zero
Mkiacha kuwaengua kwenye chaguzi, mbadilishe katiba, muache kuandikisha maiti na watoto wa shule na wafu kwenye chaguzi, iwepo tume huru ya uchaguzi, muache kuwatumia polisi kwenye siasa halafu uje useme utendaji ni zero.

UWT kwa maneno ya khanga ambayo huwezi kuyathibitisha kwa vitendo mnaweza, endeleeni kupiga vigelegele kumsifia mama anaupiga mwingi kuwaua CHADEMA kama akina Ali Kibao
 
Mkiacha kuwaengua kwenye chaguzi, mbadilishe katiba, muache kuandikisha maiti na watoto wa shule na wafu kwenye chaguzi, iwepo tume huru ya uchaguzi, muache kuwatumia polisi kwenye siasa halafu uje useme utendaji ni zero.

UWT kwa maneno ya khanga ambayo huwezi kuyathibitisha kwa vitendo mnaweza, endeleeni kupiga vigelegele kumsifia mama anaupiga mwingi kuwaua CHADEMA kama akina Ali Kibao
Hapo Kila mtu ana mdomo ila matokeo ni zero šŸ˜‚šŸ˜‚
 
Tatizo ni huu uchaguzi umeingia sumu. Itakuwa vigumu sana kuuvuka salama.

Amandla...

..sio kwamba tayari kulikuwa na fukuto / nyufa ndani ya chama?

..nadhani " nyufa " zilizokuwepo ndani ya chadema zimeonekana kupitia uchaguzi huu.

..suala ni kama yeyote atakaye chaguliwa anao uwezo na upeo wa kuwaongoza wenzake kuziba " nyufa " zilizojitokeza.
 
Mbowe nadhani ni shinikizo kutoka kwenye mfumo agombee uenyekiti maana wanaweza kumhandle kama ambavyo wamefanya toka walipomtoa gerezani baada ya kubumba kesi yao ya uhaini. Whereas Lissu ni unpredictable ana msimamo mkali hawawezi kumhandle.

Mbowe wangejadiliana kwenye maridhiano hata miaka 6 na hakuna muafaka ila kwa Lissu hawawezi ndio maana hawamtaki, hata humu jukwaani pro CCM wote wamejiunga kumtetea Mbowe
Ni tofauti na unavyodhani. Mbowe anacheza chess wakati wengi wanacheza checkers. Hayuko emotional. Kwa kukubali maridhiano aliwaweka CCM mahali ambapo ilibidi walegeze kamba. Approach ya Lissu ingewapa kisingizio cha kutolegeza mahali popote. Wangesema tutafanya nini wakati mwenzetu hataki kukaa mezani na sisi! CDM waneonekana unreasonable.

Amandla...
 
Ni tofauti na unavyodhani. Mbowe anacheza chess wakati wengi wanacheza checkers. Hayuko emotional. Kwa kukubali maridhiano aliwaweka CCM mahali ambapo ilibidi walegeze kamba. Approach ya Lissu ingewapa kisingizio cha kutolegeza mahali popote. Wangesema tutafanya nini wakati mwenzetu hataki kukaa mezani na sisi! CDM waneonekana unreasonable.

Amandla...
Kwenye maridhiano hayo ndipo kwenye mtihani, wamemtangaza hadi BBC kuwa ni gaidi a very serious crime. Wakatengeneza kesi wakabumba kwenye ushahidi kwa aibu wanakimbilia kwenye maridhiano. USA walijadiliana na Osama?

Kuwakamata na kuwabambikizia kesi CHADEMA, kuzuia haki ya kufanya siasa kinyume cha sheria, kuwafilisi viongozi wa CHADEMA ni suala la mjadala wa mwaka mzima? Si haki yao? Kwa nini kwenye maridhiano hawakuzungumzia mfumo unaowapa mamlaka ya kuamua kuwakamata na kuzuia tena haki zao? Ambao ni katiba.

Unataka wote tushawishike kwamba maridhiano ni favour ya CCM kwa CHADEMA? Kuwaruhusu kufanya siasa kwa matakwa ya CCM? Kwa hiyo Mbowe ni gaidi au la? Aliyemsafisha ni nani ni mahakama au maridhiano? Nini kitakachomzuia Samia kesho kuamua kumtangenezea tena kesi ya uhaini yeye au mwingine tena?

Uhaini na ugaidi wa Mbowe umefutwa kwa maridhiano? Hakuna chochote behind the scene? Kama wana dhamira nzuri ya maridhiano uchaguzi wa serikali za mitaa uliopita umefanywa na watu wenye dhamira ya maridhiano?

Mtu kama Lissu ambaye tangu awali alishtukia huu mtego na akasema wazi wahafidhina na CCM wanajua huyu hawawezi kumdhibiti labda kumuua ndio mnakuja na dhana ya kuwa emotional. Kwa unataka tuamini kwamba siasa za Tanzania kufanya ni FAVOUR ya CCM siyo RIGHTS za wapinzani?

Nini mafanikio ya maridhiano? Waonekame reasonable lakini kwenye uchaguzi wanaibiwa wanaporwa wanatekwa na kuuliwa na wauaji wanaenda scot free?

Kwa nini CCM wote na makada wao hata humu jukwaani mnamsifia Mbowe? Miaka zaidi ya 20 madarakani haitakiwi changes? CCM mnanufaika na nini kwa Mbowe kama siyo mnammiliki na yupo kwa maslahi yenu?

Lissu ni mbaya kwa CCM sababu alisema wazi kuwa mapendekezo yao CCM waliyakataa yote na Mbowe kimya maana katulizwa
 
Back
Top Bottom