Pre GE2025 Wakati wowote Godbless Lemma atatangaza na kuchukua fomu ya kugombea Makamu Mwenyekiti CHADEMA ili kumkabili Hezekiah Wenje ambae ameshatangaza

Pre GE2025 Wakati wowote Godbless Lemma atatangaza na kuchukua fomu ya kugombea Makamu Mwenyekiti CHADEMA ili kumkabili Hezekiah Wenje ambae ameshatangaza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huyu Lema ndiyo hovyo kabisa, aisee thats why wapinzani mnatandikwa kila siku na CCM, one of the worst politician kuwahi kutokea nchi hii
Bangi tu hizo zinazungumza wapinzani wanatandikwa na CCM fairly?
Idols wako CCM politicians ndio the best kuwahi kutokea kwa akili yako
 
Bangi tu hizo zinazungumza wapinzani wanatandikwa na CCM fairly?
Idols wako CCM politicians ndio the best kuwahi kutokea kwa akili yako
Fairly kabisa mzee, unambiwa uchaguzi huu uliopita wa serikali ya mtaa watu walikuwa wanaombwa kugombea kupitia CDM wanakataa, kupata wagombea ilikuwa ni shida, Sasa hadi hapa tunaongea CCM wanawagombea wote kuanzia madiwani, ubunge, na uraisi, na wamejipanga kwelikweli! Nyinyi mpo kwenye vita nni awe Mkiti, Mbowe au Lissu, halafu mwakani mkitandikwa mtalia mmeibiwa!!! Nyambaf
 
Fairly kabisa mzee, unambiwa uchaguzi huu uliopita wa serikali ya mtaa watu walikuwa wanaombwa kugombea kupitia CDM wanakataa, kupata wagombea ilikuwa ni shida, Sasa hadi hapa tunaongea CCM wanawagombea wote kuanzia madiwani, ubunge, na uraisi, na wamejipanga kwelikweli! Nyinyi mpo kwenye vita nni awe Mkiti, Mbowe au Lissu, halafu mwakani mkitandikwa mtalia mmeibiwa!!! Nyambaf
Wewe chizi mjinga hiyo ndio ilikuwa leseni ya kuandikishap maiti na watoto wa shule? Ndio mliambiwa muwaengue wagombea wa upinzani? Zitto kalalamika kigoma mmewaengua wapinzani wote, wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa uchaguzi wa CHADEMA joto lake lilikwishaanza?

Punguza bangi pathetic fool
 
Wewe chizi mjinga hiyo ndio ilikuwa leseni ya kuandikishap maiti na watoto wa shule? Ndio mliambiwa muwaengue wagombea wa upinzani? Zitto kalalamika kigoma mmewaengua wapinzani wote, wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa uchaguzi wa CHADEMA joto lake lilikwishaanza?

Punguza bangi pathetic fool
Delusional MF, now mnavuana nguo hadharani, hamna mipango yeyote ya uchaguzi 2025, mtakuja kukurupuka August huko, and mtakuja lia mmeibiwa kura, nyie jamaa vilaza kweli kweli
 
hivi Lema tangu aache kazi ya malori, halafu akaanza kuhubiri na baadae kutumbukia na kua addicted na kubeti, anaweza kufanya kazi nyingine kweli?

maana amepigika haswa sasahivi :pulpTRAVOLTA:
Kuna Mtanganyika hajapigika kweli, au huko UVCC na UWT nyie mko vizuri kwa sababu mnalelewa?
 
..nadhani John Mnyika akipewa ushirikiano na mwenyekiti mwenye maoni anaweza kufanya kazi nzuri.

..Mnyika ni kama mtu aliyechukizwa na mambo fulani ndani ya chama toka kipindi Dr.Slaa ameondoka.
Mnyika ni administrator mzuri. I think kwenye hili yuko neutral. Ila sidhani kama atapona kama Lissu atashinda.

Amandla...
 
hivi Lema tangu aache kazi ya malori, halafu akaanza kuhubiri na baadae kutumbukia na kua addicted na kubeti, anaweza kufanya kazi nyingine kweli?

maana amepigika haswa sasahivi :pulpTRAVOLTA:
Kwa hiyo huko canada anapandaga dala dala la buza?
 
Kwa hiyo huko canada anapandaga dala dala la buza?
ana sumbuaga mno watu kwenye kupata toketi, hujui tu .

wakimtumia hela zinaishia kubeti tu, kuna wakati alilipiwa ticket ya ndege akauza 🐒
 
Kuna Mtanganyika hajapigika kweli, au huko UVCC na UWT nyie mko vizuri kwa sababu mnalelewa?
watanganyika kwasasa sidhani hata kama wanazidi mia2, ni wazee kidogo gentleman 🐒
 
Back
Top Bottom