Pre GE2025 Wakati wowote Godbless Lemma atatangaza na kuchukua fomu ya kugombea Makamu Mwenyekiti CHADEMA ili kumkabili Hezekiah Wenje ambae ameshatangaza

Pre GE2025 Wakati wowote Godbless Lemma atatangaza na kuchukua fomu ya kugombea Makamu Mwenyekiti CHADEMA ili kumkabili Hezekiah Wenje ambae ameshatangaza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
hivi Lema tangu aache kazi ya malori, halafu akaanza kuhubiri na baadae kutumbukia na kua addicted na kubeti, anaweza kufanya kazi nyingine kweli?

maana amepigika haswa sasahivi :pulpTRAVOLTA:
Umehama kwa Simba TL sasa umehamia kwa mchungaji mwenye maono juu ya kesho ya taifa,siku akisema unakoma kuwa chawa jua kweli utaacha.
 
hivi Lema tangu aache kazi ya malori, halafu akaanza kuhubiri na baadae kutumbukia na kua addicted na kubeti, anaweza kufanya kazi nyingine kweli?

maana amepigika haswa sasahivi :pulpTRAVOLTA:
Mzee wa hovyo utakuwa na bangi unatumia, si kwa kukimbilia kutoa upuuzi huu
 
Umehama kwa Simba TL sasa umehamia kwa mchungaji mwenye maono juu ya kesho ya taifa,siku akisema unakoma kuwa chawa jua kweli utaacha.
Yes, sure ni mchungaji uchwara,
alikua mwizi mnyang"anyi wa malori, kawapiga watu nyundo sana, halafu akaokoka, ila saivi ana beti mbaya sana :pedroP:
 
Yes, sure ni mchungaji uchwara,
alikua mwizi mnyang"anyi wa malori, kawapiga watu nyundo sana, halafu akaokoka, ila saivi ana beti mbaya sana :pedroP:
Hiyo cv umemwandalia wewe au kakupatia yeye?
 
Lema na Lissu wanaikimbia nchi nyakati za shida
Punguza bangi basi, Lissu alishambuliwa na serikali ya CCM wakitaka kumuua. Alienda kutibiwa au ulitaka afe?

Lema majambazi ya CCM walitaka kumpoteza baada ya kuiba uchaguzi wa 2020 akalazimika kukimbia, shirikisha akili yako kabla ya kupost ujinga. Usiwe kama tlaatlaah mzee wa hovyo
 
Uchaguzi wa safari hii umekujaa kuvumbua mengi mno CHADEMA
 
Lema na Lissu Huwa Wana tabia ya kuikimbia nchi nyakati za shida
Zitakuwa bangi zimepanda kichwani, Lissu alienda kutibiwa mlipomshambulia kutaka kumuua, Lema mlipoiba uchaguzi 2020 mkataka kumkamata mumuue akalazimika kukimbia aishi ili aweze kupigana vita
 
Zitakuwa bangi zimepanda kichwani, Lissu alienda kutibiwa mlipomshambulia kutaka kumuua, Lema mlipoiba uchaguzi 2020 mkataka kumkamata mumuue akalazimika kukimbia aishi ili aweze kupigana vita
Familia zao Leo tunavyoongea unafahamu ziliko
 
Huyu Lema ndiyo hovyo kabisa, aisee thats why wapinzani mnatandikwa kila siku na CCM, one of the worst politician kuwahi kutokea nchi hii
 
Hatuitaji mchungaji sisi sio parokia, tunaitaji jembe, mh heche au wenje.
 
Back
Top Bottom