Tetesi: Wakati wowote Marekani watamwambia Kagame aondoke madarakani kwa hiari au nguvu itumike

Tetesi: Wakati wowote Marekani watamwambia Kagame aondoke madarakani kwa hiari au nguvu itumike

Kwa Marekani anaemtumia Kagame hapatani tena na Rais Trump hivyo Trump anajua na anatafuta njia ya kumuadhibu kwa kipengele cha kuheshimu uhuru wa nchi na uhuru wa kufanya biashara za kimataifa kwa uwazi then Israel atamuunga mkono Trump wote watafuata ndio inayokuja muda si mrefu
marekani hana nguvu kwa israel, atakachoamua israel ndicho trump atafuata. na tukitaja israel jua tunaongelea wafanyabiashara wakubwa wa madini wenye asili ya kiyahudi wanaoishi na kumiliki marekani na tel aviv.
 
DRc hana akili ilitakiwa ajiunge na super power muda mrefu sana akubali kugawana resources on percentage apate security guarantee
Kagame anachofanya anaiba madini congo kwa kusapotiwa na vinchi kama belgium, china na marekani yenyewe na anawauzia kwa bei ya chini
Bora congo aende akubali kugawana na marekani awe na amani, sehemu yoyote marekani akiweka mguu wote wanakaa pembeni
Hiyo unayoiita security guarantee ndio ukoloni mamboleo! Kiongozi yeyote atakayethubutu kuweka rehani nchi yake kwa ma Taifa makubwa ni lazima atapinduliwa! Tshekedi cannot survive in DRC ; muda si mrefu M23 wataingia Kinshasa.
 
ni jambo lisilowezekana, kagame ana connection kubwa na matajiri wa kiyahudi/israel ambao wameshika marekani masikio. ndicho kiburi chake kilipo. hata trump na ujanja wake wote ule, hana sauti kwa myahudi. hadi anatia huruma.
Mkishiba viporo vya ngararimo huwa mnaropoka tu shindikanaa Njoo ona ndugu yako😅
 
Hiyo unayoiita security guarantee ndio ukoloni mamboleo! Kiongozi yeyote atakayethubutu kuweka rehani nchi yake kwa ma Taifa makubwa ni lazima atapinduliwa! Tshekedi cannot survive in DRC ; muda si mrefu M23 wataingia Kinshasa.
Unachokiona saudi arabia, japan ,israel ni security guarantee na marekani mtashare resorces jn exchange for peace security na investments, otherwise atakutengenezea zengwe utapata vikundi vya kigaidi ndani ya nchi yako na atakutoa hata kwenye uongozi kama zelensky alivyopigwa biti na trump
Dunia ya sasa ni ya kibepari ni either uingie kwenye mfumo au wakutoe
Tshisekedi marekani asipoingilia kati anatolewa na kagame hilo halina ubishi
 
Unachokiona saudi arabia, japan ,israel ni security guarantee na marekani mtashare resorces jn exchange for peace security na investments, otherwise atakutengenezea zengwe utapata vikundi vya kigaidi ndani ya nchi yako na atakutoa hata kwenye uongozi kama zelensky alivyopigwa biti na trump
Dunia ya sasa ni ya kibepari ni either uingie kwenye mfumo au wakutoe
Tshisekedi marekani asipoingilia kati anatolewa na kagame hilo halina ubishi
Hata marekani wakijaribu kumsaidia , Tshekedi is finished Ndio maana wanajeshi wake wanajiunga na M23!!
Mbaya zaidi hata mtangulizi wake Joseph Kabila amemtosa ameungana na M23!
 
Hata marekani wakijaribu kumsaidia , Tshekedi is finished Ndio maana wanajeshi wake wanajiunga na M23!!
Mbaya zaidi hata mtangulizi wake Joseph Kabila amemtosa ameungana na M23!
Kabila aliingizwa madarakani na kagame, kabila ,kagame na museveni ni kitu kimoja na ndio wafadhili wa m23 ukiacha wazungu ambao wanapewa vitu bei ya bure kwa sababu ni vya wizi, sehemu marekani akitia timu hakuna wa kugusa, kama nchi kubwa kama ukraine nato members wote wamekaa pembeni kumsikiliza trump afanye anavyotaka wameishia kulalamika tu pembeni
Unaijua budget ya marekani ya ulinzi? Yani hata nchi za ulaya zote ziungane anapiga wote
 
Kabila aliingizwa madarakani na kagame, kabila ,kagame na museveni ni kitu kimoja na ndio wafadhili wa m23 ukiacha wazungu ambao wanapewa vitu bei ya bure kwa sababu ni vya wizi, sehemu marekani akitia timu hakuna wa kugusa, kama nchi kubwa kama ukraine nato members wote wamekaa pembeni kumsikiliza trump afanye anavyotaka wameishia kulalamika tu pembeni
Unaijua budget ya marekani ya ulinzi? Yani hata nchi za ulaya zote ziungane anapiga wote
kabila (ambaye inasemekana kawekeza sana bongo) ni mtusi, jina la kabila alichukua la baba wa kufikia Kabila senior aliyemuoa mama yake kabila akimkuta na watoto wawili, kabila junior na dada yake, wote wapo hai hadi leo. baba wa damu wa kabila alifia msituni kwenye mapigano huko huko congo mashariki. ndio maana ilikuwa rahisi kwa kagame kumwambia kabila junior assasinate baba yake wa kufikia (ndivyo wacongo wanavyodai).
 
Unaijua budget ya marekani ya ulinzi? Yani hata nchi za ulaya zote ziungane anapiga wote
Mkuu

Achana na vita, Vikwazo tu ulaya ikiungana ikasema hainunui wala kuuza na USA wakaigeukia China na Russia vinamuondoa kwenye reli USA. Wazungu usiwachukulie poa sana.
 
PK ni kichwa ngumu yule, ana kiburi, bora wamtoe kwa nguvu ili asirudie wala kutamani nchi kuvamia na kupora rasilimali za nchi za watu wengine. Wamfurushe tu maana alijiona ni mbabe wa EAC na SADC
 
Mkuu

Achana na vita, Vikwazo tu ulaya ikiungana ikasema hainunui wala kuuza na USA wakaigeukia China na Russia vinamuondoa kwenye reli USA. Wazungu usiwachukulie poa sana.
hawawezi ndio maana yeye ndio mwenye final say,alichokifanya ukraine baada ya wenzake kuwekeza nguvu zote zile kimedhihirisha nguvu ya marekani duniani
 
hawawezi ndio maana yeye ndio mwenye final say,alichokifanya ukraine baada ya wenzake kuwekeza nguvu zote zile kimedhihirisha nguvu ya marekani duniani
Mkuu,

Wazungu na USA wana uhusiano wa kibiashara wenye maslahi kwa USA na wenye mizizi iliyojichimbia ndani mno, Trump anatikisa tu mbuyu ila akifikia hatua serious za kuhatarisha uhusiano wao esp wa kibiashara Wamarekani wenyewe watampiga stop.
 
Tsheskedi anakabidhi madini mweziujaoo tunapiga ukuta

Ukraine jamaa anaenda wikihii kusaini mkataba kukabidhi madini woii
 
Watanzania ni kama vile tupo vitani na kagame.. Mda wote badala mfanye kazi mnamwaza Kagame ujinga mtupu...
 
Back
Top Bottom