Kama ipo ipo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,119
- 1,728
Kwa hiyo hutaki achangie au?Hahahahahha naona unatetea ndugu zako na hapa bongo mmepungua ghafla mlikimbia nn maana kipindi cha mwendazake mlijazana sana kwetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo hutaki achangie au?Hahahahahha naona unatetea ndugu zako na hapa bongo mmepungua ghafla mlikimbia nn maana kipindi cha mwendazake mlijazana sana kwetu
Aendelee kuchangia yupo huru sana nchi yake hii haina tabuKwa hiyo hutaki achangie au?
Na Ukraine kwa ngozi sawa na wao.Marekani akiamua hashindwi angalia yaliotokea Libya, IRAQ, SYRIA NA yanayoendelea Sudani
Raisi wa drc ameamua kuwarahisishia. Kile walichokuwa wanapata kupitia kagame sasa watakipata moja kwa moja bila mzunguko kama zaman kwa iyo kagame hana faida tena kwa wazungu maana hana chochote cha kuwafaa katika nchi yake. Mbaya zaidi atapambana na vikwazo. Felix amepiga kwenye mshono.ni jambo lisilowezekana, kagame ana connection kubwa na matajiri wa kiyahudi/israel ambao wameshika marekani masikio. ndicho kiburi chake kilipo. hata trump na ujanja wake wote ule, hana sauti kwa myahudi. hadi anatia huruma.
Naichikia USA kwa sera zake za mambo ya nje. Ila kwa kagame tu hapo hashindwi Tena si kwa nguvu kubwa. Ila tsheke naye Yuko Radhi kugawa mali kwa mabeberu abaki madarakani badala ya kukaa kwenye mazungumzo ili mali zinawanufaishe ndugu zake wakongoUnafikiri itakuwa rahisi kiivo? Yaan kwamba tamko la Trump ni sheria kwa kila mtu hapa duniani
Hoja yako ni nini hasa?marekani hana nguvu kwa israel, atakachoamua israel ndicho trump atafuata. na tukitaja israel jua tunaongelea wafanyabiashara wakubwa wa madini wenye asili ya kiyahudi wanaoishi na kumiliki marekani na tel aviv.
atoke madarakani au atoke congo?Wadau habari za ndani sana ambazo zinaumiza vichwa utawala wa Rwanda ni kwamba kuna taarifa serikali ya Marekani kutaka kumwajibisha Kagame kwa hiari au nguvu itumike
Hii imejiri baada ya Rais wa RDC ( DRC) Felix Tshisekedi kuomba msaada wa kutuliza machafuko kutoka kwa Rais Donald Trump juzi na pia kuomba Trump wafanye bIashara ya madini ghali na adimu na DRC.
mali zichukuliwe kwa manufaa ya jamii, raia wasiuwawe. atakaye weza kufanikisha hilo binafsi sioni ubaya wakeNaichikia USA kwa sera zake za mambo ya nje. Ila kwa kagame tu hapo hashindwi Tena si kwa nguvu kubwa. Ila tsheke naye Yuko Radhi kugawa mali kwa mabeberu abaki madarakani badala ya kukaa kwenye mazungumzo ili mali zinawanufaishe ndugu zake wakongo
wewe hujaijua Marekani na nguvu iliyonayo.Unafikiri itakuwa rahisi kiivo? Yaan kwamba tamko la Trump ni sheria kwa kila mtu hapa duniani