Wakatoliki: Bikra Maria utuombee kwa mwanao Yesu. Je, bado yu hai?

Wakatoliki: Bikra Maria utuombee kwa mwanao Yesu. Je, bado yu hai?

Yesu aliwaajibu mama na ndugu zangu ni wanaolishika neno langu.
Msalabani alimuita ewe mwanamke,
Kwenye maji kuwa divai alimuita ewe mwanamke.
Si zaidi ya hapo
Mariamu hakuwa mama wa yesu,alikuwa kizalishio,kikuzio cha mimba,hakuna chembe yoyote ya uhai ilitoka kwake.
Mariamu hayupo mbinguni muda huu,yupo walipo wakina ibrahim na wengine wakisubiri ufufuo.
Yule aliyekuwa na Yesu msalabani aliahidiwa nini?
 
Ila msingi wa ukristo ni biblia pekee.
Io ndio tofauti.
Mkristo hana msingi mwingine isipokuwa neno la Mungu tuu.
Ungejua Biblia ni nini, ilitokea wapi mpaka hii unayoona leo hakika ungekuwa Mkatoliki
 
Usijifanye mkristo sana Kuliko Warumi ?
Warumi si wakristo
Warumi ndio walioua ukristo.

Msingi wa ukristo ilishawekwa na mitume tuu
Paulo anasema mssingi amekwisha uweka yeye ajengae juu aufate huoo
Sasa uo msingi wa kirumi ambao unapingana na msingi wa mitume,si ukristo
 
Warumi si wakristo
Warumi ndio walioua ukristo.

Msingi wa ukristo ilishawekwa na mitume tuu
Paulo anasema mssingi amekwisha uweka yeye ajengae juu aufate huoo
Sasa uo msingi wa kirumi ambao unapingana na msingi wa mitume,si ukristo
Bila ya hao warumi, hakuna ukristo
 
Back
Top Bottom