Wakatoliki: Bikra Maria utuombee kwa mwanao Yesu. Je, bado yu hai?

Wakatoliki: Bikra Maria utuombee kwa mwanao Yesu. Je, bado yu hai?

Mpaka Yesu anakufa, mitume wanakufa hakukuwa na Biblia
Haikuwepo biblia ila neno la Mungu lilikuwepo.
Biblia ilianza kwnye magombo(ngozi za kuviringisha) mpaka ilipofikia sasa
Hakuna kitabu kiliandikwa na romani katika vile 66 ni Mungu ndani ya watu wake,pamoja na mashahidi tuuu.
 
Bila ya hao warumi, hakuna ukristo
Bila ya warumi hakuna uroman .
Ila.ukristo ulikuwepo kabla ya kufika rumi,na utakuwepo nje ya rumi.
Hayo ni mambo umekaririshwa.

Bikira maria
Rozali,
Christmas .
Minada kanisani
Upapa
Upadri
Makao makuu ya roman.
Usister
Maji ya baraka.
Ibada za sanamu
Mifupa ya mapapa kubusiwa
N.k

Huo sio ukristo,
666 ni jina kuu la papa
Anakaa kwenye mji wenye vilima saba
Ni nchi ndni ya nchi
Ufalme wake upo kwenye kila ufalme
Amepambwa kwa dhahabu na mavazi safi.
Mama wa makahaba( madhehebu) na machafuko
Kutoka roman ukristo ndipo ulichafuka na kugawanyika.

Hutaambiwa haya yatafakari fatilia
 
Haikuwepo biblia ila neno la Mungu lilikuwepo.
Biblia ilianza kwnye magombo(ngozi za kuviringisha) mpaka ilipofikia sasa
Hakuna kitabu kiliandikwa na romani katika vile 66 ni Mungu ndani ya watu wake,pamoja na mashahidi tuuu.
Hiyo idadi 66 imetokea wapi ? na kwanini 66 na sio 105
 
Bila ya warumi hakuna uroman .
Ila.ukristo ulikuwepo kabla ya kufika rumi,na utakuwepo nje ya rumi.
Hayo ni mambo umekaririshwa.

Bikira maria
Rozali,
Christmas .
Minada kanisani
Upapa
Upadri
Makao makuu ya roman.
Usister
Maji ya baraka.
Ibada za sanamu
Mifupa ya mapapa kubusiwa
N.k

Huo sio ukristo,
666 ni jina kuu la papa
Anakaa kwenye mji wenye vilima saba
Ni nchi ndni ya nchi
Ufalme wake upo kwenye kila ufalme
Amepambwa kwa dhahabu na mavazi safi.
Mama wa makahaba( madhehebu) na machafuko
Kutoka roman ukristo ndipo ulichafuka na kugawanyika.

Hutaambiwa haya yatafakari fatilia
Kumbe mjukuu wa helen, sasa basi kila hoja yako fungulia uzi, utajibiwa
 
Waroman hawasomi biblia mpaka padri jumapili,usitarajie wakajua neno la Mungu liwaokoe.
Wao wanashika kile anasema padri,

Vatican walichokiweza nikuwafanya watu waamini,dhehebu na si neno la Mungu.
Kwa hilo wamedanganywa mengi mnoo,nawao wanafata tuu,kwasababu neno la Mungu halimo mioyoni mwao.

Walidanganywa kuhusu mariamu
Kuhusu petro kuwa papa wa kwanza,na wakati hata rumi
 
Ndio
Mama wa Yesu jina lake ni Mariamu na sio Maria.
Hata Qurani inatambua hivyo
Na ina sura ya Mariamu
mama yake Isa.
Isa Bin Maria
Usitumie kitabu Cha Mudi kwenye huu mjadala,unachanganya watu na kitabu chenu Abunuasi
 
Hiyo idadi 66 imetokea wapi ? na kwanini 66 na sio 105
Soma biblia yako
Najua padri hawezi kukusomea ilo
Maisha yake yote,mpaka unaingia kabburini, mtasoma vitabu vile vile kila siku.
Na vingine hata kuvisikia hutavisikia
 
Soma biblia yako
Najua padri hawezi kukusomea ilo
Maisha yake yote,mpaka unaingia kabburini, mtasoma vitabu vile vile kila siku.
Na vingine hata kuvisikia hutavisikia
Hilo ndio jibu lake ?
 
Kiranja wa 666 ni wao waanzilishi, kama umeyachukua kwao na si mmoja wapo basi wewe ni mtu wao
Muanzilishi alikuwa Bwana yesu kristo kulitia yohana mfunuzi,
Usabato umekuja baada ya yohana kuandika habari za 666
Sasa unasemaje wasabato ni waanzilishi wa ukristo
 
Muanzilishi alikuwa Bwana yesu kristo kulitia yohana mfunuzi,
Usabato umekuja baada ya yohana kuandika habari za 666
Sasa unasemaje wasabato ni waanzilishi wa ukristo
Jifunze kuandika kisha uje
 
Back
Top Bottom