Yule aliyekuwa na Yesu msalabani aliahidiwa nini?Yesu aliwaajibu mama na ndugu zangu ni wanaolishika neno langu.
Msalabani alimuita ewe mwanamke,
Kwenye maji kuwa divai alimuita ewe mwanamke.
Si zaidi ya hapo
Mariamu hakuwa mama wa yesu,alikuwa kizalishio,kikuzio cha mimba,hakuna chembe yoyote ya uhai ilitoka kwake.
Mariamu hayupo mbinguni muda huu,yupo walipo wakina ibrahim na wengine wakisubiri ufufuo.
Hatuwezi kufanana kwa sababu unaabudu usichokijuaHii mambo ya lete andiko mnalitoa wapi, unafikiri tunafana Mimi na Wewe?
Kwani Biblia ni niniBiblia inasema mungu hana baba wala hana mama. Hana mwanzo wasiku wala mwisho.
Alafu mnamleta mariamu awe mama wa Mungu.
Paradiso sio mbingu.Yule aliyekuwa na Yesu msalabani aliahidiwa nini?
Sasa si upambane na hali yakoHatuwezi kufanana kwa sababu unaabudu usichokijua
Neno la MunguKwani Biblia ni nini
Yeah ukweli ni mchungu.Sasa si upambane na hali yako
Shida inaanzia hapaNeno la Mungu
Dogma Haina reference kwenye bibleBikra Maria alipalizwa mbinguni akiwa mzima bila kufa.
Kuna swali halina majibu ?Yeah ukweli ni mchungu.
Na hauna majibu
Hivi wewe ni mkristo kweli ama ni mroman??Shida inaanzia hapa
Msingi wa kanisa Katoliki si Biblia pekeeDogma Haina reference kwenye bible
Sasa unaaminije dogma na kuacha kuamini neno la Mungu.Dogma Haina reference kwenye bible
Ila msingi wa ukristo ni biblia pekee.Msingi wa kanisa Katoliki si Biblia pekee
Usijifanye mkristo sana Kuliko Warumi ?Hivi wewe ni mkristo kweli ama ni mroman??
Ungejua Biblia ni nini, ilitokea wapi mpaka hii unayoona leo hakika ungekuwa MkatolikiIla msingi wa ukristo ni biblia pekee.
Io ndio tofauti.
Mkristo hana msingi mwingine isipokuwa neno la Mungu tuu.
Mpaka Yesu anakufa, mitume wanakufa hakukuwa na BibliaSasa unaaminije dogma na kuacha kuamini neno la Mungu.
Unaamini hadithi za kutungwa
Mpaka Yesu anakufa, mitume wanakufa hakukuwa na Biblia kama hivi leo
Warumi si wakristoUsijifanye mkristo sana Kuliko Warumi ?
Bila ya hao warumi, hakuna ukristoWarumi si wakristo
Warumi ndio walioua ukristo.
Msingi wa ukristo ilishawekwa na mitume tuu
Paulo anasema mssingi amekwisha uweka yeye ajengae juu aufate huoo
Sasa uo msingi wa kirumi ambao unapingana na msingi wa mitume,si ukristo