Mroman yupo tayari asikilize vyoote kutoka kwako isipokuwa tuu injili.
Hapo ndipo utaiona sura yake halisi.
Yeye stori za kutungwa na madogma yupo tayari kuamini isipokuwa neno la mungu tuu.
Wakristo waliuwawa kwa kupinga uromani,wafia imani mamilioni kwa mamilion ya wakristo.
Martin,columbus,irenios,luther na wengine wengi walikumbana na hayo.
Soma wafia imani waliuwawa na katoliki,kanisa likajifanya kutubu na kuwaita majina yao majina ya makanisa yao.
Waromani ni Mafarisayo wa wakati huu,ukiwaona ni kama wema na wapole ila ndani mwao ni mbwa mwitu.
Uwezo mkubwa wa ibilisi wa sasa ni kuweza kuigizia ukristo na mambo ya kiungu.
Mathayo 23:27-30
[27]Ole wenu, waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mmefanana na makaburi yaliyopakwa chokaa, nayo kwa nje yaonekana kuwa mazuri, bali ndani yamejaa mifupa ya wafu, na uchafu wote.
[28]Vivyo hivyo ninyi nanyi, kwa nje mwaonekana na watu kuwa wenye haki, bali ndani mmejaa unafiki na maasi.
[29]Ole wenu, waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnayajenga makaburi ya manabii, na kuyapamba maziara ya wenye haki,
[30]na kusema, Kama sisi tungalikuwako zamani za baba zetu, hatungalishirikiana nao katika damu ya manabii.