Wakatoliki huwa wanapenyezaje watu wao kuwa Marais wa Tanzania?

Wakatoliki huwa wanapenyezaje watu wao kuwa Marais wa Tanzania?

Hawajui lile ni Kanisa lenye Dola ndani yake,Majasusi wakumwaga.Utoke Kijijini kwenu Bumbuli uje uwe Rais kwa kubadili dini kienyeji!
Famasiala nini!!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Neno lazma halipo ila kwakuwa tumekuwa na viongozi wachache ambao ni watatu kati ya sita ndo wakatoliki
Imetokea bahati ila hakuna anayeamua awe dhehebu gani
 
No comment
Yaani hujakosea kuna mtu alimnyima jirani njia, anauliza wewe kabila gani? Unasali KKKT? Yaani nilichoka kumwachia mtu apite mita 1½ unauliza anasali wapi? Urais wausahau kabisa wafanye mambo mengine wawapishe wasio na wabaguzi
 
Bado haujajibu swali.Nipo hapa Nyakanga naelekea Butiama.
Kweli Baba yake alikuwa chief na unajua walikuwa wabagani, hivyo wamisionary walikuwa wanamtembela Baba yake naye kwa udadisi akauliza kwanini huyu mgeni akija mnaniondoa nami nisiwepo? Siku moja naye akapata fursa hiyo na huyo mgeni akatoa ushauri na ukakubalika ndiyo mwanzo wa kuwa RC
 
Moja kwa moja kwenye mada,,,,Tangu tupate Uhuru linapokuja swala la Rais kutoka ukristoni basi atakuwa mkatoliki,,,Je,Kanisa katoliki wanatumia mbinu gani kuwapenyeza!?

Najiuliza,je kuna mpango wa Siri kati ya kanisa na dola? Au ni bahati tu inatokea! Au kuna Nini!? Nina Imani kwa ule mtiti wa Lowasa 2015 angekuwa mkatoliki angechukua nchi.Karibuni wajuzi na wachambuzi.
Nasubiri siku tupate Rais toka Ahmadia, Sua au Ismailia
 
Kwangu miki wakatoliki wanapewa urais kwa sababu wao ndio waliosoma zaido hapa Tanzania kuliko madhehebu mengine. Miaka ya 50-60 shule za ukweli zilikuwa za wakatoliki hadi Mwl aliwanyang'anya mashule yao. Wakayoliki walinyang'nywa nyingi kwa sababu walikiwa nazo nyingi sana kila kona ya nchi. Uankuta wengi walisoma seminafi na mbeleni kubadilika. Nakumbuka hata jk alislma seminary. Na hata sasa kanisa linatoa huduma bora za elimu na afya kilankona ya nchi

Sent from my SM-G977B using JamiiForums mobile app
 
Uraisi ni taasisi yenye heshima yake.
Sasa umkute Raisi anasali kwenye makanisa ya mazingaumbwe ,mara wajifanye wanafufua watu, mara wanagawa sijui mafuta ya upako wanasali kwenye makanisa ya mabanzi na yaliozungishiwa uzio wa mabati au mapagara ya magorofa ambayo hayajaisha, si utamkuta raisi nae yupo kwenye mkumbo wa kufunga hadi kufa ili kumwona Mungu na kwa kuwa ni Raisi atawashawishi na watanzania wote? Makanisa yanamilikiwa na mume na mke?
[emoji2][emoji2] nimecheka sana una hoja usikilizwe mkuu.
 
Kitakwimu ndugu zangu wakatoliki niwengi kuliko madhehebu mengine yooote ya wakristu. Naweza sema kwenye wakristu 100 wakatoliki aanazidi 50.
Hivyo sababu kubwa ni kuwa wengi, kusoma sana tangu awalina oiabkiwa watu wa kawaida popote wanapaikuwa. Wazee wa kuaa na kiasi. Wanakunyaa pombe, wanaenjoy lkn pia wanasali na kunenga makanisa makubwa sana. Aapo vizuri kinsingi

Sent from my SM-G977B using JamiiForums mobile app
 
Kweli Baba yake alikuwa chief na unajua walikuwa wabagani, hivyo wamisionary walikuwa wanamtembela Baba yake naye kwa udadisi akauliza kwanini huyu mgeni akija mnaniondoa nami nisiwepo? Siku moja naye akapata fursa hiyo na huyo mgeni akatoa ushauri na ukakubalika ndiyo mwanzo wa kuwa RC
Bado haujajibu swali.
 
Usipokuwa na uelewa mzuri unanyamaza maana utachekwa. Shule za sekondari nyingi sana za kikatoliki zilichukuliwa. Shule kama Pugu, Tosamganga, Iringa Girls, nk. Seminari ingechukuaje seminari? Ichukue seminari ili isomesha mapadri au? Seminari za kikatoliki zinasomesha wale wanaotarajiwa kuwa mapadre ndugu elewa hivyo.
Tukirudi kwenye mada ni hivi; wakatoliki utaratibu wao wanapofika sehemu huwa hivi kwenye kujiweka na kumtumikia Mungu; cha kwanza hujenga KANISA, cha pili hujenga SHULE, na tatu hujenga HOSPITALI. Hawa watu ulitaka ulingane nao wakati kanisa lako huwa linawaambia watu wafumbe macho waombe chochote watapata? Lyapuk'hile kabisa!
Kuna wilaya moja, serikali walitoa amri kateksta naye alipie ushuru wa baiskel enzi hizo, kanisa likawambia wala hatushindwi kulipia ushuru, tunaomba tukae chini vitu vyetu mlivyochukua mrudishe, tunaanza na shule yetu ya misingi hapa nyuma, Hosp yenu ya wilaya, chuo cha ufundi, na secondary ya mjini na nyingine nje ya mji, wakagwaya na kuomba msamaha.
 
Makanisa hayana hata sylubus ya ibada. Ni mchungaji kutoa sauti la kukoroma kama kameza dume la chura mwanzo mwisho, Mungu gani anaombwa kwa makelele? Ratiba ya nini utakikuta kanisani inategemea mchungaji na mke wake wamewaza nini halafu wanakuja kuwaambia wameambiwa na Mungu. Usishangae siku ya ijumaa kuu ngoma midundo na kucheza kama kawa
@Saint Anne njoo sikia chura huku
 
Kanisa katoliki limejengwa kwa misingi imara sana so ni rahisi kutoa watu wenye akili timamu.ndomana hata mabishano ya dini utakuta yapo kati ya Protestants na waislam.
 
Wakatoliki walijitambua mapema wakaweka taasisi za elimu na mafunzo kwa wanafunzi wao. Kumbuka Shule za Mission.

Wakati wakatoliki wanafungua Shule na kusomesha watu wao, wengine wanaandamana kuvunja mabucha ya nguruwe;

Wakati wakatoliki wanafungua Shule na kusomesha watu wao, wengine wako kwenye mihadhara ya Yesu si MUNGU;

Wakati wakatoliki wanafungua Shule na kusomesha watu wao, Wengine wanazunguka kuhubiri maji na mafuta.

Aliyekuambia vitu hivyo vinaongoza Nchi ni Nani?

Wakatoliki walifanikiwa kuwekeza katika elimu, tena elimu yenye mashiko.
 
Wanatazama uwiano wa kura sababu linawafuasi wengi ila imetosha zamu ya KKKT ama Anglican sasa

Marais wakatoliki wamekuwa wanalibeba sana dhehebu lao
Wanalipa maeneo makubwa ya ardhi kwa lazima
Ukiwa waziri wa ardhi wewe bishana nao kwenye ardhi huchukui muda utatoka

Pia wamekuwa wanawasapoti kwa vitu vingi mfano kwanini roma shule zake za seminari na vyuo aliachiwa?
Makanisa mengine mpaka leo hayajarudishiwa?
anglican walihangaika wee wakajikuta wanaambulia tu mazengo ambayo sasa ni St johns university
Ila chuo cha ualimu korogwe hosptal ya muhimbili msalato navingne serikali imegoma
Nimemsomea mzee m1 hapa comment yako amepingana nawe na kusema kitu ambacho kina ukweli...
Mfano sisi yulipo shule nyingi za msingi zilikuwa za Katoliki, kwa huku utakuta kanisa Katoliki lilipo pembeni Kuna shule ya msingi, ila walinyang'anywa.
Shule ya Sekondari Weruweru haijarudishwa, Tosamaganga, nk
 
Wakatoliki Wana maekari kwa malefu ya maekari.

Hivyo lazima wale top mmoja wao atoke kwao ili kulinda maslahi yao.

Marekani kwa kipindi cha zaidi ya miaka 200 Biden ndio Rais wa kwanza mkatoliki kumaliza muda wake. Baada yaa JFK. Kuwa terminated...
Kwani Biden alishamaliza muda wake???
 
Back
Top Bottom