butron
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 5,640
- 7,943
Hawajui lile ni Kanisa lenye Dola ndani yake,Majasusi wakumwaga.Utoke Kijijini kwenu Bumbuli uje uwe Rais kwa kubadili dini kienyeji!Anapoteza muda...wakatoriki wanataka mtu aliyekuwa mkatoriki kwa kuzaliwa ama toka hatua za awali
Tizama Nyerere, Mkapa, Magufuli; waukubwani wanakuwaga ni wasaka fursa
Famasiala nini!!