Wakatoliki huwa wanapenyezaje watu wao kuwa Marais wa Tanzania?

Wakatoliki huwa wanapenyezaje watu wao kuwa Marais wa Tanzania?

Anapoteza muda...wakatoriki wanataka mtu aliyekuwa mkatoriki kwa kuzaliwa ama toka hatua za awali

Tizama Nyerere, Mkapa, Magufuli; waukubwani wanakuwaga ni wasaka fursa
Hawajui lile ni Kanisa lenye Dola ndani yake,Majasusi wakumwaga.Utoke Kijijini kwenu Bumbuli uje uwe Rais kwa kubadili dini kienyeji!
Famasiala nini!!
 
Nakumbuka lowasa wakati wa kampeni aliingia kanisani akadiriki kusema "na sisi wa kkkt ni zamu yetu" nikajisemea moyoni hapo kajimaliza mwenyewe
Kila mwenye akili alimshangaa sana, Sumaye kipindi anatafuta tafuta aliwahi ongea hivyo, itakuwa kanisa lao lilikuwa linamsukuma msukuma kwa nyuma,
 
UISLAMU NA UKATOLIKI ZOTE NI DINI ZA VATCAN.

UKIENDA AGANST NAO UNAUWAWA KAMA KF KENEDY.

MAREKANI ANAPELEKA VATCAN ZAIDI YA 60%
 
Rais ni muislamu au mkatoliki hua ipo wazi baina ya dini hizo mbili na ni muiko ambao sidhani kama utavunjwa leo wala kesho
Ubaguzi unaanziaga hapo... Mara dini, mara kabila, mara sura, mara maumbile, mara ukanda, mara elimu!
Ilmradi tu mfanye ubaguzi!
Rais wa Tanzania haweZi kutokea miongoni mwa watu wasio waTanzania. Hayo mengine mnayakuza!
Mfano: Tanzania hadi leo wamefika Marais 6 (Mwl JK Nyerere, A. H Mwinyi, BW Mkapa, JM Kikwete, JPM na SS Hassan)!
Wote ni waTanzania...
 
Uraisi ni taasisi yenye heshima yake.
Sasa umkute Raisi anasali kwenye makanisa ya mazingaumbwe ,mara wajifanye wanafufua watu, mara wanagawa sijui mafuta ya upako wanasali kwenye makanisa ya mabanzi na yaliozungishiwa uzio wa mabati au mapagara ya magorofa ambayo hayajaisha, si utamkuta raisi nae yupo kwenye mkumbo wa kufanya hadi kufa ili kumwona Mungu na kwa kuwa ni Raisi atawashawishi na watanzania wote? Makanisa yanamilikiwa na mume na mke?
Kanisa linakuwa la Mke na Mme , Mme akisafiri mke huku ni mipasho tu kanisani, wenyewe watuhubilie tu fire ili kuwakimbiza wachawi urais wauache
 
Bado haujajibu swali.Nipo hapa Nyakanga naelekea Butiama.
Mkuu unataka utafuniwe kila kitu,nenda hapo kwenye Makumbusho ya Nyerere Butiama,utapata vitabu vingi vya Historia ya maisha yake.
Pia nenda Mkuki na Nyota Dar es salaam,utapata vitabu vya historia ya Mwalimu.
Ata humuhumu JF kuna nyuzi kibao za Maisha ya Mwalimu Nyerere.
 
Wanatazama uwiano wa kura sababu linawafuasi wengi ila imetosha zamu ya KKKT ama Anglican sasa

Marais wakatoliki wamekuwa wanalibeba sana dhehebu lao
Wanalipa maeneo makubwa ya ardhi kwa lazima
Ukiwa waziri wa ardhi wewe bishana nao kwenye ardhi huchukui muda utatoka

Pia wamekuwa wanawasapoti kwa vitu vingi mfano kwanini roma shule zake za seminari na vyuo aliachiwa?
Makanisa mengine mpaka leo hayajarudishiwa?
anglican walihangaika wee wakajikuta wanaambulia tu mazengo ambayo sasa ni St johns university
Ila chuo cha ualimu korogwe hosptal ya muhimbili msalato navingne serikali imegoma
Usipokuwa na uelewa mzuri unanyamaza maana utachekwa. Shule za sekondari nyingi sana za kikatoliki zilichukuliwa. Shule kama Pugu, Tosamganga, Iringa Girls, nk. Seminari ingechukuaje seminari? Ichukue seminari ili isomesha mapadri au? Seminari za kikatoliki zinasomesha wale wanaotarajiwa kuwa mapadre ndugu elewa hivyo.
Tukirudi kwenye mada ni hivi; wakatoliki utaratibu wao wanapofika sehemu huwa hivi kwenye kujiweka na kumtumikia Mungu; cha kwanza hujenga KANISA, cha pili hujenga SHULE, na tatu hujenga HOSPITALI. Hawa watu ulitaka ulingane nao wakati kanisa lako huwa linawaambia watu wafumbe macho waombe chochote watapata? Lyapuk'hile kabisa!
 
Tena rais muislamu ni lazima kuwa dhehebu la Sunni kwa sababu BAKWATA katiba yake inasema kiongozi mkuu wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania atatokana na Sunni..
Alaa? Ndio maana ilivunjwa EAMWS kwa kisingizio cha Mlezi Aga khan ni Shia, Mohamed Said hawa wanafunzi wako wako hapa uwedurusishe kunako uga wa siasa wa nchi hii, huwa unatukosha
 
Pigia mstari, Nyerere katolewa Kijijini na kusomeshwa na Kanisa Katoliki kuanzia Primary mpaka University na mpaka mipango ya kupigania Uhuru ilikuwa inasukwa na Wakatoliki.
Hawa jamaa wana mipango ya muda mrefu miaka ata 100 mbele ni tofauti kabisa na makanisa ya Protestants.
Sasa mtu na mkewe watakukazania wewe wakati na wao wana watoto? Kuna Mchungaji mmoja kanisa lakw limekufa pesa za kanisa wanakula wanaye, wakipiga hata harambee yakununua kitu pesa ikipatika tu mwanaye anakomba zote, waumini wamemkimbia mzee.
 
Unadhani familia ya Julius ilikuwa kapuku kwamba wangeshindwa kumsomesha?
Haikuwa familia ya hohehahe bali hawakuwa na ufunuo wa elimu, wao ilikuwa ukizaliwa tu ukishakuwa ni kuoa na kuolewa na kuzaa tuuu habari za elimu hazikuwepo kabisa
 
Anapoteza muda...wakatoriki wanataka mtu aliyekuwa mkatoriki kwa kuzaliwa ama toka hatua za awali

Tizama Nyerere, Mkapa, Magufuli; waukubwani wanakuwaga ni wasaka fursa
Mkatoliki aliyeungwa mkia haa ha ha ha sizani!
 
Jiepushe na siasa za Sheikh Ponda,utakula mema ya nchi!
Lowasa ndicho pia pia kilimponza

Yeye kutwa kushinda na akina Ponda na akina Sheikh Katimba siasa kali na akina Askofu Mwamakula wasiokubalika na dini zote kubwa
 
Marais 5 wa Tanzania walikuwa wakatoliki kindakindaki.
1. Nyerere
2. Mwinyi
3. Mkapa
4. Kikwete
5. Magufuli the great
Huyu wasasa siyo.
 
Back
Top Bottom