Wakatoliki huwa wanapenyezaje watu wao kuwa Marais wa Tanzania?

Wakatoliki huwa wanapenyezaje watu wao kuwa Marais wa Tanzania?

Wakatoliki walijitambua mapema wakaweka taasisi za elimu na mafunzo kwa wanafunzi wao. Kumbuka Shule za Mission.

Wakati wakatoliki wanafungua Shule na kusomesha watu wao, wengine wanaandamana kuvunja mabucha ya nguruwe;

Wakati wakatoliki wanafungua Shule na kusomesha watu wao, wengine wako kwenye mihadhara ya Yesu si MUNGU;

Wakati wakatoliki wanafungua Shule na kusomesha watu wao, Wengine wanazunguka kuhubiri maji na mafuta.

Aliyekuambia vitu hivyo vinaongoza Nchi ni Nani?

Wakatoliki walifanikiwa kuwekeza katika elimu, tena elimu yenye mashiko.
Umesoma mada ukaielewa au umerukupu kutoka huko ulipo kuwa ukaja kudandia tren kwa kwa mbele?
 
Moja kwa moja kwenye mada,,,,Tangu tupate Uhuru linapokuja swala la Rais kutoka ukristoni basi atakuwa mkatoliki,,,Je,Kanisa katoliki wanatumia mbinu gani kuwapenyeza!?

Najiuliza,je kuna mpango wa Siri kati ya kanisa na dola? Au ni bahati tu inatokea! Au kuna Nini!? Nina Imani kwa ule mtiti wa Lowasa 2015 angekuwa mkatoliki angechukua nchi.Karibuni wajuzi na wachambuzi.
This is a sensitive topic tumeisha izungumza sana humu Sumu ya Siasa za Udini, Ukanda na Ukabila, "Is It Real? au ni Dhana Tuu?." na Ni upuuzi kuwagawa watanzania kikanda,kikabila na kidini! na Tupende, tusipende: Tanzania inanyemelewa na udini! na Jinamizi la Udini Tanzania: Utabiri wa Sheikh Suleiman Takadir
P
 
Na akiwa muislamu awe wa dhehebu gani!? Maana waislamu nao Wana madhehebu yao
Dhehebu lenye kujua thamani ya raia wote wa Tanzania kwa usawa wao wa dini na madhehebu yote.....

Dhehebu lisilotanguliza ubaguzi wa waislamu wengine na waumini wa dini nyingine hata za mizimu.....

Dhehebu lenye kutaka kuiona Tanzania ikibaki hivihivi na AMANI na usalama wake......

Dhehebu lisilopinga demokrasia isiyovunja umoja wa watanzania......

Si wengine ni MASUFI........

Mwenyezi Mungu atulinde BAKWATA yetu......aaaamin aaaamin [emoji120]

#SiempreJMT[emoji120]
 
Nimemsomea mzee m1 hapa comment yako amepingana nawe na kusema kitu ambacho kina ukweli...
Mfano sisi yulipo shule nyingi za msingi zilikuwa za Katoliki, kwa huku utakuta kanisa Katoliki lilipo pembeni Kuna shule ya msingi, ila walinyang'anywa.
Shule ya Sekondari Weruweru haijarudishwa, Tosamaganga, nk
Walinyang'anywa lakini hawakubweteka walisongambele, ukikuta kanisa na shule pembeni tambua kabisa hiyo shule ilikuwa yakanisa
 
Wanatazama uwiano wa kura sababu linawafuasi wengi ila imetosha zamu ya KKKT ama Anglican sasa

Marais wakatoliki wamekuwa wanalibeba sana dhehebu lao
Wanalipa maeneo makubwa ya ardhi kwa lazima
Ukiwa waziri wa ardhi wewe bishana nao kwenye ardhi huchukui muda utatoka

Pia wamekuwa wanawasapoti kwa vitu vingi mfano kwanini roma shule zake za seminari na vyuo aliachiwa?
Makanisa mengine mpaka leo hayajarudishiwa?
anglican walihangaika wee wakajikuta wanaambulia tu mazengo ambayo sasa ni St johns university
Ila chuo cha ualimu korogwe hosptal ya muhimbili msalato navingne serikali imegoma
Acha fix mkuu, Hivi unaweza kuhesabu idadi ya shule zote za kikatoliki ambazo leo ni za serikali zinaweza kuwa nyingi pengine kuliko hata hizo zote unazolalamika kuchukuliwa!! Shule kongwe na kubwa unazosikia leo nyingi zilikuwa za wakatoliki sema jamaa wanazidi kujenga kila leo kitu unachoweza kuhisi labda hawakuchukuliwa zao


Kwa maeneo hao nadhani kwa maeneo mengi hapa nchini ndio wamekuwa wa missionary wa mwanzo sana kitu kilichopelekea kuwa na maeneo makubwa sana nchini
 
Ningekuwa mkristo ningechagua UKATOLIKI.....

Usiniulize kwanini full stop!

#SiempreJMT[emoji120]
 
Acha fix mkuu, Hivi unaweza kuhesabu idadi ya shule zote za kikatoliki ambazo leo ni za serikali zinaweza kuwa nyingi pengine kuliko hata hizo zote unazolalamika kuchukuliwa!! Shule kongwe na kubwa unazosikia leo nyingi zilikuwa za wakatoliki sema jamaa wanazidi kujenga kila leo kitu unachoweza kuhisi labda hawakuchukuliwa zao


Kwa maeneo hao nadhani kwa maeneo mengi hapa nchini ndio wamekuwa wa missionary wa mwanzo sana kitu kilichopelekea kuwa na maeneo makubwa sana nchini
Lile linaitwa la popote!
 
Tanzania ni moja ya nchi yenye protestant wengi zaidi duniani.Ila ukienda hapo Rwanda tu hakuna protestant! Europe kuna Anglicans wengi lakini bado odadi yao haifikii Catholics overall
They have had "heads" for quite some generations!
 
Moja kwa moja kwenye mada,,,,Tangu tupate Uhuru linapokuja swala la Rais kutoka ukristoni basi atakuwa mkatoliki,,,Je,Kanisa katoliki wanatumia mbinu gani kuwapenyeza!?

Najiuliza,je kuna mpango wa Siri kati ya kanisa na dola? Au ni bahati tu inatokea! Au kuna Nini!? Nina Imani kwa ule mtiti wa Lowasa 2015 angekuwa mkatoliki angechukua nchi.Karibuni wajuzi na wachambuzi.
Sidhani kama huwa wanapenyezwa au wanatayarishwa hiyo hutokea kama coincidence tu !! Je na Waislamu wa dhehebu la Sunni huwa wanafanyaje kupenyeza watu wao kuwa Marais wa Nchi ??!! 😅 Mbona hawajatokea wa dhehebu jingine ??!! 😂😂
 
Protestants.


Hasa hasa Hawa wa Evangelical au waite KKKT kwa hapa wapo 25% ya population ila protestants wote ni kama 50 ya population.

Catholics ni 20% tu.
Ukiwa unamaanisha waislamu ni 5% tu???😲😲😲😲😲
 
Sio kupenyeza Iko wazi Raisi lazima awe mkatoliki, ni mashart ambayo yapo wazi na hakuna wa kupinga
Ni lazima kivipi. ?! Kwahiyo na kwa upande mwingine Rais ni lazima awe wa dhehebu la Sunni ?! Maana mpaka sasa ndivyo ilivyo !!
 
Ningekuwa mkristo ningechagua UKATOLIKI.....

Usiniulize kwanini full stop!

#SiempreJMT[emoji120]
Kimsingi Ukristu ni ukatoliki. Hawa wengine waliona masharti magumu wskajitoa, wakawa wanaitwa " waprotestant" kama ingekuwa kwenye Uislam wangeitwa " murtad" hivyo wanafanya mambo mengi ambayo ni kinyume na ukristu na lawama zinakuja kwenye ukristu kumbe walishajitenga siku nyingi na kuanzisha taratibu zao ambazo Zina utofauti na Kanisa la mwanzo
 
Back
Top Bottom