Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
🤣😀Unapigia mbuzi gitaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣😀Unapigia mbuzi gitaaa
Sio lazima wafanye promo za kuwaita waumini. Yako mambo mengi wanayoweza kuandaa vijana kupitia redio na tv na yakavuta wengi. Hata kama ibada inarushwa, basi audio na video ziwe na ubora unaofaa. Wakati mwingine ibada za mubashara sauti ni shida sana.Uinjilishaji siyo kuhubiri tu.
Yakiwemo mahubiri; imani hujengwa na vitu vingi: sala, kwaya, historia ya Kanisa, kuelezea mafundisho mbalimbali, kujifunza maisha ya Watakatifu, n.k.
Haya yote utayapata Kanisani, kwenye media za Kanisa, Jumuia Ndogondogo za Kikatoliki, n.k. Imani ya Ukatoliki, na Ukristu kwa ujumla, haikujengwa kwenye miujiza na matangazo.
Infact Kristu alipotenda miujiza, ukiacha ule aliowaambia wakajioneshe kwa viongozi wa dini, mara zote aliwasisitiza wasimuambie mtu. Maana imani haijengwi kwenye miujiza, bali msalaba.
Liturugia imewahi kusaidia nini labdahao wote ulio wataja ni wajasiriamali katika engo ya omani, lazima kila platform inayojitokeza waitumiekujulikana na kufikia wengi , katoliki hatuhitaji hivyo, mfumo wa sala na maombi na ibada inaenda kiliturigia huko kwenye redio na tv ambazo saa moja nyuma ilikua inaonyesha ufuska na saamoja mbele kusifu na kuabudu na Roho mtakatifu anashuka kweli na kujaza upako studio!
nijikite kwenye ukongwe hapo, hakuna wakongwe kwenye dini kama Wayahudi, wao wamekuwa waaminifu kwenye dini mno, lakini dini haijawaokoa, wanakufa na wanaenda motoni kwasababu ni kwa kutumia dini hiyohiyo walimsumbua sana Yesu na waliwauwa mitume waliosambaza hata huu ukristo. Cha msingi, tuishi tukijua kwamba, dini haiokoi, Biblia inasema tunatakiwa kuokoka. kwa kua ukimkiri Yesu kwa kinywa chako na kuamini moyoni kwamba Mungu alimfufua katika wafu utaokoka, kwa moyo mtu huamini na kwa kinywa hukiri. tunatakiwa kuokoka, hizi dini ni NGOs tu ambazo tena zimesajiliwa kabisa kwenye secular government hiihii na zinaweza kufutwa au kurekebishwa, ila njia ya wokovu kwa Yesu Kristo ni moja tu, kuokoka ni lazima.Ukweli ni kwamba nipo home naperuzi stesheni za TV. Ukija clouds unakutana na chomoza, ukurudi chanel ten yupo Mwamposa. TVE yupo kuhani Musa. Wasafi yupo tena Mwamposa. Naperuzi zaidi nakutana na Upendo TV ya walutheri. Sasa Jumapili natoka kanisani kazi yangu ni kutazama maudhui ya madhehebu mengine tu? TV tumaini mmeshindwa kuingia DStv? Hata hivyo content mnazo?
Ukirudi kwenye redio ni yaleyale. Usiku redio zote zimeshikwa na hawa walokole. Namaanisha almost zote, tena hadi alfajiri. Ukija redio Tumaini na redio Maria ni sala %80. Hivi, ni nani anakaa au yuko nyumbani aache kufanya pilika za nyumani atulie kufuatilia sala redioni? Hata hao wanaoongoza sala redioni wametulia sehemu. Badilikeni
Waumini wakitoroka msiwalaumu. Kanisa katoliki ni kongwe kweli ila ifike sehemu mabadiliko, hasa kwenye uinjilishaji yawepo. Watu/waumini wanataka content.
Kanisa halijakosa waumini wenye karama za kuhubiri. Kwa nini wasipewe nafasi kwenye media? Kanisa halijakosa waumini wenye uwezo bunifu kwenye vipindi/maudhui. Mnatengeneza mazingira gani kuwawezesha hawa.
Niishie hapa kwa leo.
Unajua, binadamu tukiachwa bila mifumo hatutaweza kuwa sawa. Hivyo hizi taasisi za kiimani ni muhimu zikawepo. Tatizo serikali zinaruhusu usajili kila leo. Ifike muda taasisi zilizopo ziangaliwe upya na zipunguzwe ikibidi. Kisha pasiongezeke zingine. Na zitakazobaki ziwe na uhalisia katika kutumikia waumini wake.nijikite kwenye ukongwe hapo, hakuna wakongwe kwenye dini kama Wayahudi, wao wamekuwa waaminifu kwenye dini mno, lakini dini haijawaokoa, wanakufa na wanaenda motoni kwasababu ni kwa kutumia dini hiyohiyo walimsumbua sana Yesu na waliwauwa mitume waliosambaza hata huu ukristo. Cha msingi, tuishi tukijua kwamba, dini haiokoi, Biblia inasema tunatakiwa kuokoka. kwa kua ukimkiri Yesu kwa kinywa chako na kuamini moyoni kwamba Mungu alimfufua katika wafu utaokoka, kwa moyo mtu huamini na kwa kinywa hukiri. tunatakiwa kuokoka, hizi dini ni NGOs tu ambazo tena zimesajiliwa kabisa kwenye secular government hiihii na zinaweza kufutwa au kurekebishwa, ila njia ya wokovu kwa Yesu Kristo ni moja tu, kuokoka ni lazima.
KweliHamna watakachoongea zaidi ya baraka kwa mashoga
sheria zipo, taasisi zinazokiuka sheria, zishughulikiwe. ni ngumu hata hivyo kucontol hizi taasisi, kama unawapa vibali waganga wa kienyeji na wapagani wafanye upagani wao wapendavyo (labda kwa sababu ndiko wanaend akuchukua tunguli wakati wa uchaguzi na kwenye vyeo vyao), utakuwa na sauti kuzuia mlipuko wa dini kweli?Unajua, binadamu tukiachwa bila mifumo hatutaweza kuwa sawa. Hivyo hizi taasisi za kiimani ni muhimu zikawepo. Tatizo serikali zinaruhusu usajili kila leo. Ifike muda taasisi zilizopo ziangaliwe upya na zipunguzwe ikibidi. Kisha pasiongezeke zingine. Na zitakazobaki ziwe na uhalisia katika kutumikia waumini wake.
Binafsi naona nje ya ibada za live, hivi vituo vya dini hazina maudhui mengine zaidi ya nyimbo aka videos. Labda uniambie Kuhani Musa, Mwamposa na hao wengine huonesha vipindi Gani vingine vya kijamii au tofauti nje ya kuhubiri neno na kucheza gospel music? Mimi nawashangaa TU wameshindwa kurusha matangazo yao Startimes!?Ukweli ni kwamba nipo home naperuzi stesheni za TV. Ukija clouds unakutana na chomoza, ukurudi chanel ten yupo Mwamposa. TVE yupo kuhani Musa. Wasafi yupo tena Mwamposa. Naperuzi zaidi nakutana na Upendo TV ya walutheri. Sasa Jumapili natoka kanisani kazi yangu ni kutazama maudhui ya madhehebu mengine tu? TV tumaini mmeshindwa kuingia DStv? Hata hivyo content mnazo?
Ukirudi kwenye redio ni yaleyale. Usiku redio zote zimeshikwa na hawa walokole. Namaanisha almost zote, tena hadi alfajiri. Ukija redio Tumaini na redio Maria ni sala %80. Hivi, ni nani anakaa au yuko nyumbani aache kufanya pilika za nyumani atulie kufuatilia sala redioni? Hata hao wanaoongoza sala redioni wametulia sehemu. Badilikeni
Waumini wakitoroka msiwalaumu. Kanisa katoliki ni kongwe kweli ila ifike sehemu mabadiliko, hasa kwenye uinjilishaji yawepo. Watu/waumini wanataka content.
Kanisa halijakosa waumini wenye karama za kuhubiri. Kwa nini wasipewe nafasi kwenye media? Kanisa halijakosa waumini wenye uwezo bunifu kwenye vipindi/maudhui. Mnatengeneza mazingira gani kuwawezesha hawa.
Niishie hapa kwa leo.
Bila shaka ni taasisi 2 tofauti zinazitoa vibali, maana uganga na dini havichangamanisheria zipo, taasisi zinazokiuka sheria, zishughulikiwe. ni ngumu hata hivyo kucontol hizi taasisi, kama unawapa vibali waganga wa kienyeji na wapagani wafanye upagani wao wapendavyo (labda kwa sababu ndiko wanaend akuchukua tunguli wakati wa uchaguzi na kwenye vyeo vyao), utakuwa na sauti kuzuia mlipuko wa dini kweli?
Sipingi neno la Mungu.Hata kwa madhehebu mengine pia huo msalaba ndio nguzo kuu na chanzo cha wokovu.Una lingine? Hamna content kubalini tuSiyo maneno yangu mkuu.
Luka 9:23
Akawaambia wote, "mtu yeyote akitaka kunifuata, na ajikane mwenyewe, ajitwike msalaba wake kila siku, anifuate."
ASizungumzii biashara bali namna gani Katoliki tumesongwa na vishawishi.
Acha udhehebu hao wote ni wakristo mbona mimi ni mluther ila nikikosa kanisa karibu kama nipo mkoa au nchi nyingine naingia catolic safii kabisa, ok nikusaidie tu tumia azam kifurushi utakutana na chanel kibao za catolik ingawa mimi mpenzi wa dstv, ila jifunze kubadilika udhehebu aufai kwa dunia ya sasa sote ni wakristoSizungumzii biashara bali namna gani Katoliki tumesongwa na vishawishi.
Sizungumzii biashara bali namna gani Katoliki tumesongwa na vishawishi.
â€â€Yohana 2:23Uinjilishaji siyo kuhubiri tu.
Yakiwemo mahubiri; imani hujengwa na vitu vingi: sala, kwaya, historia ya Kanisa, kuelezea mafundisho mbalimbali, kujifunza maisha ya Watakatifu, n.k.
Haya yote utayapata Kanisani, kwenye media za Kanisa, Jumuia Ndogondogo za Kikatoliki, n.k. Imani ya Ukatoliki, na Ukristu kwa ujumla, haikujengwa kwenye miujiza na matangazo.
Infact Kristu alipotenda miujiza, ukiacha ule aliowaambia wakajioneshe kwa viongozi wa dini, mara zote aliwasisitiza wasimuambie mtu. Maana imani haijengwi kwenye miujiza, bali msalaba.
Acha uongo sidhan kama kuna Radio kwa sasa yenye Masafa mengi kwa sasa kama radio Maria.Wakati wanaanzisha redio maria waliwavuta wasikilizaji wake kwa kuweka nyimbo za walokole, mwisho wakazitupilia mbali wakawa wawasikilizia nyimbo za kikatoliki na sala zao. Sasa redio haina wasikilizaji wengi
Ni kweli, hakuna content za ajabu sana ila zilizoBinafsi naona nje ya ibada za live, hivi vituo vya dini hazina maudhui mengine zaidi ya nyimbo aka videos. Labda uniambie Kuhani Musa, Mwamposa na hao wengine huonesha vipindi Gani vingine vya kijamii au tofauti nje ya kuhubiri neno na kucheza gospel music? Mimi nawashangaa TU wameshindwa kurusha matangazo yao Startimes!?
Wakristo wengine vimeo sana. Wapotoshaji na wapigaji wa wazi. Mbali na upigaji ni matapeli wa kiimani na waumizao wale wanaowaendea kupata huduma zao. Sasa unaanzaje kuchangamana na hawa?Acha udhehebu hao wote ni wakristo mbona mimi ni mluther ila nikikosa kanisa karibu kama nipo mkoa au nchi nyingine naingia catolic safii kabisa, ok nikusaidie tu tumia azam kifurushi utakutana na chanel kibao za catolik ingawa mimi mpenzi wa dstv, ila jifunze kubadilika udhehebu aufai kwa dunia ya sasa sote ni wakristo
Waebrania 11:1â€â€Yohana 2:23
[23] Hata alipokuwapo Yerusalemu kwenye sikukuu wakati wa Pasaka, watu wengi waliamini jina lake, walipoziona ishara zake alizozifanya.
Kama ungeendelea kidogo katika somo tulilosoma leo ungekutana na huo mstari.
Ishara na miujiza inazalisha imani usibishe kitu usichokijua.
Kuhusu kujitangaza ni kama swali la mleta mada. Je? tutajitangaza katika lipi? Katika kulinadi kanisa au kumhubiri Kristo. Lazima tukubali kwamba kanisa limetulea lakini jukumu letu sio kumlinda papa Bali kumtangaza Kristo, kilele cha imani yetu lazima iwe wokovu maana yake Kristo alikufa kisha akafufuka katika hilo tumekombolewa na tuu warithi wa neema pamoja nayeye hivyo hatuna vifungo vya dogma wala kanisa tu watumwa wa Kristo katika kazi ya kuokoa mioyo iliyopotea.
Uinjilishaji pia kutembeza sanamu ya bikira Maria.Uinjilishaji siyo kuhubiri tu.
Yakiwemo mahubiri; imani hujengwa na vitu vingi: sala, kwaya, historia ya Kanisa, kuelezea mafundisho mbalimbali, kujifunza maisha ya Watakatifu, n.k.
Haya yote utayapata Kanisani, kwenye media za Kanisa, Jumuia Ndogondogo za Kikatoliki, n.k. Imani ya Ukatoliki, na Ukristu kwa ujumla, haikujengwa kwenye miujiza na matangazo.
Infact Kristu alipotenda miujiza, ukiacha ule aliowaambia wakajioneshe kwa viongozi wa dini, mara zote aliwasisitiza wasimuambie mtu. Maana imani haijengwi kwenye miujiza, bali msalaba.
Sahihi.Uinjilishaji pia kutembeza sanamu ya bikira Maria.
Mbona hayo madhehehu mengine unayosema yana ubunifu hayatembezi msalaba na hujawashauri nao watembeze msalaba na sanamu ya bikira Maria?Ukweli ni kwamba nipo home naperuzi stesheni za TV. Ukija clouds unakutana na chomoza, ukurudi chanel ten yupo Mwamposa. TVE yupo kuhani Musa. Wasafi yupo tena Mwamposa. Naperuzi zaidi nakutana na Upendo TV ya walutheri. Sasa Jumapili natoka kanisani kazi yangu ni kutazama maudhui ya madhehebu mengine tu? TV tumaini mmeshindwa kuingia DStv? Hata hivyo content mnazo?
Ukirudi kwenye redio ni yaleyale. Usiku redio zote zimeshikwa na hawa walokole. Namaanisha almost zote, tena hadi alfajiri. Ukija redio Tumaini na redio Maria ni sala %80. Hivi, ni nani anakaa au yuko nyumbani aache kufanya pilika za nyumani atulie kufuatilia sala redioni? Hata hao wanaoongoza sala redioni wametulia sehemu. Badilikeni
Waumini wakitoroka msiwalaumu. Kanisa katoliki ni kongwe kweli ila ifike sehemu mabadiliko, hasa kwenye uinjilishaji yawepo. Watu/waumini wanataka content.
Kanisa halijakosa waumini wenye karama za kuhubiri. Kwa nini wasipewe nafasi kwenye media? Kanisa halijakosa waumini wenye uwezo bunifu kwenye vipindi/maudhui. Mnatengeneza mazingira gani kuwawezesha hawa.
Niishie hapa kwa leo.