Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,478
- 3,659
- Thread starter
- #41
Tutaanza na ya MudiMbona hayo madhehehu mengine unayosema yana ubunifu hayatembezi msalaba na hujawashauri nao watembeze msalaba na sanamu ya bikira Maria?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutaanza na ya MudiMbona hayo madhehehu mengine unayosema yana ubunifu hayatembezi msalaba na hujawashauri nao watembeze msalaba na sanamu ya bikira Maria?
yaani hoja ni kwamba, serikali hiyo hiyo hata kama ina taasisi mbalimbali zenye kutoa vibali, lakini ni serikali hiyohiyo. inaruhusu mtu kuamua kuwa mpagani, mganga wa kienyeji kabisa na inampa leseni ya uganga wa kichawi, sasa kama inatoa hadi leseni kwa waganga, je? itatumia hoja gani kuzuia watu kufungua taasisi za kidini hata kama ni za ajabuajabu? serikali imeshakuwa mtumwa.Bila shaka ni taasisi 2 tofauti zinazitoa vibali, maana uganga na dini havichangamani
Ondoka katoliki,Huku hakuna kubembeleza wewe nenda kwa mwamposaSizungumzii biashara bali namna gani Katoliki tumesongwa na vishawishi.
Hao wachungaji wana elimu ya dini? Au ndio nabii TitoWasipobadilika dunia itawabadilisha
Achana na dini,njoo kwa Yesu kuna neema ajabu.Ukweli ni kwamba nipo home naperuzi stesheni za TV. Ukija clouds unakutana na chomoza, ukurudi chanel ten yupo Mwamposa. TVE yupo kuhani Musa. Wasafi yupo tena Mwamposa. Naperuzi zaidi nakutana na Upendo TV ya walutheri. Sasa Jumapili natoka kanisani kazi yangu ni kutazama maudhui ya madhehebu mengine tu? TV tumaini mmeshindwa kuingia DStv? Hata hivyo content mnazo?
Ukirudi kwenye redio ni yaleyale. Usiku redio zote zimeshikwa na hawa walokole. Namaanisha almost zote, tena hadi alfajiri. Ukija redio Tumaini na redio Maria ni sala %80. Hivi, ni nani anakaa au yuko nyumbani aache kufanya pilika za nyumani atulie kufuatilia sala redioni? Hata hao wanaoongoza sala redioni wametulia sehemu. Badilikeni
Waumini wakitoroka msiwalaumu. Kanisa katoliki ni kongwe kweli ila ifike sehemu mabadiliko, hasa kwenye uinjilishaji yawepo. Watu/waumini wanataka content.
Kanisa halijakosa waumini wenye karama za kuhubiri. Kwa nini wasipewe nafasi kwenye media? Kanisa halijakosa waumini wenye uwezo bunifu kwenye vipindi/maudhui. Mnatengeneza mazingira gani kuwawezesha hawa.
Niishie hapa kwa leo.
Hayo makanisa yenu ndio hovyo kabisaAchana na dini,njoo kwa Yesu kuna neema ajabu.
Kanisa linajua kuwa waumini wake wanapotelea huko makanisa yanayojiita ya kiroho. Sidhani kama wako kimya. Kwa wao kutokuwa kimya haimaanishi tusiendelee kuwakumbushaOndoka katoliki,Huku hakuna kubembeleza wewe nenda kwa mwamposa
Katoliki hawamfuati padri au askofu kanisani
Watu wanaenda kusali na yeyote Padri anasalisha
liturugia ni mfumo wa uendeshaji wa ibada mmoja, kwamba leo kanisa lilipo sehemu a na lililopo sehemu b na c wote sala na mafundisho yatakuwa ya namna moja.Liturugia imewahi kusaidia nini labda
Kama kuna mtu 'anatoroka' just kwa sababu ya kuona TV, basi nadhani atoroke tu. Uzuri Ukatoliki hauamini sana katika mashindano bali unafundishwa imani ya Kanisa na unaongozwa namna ya kuiishi, kuitumikia na kudumu katika imani hiyo. TV ni njia ya kiteknolojia ya kutekeleza hayo, lakini haiondoi nafasi ya muumini kulitumikia Kanisa hata katika mazingira ambayo teknolojia hiyo haifiki. Sasa ukiwa unatetereshwa na TV, basi hakuna njia ya kukusaidia zaidi ya kukuombeaWaumini wakitoroka msiwalaumu.
Kwa kuwa hutaki kujua matumizi ya teknolojia hata katika imani, basi wewe ndio wa kuombewa. Fikiria pasingekuwepo na kipaza sauti tuKama kuna mtu 'anatoroka' just kwa sababu ya kuona TV, basi nadhani atoroke tu. Uzuri Ukatoliki hauamini sana katika mashindano bali unafundishwa imani ya Kanisa na unaongozwa namna ya kuiishi, kuitumikia na kudumu katika imani hiyo. TV ni njia ya kiteknolojia ya kutekeleza hayo, lakini haiondoi nafasi ya muumini kulitumikia Kanisa hata katika mazingira ambayo teknolojia hiyo haifiki. Sasa ukiwa unatetereshwa na TV, basi hakuna njia ya kukusaidia zaidi ya kukuombea
Wewe wasemaWakati wanaanzisha redio maria waliwavuta wasikilizaji wake kwa kuweka nyimbo za walokole, mwisho wakazitupilia mbali wakawa wawasikilizia nyimbo za kikatoliki na sala zao. Sasa redio haina wasikilizaji wengi
Kwa hiyo unataka Radio Maria watangaze vipindi gani kwa mfano?Ukweli ni kwamba nipo home naperuzi stesheni za TV. Ukija clouds unakutana na chomoza, ukurudi chanel ten yupo Mwamposa. TVE yupo kuhani Musa. Wasafi yupo tena Mwamposa. Naperuzi zaidi nakutana na Upendo TV ya walutheri. Sasa Jumapili natoka kanisani kazi yangu ni kutazama maudhui ya madhehebu mengine tu? TV tumaini mmeshindwa kuingia DStv? Hata hivyo content mnazo?
Ukirudi kwenye redio ni yaleyale. Usiku redio zote zimeshikwa na hawa walokole. Namaanisha almost zote, tena hadi alfajiri. Ukija redio Tumaini na redio Maria ni sala %80. Hivi, ni nani anakaa au yuko nyumbani aache kufanya pilika za nyumani atulie kufuatilia sala redioni? Hata hao wanaoongoza sala redioni wametulia sehemu. Badilikeni
Waumini wakitoroka msiwalaumu. Kanisa katoliki ni kongwe kweli ila ifike sehemu mabadiliko, hasa kwenye uinjilishaji yawepo. Watu/waumini wanataka content.
Kanisa halijakosa waumini wenye karama za kuhubiri. Kwa nini wasipewe nafasi kwenye media? Kanisa halijakosa waumini wenye uwezo bunifu kwenye vipindi/maudhui. Mnatengeneza mazingira gani kuwawezesha hawa.
Niishie hapa kwa leo.
Utakuwa hujafuatilia kwa undani au umesikia kwa jirani tu! Tumaini TV mbona iko vizuri sana tu! Umeshawahi kufuatilia EWTN (Eternal Word Television Network)?Sio lazima wafanye promo za kuwaita waumini. Yako mambo mengi wanayoweza kuandaa vijana kupitia redio na tv na yakavuta wengi. Hata kama ibada inarushwa, basi audio na video ziwe na ubora unaofaa. Wakati mwingine ibada za mubashara sauti ni shida sana.
Kikubwa kanisa liwekeze kwenye ubora wa content kupitia media.
na wewe semaWewe wasema
Wamisionari hawakutumia vipaza sauti na bado walifikisha Injili hadi Karema mkoani KataviKwa kuwa hutaki kujua matumizi ya teknolojia hata katika imani, basi wewe ndio wa kuombewa. Fikiria pasingekuwepo na kipaza sauti tu