Wakatoliki (TEC) wameanza, huenda wakafuata waprotestant (CCT), wapentekoste(PCT) na wasabato. Rais Samia nakushauri achana na DP world!

kutokana na makosa ya kiufundi ya CCM na wapiga debe wa serikali kulazimisha hili suala lionekane linapingwa kwa mlengo wa kidini ili kuwazima wakosoaji. Sasa wakosoaji wameamua kuja na mlango ule ule ambao watawala wameutengenza.[emoji419][emoji375]
Hakika na iwe hivyo kwa sababu lengo kuu la Mkataba ni kuimiliki Tanganyika pamoja na kuisilimisha ili iwe kama Zanzibar.
 
Hahaha ha achana na mambo usiyoyajua
 
Wewe mpumbavu tulia na kaa hivyo hivyo,bila TEC usingejua hata kuandika maana mpaka leo ungekuwa unalamba viatu vya Sultani au vya watawala kutoka nje ya mipaka yako.Unaandika matusi lakini chanzo cha elimu yako ni hao hao TEC unaowaita takataka.Acha ujinga.
 
Kwa mfano akaendelea nao hao TEC watamfanyaje? Maana vitu vingine mnapiga mikwara ya kitoto. Acheni upuuzi
 
Mzee vipi,Mkataba unakubaliana nao?
 
Wabakie huko huko kanisani maslahi ya nchi yataamuliwa na serikali na sisi wananchi kupitia wawakilishi wetu watulie , waache kutikisa kiberiti acha dp world ije ilete tija wamezoea wizi tu kule bandarini
Bunge la kina Kibajaji na msukuma chini ya kituko Tulia?, Kabisa linawajibu wakusimamia ustawi na maendeleo ya Nchi. Kama raia hawasikilizwi kanisa kinapaswa kuwasemea... Makanisa ndio yameshika AMANI ya nchi, Kama huamini waambie wale wajinga wako kina Nape wajaribu kushambulia huo waraka wa Tec uone nini kitafuata. Acha na makanisa ni hatari kuliko jeshi.
 
Upuuzi mtupu mbona wakati kina bagonza na wenzake wanaambiwa siyo raia waliufyata, wanatikisa kiberiti ila safari hii wameingia mtumbwi wa vibwengo mwizi atapigwa kimya kimya dp world kwa maendeleo ya taifa
 
Upuuzi mtupu mbona wakati kina bagonza na wenzake wanaambiwa siyo raia waliufyata, wanatikisa kiberiti ila safari hii wameingia mtumbwi wa vibwengo mwizi atapigwa kimya kimya dp world kwa maendeleo ya taifa
Hutkaa uamini huyo Bibi atakavyofika nungwi akiwa peku...
 
Hao wwgalatia wasio na akili wasikutishe chochote, mkataba utasainiwa na hakuna kitu wataweza fanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…