Wakatoliki (TEC) wameanza, huenda wakafuata waprotestant (CCT), wapentekoste(PCT) na wasabato. Rais Samia nakushauri achana na DP world!

Wakatoliki (TEC) wameanza, huenda wakafuata waprotestant (CCT), wapentekoste(PCT) na wasabato. Rais Samia nakushauri achana na DP world!

kutokana na makosa ya kiufundi ya CCM na wapiga debe wa serikali kulazimisha hili suala lionekane linapingwa kwa mlengo wa kidini ili kuwazima wakosoaji. Sasa wakosoaji wameamua kuja na mlango ule ule ambao watawala wameutengenza.[emoji419][emoji375]
Hakika na iwe hivyo kwa sababu lengo kuu la Mkataba ni kuimiliki Tanganyika pamoja na kuisilimisha ili iwe kama Zanzibar.
 
TEC ni takataka gani nchi hii, nchi hii haiongozwi na vikundi vya kibaguzi km hivyo, hao wanajulikana rais akiwa muislam hawatulizagi vitako vyao, ni mwendo wa nyaraka. Rais awapuuze hao wapumbavu wachumia tumbo. Bunge limepitisha mkataba ndio wawakilishi wa wananchi. Mahakama kuu imebarikik mkataba kuwa ni safi, sasa wajitokeze kundi fulani kwa mrengo wa kibaguzi eti rais aachane na mkataba, wao ni kina nani. Nchi hii ina viongozi wapambane na shughuli zao za dini waiache serikali ipamabane na mipango yake iwahudumie watanzania. Hao ni washenzi fulani tu wanaoangalia maslahi yao ya kushibisha matumbo yao. Hakuna kanisa linalijenga miundo mbinu yoyote, iwe ni barabara, reli, maji, shule hata hospitali zenyewe serilaki ndio inawalipia mishahara watumishi wa hospitali zao

Kanisa katoliki ni hatari sana kwa utawala wa nchi hasa wakiendekezwa, serikali ingekaa mbali na hawa watu na kuwapa onyo waache chokochoko, hawanaga jema hao majamaa. Waliingiza Rwanda kwenye mauaji ya halaika baada ya kusambaza chuki. Wamejipenyeza sana kwenye systems ya serikali na aliyefanya mambo hayo ni Nyerere baada ya kukaa madarakani kwa muda mrefu sana miaka 24. Wameonja asali sana, wamepewa ardhi kubwa kubwa bure kabisa, wamezoea mbeleko hawalipi kodi, wanapitisha mizigo yao kwa magendo bandarini, sasa wanaona mwisho wao umefika ndio kelele hizo. Angekuwa mzungu wasingepiga kelele, ni wabaguzi sana. Rais usirudi nyuma hizo nyaraka zao si ngeni hata wakati wa JK waliziandika sana ila alizipuuzia. Watakukwamisha na baadaye wakuzomee ili wao warudishe watu wao bandarini. Hapo wanapopapigia kelele sana we ndio upafanyie kazi utafanikiwa, vaa moyo wa ujasiri we ndio mkuu wa nchi kwa sasa, ndio mwenye viapo vitatu piga kazi wapuuze nia yao inajulikana. Wananchi wa kawaida ambao ndio wapiga kura wako wako pamoja na wewe.

Kiukweli kwa mtazamo wangu hizi dini ndio silaha inayotumika mpaka leo kudunisha nchi za Afrika, wale waliozileta wameshaachana nazo, ilikuwa ni mision ya kuitawala Afrika. Tumeshanasa kwenye huu mtego ambao wajanja wanautumia ndio maana maendeleo yetu yatachelewa sana. Mchina amefanikiwa sana hataki hizo takataka zenu, na hata uhuru wa kijinga kijinga haupo umedhibitiwa ndio maana wako mabli sana. Watu wanatumia hizi dini kula bila kufanya kazi. Umaskini nao ni mbaya sana unakunyima uhuru wa kujiamulia namna ya kutawala maana ukifanya jambo fulani unafikiri km rais itasaidia nchi yako wanakuja vikundi kukutisha na kwamba ukikataa matakwa yao watakushitaki kwa mabwana zao kule ulaya ambao nao unawategemea kukusaidia. Ila rais uwe strong tutafika, usikubali kuyumbishwa. Rais wangu unao maadui kadhaa km hao Kanisa katoliki, sukuma gang, wale wanaofaidika na udhaifu wa bandari na ndio hatari kuliko hivyo vikundi vingine. Pambana nao kwa akili utashinda. Suala la bandari tunataka kusikia utekelezaji umeanza hizi kelele zitaisha mh. Rais.
Hahaha ha achana na mambo usiyoyajua
 
TEC ni takataka gani nchi hii, nchi hii haiongozwi na vikundi vya kibaguzi km hivyo, hao wanajulikana rais akiwa muislam hawatulizagi vitako vyao, ni mwendo wa nyaraka. Rais awapuuze hao wapumbavu wachumia tumbo. Bunge limepitisha mkataba ndio wawakilishi wa wananchi. Mahakama kuu imebarikik mkataba kuwa ni safi, sasa wajitokeze kundi fulani kwa mrengo wa kibaguzi eti rais aachane na mkataba, wao ni kina nani. Nchi hii ina viongozi wapambane na shughuli zao za dini waiache serikali ipamabane na mipango yake iwahudumie watanzania. Hao ni washenzi fulani tu wanaoangalia maslahi yao ya kushibisha matumbo yao. Hakuna kanisa linalijenga miundo mbinu yoyote, iwe ni barabara, reli, maji, shule hata hospitali zenyewe serilaki ndio inawalipia mishahara watumishi wa hospitali zao

Kanisa katoliki ni hatari sana kwa utawala wa nchi hasa wakiendekezwa, serikali ingekaa mbali na hawa watu na kuwapa onyo waache chokochoko, hawanaga jema hao majamaa. Waliingiza Rwanda kwenye mauaji ya halaika baada ya kusambaza chuki. Wamejipenyeza sana kwenye systems ya serikali na aliyefanya mambo hayo ni Nyerere baada ya kukaa madarakani kwa muda mrefu sana miaka 24. Wameonja asali sana, wamepewa ardhi kubwa kubwa bure kabisa, wamezoea mbeleko hawalipi kodi, wanapitisha mizigo yao kwa magendo bandarini, sasa wanaona mwisho wao umefika ndio kelele hizo. Angekuwa mzungu wasingepiga kelele, ni wabaguzi sana. Rais usirudi nyuma hizo nyaraka zao si ngeni hata wakati wa JK waliziandika sana ila alizipuuzia. Watakukwamisha na baadaye wakuzomee ili wao warudishe watu wao bandarini. Hapo wanapopapigia kelele sana we ndio upafanyie kazi utafanikiwa, vaa moyo wa ujasiri we ndio mkuu wa nchi kwa sasa, ndio mwenye viapo vitatu piga kazi wapuuze nia yao inajulikana. Wananchi wa kawaida ambao ndio wapiga kura wako wako pamoja na wewe.

Kiukweli kwa mtazamo wangu hizi dini ndio silaha inayotumika mpaka leo kudunisha nchi za Afrika, wale waliozileta wameshaachana nazo, ilikuwa ni mision ya kuitawala Afrika. Tumeshanasa kwenye huu mtego ambao wajanja wanautumia ndio maana maendeleo yetu yatachelewa sana. Mchina amefanikiwa sana hataki hizo takataka zenu, na hata uhuru wa kijinga kijinga haupo umedhibitiwa ndio maana wako mabli sana. Watu wanatumia hizi dini kula bila kufanya kazi. Umaskini nao ni mbaya sana unakunyima uhuru wa kujiamulia namna ya kutawala maana ukifanya jambo fulani unafikiri km rais itasaidia nchi yako wanakuja vikundi kukutisha na kwamba ukikataa matakwa yao watakushitaki kwa mabwana zao kule ulaya ambao nao unawategemea kukusaidia. Ila rais uwe strong tutafika, usikubali kuyumbishwa. Rais wangu unao maadui kadhaa km hao Kanisa katoliki, sukuma gang, wale wanaofaidika na udhaifu wa bandari na ndio hatari kuliko hivyo vikundi vingine. Pambana nao kwa akili utashinda. Suala la bandari tunataka kusikia utekelezaji umeanza hizi kelele zitaisha mh. Rais.
Wewe mpumbavu tulia na kaa hivyo hivyo,bila TEC usingejua hata kuandika maana mpaka leo ungekuwa unalamba viatu vya Sultani au vya watawala kutoka nje ya mipaka yako.Unaandika matusi lakini chanzo cha elimu yako ni hao hao TEC unaowaita takataka.Acha ujinga.
 
Kwa mfano akaendelea nao hao TEC watamfanyaje? Maana vitu vingine mnapiga mikwara ya kitoto. Acheni upuuzi
 
Kwa hiyo Serikali inaendeshwa na Taasisi za kidini?

Hata kama mkataba ungekuwa haufai jambo ambalo halipo. Ni precedent mbaya sana kwa Serikali kuonekana inaendeshwa na Taasisi za kidini.

Hilo halipo na halitakuja kutokea duniani. Hakuna Taasisi yenye nguvu kuliko Serikali.

Haijatokea na haitakuja kutokea Duniani.

Hizo sifa mnawapa kwa sababu stori zenu za vijiweni tu.
Mzee vipi,Mkataba unakubaliana nao?
 
Wabakie huko huko kanisani maslahi ya nchi yataamuliwa na serikali na sisi wananchi kupitia wawakilishi wetu watulie , waache kutikisa kiberiti acha dp world ije ilete tija wamezoea wizi tu kule bandarini
Bunge la kina Kibajaji na msukuma chini ya kituko Tulia?, Kabisa linawajibu wakusimamia ustawi na maendeleo ya Nchi. Kama raia hawasikilizwi kanisa kinapaswa kuwasemea... Makanisa ndio yameshika AMANI ya nchi, Kama huamini waambie wale wajinga wako kina Nape wajaribu kushambulia huo waraka wa Tec uone nini kitafuata. Acha na makanisa ni hatari kuliko jeshi.
 
Bunge la kina Kibajaji na msukuma chini ya kituko Tulia?, Kabisa linawajibu wakusimamia ustawi na maendeleo ya Nchi. Kama raia hawasikilizwi kanisa kinapaswa kuwasemea... Makanisa ndio yameshika AMANI ya nchi, Kama huamini waambie wale wajinga wako kina Nape wajaribu kushambulia huo waraka wa Tec uone nini kitafuata. Acha na makanisa ni hatari kuliko jeshi.
Upuuzi mtupu mbona wakati kina bagonza na wenzake wanaambiwa siyo raia waliufyata, wanatikisa kiberiti ila safari hii wameingia mtumbwi wa vibwengo mwizi atapigwa kimya kimya dp world kwa maendeleo ya taifa
 
Upuuzi mtupu mbona wakati kina bagonza na wenzake wanaambiwa siyo raia waliufyata, wanatikisa kiberiti ila safari hii wameingia mtumbwi wa vibwengo mwizi atapigwa kimya kimya dp world kwa maendeleo ya taifa
Hutkaa uamini huyo Bibi atakavyofika nungwi akiwa peku...
 
Dalili ya mvua ni mawingu, unaweza ukapuuzia mawingu lakini manyunyu yakianza hupaswi tena kuyapuuzia maana mvua ikishashika kasi huna tena ujanja, ni kuloa tu.

Wasomi waliokosoa mkataba wa bandari kupewa DP world huenda yalikuwa ni mawingu tu, vyama vya siasa (hususani CHADEMA) na wanaharakati walipoingia na kukaa mstari wa mbele kupinga mkataba wa bandari hiyo ilikuwa ni manyunyu ya mvua, na sasa kanisa katoliki kupitia baraza la maaskofu (TEC) wamekuja na mvua kamili ya mashambulizi kuupinga huo mkataba wa bandari.

Kwa wale tunaoweza kuona mbali, muda sio mrefu walutheri (KKKT) watakuja na tamko la kuuzika huo mkataba wa bandari kabla ya mwamvuli wa waprotestant (CCT) kuja na tamko na mwishoni mwamvuli wa wapentekoste (PCT) watagongelea msumari zaidi kuuzika huu mkataba. Safari hii usishangae hadi wasabato kuingia frontline na matamko ya kuupinga huu mkataba.

Kwa kifupi sana, Kanisa hapa Tanzania limejipanga kuleta full scale ya mashambulizi dhidi ya serikali ya mama Samia kuhusu huu mkataba wa bandari na hii ni kutokana na makosa ya kiufundi ya CCM na wapiga debe wa serikali kulazimisha hili suala lionekane linapingwa kwa mlengo wa kidini ili kuwazima wakosoaji. Sasa wakosoaji wameamua kuja na mlango ule ule ambao watawala wameutengenza.

Ushauri wangu kwa mama Samia na serikali yake ni kusoma alama za nyakati tu na kuachana haraka na huu mkataba wa bandari. Huu mziki wa kanisa ni mnene mnoo, wamejipanga vizuri mnoo na wana nguvu ya kupitiliza. Wakati ni ukuta, ukishindana nao utaumia, wakati sahihi wa kuachana na mkataba wa bandari na Dp world ni sasa. Mama Samia tunakupenda sana na tunakutakia mema.
Hao wwgalatia wasio na akili wasikutishe chochote, mkataba utasainiwa na hakuna kitu wataweza fanya
 
Back
Top Bottom