Kanisa ni taasisi na lina taratibu zake. Papa ni kiongozi tena wa kuchaguliwa na anaruhusiwa kuwa na misimamo binafsi. Misimamo hiyo inaweza kuwa sahihi au isiwe sahihi. What counts ni kanisa linasemaje. Papa siyo kanisa.Kwa hiyo wewe unaunga mkono msimamo wa Papa na Vatican wa kuwafanya mashoga kuwa sehemu ya ukatoliki kiasi cha kubarikiwa na kuruhusu mashoga kudhamini sakramenti takatifu?
Pole sana.
Kwann mashoga wasipate sacrament ya ekaristi takatifu? Mbna wengine wanapataaa?Kwa hiyo wewe unaunga mkono msimamo wa Papa na Vatican wa kuwafanya mashoga kuwa sehemu ya ukatoliki kiasi cha kubarikiwa na kuruhusu mashoga kudhamini sakramenti takatifu?
Pole sana.
Pole sana denoo JG- Nashangaa mpaka sasa mleta mada bado hajajitokeza kutetea huu ujinga alioandika hapa.
Hii tabia ya mleta mada kuleta uzi halafu anakimbia bila kuutetea uzi wake inaonesha vile alivyo na nia ovu, amekuja kupotosha makusudi akijua vizuri anachoandika ni uongo, huu ni upuuzi usiotakiwa kulelewa hapa JF.
Unaandika uongo makusudi halafu unakaa pembeni kutazama, huu ni sawa na uchonganishi usiokuwa na maana, utoto; kama huwezi kuitetea mada yako next time usiandike ujinga wako hapa.
- Hili sio jukwaa la ushabiki na mihemko, ni jukwaa la facts, kama hauna just shut up.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Viherehere acheni viherehere na yasiyo yenu na yasiyoyakweli kwa manufaa ya ukiherehere wenu🤣Sio siri tena tangu Papa na Vatican kutoa miongozo ya kuukumbatia ushoga, kwa sasa wakatoliki wengi wameanza kupoteza furaha, amani, ujasiri na ufahari wa kujivunia ukatoliki.
Papa na Vatican walianza kutoa kauli tata za kuona ushoga (kubadili jinsia nk) sio dhambi ya kukemewa na kanisa (yaani mashoga wavumiliwe na kutambuliwa kama sehemu ya waumini ndani ya kanisa katoliki), baadaye wakaja kutoa ruhusa mashoga kuwa wadhamini wa sacramenti za kikatoliki (Ubatizo, Komunio, ndoa) na sasa ruhusa kwa mashoga kubarikiwa! Mwelekeo unaotabiriwa kufuata ni kanisa katoliki kuanza kufungisha ndoa za mashoga na hitimisho ni kanisa katoliki kuja kuruhusu kuwa na makasisi mashoga.
Wengine walijaribu kutetea Kanisa Katoliki kwa kusema Papa na Vatican wamenukuliwa vibaya, lakini kadri muda ulivyokwenda hali imezidi kuwa wazi na mbaya kiasi cha watetezi wa Katoliki kuanza kusalimu amri.
Kwa sasa ukatoliki umewekwa kapu moja na harakati za kuukuza na kuulinda ushoga duniani.
Mwaka huu huenda ndio mwaka mbaya zaidi kwa waumini wa kikatoliki katika kujivunia imani yao. Upepo bado unavuma, mawimbi bado yanaibuka na chombo kimeanza kuyumba huku safari ikiwa imeshika kasi.
Nadhani wewe ni mkatoliki mchanga sana. Bado hufahamu chochote kuhusu muundo wa kimamlaka wa kikatoliki.Kanisa ni taasisi na lina taratibu zake. Papa ni kiongozi tena wa kuchaguliwa na anaruhusiwa kuwa na misimamo binafsi. Misimamo hiyo inaweza kuwa sahihi au isiwe sahihi. What counts ni kanisa linasemaje. Papa siyo kanisa.
Huwezi kunielewa ,coz dini kwako ni kama ushabiki wa Simba na yanga,huelewi chochote brotherKanisa Katoliki linatapika nini wakati limeshameza ushoga na sasa linaimba, kucheza na kupumua ushoga mtupu?
Kuna mtakatifu kuliko Papa ndani ya kanisa Katoliki?
Kama Papa kasema mabwabwa ni sehemu ya kanisa katoliki na wathaminiwe, wewe mkatoliki wa huko mbagala charambe uliyejipaka paka ukatoliki wa kuunga unga unawezaje kupinga?
🤣🤣🤣kwamba wanakuja kunyakuliwa?Wale wasabato wanaosubiria kwenda nje ya nchi bila ticket ya ndege wala visa?
NImezaliwa mkatoliki na hadi sasa ni mkatoliki ninaufahamu vizuri kuliko wewe.Umeandika vitu vya kufirika na kujifariji zaidi kuliko uhalisia.
Tangu lini wakatoliki wameanza kufundishwa kumpuuzia Papa?
Kila mkatoliki ameaminishwa kuwa Papa ndio sauti ya mungu hapa dunia, akisema mungu amesema!
Hivi wewe hujui kuwa ukatoliki umedumu kwa enzi nyingi kwa sababu ya kuuheshimu na kuutii upapa na kauli za Vatican?
Hivi wewe hujui Papa na Vatican wanaweza kumvua uaskofu askofu yoyote wa kikatoliki popote, tena wakati wowote wakitaka?
Nini kitatokea kwenye ukatolìki ikiwa kila jimbo litakuja na msimamo wake tofauti na msimamo rasmi wa Vatican au msimamo wa Papa?
Huo ni mwanzo miaka 30-50 ijayo watahalilisha tu,nakushauri fata imani za mababu zako kuliko kuhangaika kutetea mila na desturi za weupe.Umepotosha kwa kiasi kikubwa, unaonekana hujasoma hata ule waraka wa Vatican, ulichofanya ni kuokoteza maneno kwa wengine na kuja kuanzisha huu uzi wako hapa, hujafanya uchunguzi wowote, sasa hiyo aibu aione nani?
- Kama hutaki mashoga wavumiliwe na kutambuliwa ndani ya Kanisa Katoliki, unataka wezi, waongo kama wewe, na wazinzi, wao pekee ndio waendelee kuvumiliwa? Kanisa Katoliki haliishi kwenye misingi ya kinafiki.
- Kwanini hutaki mashoga wapewe sakramenti kama waumini wengine? au wale wanaopewa ni watakatifu? hayupo yeyote miongoni mwao mwenye dhambi? Hapa unaonesha ulivyojaa ubinafsi, Papa yuko above your thinking capacity.
- Wapi umeona kwenye ule waraka wa Vatican pameandikwa Kanisa Katoliki litabariki mashoga? tuwekee hapa tupaone, kisha nami nitakuwekea pale palipoandikwa Kanisa Katoliki litabariki mali za mashoga, sio mashoga kama ulivyopotosha hapa.
Hii ni sawa na kubariki mali za wengine wasiojulikana tabia na matendo yao, hakuna yeyote anayejulikana kama ni mzinzi sababu hufanyia sirini, mwizi hufanyia sirini, kujaribu kuwatenga mashoga kama vile wao pekee ndio wenye dhambi ni unafiki na ubinafsi, Papa hataki huu unafiki.
Papa anajua miongoni mwetu hayupo aliyekamilika, Kanisa Katoliki pia linajua hivyo, tukianza kutazamana usoni na kutengana mwisho wa siku huko kanisani atabaki nani? injili atahubiriwa nani? hujui hata Yesu Kristu alikuja duniani ili kuwahubiria wenye dhambi wapate kuokoka?
Mna upeo mdogo sana kifikra, na thinking yenu ni ya kijima sana wakati Kanisa Katoliki lilishatoka huko.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Hayo umeyasikia kwa mumeo mrevi wa kangaraKwa hiyo wewe unaunga mkono msimamo wa Papa na Vatican wa kuwafanya mashoga kuwa sehemu ya ukatoliki kiasi cha kubarikiwa na kuruhusu mashoga kudhamini sakramenti takatifu?
Pole sana.
Mashoga mpaka wanaenda kuhiji huko maka yenuHaiondoi ukweli uislam hauna room ya kujadili ama ukubaliwe au ukataliwe ni NOOOOO. Lakini kwa papa kila siku anajiuma uma kuhusu ushoga
Huyo itabidi aulizwe nani kamwambia afanye hayoKuna kanisa tegeta wameanza kufungisha ndoa
Sasa mbona unasadiki vitu ambavyo havipo kwenye ukatoliki? Unawezaje ukapinga au kukosoa msimamo wa Papa wazi wazi?NImezaliwa mkatoliki na hadi sasa ni mkatoliki ninaufahamu vizuri kuliko wewe.
Yesu vile vile alilaumiwa sana na viongozi wa kidini wa Kiyahudi wakimwita rafiki wa makahaba na walevi kisa tu alikuwa anawatafuta wadhambi awahubiri wabadilike. Papa Paulo naye analaumiwa kwa kuwa anataka mashoga wasitengwe wahubiriwe wabadilike. Msimamo wa Yesu ulikuwa, mzima hahitaji daktari Ila mgonjwa, wagonjwa ndio mashoga wanahitaji daktari.PAPA ni nguzo muhimu katika kuusimamia mfumo wa utawala wa shetani duniani, yeye akiwa kwenye upande wa dini. anafanya kazi kwa karibu sana akiwa na grey pope, na black pope.
YESU NI BWANA NA MWOKOZI
Mwongozo wa Wakristo ni Biblia, je Kuna Aya inayoruhusu ushoga? Kwenye Quran Kuna Aya nyingi sana zinazohalalisha liwati na uzinzi, mfano Quran 33:50 inaruhusu Mtume Muhammad kizini na wanawake wote wa Kiislamu wanaojitoa Bure kwake, hapa fikiria eti ni Mungu kasema! Pia Quran 33:37 inaruhusu Mtume Muhammad kuoa mke wa mtu Zainabu eti Mungu kasema! Hizi ni Aya kabisa lakini hili la Papa, hakuna Aya kwenye Biblia inayoruhusu ushoga, inakuwaje linavaliwa bango huku wakiacha lililoruhusiwa na Mungu Allah la kuoa mke wa mtu na kizini na wanawake wote wa Kiislamu wanaojitoa Bure?Papa amesema ruksa makanisa kufungisha ndoa za ushoga,poleeeeni
Je Yesu hakulaumiwa na viongozi wa kidini wa Kiyahudi kuwa ni rafiki wa makahaba na walevi? Je, lawama hizi zilikuwa za kweli? Majibu ya Yesu yalikuwa, yeye kaja kutafuta waliopotea (wadhambi) , na kwamba mzima hahitaji daktari Ila mgonjwa. Mashoga wanahitaji daktari, kuwatenga itakuwa sawa na walivyokuwa viongozi wa kidini wa Kiyahudi kuwa wakae na wasiokuwa na dhambi tu, lawama anazopata Papa Paulo ndizo alizopata Yesu kwa kuwafiata wadhambi.Huku ni kanisani Nini boss, au unataka kujionyesha una nidhamu sana? Usijafanye kuwa ni superior sana wakati ni mnafiki wa kawaida sana. Ni hivi, huko RC endeleeni kuburuzwa Hadi sasa mmeingizwa kwenye ushoga bila ridhaa yenu. Na ni wapi umetukanwa, maana ww hata kukutuna ni kukutafutia umaarufu usiokuwa nao.
Hata Yesu Alitakiwa ajiuzulu na viongozi wa kidini wa Kiyahudi wakimwita rafiki wa makahaba na walevi. Wazima hawahitaji daktari,Bali wagonjwa ( mashoga) , Tena Yesu akasema, ukifanya wema kwa Wazuri tu (wasio na dhambi) hujafanya chochote kisicho Cha kawaida, hata wapagani hufanya wema kwa wanaowataka. Mashoga wasitengwe wahubiriwe wabadilike, kazi ya kuwatafuta wadhambi ndiyo aliyokuja nayo Kristo mpaka akalaumiwa kama anavyolaumiwa Papa kuwa ni rafiki wa makahaba na walevi.Kwa ajili ya usalama na ustawi wa Kanisa letu, Jodje Bergoglio ( Pope Francis) anatakiwa ajiuzulu otherwise Mungu ataamua mwenyewe juu ya kanisa lake takatifu.
#katika yote, kupenda na kutumikia.
Tutakuja kwenye Uislamu ukitufafanulia kwanza yafuatayo: Je , ni kweli Mwenyezi Mungu alimruhusu Mtume Muhammad kuoa mke wa mtu Zainabu kama Quran 33:37 inavyosema? Je, ni kweli Mwenyezi Mungu alimruhusu Mtume Muhammad kuzini na wanawake wote wa Kiislamu wanaojitoa Bure kwake kama Quran 33:50 inavyosema? Je, ni kweli Mtume Muhammad alitafsiri Aya ya Quran 2:223 isemayo wanawake ni konde zenu zieendeeni konde zenu kama mpendavyo kuwa Aya hii imeteremshwa kwa ajili ya wanaume kuwaingilia wake zao tupu zao za nyuma? Tufafanulie kwanza hayo ili tuje kwenye Uislamu.Wakaristo waumini wa Mwenyezi Mungu mmoja, tunawakaribisha katika Uislam.
Uislam ni mwema sana.
Aligongwa Akiwa 9...ndoa ndo 6... read ur booksSiyo 9 umekosea, ni 6. Kuna kosa lipi kugonga mkeo ulioozwa kihalali?
Alikuwa nao 11 wengine unajuwa maiaka yao?
😂anawapa mda yupo patientNa hawa mashoga wa sasa kwann asiwashushie moto, km mwanzo alishusha, sahiv anashindwa nn?