Wakatoliki waanza kuona aibu na fedheha, Papa na Vatican wameharibu sana taswira ya ukatoliki

upotoshaji wa mwendokasi.
Acha uongo,

mkatoliki hana muda wa kubishana wala kupambana na yeyote kuhusu hilo linalopotoshwa...

Mafundisho yao ni ya kiroho na kisaikolijia zaidi...
Mwambie huyo,Wakatoliki hatunaga muda wa kubishana,tunasimama imara na Imani yetu na wala hatuyumbishwi
 
Kwani wewe ndiye msemaji wao? Huwezi kuelewa hiyo document kama huna akili timamu ndugu. I have read it and I have understood what it says and I stand by it na sifedheheshwi na chochote. Mnaleta mawazo yenu halafu mnadhani ndiyo mawazo yetu. Pigine uwongo as much as you want and as much as you are able to do it kuwadanganya mnaoweza kuwadanganya, lakini Kanisa Katoliki litabaki kama lilivyo bila kuyumbishwa miaka nenda rudi. By the way, kama huna akili timamu huwezi kuelewa Declaration (Fiducia Supplicans) inazungumuzia kitu gani. Hivyo, you are likely to miss the point.
 
Ukatoliki unaenda kufa kifo Cha mende!! Safi sana!!dhambi ya kuwaua mitume wa kristo inawatafuna .haiji Akilini makao makuu ya katoliki kuwa Roma nchi ya kishenzi iliyomuua Petro mtume mkuu wa ukristo
Kanisa limekuwepo zaidi ya miaka 2000 iliyopita na limepitia misuko suko mikubwa zaidi na bado halikufa,lije life leo kwakuwa Zalemda wa JF ndiyo kaongea.Acha masihara [emoji3]
 
Huyo Papa anatakiwa kuondolewa madarakani haraka maana kuezi kutetea kitu ambacho hukifanyi!!
Kama wewe umeshindwa kujiondoa huko RC unaweza kumuondoa Papa kweli? Acha kufurahisha jukwaa.
 
 
Kwamba wewe peke yako document umeielewa kuliko baraza la maaskofu Malawi, Kenya, Nigeria, Poland n.k ?
 
Wajanja walishtuka kitambo wakakimbia
 
Mnapenda kuongea vitu msivyovijua.shida ya watanzania akili zao wengi zimeganda na haziwezi kuchambua mambo.nyinyi nendeni kwa nabii feki wenu mwamposa ukatoliki tuachieni wenyewe tunayoijua.
 
Wamezidiwa upeo na Papa wanamuona mbaya, hawajui ujinga wao ndio ubaya wao.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Yaan wanashindwa kutafakari kwa kina tamko LA papa wao wanaokoteza story, yote hii ni UNAFIKI wao sasa Pope ndo hatakiii.
Wanabakiii kulia lia tyuuh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…