Wakatoliki waanza kuona aibu na fedheha, Papa na Vatican wameharibu sana taswira ya ukatoliki

Mimi mkatoliki, nimebatiza, komunio na kipaimara. Ila Kwa Hilo la Kubaliki vitu vya mashoga maana yake ni kuhalalisha ushoga. Slow but sure. Leo watabaliki vitu vyao kesho na ndoa wataanza kuruhusu zifungwe. Hakutakua na sababu ya kukataza wakati kitu unakitambua.

Huwez kulinganisha dhambi ya ushoga na dhambi ya uasherati. Katoliki tunadefine dhambi kama kitu ambachi ukifanya mwenzio hapendi au jamii haipendi. Kuna special dhambi ambazo Mungu mwenyewe anahusika nazo kama hiyo ya ushoga na ya kuua binadamu mwenzio makusudi.
 
Wewe ndie unasema hakuna wa kupinga, hebu tuoneshe hapa ushahidi wapi Kanisa Katoliki limewahi kuukubali ushoga?

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
It's a slow process mkuu, hawawezi kuhalalisha onspot, hii ni process ya kufanya kanisa lijiingize kwenye mahusiano ya jinsia moja taratibu, na tunapoelekea RC wataruhusu ushoga ndani ya kanisa, ni swala la muda tu.

Papa ameunajisi ukristo, kubali kataa, dhambi inakemewa, haibarikiwi!
 
Sasa km akili hana unadhani anajua nn? Hapo akili yake inawaza kupinga ushoga, anafikia hatua kuropoka visivyo kuwepo, anaishia kudharirika. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Katika masuala sensitive katika jamii kama sexuality, siasa, dini au kabila ambayo yanaendeshwa kiimani zaidi ni kawaida kuona watu wakiongea kihisia kuliko kwa facts. Ni kawaida kabisa
 
Mwaka huu huenda ndio mwaka mbaya zaidi kwa waumini wa kikatoliki katika kujivunia imani yao. Upepo bado unavuma, mawimbi bado yanaibuka na chombo kimeanza kuyumba huku safari ikiwa imeshika kasi.
Wao ndio wamekiri hili au umeamua kuwa msemaji wao ?
 
Km unajua kila mtu atahukimiwa pekee yake, kwann uanze kuona mashoga hawafai? Huoni wee unahukumu hapo?

Unajua unacho kiandika lakini?? Mwakaa huu had mkimbie Pope anakataa UNAFIKI.
PAPA kawaambia waache ushamba, waendane na dunia ya sasa
 
Hata mimi ambaye siyo mpinga kristu nimepata point.
Kwani Kristu ni nani? Najua Kristo ni mwana wa Mungu, Yesu.
Kuna madhehebu hususani usabatho wanauona ukatholiki ni alama ya 666 duniani. Hivyo, kwa hii move ya kanisa ni lazma kelele zitapigwa zaidi
 
Wee ni liongo na linafiki, dhambi zote ni sawa mbele ya kiti cha hukumuu. Tenaa uzinzi, wizi, uuaji, umekatazwa kwenye amri 10 za Mungu, vipi ushoga je? Iko kwenye amri ya ngapiii??

Poleeee mnafikii wee, safarii hii Pope anawanyoosha vilivyo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwamba Imani yako ni Fashion ? What People Perceive you to be ? Kufuata Mkumbo ? Going with what is Hot ?; Kama vile Mababu zako walivyoambiwa Imani zao ni za Kipumbavu ?

Binafsi nasema to each his/her own..... : Ingawa Wasabato wamepewa Rungu la Propaganda
 
Wanapotosha makusudi ili kujiliwaza, furaha yao ni kulisema vibaya kanisa bila sababu ya msingi wakidhani tutatishika, hawajui Kanisa Katoliki sio chama cha siasa kutafuta wanachama, wanajidanganya sana.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Madhehebu flani wanaoona ukatholiki kama upinga kristu wamepata point [emoji16][emoji16]
Jiokoe kiakili kitu chochote kikishakuwa ni dhehebu tu wewe jua kua ni upumbavu
 
Kuna madhehebu hususani usabatho wanauona ukatholiki ni alama ya 666 duniani. Hivyo, kwa hii move ya kanisa ni lazma kelele zitapigwa zaidi
Na Wasabato huwa hawatusumbui hata kidogo.Wapige kelele zao tu mpaka watachoka,lakini hawatoweza kulitikisa Kanisa Katoliki hata siku moja
 
Mkuu mi nakiri kweli sijauona waraka husika zaidi ya kusoma taarifa zake kwenye vyombo vya habari ninavyoviamini, ila nachotaka kujua kama ushoga nao ni dhambi tu kama zilivo dhambi zingine za wizi, uongo, uzinifu nk kwanini ushoga upewe uspesho namna hiyo hadi upewe nafasi ya waraka maalum? Kwanini hatujawahi kuona ama kusikia waraka unaowataka makasisi kuwabariki wezi, wazinifu na nk. Kwanini mashoga wawe singled out
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…