Wakatoliki waanza kuona aibu na fedheha, Papa na Vatican wameharibu sana taswira ya ukatoliki

Wakatoliki waanza kuona aibu na fedheha, Papa na Vatican wameharibu sana taswira ya ukatoliki

Akaenda Nazereti,hapo alipolelewana siku ya Sabato Akaingia kwenye Sinagogi kama ilivyo desturi yake4:16)Luka Sabato ndio Jumamosi na Mungu habadiriki
Sio siri tena tangu Papa na Vatican kutoa miongozo ya kuukumbatia ushoga, kwa sasa wakatoliki wengi wameanza kupoteza furaha, amani, ujasiri na ufahari wa kujivunia ukatoliki.

Papa na Vatican walianza kutoa kauli tata za kuona ushoga (kubadili jinsia nk) sio dhambi ya kukemewa na kanisa (yaani mashoga wavumiliwe na kutambuliwa kama sehemu ya waumini ndani ya kanisa katoliki), baadaye wakaja kutoa ruhusa mashoga kuwa wadhamini wa sacramenti za kikatoliki (Ubatizo, Komunio, ndoa) na sasa ruhusa kwa mashoga kubarikiwa! Mwelekeo unaotabiriwa kufuata ni kanisa katoliki kuanza kufungisha ndoa za mashoga na hitimisho ni kanisa katoliki kuja kuruhusu kuwa na makasisi mashoga.

Wengine walijaribu kutetea Kanisa Katoliki kwa kusema Papa na Vatican wamenukuliwa vibaya, lakini kadri muda ulivyokwenda hali imezidi kuwa wazi na mbaya kiasi cha watetezi wa Katoliki kuanza kusalimu amri.

Kwa sasa ukatoliki umewekwa kapu moja na harakati za kuukuza na kuulinda ushoga duniani.

Mwaka huu huenda ndio mwaka mbaya zaidi kwa waumini wa kikatoliki katika kujivunia imani yao. Upepo bado unavuma, mawimbi bado yanaibuka na chombo kimeanza kuyumba huku safari ikiwa imeshika kasi.
 
Umesali leo kuona makanisa yalivyofurika? Na Bado mkesha, xmass na boxing day.....fanyeni mambo yenu ya maana achaneni na kanisa katoliki, huwezi kulifanya chochote, limewazidi kila kitu. Tamko la papa tumelisoma, tumelielewa, sasa tunajua kinachoendelea mitandaoni ni upotoshaji na nongwa tu dhidi ya kanisa ambazo hazijaanza leo.
 
Yes, naona umejitokeza sasa, naamini ulikuwa umejificha makusudi ila baada ya kuona comments zangu kwako ukajitokeza mafichoni kuficha aibu.

Kwanza nikwambie tu, siwezi kupanikishwa na uzi usio na mantiki kwa sababu ya mleta mada kuwa na upeo mfupi wa kile alichozungumzia, uliochanganyika na mihemko ya kishabiki.

Hebu tuambie;

- Hiyo research yako ya kusema wakatoliki hawana furaha uliifanyia wapi? ukatumia sample space ipi?

- Kuonesha ulivyo na upeo mfupi wa kile ulichozungumzia, nimekuuliza maswali kadhaa uliponi quote, umeacha kuyajibu yote, ajabu unakuja na ngonjera za ku-panic, jibu maswali yangu niliyokuuliza usijitie upofu.

- Wewe ni muongo kwasababu uliyoandika yote hayajatoka kwenye ule waraka wa Vatican, umeyatoa kichwani mwako ukayaleta hapa kishabiki kwa lengo ovu la kutafuta sifa za kijinga, kama una hakika kile ulichoandika ni kweli, tuoneshe hapa wapi ule waraka wa Vatican umezungumzia kubariki mashoga?

Nakusubiri.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Bado ndugu yangu ueleweki unapinga nini au unasimamia nini?

Unahoji kuhusu utafiti wangu kuhusu hao wakatoliki wanaojisikia aibu na fedheha kuona Papa na Vatican kwa sasa wanavyo ukumbatia ushoga kwa mwamvuli wa kanisa katoliki. Nami nimejibu kirahisi kabisa, je wewe unadhani hatua hii ya sasa ya Papa na Vatican kuwakumbatia mashoga inawafurahisha wakatoliki? Nilikupa hilo jibu kwa kuwa tayari immediately nchi kadhaa zimetoa matamko ya kukinzana na mtazamo wa Papa na Vatican, na hatua hiyo imeungwa mkono na wakatoliki wengi. Hata hapa JF, Pro katoliki wameonyesha wazi hawakubaliani na Papa.

Unasema andiko langu limejaa uongo, nimekuuliza uongo wangu ni upi? Nimeandika Papa ametoa go a head kwa mashoga kubarikiwa! Umeelewa hiyo lugha?
Wewe unadhani nimekosea kuandika hilo? Unadhani huo ni uongo? Unataka tujadili hilo kwa kina? Nitaanzisha thread kuhusu hilo halafu tulijadili kwa kina.
 
Leo wakatoliki kwa wingi na umoja wao wamesali misa na kutafakari ukuu wa Mungu.Wanasubili kwa hamu kusali vijilia ya noel na kesho krismasi.Hawana haja kujiunga na dini waliyoianzisha wao.
Vipi na mabwabwa walikuwepo parukiani kwako ili padri abariki mali zao?
Ama Padri alitoa tangazo la kuwaalika mabwabwa waje Parukiani kujumuika na wakatoliki wenzao?
 
Ukatoliki unaenda kufa kifo Cha mende!! Safi sana!!dhambi ya kuwaua mitume wa kristo inawatafuna .haiji Akilini makao makuu ya katoliki kuwa Roma nchi ya kishenzi iliyomuua Petro mtume mkuu wa ukristo
Wewe ni mpumbavu,huna ulijualo hata hujiulizi Kanisa lenye Miaka Elfu mbili kuendelea kuwepo hadi leo km kweli halina nguvu ya Mungu kwa mapito mazito lililoyapitia si lingeshakuwa limekufa?.Utakufa wewe na uzao wako lkn Kanisa moja Takatifu Katoliki la Mitume,litaendelea kudumu hadi mwisho wa dahari.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Umepotosha kwa kiasi kikubwa, unaonekana hujasoma hata ule waraka wa Vatican, ulichofanya ni kuokoteza maneno kwa wengine na kuja kuanzisha huu uzi wako hapa, hujafanya uchunguzi wowote, sasa hiyo aibu aione nani?

- Kama hutaki mashoga wavumiliwe na kutambuliwa ndani ya Kanisa Katoliki, unataka wezi, waongo kama wewe, na wazinzi, wao pekee ndio waendelee kuvumiliwa? Kanisa Katoliki haliishi kwenye misingi ya kinafiki.

- Kwanini hutaki mashoga wapewe sakramenti kama waumini wengine? au wale wanaopewa ni watakatifu? hayupo yeyote miongoni mwao mwenye dhambi? Hapa unaonesha ulivyojaa ubinafsi, Papa yuko above your thinking capacity.

- Wapi umeona kwenye ule waraka wa Vatican pameandikwa Kanisa Katoliki litabariki mashoga? tuwekee hapa tupaone, kisha nami nitakuwekea pale palipoandikwa Kanisa Katoliki litabariki mali za mashoga, sio mashoga kama ulivyopotosha hapa.

Hii ni sawa na kubariki mali za wengine wasiojulikana tabia na matendo yao, hakuna yeyote anayejulikana kama ni mzinzi sababu hufanyia sirini, mwizi hufanyia sirini, kujaribu kuwatenga mashoga kama vile wao pekee ndio wenye dhambi ni unafiki na ubinafsi, Papa hataki huu unafiki.

Papa anajua miongoni mwetu hayupo aliyekamilika, Kanisa Katoliki pia linajua hivyo, tukianza kutazamana usoni na kutengana mwisho wa siku huko kanisani atabaki nani? injili atahubiriwa nani? hujui hata Yesu Kristu alikuja duniani ili kuwahubiria wenye dhambi wapate kuokoka?

Mna upeo mdogo sana kifikra, na thinking yenu ni ya kijima sana wakati Kanisa Katoliki lilishatoka huko.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Tatizo Elimu na uwezo wao wa kufikiri na kupambanua mambo ni finyu sana.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
unapoona mtumishi wa Mungu anapata kigugumizi kukemea maovu/dhambi kisa anaogopa jamii ya kimataifa itamchukulia vipi, inadhihirisha kabisa ni agent wa shetani.
 
Bado ndugu yangu ueleweki unapinga nini au unasimamia nini?

Unahoji kuhusu utafiti wangu kuhusu hao wakatoliki wanaojisikia aibu na fedheha kuona Papa na Vatican kwa sasa wanavyo ukumbatia ushoga kwa mwamvuli wa kanisa katoliki. Nami nimejibu kirahisi kabisa, je wewe unadhani hatua hii ya sasa ya Papa na Vatican kuwakumbatia mashoga inawafurahisha wakatoliki? Nilikupa hilo jibu kwa kuwa tayari immediately nchi kadhaa zimetoa matamko ya kukinzana na mtazamo wa Papa na Vatican, na hatua hiyo imeungwa mkono na wakatoliki wengi. Hata hapa JF, Pro katoliki wameonyesha wazi hawakubaliani na Papa.

Unasema andiko langu limejaa uongo, nimekuuliza uongo wangu ni upi? Nimeandika Papa ametoa go a head kwa mashoga kubarikiwa! Umeelewa hiyo lugha?
Wewe unadhani nimekosea kuandika hilo? Unadhani huo ni uongo? Unataka tujadili hilo kwa kina? Nitaanzisha thread kuhusu hilo halafu tulijadili kwa kina.
- Listen, napokuuliza maswali kuhusu uzi ulioleta unatakiwa kuja na majibu ili ku support kile ulichoandika kutoka kwenye uzi wako, ambapo authority yake ni ule warak wa Vatican kuhusu kauli ya Papa kuwasogeza karibu mashoga kwa kubariki mali zao, ila kwa sababu hata waraka wenyewe huujui ulivyo, naona unazidi kuzunguka tu hapa.

- Suala la kusema wakatoliki maeneo mengine duniani wanapinga kauli ya Papa, au wa hapa JF, huu kwangu ni utetezi wa kijinga uliotumia, kwasababu mimi akili yangu sijashikiwa na yeyote, nina uwezo wa kutafakari jambo kwa makini, kisha nikapima ukweli wake au uongo wake kama huu uliondika kwenye mada yako, mimi sio kondoo wa kufuata mawazo ya wengine kama wewe ulivyo.

Ukumbuke, hata kama wengi wako upande wa kuunga mkono uongo, hakuna maana huo uongo kama huu wako ulioandika hapa utageuka kuwa ukweli, never; utaendelea kubaki uongo tu kwasababu mada yako mostly umebuni maneno toka kichwani mwako, badala ya kutumia waraka wa Vatican kama authority yako.

- Wewe ni muongo kwasababu hakuna popote kwenye ule waraka Papa alipotoa go ahead kwa mashoga kubarikiwa, ametoa go ahead kubariki mali za mashoga, hizo ni statement mbili zenye maana tofauti, usijidai unajua sana kiswahili, ulichofanya ni kupotosha makusudi ili kutafuta sifa za kijinga na wachangiaji wengi kwenye uzi wako, nothing else.

NB.
Kutonielewa kwako ni kwasababu ya upeo wako mdogo, hilo sio kosa langu, ni kosa lako mwenyewe, hivyo usiutumie ujinga wako kunihukumu mimi, bado nataka majibu ya maswali yangu kwako, sitaki hizi ngonjera zako.

JF lazima isimamishwe kwenye misingi ya hoja zenye uthibitisho, sio kujitungia maneno kichwani na kuyaleta hapa kisa umeona wakatoliki wa JF sijui wanasema nini, kwanini usingeenda makanisa ya kikatoliki ufanye research ya hiki ulichoandika hapa? kwanza hao "wakatoliki wa JF" unaowasema walikuja kujiandikisha lini kwako?! una database ya watumiaji wa JF?

Hoja zako nyingi una ungaunga tu, hazina uthibitisho wowote, kama ilivyo title na content ya mada yako. Huo uzi unaodai kutaka kuuanzisha ulete sasa hivi, usisubiri hata jua lizame, na ukiuleta huo uzi usiukimbie mpaka uitwe, uwepo kuutetea.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Aibu kwa rc bora Walokole waislam mtupishe hii haiwahusu wacha pigane mtanange sisi watu wa yesu
 
Wewe ni mpumbavu,huna ulijualo hata hujiulizi Kanisa lenye Miaka Elfu mbili kuendelea kuwepo hadi leo km kweli halina nguvu ya Mungu kwa mapito mazito lililoyapitia si lingeshakuwa limekufa?.Utakufa wewe na uzao wako lkn Kanisa moja Takatifu Katoliki la Mitume,litaendelea kudumu hadi mwisho wa dahari.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
Hujashtuka kuwa hujapata hata like Moja? Kanisa katoliki haliwezi kuwa takatifu hata siku Moja!! Na kwa sasa kwa sababu umewakubari wanaofirana subiri jehanamu tu!! Hamna kitu hapo!!
 
Mlango
Umesali leo kuona makanisa yalivyofurika? Na Bado mkesha, xmass na boxing day.....fanyeni mambo yenu ya maana achaneni na kanisa katoliki, huwezi kulifanya chochote, limewazidi kila kitu. Tamko la papa tumelisoma, tumelielewa, sasa tunajua kinachoendelea mitandaoni ni upotoshaji na nongwa tu dhidi ya kanisa ambazo hazijaanza leo.
Mlango mpana uendao kule kushoto lazima waty wajazane muleeee.so usishangae watu kujazana mule
 
Sio siri tena tangu Papa na Vatican kutoa miongozo ya kuukumbatia ushoga, kwa sasa wakatoliki wengi wameanza kupoteza furaha, amani, ujasiri na ufahari wa kujivunia ukatoliki.

Papa na Vatican walianza kutoa kauli tata za kuona ushoga (kubadili jinsia nk) sio dhambi ya kukemewa na kanisa (yaani mashoga wavumiliwe na kutambuliwa kama sehemu ya waumini ndani ya kanisa katoliki), baadaye wakaja kutoa ruhusa mashoga kuwa wadhamini wa sacramenti za kikatoliki (Ubatizo, Komunio, ndoa) na sasa ruhusa kwa mashoga kubarikiwa! Mwelekeo unaotabiriwa kufuata ni kanisa katoliki kuanza kufungisha ndoa za mashoga na hitimisho ni kanisa katoliki kuja kuruhusu kuwa na makasisi mashoga.

Wengine walijaribu kutetea Kanisa Katoliki kwa kusema Papa na Vatican wamenukuliwa vibaya, lakini kadri muda ulivyokwenda hali imezidi kuwa wazi na mbaya kiasi cha watetezi wa Katoliki kuanza kusalimu amri.

Kwa sasa ukatoliki umewekwa kapu moja na harakati za kuukuza na kuulinda ushoga duniani.

Mwaka huu huenda ndio mwaka mbaya zaidi kwa waumini wa kikatoliki katika kujivunia imani yao. Upepo bado unavuma, mawimbi bado yanaibuka na chombo kimeanza kuyumba huku safari ikiwa imeshika kasi.
😂😂🌈
 
Sasa
9Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti, 10 wala wezi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi. 11

Huko nyinyi mnafata mafundisho ya kanisa.

Mkristo mwama na anaefata mafundishao ya mwenyezi Mungu ni Muislam.
Sasa na wewe unazingua .Hayo maneno uliyoyanukuu kwenye Quran yako unaweza kuyakuta.? Acha kuzingua wewe
 
Sipo hapa kwaajili ya kumkashfu mtu,ila ukweli ni kwamba katoliki ndio BABILONI MKUU,yaani anajihusisha na kufanya biashara na serikali kuu zote duniani,kama hujui kasome vizuri Biblia, it's just a matter of time watu wataujua ukweli wote.
 
Back
Top Bottom