Wakatoliki wenzagu tumeshaanza kuyaandaa Machozi, kwani Mimi sipendi Unafiki na Kufichaficha nadhani Israeli hatomuacha Mtu huko Vatican

Wakatoliki wenzagu tumeshaanza kuyaandaa Machozi, kwani Mimi sipendi Unafiki na Kufichaficha nadhani Israeli hatomuacha Mtu huko Vatican

Hivi si tulikubaliana Kila mtu atakufa Kwa wakati wake. Kwa ajali, magonjwa, uchawi, n.k lakini sote tutakufa.

Hata kwenye familia zetu wazee huugua na kufa au kupona na baadae kufa.

Sasa sioni sababu ya mabishano, Profesa J alishatangaziwa kifo mara nyingi sana lakini yupo.

Lowasa alitangaziwa mara nyingi sana lakini waliomtangazia walikua kabla yake
 
Watanzania tunapenda sana Unafiki na ndiyo maana Mimi huwa Nagombana nanyi na mnaanza Kunichukia. Hivi umeshaambiwa kuwa tena na Madaktari Bingwa kabisa tena Hospitali za huko Ulaya kwa Walikoendelea na siyo Amana, Temeke au Mwananyamala tulikokuzoea kutokana na Umasikini wetu na Shida zetu kuwa tayari Figo zake zimeshafeli na kuanza kutokufanya Kazi hapo kuna cha Kungojea?

Na hata Wataalam wa Afya wanasema kuwa Figo ikifeli jua muda wowote na Ini nalo litafeli je, mpaka hapo kuna Jipya? GENTAMYCINE napenda sana Scientific Facts (japo Kiimani Mimi ni Mkristo na tena Mkatoliki kabisa) ila kwa jinsi nionavyo Wachambuzi wa Masuala ya Kiafya huko Ulaya, Marekani na Middle East wanavyoichambua hii Hali ya Papa (Pontiff) Wetu tusidanganyane wala kufarijiana uwezo wake wa kuendelea Kuishi ni 5% tu.

Amana,Temeke na Mwananyamala siku hizi zimeboreshwa zinatoka huduma daraja la kwanza, Watanzania tutembee kifua mbele.
 
Back
Top Bottom