Hivi si tulikubaliana Kila mtu atakufa Kwa wakati wake. Kwa ajali, magonjwa, uchawi, n.k lakini sote tutakufa.
Hata kwenye familia zetu wazee huugua na kufa au kupona na baadae kufa.
Sasa sioni sababu ya mabishano, Profesa J alishatangaziwa kifo mara nyingi sana lakini yupo.
Lowasa alitangaziwa mara nyingi sana lakini waliomtangazia walikua kabla yake
Hata kwenye familia zetu wazee huugua na kufa au kupona na baadae kufa.
Sasa sioni sababu ya mabishano, Profesa J alishatangaziwa kifo mara nyingi sana lakini yupo.
Lowasa alitangaziwa mara nyingi sana lakini waliomtangazia walikua kabla yake