Wakazi: Diamond Platnumz ni maarufu ila hajui kuimba, "ukweli unauma mpaka mnanipigia simu za vitisho"

Ukiwa critical thinker kwenye jamii ya watu wenye upeo mdogo kama kitenes unakua unaonekana wewe ndio mwehu
Wakaz yuko sahihi kabisa ila watu wamepofushwa na mahaba
Huwa nakuonea huruma sana kizazi Cha Tz kuanzia 2030+ ,kutakuwa ni ujinga mtupu maana umeanza kukua kila siku.........
 
MO na Bakhresa siyo masuperstar Bali ni famous

Diamond ni superstar
 
Nafikiri wanamjibu maana naye aliwapa makavu sana
 
Kuna moja inaitwa abeykhe sijui kama nimepatia jina, ameimbana mastercraft na mr flavor. Sijui waliwaza nn
 
True, Diamond hajuwi kuimba ila yuko famous. Diamond anaimba tune moja ile ile, wale wanaojuwa muziki watakubaliana nami.
 
Bro wewe mdau wa rap,nikikwambia unitajie rappers wako kumi Bora list yako itakua tofauti na Jay z, Mimi,Fid Q,ubishi wa kitoto kama huu ndio unakupunguzia points,Kusema fulani ni mwanamuziki mzuri kuliko fulani ni kitu "subjective"kila mtu ana maoni yake,na mkali wake ,usifanye mtazamo wako binafsi ndio FACT...

I respect your opinions tho,hata Mimi sijawahi kuona kama diamond muimbaji mzuri but sio suala la kushindana coz mziki ni suala la hisia na Mapenzi hiyo kujua au hajui kila mtu na maoni yake...mimi nampenda saaaaana Belle 9,sijui I'm lil biased coz natokea Moro,I don't know....mkali Nani??tutakesha Hakuna jibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…