Hip hop imemshinda sasa anataka uanaalakati anazani atateuliwa km niki wa pili
Uteuzi na uwanaharakati hauwez na hatopata sabubalishakosea chama
Moja yan sababu inayosababisha watanzania tubaki maskini ninkitendo cha kutokueshimu na kukubali
Leo unakuta mtu km mbunge msukuma anamponda mbunge profesa muhongo wakat hao watu hawafanai wala hawaendani na mtu km profesa muhongo kujibixana na msukuma ni kupoteza mda
Ila ndo watanzania tunataka alieko juu tumshushe kwa njia yyte
Wakazi huwezi kumfananisha na nikki wa pili
Niki wapili alikiwa ni chawa, mlamba miguu, asskisser aliyepitiliza mpaka akapewa huo u DC
Tena umenikumbusha kati ya wasanii ambao nimekuwa nawaongelea negative basi hapa mtaiona nafuu ya diamond katika kuwakosoa wasanii
Kipindi cha magufuli ambapo tweeter ilipigwa ban, na kufanya access iwezekane kwa vpn tu, huyu jamaa alijitokeza na ku tweet kuwa watu wanaizushia serikali uwongo kwani yeye ameweza kuingia tweeter bila vpn na kwenda mbali kuwa watu wanafanya hivyo kumchafua magufuli tu
Baada ya hapo zikaja gharama kubwa za mabando, jamaa akasimamia ukucha kuwa wananchi wasilie lie kuhusu bando kwanj sio kitu necessary kama kula, ni jambo linaweza kuepukika tu kuliko kuisumbua serikali kuhusu kupunguziwa gharama za bando
Haya akaja tena kwenye tozo akaongea ujinga kibao just kuwa upande wa serikali
Sio huyo tu, hadi masanja naye ni wa type hiyo hiyo na anasemwa sana.
Lakini utofauti unavyokuja tukiwasema hawa hatutajwi kama watu wenye wivu wa mafanikio ya hao watu au haters kwasababu nikki wapili hajaweza kuwa na mashabiki wengi wakumtetea kama ilivyo kwa diamond na alikiba kila platfom kuna utimu
Kwa hiyo nasisitiza kuwa diamond kwenye ywezo wa kuimba bado sana, labda kama utanifananishia yule diamond wa "utanipenda" lakini huku kwa nyegezi ni ujinga na aibu kukubaliana na hoja hiyo kuwa mwana anaimba vizuri