Wakazi: Diamond Platnumz ni maarufu ila hajui kuimba, "ukweli unauma mpaka mnanipigia simu za vitisho"

Wakazi: Diamond Platnumz ni maarufu ila hajui kuimba, "ukweli unauma mpaka mnanipigia simu za vitisho"

Ni wivu tu. huyo Wakazi apambane kutengeneza brand yake sio kuishusha ya mwenzie. hapa mtaani ukiuliza watu watatu kwa ghafla kuhusu Wakazi watakujibu hawamjui.
Hakuna anayeshusha brand ya mwenzake kwa kumkosoa, ukisema hivyo basi utakuwa mnafiki kwasababu huyo unayemtetea kashusha brand za wasanii wenzake kwa madai kuwa hawana uwezo wa ku competee naye
 
Mkuu unamaanisha vile tunaona ma professor wetu akili hawana vile wanafanya maamuzi ya kiwaki kumbe sisi ndo hatuna akili?
Nani kakudanganya maprofesa wanaupeo mkubwa, watu wanatakiwa wawe wanasoma/wanasikiliza wanadigest wanauliza wanapinga kwa hoja au wanaunga mkono kwa hoja pia
Galileo alinyongwaga wanawatu wenye upeo mdogo wakiongozwa na mahaba ya dhati kwa imani zao
 
Unajua ni sawa wewe uende kumshauri Bakhresa kuhusu biashara wakati biashara unayofanya haijafanikiwa kama yake. Utaonekana snitch tu ukianza oh, unajua bwana Bakhresa unafanya biashara kienyeji sana japo umefanikiwa 🤣
Wakazi amesema ana mafanikio mengi tu kama : "7 mixtapes, 3 Albums, 20 singles, Multiple Shows, Multiple Endorsements" na bado ana exposure kubwa na uelewa wa masuala ya utengenezaji wa muziki 😆
 
Wakazi amesema ana mafanikio mengi tu kama : "7 mixtapes, 3 Albums, 20 singles, Multiple Shows, Multiple Endorsements" na bado ana exposure kubwa na uelewa wa masuala ya utengenezaji wa muziki 😆
Kingereza bila ela ni sawa na kupiga kelele 😄😄 hata uongee point hakuna atakaekuelewa.
Lakini akiongea mwenye ela, kila mtu anaunga mkono hoja.
 
Alichosema Wakaazi ni ukweli mtupu ila watampinga sana na maneno kibao lakini hana cha kutisha Diamond.
Unaweza kuwa wa kwanza ktk darasa lenu shule ya msingi MSAMBWANDA SEC SCHOOL lakini ukipelekwa ktk mashindano ktk shule ELIMU NI UFUNGUO SEC SCHOOL ukajipata wa mwisho kila mtihani.
Tuchukulie mfano Christian Bella angeibuka na kujutana na kina Alli Choki, Mwijuma Muumini huku Banza stone angeonekania wapi?
 
Alichosema Wakaazi ni ukweli mtupu ila watampinga sana na maneno kibao lakini hana cha kutisha Diamond.
Unaweza kuwa wa kwanza ktk darasa lenu shule ya msingi MSAMBWANDA SEC SCHOOL lakini ukipelekwa ktk mashindano ktk shule ELIMU NI UFUNGUO SEC SCHOOL ukajipata wa mwisho kila mtihani.
Tuchukulie mfano Christian Bella angeibuka na kujutana na kina Alli Choki, Mwijuma Muumini huku Banza stone angeonekania wapi?
Mwisho wa siku ile ni kazi na lengo ni kutengeneza ela.
Hata uimbe vipi kama hutengenezi pesa ni nothing. Kila siku tunamsifia Ruby anajua kuimba lakini mafanikio ya kazi yake hana sasa ina maana gani.
 
Wakazi yuko sahihi Diamond hata atoe ngoma ya dakika mbili halafu humo ndani awe anacheka mwanzo mwisho utaona ngoma hiyo itavyokuwa trend na usikute ikapewa na tuzo

Hayo yote yamerahisishwa kutokana na jina (umaarufu) na ndio maana hata hawa ma underground wana amini wakipata nafasi ya kufanya kazi kwenye lebel yao watatoka tu, kwasababu kitachowafanya wajulikane sio ubora wa kile wanachokiimba

Means hata kwa level zao za huku chini wanaamini hata wakaze msuli namna gani bado ubora wa nyimbo hautakuwa kigezo wao kutoka

Nakubaliana na Wakazi
Huu ni uongo wa kiwango cha juu mkuu.
Wewe hufatilii ama hupend muziki, nyie ndo mziki mnaufatilia kwa kiki za insta tu na trending stories za udaku.

Mkuu mbna kuna madogo wanaimba poa na wametoka kupitia mziki wao wala sio record lebel wala nguvu ya msanii mkubwa.
Kina lod music, hastone , jay melody, marioo nk.

Ila ndo ivo tu hao wcb wanaongelewa mno kwahiyo wasiofatilia mziki huona kama wasanii bongo ni hao tu na huwez fanikiwa bila kupitia wao wakati si kweli na ni uongo mkubwa.
 
Wakazi hayuko sahihi kwa mtazamo wangu.

Kwani kuimba ni nini tuanzie hapo!!
Mrisho mpoto anaimba vibaya ama vizuri?? Ney wa mitego je!?

Kwenye kuimba wewe shabiki unaangalia/unataka nini sauti nzuri? Mziki ulichangamka? Mashairi yaliyopangliwa vyema? Au nini kingine?
Kama unachagua chagua unavyovitaka basi ndo gap hilo hutumia wasanii kukupa utakacho.

Diamond anatakiwa aimbaje?? Ili iwe anajua kuimba? Kipi anachokosea?

Wengi wetu tunafata mkumbo tu, hata mi mwanzo nilikua kama huyo wakazi ila nkaja kuelewa kua, kuimba ni kuburudisha raia tu. Tz na nchi za ulaya ni tofauti mno na nadhani wakazi amerefer nchi za ulaya wanavoimba akataka na tz tuwe hivo ilhali mahadhi ni tofauti kabisa.
 
Yes inategemeana na huyo mtu yuko interested na aina gani ya mziki

Mi mwenyewe naskiaga zuchu zuchu lakini sijawahi muona kumjua, na pobably nilimuona ila sikujua kuwa ndio yeye

Hayo yote yanawezekana kama huna interest na type hiyo ya burudani
Mkuu linapokuja swala la kujulikana, Wakazi hafiki hata kwa Bestnasso licha ya kwamba wanafanya mziki tofauti.

Kinachonishangaza huwa ana tabia ya kujifanya anajua kila kitu, huyohuyo aliwahi kusema FID Q ni wa kawaida sana akilinganishwa na yeye.
 
Kuna kipindi Wakazi aliwahi kusema Afande Sele hayuko technical kwenye uandishi...Afande akaulizwa kuhusu hilo jambo akasema hamjui Wakazi😆
Ndo tabia zake kutafuta attention kwa kuongelea kila kitu, aliwahi kusema FID Q ni wa kawaida sana akilinganishwa na yeye.

Juzi tu katoka kudiss video ya Mond GIDI, akijifanya anaijua sana bendera ya iliyoonekana humo, baadae watu wakafukua mafaili akakaa kimya.

NB: Kiufupi ni mtu wa kutafuta trend kupitia Mond.
 
Huu ni uongo wa kiwango cha juu mkuu.
Wewe hufatilii ama hupend muziki, nyie ndo mziki mnaufatilia kwa kiki za insta tu na trending stories za udaku.

Mkuu mbna kuna madogo wanaimba poa na wametoka kupitia mziki wao wala sio record lebel wala nguvu ya msanii mkubwa.
Kina lod music, hastone , jay melody, marioo nk.

Ila ndo ivo tu hao wcb wanaongelewa mno kwahiyo wasiofatilia mziki huona kama wasanii bongo ni hao tu na huwez fanikiwa bila kupitia wao wakati si kweli na ni uongo mkubwa.
We ndo hujanielewa, mi sizungumzii hit song ambazo zinakuja kwa misimu

Kama ni hivyo basi wakwanza kumtaja angekuwa darasa kwenye maisha na muziki
 
Mkuu linapokuja swala la kujulikana, Wakazi hafiki hata kwa Bestnasso licha ya kwamba wanafanya mziki tofauti.

Kinachonishangaza huwa ana tabia ya kujifanya anajua kila kitu, huyohuyo aliwahi kusema FID Q ni wa kawaida sana akilinganishwa na yeye.
Unaona sasa yani kuna mambo ambayo kwenye hip hop yanafanywa kama utamaduni na hayawi personally, kwa mtu ambaye yuko familiar na hip hop hawezi kustuka

Mfano kuna wimbo wa stamina ambao kasema kwa bongo hakuna rapper anayemzidi uwezo ukimtoa fid Q na stamina

Hayo ni majigambo tu ambayo yanavhukuliwa kawaida, hata P Mawenge naye katoa ngoma akijigamba kuwa hakuna rapper anayemuweza, kwa hiyo mkuu unatakiwa ulielewe hilo hususani kwenye hip hop industry
 
Huu ndo ujinga wa watu wengi sana kufikiria mtu akisemwa negative itatokana na watu kuwa na wivu na mali zake, ni UJINGA
Sasa na wewe utashindwaje kuwa na wivu na unashinda JF muda woote wenzio accounts zao kuna watu wamewaajiri wewe unakomaa mwenyewe
 
Sasa na wewe utashindwaje kuwa na wivu na unashinda JF muda woote wenzio accounts zao kuna watu wamewaajiri wewe unakomaa mwenyewe
Mimi sijaajiriwa na muhindi kama ilivyo wewe, naweza nikawa hapa masaa 24 na nikawa na make chedah vile vile
 
Back
Top Bottom