Wakazi: Diamond Platnumz ni maarufu ila hajui kuimba, "ukweli unauma mpaka mnanipigia simu za vitisho"

Wakazi: Diamond Platnumz ni maarufu ila hajui kuimba, "ukweli unauma mpaka mnanipigia simu za vitisho"

Mimi nasikiziliza sana Hip Hop za Kibongo, tokea the so called MUZIKI WA KIZAZI KIPYA unaanza lakini siujui hata wimbo mmoja wa Wakazi. Labda nimewahi kuusikia bila ya kufahamu kuwa huyo ndiyo Wakazi, lakini ukweli utabaki kuwa umaarufu wake uko zaidi kwenye kuchamba wasanii wenzake mitandaoni kuliko kazi zake.
View attachment 2153951
Ndo maana hata yeye amesema kuna utofauti kati ya umaarufu na kuwa muimbaji bora

Wakazi ambaye wewe unaishia kumsikia humu JF ni maarufu zaidi kuliko Dizasta vina lakini when it comes to lyrical na story telling, Wakazi mwenyewe ana salute

Professa jay alikuwa anamtaja rapcha kama ni best story teller ila hakuwahi kumjua dizasta, na siku alipokuja kumskia alikiri kuwa jamaa ni gwiji ila hafahamiki na hakuwahi kumjua before

Kwa hiyo point sio umaarufu, point hapa ni ubora wa mashairi
 
Mimi nasikiziliza sana Hip Hop za Kibongo, tokea the so called MUZIKI WA KIZAZI KIPYA unaanza lakini siujui hata wimbo mmoja wa Wakazi. Labda nimewahi kuusikia bila ya kufahamu kuwa huyo ndiyo Wakazi, lakini ukweli utabaki kuwa umaarufu wake uko zaidi kwenye kuchamba wasanii wenzake mitandaoni kuliko kazi zake.
View attachment 2153951
Aisee wakazi ana album na mixtape lukuki🤣

20220316_182423.jpg
 
You got it wrong

Hakuna nilipolazimisha watu wote wakubaliane na perspective yangu

Na sisemi kwamba mwana hajui kuimba na kuishia hapo bila kuonesha sababu kwanini nasema hivyo maana hapo nitakuwa situmii vizuri ubongo wangu.

Sasa napojaribu kuelezea kwanini namuita hajui ndio kwako ina tafsirika kama nalazimisha
Hapa sasa ndio nimekuelewa
 
We ndo hujanielewa, mi sizungumzii hit song ambazo zinakuja kwa misimu

Kama ni hivyo basi wakwanza kumtaja angekuwa darasa kwenye maisha na muziki
Kwani darasa alianza na maisha na muziki pekee??

Darasa ni wa kitambo mkuu hiyo ni moja ya hit songs zake lakini mchiz kitambo anafahamika.

Mi nachokataa ni hiyo mentality ya kubaniwa, haija ukweli wowote.
Mfano ni huyu Marioo, kuna kipindi xxl ya clouds walimshangaa coz kuna presenter wa xxl alienda kenya na akaona vile kenyans wanamkubali dogo japo yeye hakuwahi kwenda huko kenya.
Ndo wakaja kumsanua kua ebana wew funguka mzee mziki sio tz peke yake.
 
Huyu jamaa nitam underrate uimbaji wake ila linapokuja swala la live performance huyu mchizi ni nyoko
Jamaa kuna muda akirekodi kuna nyimbo flow kama inakuja na kukataa ila live yupo vizuri
 
Kwani darasa alianza na maisha na muziki pekee??

Darasa ni wa kitambo mkuu hiyo ni moja ya hit songs zake lakini mchiz kitambo anafahamika.

Mi nachokataa ni hiyo mentality ya kubaniwa, haija ukweli wowote.
Mfano ni huyu Marioo, kuna kipindi xxl ya clouds walimshangaa coz kuna presenter wa xxl alienda kenya na akaona vile kenyans wanamkubali dogo japo yeye hakuwahi kwenda huko kenya.
Ndo wakaja kumsanua kua ebana wew funguka mzee mziki sio tz peke yake.
Na ndio maana nimesema siongelei trend ya msimu, hata kabla ya maisha na muziki hakuwahi kufanya ngoma ililiyo trend kama hiyo

Ila pia kuna ngoma kali (kwa maana ya lyrical) zaidi ya maisha na muziki alizowahi kuzifanya lakini hazijawa trend

Huyo marioo nimemjua juzi kwenye nyimbo ya utopolo
 
Jamaa kuna muda akirekodi kuna nyimbo flow kama inakuja na kukataa ila live yupo vizuri
Ebu mcheki hapa





 
Na ndio maana nimesema siongelei trend ya msimu, hata kabla ya maisha na muziki hakuwahi kufanya ngoma ililiyo trend kama hiyo

Ila pia kuna ngoma kali (kwa maana ya lyrical) zaidi ya maisha na muziki alizowahi kuzifanya lakini hazijawa trend

Huyo marioo nimemjua juzi kwenye nyimbo ya utopolo
Duuh mkuu au umri umeenda hufatilii hizi mambo!??
Marioo umemjua kwenye yanga tamu??

Dogo ni wa kitambo kidogo na ana fans wengi tu tz, na pia anaimba vizuri kama management yake na yeye mwenyewe atakua poa si ajabu akafikia alipofika domo mwenzie( wote ni madomo makubwa).
 
Duuh mkuu au umri umeenda hufatilii hizi mambo!??
Marioo umemjua kwenye yanga tamu??

Dogo ni wa kitambo kidogo na ana fans wengi tu tz, na pia anaimba vizuri kama management yake na yeye mwenyewe atakua poa si ajabu akafikia alipofika domo mwenzie( wote ni madomo makubwa).
Sio sifatirii kwa kigezo cha umri

Sifatilii kwasababu sio interest yangu

Huyo nimekuja kumjua kwasababu amehusika kwenye interest yangu ya soccer

Bado mmoja namskiaga humu wanamuita zuchu
 
Sio sifatirii kwa kigezo cha umri

Sifatilii kwasababu sio interest yangu

Huyo nimekuja kumjua kwasababu amehusika kwenye interest yangu ya soccer

Bado mmoja namskiaga humu wanamuita zuchu
Aisee kweli basi sio interest yako.
 
Nani alikuambia wasanii wengine hawakosolewi?

Wanakosolewa ila tatizo ni kwamba hawajafanikiwa kujenga fanbase kubwa ya utimu kufanya mashabiki wao wawe wanawatetea kipindi wanakosolewa

Swali lako la pili ni kituko na kuonesha kuwa kuna mambo lundo yanakupita, unamjua lil pump?

Ahh huko mbali tuanze hapa hapa Africa, kuna jamaa aliimba parakata tumba unamjua?
Ila nyimbo za diamond ni matusi mwanzo mwisho ndo hivyo ndo ambazo zinambeba
 
Wa kazi huwa namuelewa sana , mshikaj mziki hajui Ila mawazo yake (thinking capacity ) anawakalisha mpak TISS...!! Kuna tofauti kubwa Kati ya umaarufu na ubora , kuna shortcut nyingi za kufikia umaarufu Ila ubora ni scientific term
Umeongea bonge ya point ni kama utajiri Kuna watu wametumia ujanja ujanja wamekua matajiri wengine wachache wametumia njia halali kufikia utajiri

Same kwa diamond ukisikiliza nyimbo zake ni ngumu sana kuelewa exactly anachoimba Mara zigo la kuvunja Chaga, Mara kujigiji n.k kwa hiyo nyimbo zinakua maarufu Ila hazina ubora
 
Diamond ana maneno ya shombo,dharau.Diamond sio msanii anayejua kuimba kuliko wasanii wote Tanzania.Lakini yeye kabla hakuwa maarufu alikuwa ni mtu wa hali ya chini sana,hakuna njia yoyote ambayo ingemfanya awe na huu umaarufu chanya bila kufanya kitu kizuri.maana yake kuna wakati alikuwa anaimba vizuri ikamfikisha alipo na hata alipoamua kubadilika tayari alishaprove ambavyo alitakiwa aprove ndio maana akawa na die hard fans mpaka leo.

Halafu sidhani kama kuna sababu ya wakazi kusema hayo aliyosema,labda awe na chochote dhidi ya diamond.vyovyote iwavyo mi nadhani kiujumla diamond amewazidi wasanii wenzake wa bongo fleva mbali,huo ni ukweli ulio wazi ambao bahati mbaya utadhihirika tu kama jamaa atatangulia mbele za haki hivi sasa.
Diamond anachowazid wasanii wengine ni uthubutu, kuimba sio bora sana jamaa ana uthubutu ambao watanzania wengi hawana
 
Inawezekana yupo sahihi lakini sababu ya kuongea hayo yote ni ipi?

Nick mbishi aliwahi kusema ukitaka kutrend basi muongelee diamond
Sababu ya kuongea ni baada ya Diamond kutangazwa namba tatu kwa umaarufu.
 
Diamond mashabiki aliojitengenezea hapana
Hata akijamba watasema bosi hajajamba mbona hatusikii harufu?
 
Aisee wakazi ana album na mixtape lukuki🤣

View attachment 2153958
Ndiyo maana wamem-brand 'The legend underground', sijawahi kusikia wimbo wake hata mmoja.
Let's hope hii technic aliyokuja nayo itamsaidia kusikika, si unaona hapa tayari anafanyiwa promo kiaina the reason behind this ni ile tweet yake kuhusu Diamond.
 
Ndo maana hata yeye amesema kuna utofauti kati ya umaarufu na kuwa muimbaji bora

Wakazi ambaye wewe unaishia kumsikia humu JF ni maarufu zaidi kuliko Dizasta vina lakini when it comes to lyrical na story telling, Wakazi mwenyewe ana salute

Professa jay alikuwa anamtaja rapcha kama ni best story teller ila hakuwahi kumjua dizasta, na siku alipokuja kumskia alikiri kuwa jamaa ni gwiji ila hafahamiki na hakuwahi kumjua before

Kwa hiyo point sio umaarufu, point hapa ni ubora wa mashairi
Ubora unategemea na 'taste' ya msikilizaji, we can't have the same 'taste'.
Hivyo basi an artist hawezi kuwa bora kisa wewe unamuona ni bora, ila yule anayeonekana bora kwa wengi(majority) ndiyo whether tunamkubali au la inapaswa kukubali kuwa wengi wanamuona kuwa ndiyo bora.
Mfano kama wakati wa kupiga kura kuchagua kiongozi, wengine tunaweza kuona hana qualities lakini msemo wa wahenga wa 'wengi wape' ndiyo una-apply.
 
Back
Top Bottom