Chosen Rich
JF-Expert Member
- Jan 7, 2019
- 1,467
- 989
Unashangaa laki 9 ? Jamaa yetu alipewa million 15 akatimkia zake Mwanza kala bata zikaisha, akarudi kulia lia tena home akapewa nyumba na mtaji asepe, kuwa hawamuhitaji homeLiongo hilo jamaa. Anataka kuiga story za mastaa wa Marekani kusema kuwa wamelala kwenye gari.
Kibongo bongo haiingii akilini ulale ndani ya gari huku ukiwa na laki 9 mfukoni.
Halafu mzazi gani kibongo bongo anakufukuza na anakupa na gari kabisa.
Lingetafuta uongo mwingine ili aonekane kapigika sio huo uongo wa maigizo yasio na uhalisia.
Yeah kuna mafamilia yana Pesa hazina kazi za kuzifanyiaUnashangaa laki 9 ? Jamaa yetu alipewa million 15 akatimkia zake Mwanza kala bata zikaisha, akarudi kulia lia tena home akapewa nyumba na mtaji asepe, kuwa hawamuhitaji home
View attachment 2712878
Wakazi
Rapa namba mbili nchini amesema hamna wakati mbaya ambao hawezi kusahau maishani mwake Kama siku alipofukuzwa nyumbani kwao.
Amesema hayo alipokuwa akiongea na mtangazaji gwiji Jabir Saleh.
" Nilizinguana na mshua nilipomaliza form 4, baba akaniambia niondoke home, kwa hiyo nilichofanya nilichukua gari ya home, nikalilia kwa maza akanipa Kama laki 9 then nikaamsha, kwa miezi miwili mfululizo nilikuwa nalala kwenye gari nashindia wali maharage mtaani, life ilikuwa tafu Sana.
Nashangaa madogo kwenye game wanajifanya Wana street cred halafu hawajawahi hata kuishi nje ya maskani kwa wiki moja,nawashangaa Sana".
Wakuu yapi maoni yenu.
Acha UONGO wewe umekaririshwa vibaya na hizo story zenu za hapo kijiweni mnapokunywa kahawa na karanga mbichiNdio maana mnaambiwa watoto wenu wa kiume wapelekeni kayumba English Mediums wasome wa kike tu kwa sababu zina walemaza sana watoto wa kiume
Na sio mwaka jana it is sometimes in 1998 or 99Wakazi bwana, eti mshua kazingua, kalilia maza kapewa gari la nyumbani na laki tisa, akaona maisha tough.
Anajua hiyo laki tisa watu walikuwa wanaitafuta mwaka mzima hawaipati, na hawana gari wala nyumba!
Anaweza kusema "Kulikuwa hakuna ugali nyumbani tulikuwa tunashindia Swiss chocolate na mkate wa blue band kwa kahawa na mayai maan".Na sio mwaka jana it is sometimes in 1998 or 99
Ka hustle wapi huyo walichofanya wazazi kataka kwenda America wakamwezesha.Mwenzako ame 'hustle' kwa 'kuteseka sana'.
Le mutuz no 2Uongooo.. Anataka kuwa ns story za usa
Unaona sasa!na bado anamlaumu babaake kumpa maisha magumu sanaπHadi Leo anaishi nyumba aliyopewa na Baba yake, hajawahi kujua hata tofali moja linauzwa sh ngapi
Na gari πAna laki 9π
Sasa hapo ndo amefukuzwq?? Yaani unapewa gari na laki 9??[emoji1787][emoji1787],kichwa chake box kabisa,View attachment 2712878
Wakazi
Rapa namba mbili nchini amesema hamna wakati mbaya ambao hawezi kusahau maishani mwake Kama siku alipofukuzwa nyumbani kwao.
Amesema hayo alipokuwa akiongea na mtangazaji gwiji Jabir Saleh.
" Nilizinguana na mshua nilipomaliza form 4, baba akaniambia niondoke home, kwa hiyo nilichofanya nilichukua gari ya home, nikalilia kwa maza akanipa Kama laki 9 then nikaamsha, kwa miezi miwili mfululizo nilikuwa nalala kwenye gari nashindia wali maharage mtaani, life ilikuwa tafu Sana.
Nashangaa madogo kwenye game wanajifanya Wana street cred halafu hawajawahi hata kuishi nje ya maskani kwa wiki moja,nawashangaa Sana".
Wakuu yapi maoni yenu.
π π π π πHuyo mtoto wa mama tu na cheΓΆ cha rapa no mbili katoa wapi?
Watu tumeondoka makwetu na mabumunda ya mama na maji unaambiwa utapata tu huko mbele, panda lift ya jirani tukaingia mtaani kuhustle.
Hiyo gari mi sijui hata usukani uko wapi enzi hizo naona linaendaga tu.
Nilikua bado mdogo sana.
ye laki tisa na gari aisee bado anajiona mgumu.
Na usikute bado yuko kwao huyu,
Aisee.
Huyo kabla hajaondoka kwenda Us uber hazikuwepo wala Bolt wala boda,wala bajaj.Na gari π