Wakazi: Niliwahi kulala kwenye gari miezi miwili baada ya kufukuzwa home

Wakazi: Niliwahi kulala kwenye gari miezi miwili baada ya kufukuzwa home

Liongo hilo jamaa. Anataka kuiga story za mastaa wa Marekani kusema kuwa wamelala kwenye gari.

Kibongo bongo haiingii akilini ulale ndani ya gari huku ukiwa na laki 9 mfukoni.

Halafu mzazi gani kibongo bongo anakufukuza na anakupa na gari kabisa.

Lingetafuta uongo mwingine ili aonekane kapigika sio huo uongo wa maigizo yasio na uhalisia.
Unashangaa laki 9 ? Jamaa yetu alipewa million 15 akatimkia zake Mwanza kala bata zikaisha, akarudi kulia lia tena home akapewa nyumba na mtaji asepe, kuwa hawamuhitaji home
 

Rapa namba mbili nchini amesema hamna wakati mbaya ambao hawezi kusahau maishani mwake Kama siku alipofukuzwa nyumbani kwao.

Amesema hayo alipokuwa akiongea na mtangazaji gwiji Jabir Saleh.

" Nilizinguana na mshua nilipomaliza form 4, baba akaniambia niondoke home, kwa hiyo nilichofanya nilichukua gari ya home, nikalilia kwa maza akanipa Kama laki 9 then nikaamsha, kwa miezi miwili mfululizo nilikuwa nalala kwenye gari nashindia wali maharage mtaani, life ilikuwa tafu Sana.

Nashangaa madogo kwenye game wanajifanya Wana street cred halafu hawajawahi hata kuishi nje ya maskani kwa wiki moja,nawashangaa Sana".

Wakuu yapi maoni yenu.

Ndio maana mnaambiwa watoto wenu wa kiume wapelekeni kayumba English Mediums wasome wa kike tu kwa sababu zina walemaza sana watoto wa kiume
 
Ndio maana mnaambiwa watoto wenu wa kiume wapelekeni kayumba English Mediums wasome wa kike tu kwa sababu zina walemaza sana watoto wa kiume
Acha UONGO wewe umekaririshwa vibaya na hizo story zenu za hapo kijiweni mnapokunywa kahawa na karanga mbichi
 
Mwenzako ame 'hustle' kwa 'kuteseka sana'.
Ka hustle wapi huyo walichofanya wazazi kataka kwenda America wakamwezesha.
Mradi wasimwone tu.
Kule kapona pona karudi analaumu tena wazazi!
Sasa wampe nini tena?
Hilo jitu zima wazee watakua wamechoka sana mda huu km wako hai.
We unarudi na matako tu eti baba yangu tajiri.
 
Watu tunaishi Kwa mshahara WA 150K, Kwa mwezi afu yeye ana gari na amepewa laki 9 for just two month
Afu analalamika
Duuh ni sawa Kwa level yake lakini
 

Rapa namba mbili nchini amesema hamna wakati mbaya ambao hawezi kusahau maishani mwake Kama siku alipofukuzwa nyumbani kwao.

Amesema hayo alipokuwa akiongea na mtangazaji gwiji Jabir Saleh.

" Nilizinguana na mshua nilipomaliza form 4, baba akaniambia niondoke home, kwa hiyo nilichofanya nilichukua gari ya home, nikalilia kwa maza akanipa Kama laki 9 then nikaamsha, kwa miezi miwili mfululizo nilikuwa nalala kwenye gari nashindia wali maharage mtaani, life ilikuwa tafu Sana.

Nashangaa madogo kwenye game wanajifanya Wana street cred halafu hawajawahi hata kuishi nje ya maskani kwa wiki moja,nawashangaa Sana".

Wakuu yapi maoni yenu.
Sasa hapo ndo amefukuzwq?? Yaani unapewa gari na laki 9??[emoji1787][emoji1787],kichwa chake box kabisa,
 
Huyo mtoto wa mama tu na cheö cha rapa no mbili katoa wapi?

Watu tumeondoka makwetu na mabumunda ya mama na maji unaambiwa utapata tu huko mbele, panda lift ya jirani tukaingia mtaani kuhustle.

Hiyo gari mi sijui hata usukani uko wapi enzi hizo naona linaendaga tu.

Nilikua bado mdogo sana.
ye laki tisa na gari aisee bado anajiona mgumu.

Na usikute bado yuko kwao huyu,
Aisee.
😅😅😅😅😅
 
Na gari 😀
Huyo kabla hajaondoka kwenda Us uber hazikuwepo wala Bolt wala boda,wala bajaj.
Yani gari ile ye angekua anakaa tu kiti kirefu dereva analeta maokoto.
Kaenda huko analeta sinema eti nililala kwenye gari miezi 2 na laki tisa.
We jamaa bahati yako sikujua.
Ningekupa ambush moja na sisi tukale kuku kienyeji na wanangu.
Pumbavu sana
 
Duh pumbavu watu tumelala kwenye pipa miaka miwili huku unauza karanga ukitoa buku kula umeua mtaji kuoga mpaka mvua inyeshe unatembea na sabun kudadadadeki
 
Aiseee
Yaani unaondoka kwenu una gari na 900k miaka ya hiyo we si tajiri kabisa?

Watu wametoka mikoani waka tinga dar na hadi anasuka ubungo senti tano hana mfukoni na sahii wako mbali sanaaaa
 
  • Nzuri
Reactions: EEX
Back
Top Bottom