Uchaguzi 2020 Wakazi wa Dar es Salaam kweli na nyie mtamnyima Magufuli kura?

Uchaguzi 2020 Wakazi wa Dar es Salaam kweli na nyie mtamnyima Magufuli kura?

Wana JF habari. Mi sio mwanasiasa Ila Uchaguzi tunaoshiriki ni wengi japokuwa wengine huwa hawapigi kura Ila maneno wanayo mengi kwenye vijiwe.

Kuelekea tarehe 28.10.2020 siku ya jambo la watu Fulani.
Bado najiuliza Kama wana Dar es Salaam nao watashindwa kumpa kura JPM..

Tunatambua wale jamaa wa Buhaya wao hawana masihara kabisa hapati kitu pale mheshimiwa .

Ila sasa kwa wana Dar es Salaam habari katika television zetu zilipambwa kwa kiasi kikubwa na maendeleo ya mkoa huo.

1. SGR(Railway)
2. Mbezi Stand
3. Ubungo FlyOver
4. Kinyerezi
5. The Port
6. Airport

Na mengine mengi ni heri wana Kaskazini wamnyime Ila sio wana Dar..

Ila ngoja tuone wana DSM wanalichukuliaje hili?
Alisikika mtu anasema wamchague yeye kaleta flyover
IMG_20201015_142212.jpeg
 
Tunachagua Rais wa Tanzania nzima mpaka Kule Pemba ,Mafia na Ukerewe.

Hatuchagui Mkuu wa Mkoa wa Dsm. Wala hatuchagui waziri wa Ujenzi.

Miundo Mbinu na ujenzi wa Taifa ni mipango Endelevu. Ndio maana kuna Waziri wa ujenzi na miundo Mbinu tangu Ukoloni.
Ndio maana kuna najeti inayopelekwa Bungeni kwa ajili ya kujenga miundo mbinu.
Hakuna Rais anayeweza kuja akafuta wizara na bajeti ya miundo mbinu .
Kwa hiyo suala la kujenga barabara ni suala mtambuka sio suala la mtu mmoja kutumia mshahara wake kujenga barabara . Tena yeye halipi hata kodi kwenye mshahara wake.
 
Rais ni John Pombe Joseph Magufuli. Huyu ni Mzalendo namba moja, mzaliwa wa Chato. Yule mwingine wakala wa beberu, mwenyeji wa Ubelgiji.
The NUMBER ONE priority is to get Meko fool out of office. HE HAS TO GO. We can't allow this man to continue to try and DIVIDE US. The people that have the most responsibility and should be SCARED TO DEATH of this man are wise people. WE ARE ON THE VERGE OF A NATIONALIST WAR.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuniita mzembe hakuniondolei machungu wala hakunikatazi kupaza sautiyangu nakuonyesha nimechukizwa nautawala huu namini tupowengi tulioumizwa lakini utasemea wapi angalau nitoehapa yamoyoni watutufarijiane sikukatishana tamaa wakati ninamaumivu makali
Sawa subili trh 28.
 
The NUMBER ONE priority is to get Meko fool out of office. HE HAS TO GO. We can't allow this man to continue to try and DIVIDE US. The people that have the most responsibility and should be SCARED TO DEATH of this man are wise people. WE ARE ON THE VERGE OF A NATIONALIST WAR.


Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu uanweza and ikawa hata kifaransa ila JPM hamna uwezo wa kumtoa offisini. Jipangeni kwa mengine tu.
 
Dar ni mji ambao hata kama una roho mbaya kama ya shetani utaujenga tu "upende usipende!"

Daraja la Kigamboni, flyover, terminal three na Salendar hatukuwahi kuyaomba bali walileta wao.

Na wala si kigezo cha sisi kuwachagua! Tunaangalia uhuru na haki maana bila hivyo ugaidi utakuja na tutakufa zaidi tulio Dar!

Lissu2020
 
Wana JF habari. Mi sio mwanasiasa Ila Uchaguzi tunaoshiriki ni wengi japokuwa wengine huwa hawapigi kura Ila maneno wanayo mengi kwenye vijiwe.

Kuelekea tarehe 28.10.2020 siku ya jambo la watu Fulani.
Bado najiuliza Kama wana Dar es Salaam nao watashindwa kumpa kura JPM..

Tunatambua wale jamaa wa Buhaya wao hawana masihara kabisa hapati kitu pale mheshimiwa .

Ila sasa kwa wana Dar es Salaam habari katika television zetu zilipambwa kwa kiasi kikubwa na maendeleo ya mkoa huo.

1. SGR(Railway)
2. Mbezi Stand
3. Ubungo FlyOver
4. Kinyerezi
5. The Port
6. Airport

Na mengine mengi ni heri wana Kaskazini wamnyime Ila sio wana Dar..

Ila ngoja tuone wana DSM wanalichukuliaje hili?
Kura ni mali ya nani kama ni private owned property tuachie kila mtu aamue.... yaaani nicole kwangu mipango poleni halafu unishawishi nimpigie Kura nani Unaleta mambo ya mpiga debe abiria
 
Kura ni mali ya nani kama ni private owned property tuachie kila mtu aamue.... yaaani nicole kwangu mipango poleni halafu unishawishi nimpigie Kura nani Unaleta mambo ya mpiga debe abiria
Abiria mwenye akili akiwa na haraka zake, aweza piga debe ili gari lijae haraka awahi shughuli zake.
 
Wana JF habari. Mi sio mwanasiasa Ila Uchaguzi tunaoshiriki ni wengi japokuwa wengine huwa hawapigi kura Ila maneno wanayo mengi kwenye vijiwe.

Kuelekea tarehe 28.10.2020 siku ya jambo la watu Fulani.
Bado najiuliza Kama wana Dar es Salaam nao watashindwa kumpa kura JPM..

Tunatambua wale jamaa wa Buhaya wao hawana masihara kabisa hapati kitu pale mheshimiwa .

Ila sasa kwa wana Dar es Salaam habari katika television zetu zilipambwa kwa kiasi kikubwa na maendeleo ya mkoa huo.

1. SGR(Railway)
2. Mbezi Stand
3. Ubungo FlyOver
4. Kinyerezi
5. The Port
6. Airport

Na mengine mengi ni heri wana Kaskazini wamnyime Ila sio wana Dar..

Ila ngoja tuone wana DSM wanalichukuliaje hili?
Ungeona barabara za jimbo la ukonga, ungeshawishi hasipewe hata kura moja
 
Wana JF habari. Mi sio mwanasiasa Ila Uchaguzi tunaoshiriki ni wengi japokuwa wengine huwa hawapigi kura Ila maneno wanayo mengi kwenye vijiwe.

Kuelekea tarehe 28.10.2020 siku ya jambo la watu Fulani.
Bado najiuliza Kama wana Dar es Salaam nao watashindwa kumpa kura JPM..

Tunatambua wale jamaa wa Buhaya wao hawana masihara kabisa hapati kitu pale mheshimiwa .

Ila sasa kwa wana Dar es Salaam habari katika television zetu zilipambwa kwa kiasi kikubwa na maendeleo ya mkoa huo.

1. SGR(Railway)
2. Mbezi Stand
3. Ubungo FlyOver
4. Kinyerezi
5. The Port
6. Airport

Na mengine mengi ni heri wana Kaskazini wamnyime Ila sio wana Dar..

Ila ngoja tuone wana DSM wanalichukuliaje hili?

Je sisi tulioko huku Likuyufusi ambako hivyo vyote ulivyovitaja havipo tumpigie nani?
 
Wana JF habari. Mi sio mwanasiasa Ila Uchaguzi tunaoshiriki ni wengi japokuwa wengine huwa hawapigi kura Ila maneno wanayo mengi kwenye vijiwe.

Kuelekea tarehe 28.10.2020 siku ya jambo la watu Fulani.
Bado najiuliza Kama wana Dar es Salaam nao watashindwa kumpa kura JPM..

Tunatambua wale jamaa wa Buhaya wao hawana masihara kabisa hapati kitu pale mheshimiwa .

Ila sasa kwa wana Dar es Salaam habari katika television zetu zilipambwa kwa kiasi kikubwa na maendeleo ya mkoa huo.

1. SGR(Railway)
2. Mbezi Stand
3. Ubungo FlyOver
4. Kinyerezi
5. The Port
6. Airport

Na mengine mengi ni heri wana Kaskazini wamnyime Ila sio wana Dar..

Ila ngoja tuone wana DSM wanalichukuliaje hili?
Alikosea kupandisha bei ya sukari
 
Wagombea wa CCM huwa wanatuambia Tuache Kutegemea Kuajiriwa Na Serikali, Tujitegemee Na Tujiajiri Wenyewe!! Wakati Wao Wanatuomba Kura Ili Tuwape Ajira Waajiriwe Na wananchi.

TUSAIDIANE MAWAZO HAPA VIJANA WENZANGU, HAWA WATU ZIMO KWELI VICHWANI MWAO ?
Tunataka watuonyeshe mfano wa kujiajiri
 
Wana JF habari. Mi sio mwanasiasa Ila Uchaguzi tunaoshiriki ni wengi japokuwa wengine huwa hawapigi kura Ila maneno wanayo mengi kwenye vijiwe.

Kuelekea tarehe 28.10.2020 siku ya jambo la watu Fulani.
Bado najiuliza Kama wana Dar es Salaam nao watashindwa kumpa kura JPM..

Tunatambua wale jamaa wa Buhaya wao hawana masihara kabisa hapati kitu pale mheshimiwa .

Ila sasa kwa wana Dar es Salaam habari katika television zetu zilipambwa kwa kiasi kikubwa na maendeleo ya mkoa huo.

1. SGR(Railway)
2. Mbezi Stand
3. Ubungo FlyOver
4. Kinyerezi
5. The Port
6. Airport

Na mengine mengi ni heri wana Kaskazini wamnyime Ila sio wana Dar..

Ila ngoja tuone wana DSM wanalichukuliaje hili?
Hivi nyie watu ujinga utawaisha lini? hiyo miundombinu pesa alizotoa zake mfukoni? si kodi ya wananchi waote wa Tanzania? haya mambo yalitakiwa yafanywe na serikali ya CCM toka mwaka 1961Tanzania haijawahi kuongozwa na CHAUMA
 
Back
Top Bottom